I love you Ommy be strong you will be fine and we need you back in Music baby❤️❤️❤️❤️❤️😍😍😍😘😍😍 people are evil but God is never evil you will be fine soon honey❤️😍❤️😍😘😘😍🙄😍😘😍❤️❤️😍
Pole sana kaka omy mugu yunawe daima hakika umepitia mateso makubwa hakika wanadamu siwatuwakawaida,mungu nimwema atazid kuweka baraka zake utakua sawa
Kiukwelii mpka nimetokwa chozi daahh,,, Katika JINA la YESU Na uwe imara urudi katika hali yako ya kawaida na uweze Kuendelea na MAJUKUMUU AAAAMEEEN,,, 😢😥😪
Halafu bongo flava mtaimba nyie mambwiga..?? acheni usenge..! Sauti kampa Mungu (Yehova) na inampatia ugali.. ondoeni matako yenu ya uislamu hapa.. kama allah maana yake ni Mungu kwa kiarabu je waarabu wameawambia jina halisi la huyo allah wao ni nani? Manua jina la allah ni lipi zaidi ya SIFA zake? Acheni kurukia vitu msivyojua nyie mabwege! Ommy imba mpaka utakapoamua BASI IMETOSHA wewe mwenyewe! na Mungu (Yehova) yu pamoja nawe! Ommy ameumbwa kwa mfano wa Mungu (Yehova) kama Ommy anaimba ina maana hata Mungu naye anajua na anapenda kuimba..! Muda wa kumuimbia Mungu ukifika Mungu atamwambia Ommy hivyo..mwacheni Dimpoz..!
Extremelly true. Na hawa wachina tuwaangalie wanaweza wakakulisha vyakula vilivyowekwa kwenye friji kwa miaka hata kumi.. Ni mwaka jana tu wamarekani walirusisha nyma china baada ya kugundulika ilikuwa imewekwa kwenyue freezer kwa miaka.. ! Chakula ni suala kubwa linalotusumisha kila siku.. umesema kweli kabisa ndugu yangu! Serikali iangalie suala hili .. huenda tumeshakuwa dampo la mavyakula mabovu yanayotoka nje..! UGALI NA MAHARAGE AU DAGAA AU MCHICHA WA KUPIKA NYUMBANI NI BORA ZAIDI KULIKO HAYA MA-TAKE AWAY..
4ril omary mm nlikua sio shabiki yko, ila nyimbo zako zote kichwani nazijua😂, but kwa hili umenigusa mno, nikijaribu kuvaa viatu vyako siwez kabisa ommy, ila naamini yote ni mitihani na mwenyezi mungu ana sababu kwa kila jambo ommy, mungu atakupitisha katika hili pia! pole sana bro, pole sana ommy, mungu akusaidie kabisa.
Kwakweli nimeamini banaadam tunaroho zakinyama aise namachoz yamenitoka pole sana kk angu binaadam hawapend maendeleo ya mtu mungu atakuponya inshaallha
Pole sana brother Ommy ila Kuwa na mda pia wa kutafakari ni wapi ulipo kosea na umrudie BWANA MUNGU wako,,,,,,OKOKA,MKIRI BWANA YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKO sasa.kwake kuna lipa.pole san brother nina Imani utapona tena
Millard Ayo nakubali sn kaz zako kuliko chanal nyengine zakuzusha Habar yani apo kaz nzur cn,,,Ila Ommy pole sn brother Allah bdo yupo pamoja na ww ila wachawi ndo awo awo waliokuzunguka,,lkn Nataka kukupa Ushauri kdgo Acha mziki usiimbe ten pumzika Rudi kwa Mungu wk huenda iyo ndo ikawa fursa Allah kakupa ili usifanye tn kazi ya kutangaza mziki mana Mziki ni kaz yashetani,,,yani Ommy Umebadilika na hauja chusha mbna uwo ndo mwili mzur yani upo safi kabisa,,,Tafta biashara nyengine ufanye acha mziki,,,kweli na kwambia iyo ni fursa Allah kakupa ili urud kwake,,acha mziki mara moja umetoka mbali ujue kwa Tatizo lako ilo,,Allah Akupe wepes Inshaallah 😥
inshallah Somo matatizo tumeubiwa ss binadamu.Allah atakupa afueni uzidi kumuomba Allah akupe wepesi.urudi ujenga taifa lako ss ndio wazee wa kesho vijana kwanza.utapoa bro+254
M.mungu akupe afya inshaalah mtu hafi ila kwa siku yake kufika ila kama ni sumu kweli huyo mtu ni mnyama sana na inshaalah atapata kwa mungu...Tunakupenda sana Ommy tunakuombea 😙❤
Jamani ommy .mungu ni mwema utarudi ktk hali yako .tunakuombea sana. Mungu hashindwi na jambo kamwe .mpaka hapo ulipofika ni kwa neema na rehema za mungu .nakupenda sana ndugu .🙏🙏🙏
Kwa hakika, Mungu mkubwa. Kama yeye hakutaka binadamu hawezi kubadilisha chochote. Omary maombi tunayokuombea mmoja mmoja ni wengi sana na naamini Mungu anatusikia. Tumuache afanye kusudi lake ili kusudi huyo shetani aliyekudhamiria mabaya azidi kuumbuka. Pole sana kaka, ujasiri wako pia ni fundisho kwetu wengine. Wewe mwanaume. Mungu awalipe wote wanaokusaidia mpaka kufikia hapo.
Hakuna jaribu lisilo na mlango wa kutokea Mungu ni mwema sana kwako kakuepusha na mengi na pia amekuvusha katika bonde la uvuli wa mauti pole sana kaka utakuwa poa kabisa na kuendelea na majukumu yako hakika nimeumia kwa pito lako kaka
Humans are so inhuman...it must have been someone..who put some poison in his food..so bad..whoever did this..is so evil..shame on u...quick recovery...and back to music with a bang!! All the best from +254
Watch out this days they poison people even through the microphones, that's how they killed Papa Wemba. May God restore your health. 001 I salute you my party leader
Nakupenda sana Ommy nakuombea kila sekunde ya pumzi yangu Allah akupe afya télé upone ukuje kwetu ukanitolee posa .utapona kipenzi pona pona pona baba ukuje nikushauri kitu faraghani
Allahu Akbar kaka Allah ni mmoja watatangulia walokufanyia hasady hiyo mung atawaumbua na maisha marefu mung akujaalie yarabbiy mola Wang tupe imani na upendo kwenye nyoyo zetu
Pole bro Allah akupe afya umeponea kwa tundu ya sindano nakupe wasia bro Wimo ni haram huo ni mtihani tu amepewa acha kuimba bro tubu ila Allah hizo ni stareh tu zakidunia Rudi nyuma kwa Mola wako
Huyu kijana anaumwa na kapita ktk kipindi kizito mungu amfanyie wepesi kiukweli ukibadilishwa kinyume na alivokuumba mungu ni mtihani mkubwa mungu amfanyie wepesi ktk mtihani wake
Utapona tu zaidi ya hapo,mola ni mwema sana mpk hapo ulipofikia kikubwa umshukuru mungu km unavyosema na aliekufanyia hivyo yatamludia tu naamin hivyo,pole kwa matatzo uliyopitia
Hongera kwa governor wetu Joho be blessed.Kaka yetu Ommy you'll be fine InshaAllah
Insha ALLAH
In sha Allah
Wakenya wako juu basi hongera Kwa governor JOHO
Wakenya wanapesa watz manbululu tungechangishana na maneno juuu
Mrs Liverpool true Halafu wana moyo
Fgjj Gbnko Hilo ndio tatizo ama kujitangaza kwenye media
Fgjj Gbnko kutoa ni moyo dear wala c utajiri wapo wengi wanazo bt nyoyo zao kama miamba
Wakenya wanamoyo tunawashukuru
Allah Akbar, Allah Akbar, Allah Akbar, Mungu Ni Mkubwa Brother Mwenyezimungu atakujalia, na ahsante brother Milady kwa jitihada zako za habari
Pole sana ndg, Allah atakujalia na afya yako itaimarika, amina
Mlinzi wako ni Allah ommy
mungu akulinde
Washukuriwe madtar wakenya na south kutuokoleo msanii wetu kipenzi 🙏🙏🙏🙏🙏
Rock City
dah.....so sry mwana nlikua nakuchukulia poa ka shabiki yako bt kupita huu ugonjwa umeonyesha ukakamavu wa hali ya juu aise
Bro ommy...usilazimishe Kwa sasa.. take full recovery bro na muombe Allah Sana akuwezeshe upone...wish you the best
I love you Ommy be strong you will be fine and we need you back in Music baby❤️❤️❤️❤️❤️😍😍😍😘😍😍 people are evil but God is never evil you will be fine soon honey❤️😍❤️😍😘😘😍🙄😍😘😍❤️❤️😍
Julienne Heart pole ommy
Pole kaka
True Allah will help you soon
Cool
Pole sana kaka omy mugu yunawe daima hakika umepitia mateso makubwa hakika wanadamu siwatuwakawaida,mungu nimwema atazid kuweka baraka zake utakua sawa
Ujafa ujaumbika ashukuliwe mungu sana Mungu akuafu ommy upone urudi kama zamani kwa binaadamu kubwa kwa mungu dogo sana ilo usihudhunike kua na amani
Ommy D amemjib mtangazaj majb ya weled kabisa, mwenyez Mungu akupe nguvu na Afya tele
John Mselewa inatesa sana iyo kituu miee na muuguza kaka angu mpak anatia uruma ila utapona kaka jipe moyo
Nakubali
Dimpoz Mungu yupo atakuvusha ila magonjwa haya duuuuh
Pole sana muha mwenzangu
Ommy pole kk yangu mungu baba akuponye jaman nahao walokutenda waaibike mungu baba mponye kaka huyu
Kiukwelii mpka nimetokwa chozi daahh,,, Katika JINA la YESU Na uwe imara urudi katika hali yako ya kawaida na uweze Kuendelea na MAJUKUMUU AAAAMEEEN,,, 😢😥😪
Da! Kapenya lakn ilkuwa aachane na muzk afate msala allah kampa mda wa kumuabudu au amkufuru nadhan huyo n muislam sasa muzik kwake n kharam
⭐💯💯💯⭐
💯⭐💯💯⭐
⭐⭐💯💯⭐
⭐⭐💯💯⭐
⭐⭐💯💯⭐
⭐⭐💯💯⭐
⭐⭐⭐⭐⭐
⭐💯💯💯⭐
💯💯⭐💯💯
💯💯⭐💯💯
💯💯⭐💯💯
💯💯⭐💯💯
⭐💯💯💯⭐
⭐⭐⭐⭐⭐
⭐💯💯💯⭐
💯💯⭐💯💯
💯💯⭐💯💯
💯💯⭐💯💯
💯💯⭐💯💯
⭐💯💯💯⭐
Abdillah Khalfan Said acha maneno ya hasidi kwaiyo unamuhukumu au
Halima Masalanga yaptie tena hayo maneno munamaneno ya kumuhukumu au ushaur wa kher kwake au kwetu
💧💔💔💧💔💔💧
💔💔💔💔💔💔💔
💔💔💔💔💔💔💔
💧💔💔💔💔💔💧
💧💧💔💔💔💧💧
💧💧💧💔💧💧💧
Abdillah Khalfan Said nkweli kabisa bro appreciate
Halafu bongo flava mtaimba nyie mambwiga..?? acheni usenge..! Sauti kampa Mungu (Yehova) na inampatia ugali.. ondoeni matako yenu ya uislamu hapa.. kama allah maana yake ni Mungu kwa kiarabu je waarabu wameawambia jina halisi la huyo allah wao ni nani? Manua jina la allah ni lipi zaidi ya SIFA zake? Acheni kurukia vitu msivyojua nyie mabwege! Ommy imba mpaka utakapoamua BASI IMETOSHA wewe mwenyewe! na Mungu (Yehova) yu pamoja nawe! Ommy ameumbwa kwa mfano wa Mungu (Yehova) kama Ommy anaimba ina maana hata Mungu naye anajua na anapenda kuimba..! Muda wa kumuimbia Mungu ukifika Mungu atamwambia Ommy hivyo..mwacheni Dimpoz..!
MashaLlah.. Maneno mazuri Akhiy Abdillah
Ata mavinywaji aya na mivyakula tunayo kula nayo tuangalie hii ya spesho spesho vingi aviko vizuli mikemiko mingi sana
Extremelly true. Na hawa wachina tuwaangalie wanaweza wakakulisha vyakula vilivyowekwa kwenye friji kwa miaka hata kumi.. Ni mwaka jana tu wamarekani walirusisha nyma china baada ya kugundulika ilikuwa imewekwa kwenyue freezer kwa miaka.. ! Chakula ni suala kubwa linalotusumisha kila siku.. umesema kweli kabisa ndugu yangu! Serikali iangalie suala hili .. huenda tumeshakuwa dampo la mavyakula mabovu yanayotoka nje..! UGALI NA MAHARAGE AU DAGAA AU MCHICHA WA KUPIKA NYUMBANI NI BORA ZAIDI KULIKO HAYA MA-TAKE AWAY..
True
Initoshe kusema pole kaka ila utazame Msalaba kuna uzima hapo
braza achana na mambo ya dunia piga msala
Wanaweza kukuchukia ila kuku ua ni ngumu.
Binadamu ni kiumbe cha ajabu
Alie kuwekea sumu nitampigia qunoot 200 naye arudi kuwa Kama were aona Kama mtu anavyo ishi
Mungu akupe wepec
Next #president in KENYA #001.
4ril omary mm nlikua sio shabiki yko, ila nyimbo zako zote kichwani nazijua😂, but kwa hili umenigusa mno, nikijaribu kuvaa viatu vyako siwez kabisa ommy, ila naamini yote ni mitihani na mwenyezi mungu ana sababu kwa kila jambo ommy, mungu atakupitisha katika hili pia! pole sana bro, pole sana ommy, mungu akusaidie kabisa.
god bless boy
Pole sana, ila kwa hizo complication za ugonjwa angekuwa mtu asiyejiweza kifedha sijui kama angekuwa haii! Mungu akusaidie
Mungu Ni mwema atakuponya
Umeona. Eee
1st comment...pole ommy
Mungu atakusmamia bro..
asantee bro millard kwa kumcheki.
Dua zetu zimekubalika
Mungu. Atakupa. Shifaa. Na. Nguvu. Na. Uzima. Na furaha. Katika maisha. Yako. InshaAllah. Usife. Moyo. Ni mitiani tu ya. Mwenyezi Mungu
Ommy unaniliza Subhanallah..
Polesana
Polesana
Pole sana Ommy. Umenikumbusha ICU. wakat nilipofanyiwa Operation ya goita. Mungu ni mkubwa.
Kwakweli nimeamini banaadam tunaroho zakinyama aise namachoz yamenitoka pole sana kk angu binaadam hawapend maendeleo ya mtu mungu atakuponya inshaallha
4.
Allah Akbar mungu akusaidie.Millard thank you ningesomea utangazaji ningetamsni kufanya kazi Nawe love you
Pole sana mr ommy dimpoz kw yaliyokukuta
So sad but God is above all
Pole sana. Sasa amua kuokoka yesu. Atakuponya na atakuongezea miaka ya kuishi
Hana haja ya kuokoka kwa yesu huyo ni muislam na dini yke iko na muongozo akipenda najikite tu kwenye dini yke itamuongoza
Akiba Mtavililwa yesu ndio kijana gani huyo??
Pole sana brother Ommy
ila Kuwa na mda pia wa kutafakari ni wapi ulipo kosea na umrudie BWANA MUNGU wako,,,,,,OKOKA,MKIRI BWANA YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKO sasa.kwake kuna lipa.pole san brother nina Imani utapona tena
pole sana bro mungu ndo muweza wa yoye binadamu kabla hujafa huja umbika
chris john mungu yu mwema mara zote
Tubu broo.achana na mziki. Mungu anakupenda. Mtihani umepewa. Umevuka salama.
Millard Ayo nakubali sn kaz zako kuliko chanal nyengine zakuzusha Habar yani apo kaz nzur cn,,,Ila Ommy pole sn brother Allah bdo yupo pamoja na ww ila wachawi ndo awo awo waliokuzunguka,,lkn Nataka kukupa Ushauri kdgo Acha mziki usiimbe ten pumzika Rudi kwa Mungu wk huenda iyo ndo ikawa fursa Allah kakupa ili usifanye tn kazi ya kutangaza mziki mana Mziki ni kaz yashetani,,,yani Ommy Umebadilika na hauja chusha mbna uwo ndo mwili mzur yani upo safi kabisa,,,Tafta biashara nyengine ufanye acha mziki,,,kweli na kwambia iyo ni fursa Allah kakupa ili urud kwake,,acha mziki mara moja umetoka mbali ujue kwa Tatizo lako ilo,,Allah Akupe wepes Inshaallah 😥
#USIWAAMINI😓
Mungu akusimamie bro ommy upone urudi tuijenge tasnia ya mziki
Asalam alaykum allah anakupenda uzinduke uache mziki umuabudu allah kama una akili hapo utazindika
Pole mmy dimpozi nakuombea MUNGU akuponye hakuna hashidwalo
Wa kwanza ku #comment ni#mecomment kwenye mda wa marekani 22:11pm pole mtu wawatu
Kabla hujafa hujaumbika pole sana broo
Allah atakupa shifaa, ila wacha mziki mrudie mola.
Kama mm nili kutext kwa Snapchat
inshallah Somo matatizo tumeubiwa ss binadamu.Allah atakupa afueni uzidi kumuomba Allah akupe wepesi.urudi ujenga taifa lako ss ndio wazee wa kesho vijana kwanza.utapoa bro+254
Omary mdogo wangu kabla ujafa hujaumbika umeniliza kiukweli nitakuomba umuombe mungu sana maelezo yako na ulipofikia sasa mshukuru mungu sana
Pole sana kaka mwenyenzi mungu akuponye
Allah ni mueza wa kila jambo bro. ..so uckate tamaa bro wangu. ...utapona inshAllah. mitihani tu ya kawaida. prying for quick recovery! !
Watanzania wapenda kazi tuko macho ila wavivu wamejilaza hadi mda huu wizi mtupu
Mpenda kazi upo you tube saa hizi😂😂😂😂
@@lailatyabdallah1723nilikuwa kwenye foleni dear
Mungu anakupenda sana come on!! I wish usome ujumbe huu...nataman uimbe gospel..utaona jins ambavyo Mungu atakavyokuinua
M.mungu akupe afya inshaalah mtu hafi ila kwa siku yake kufika ila kama ni sumu kweli huyo mtu ni mnyama sana na inshaalah atapata kwa mungu...Tunakupenda sana Ommy tunakuombea 😙❤
pole sna kakaake mwenyezi mungu atazidikukuafu inshalla
@@aminahamad4175 Amiin
Asha Ally daaah si afe huyu mtu kamuekea sumu jamani watu majibwa
@@aminahamad4175 Amiin inshaalah
@@TeamKRX Itamrudi tuu kwa uwezo wa mungu
M/Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu. GET WELL SOON BROTHER
Asante millard kwa kutuletea part2 mungu akubariki sna ktk kazi zako..allah akufanyie wepesi#ommy
Mwenyezi mungu ataleta Rehma zake, sasa mrudie Allah achana na mambo ya kidunia Allah bado anapenda uishi.
dahhhhhh pole sana broo Mungu akujalie na Akuzidishie afya njema uweze ku-recover mapema ili uendelee na shughul zako ommy
Pole Kk yngu ALLAH atakupa tahfifu muhimu kuwa na subra2! jua kila lenye mtihan lina kher kwako
hujafa ujaumbika... Pole kwa uliyopitia mrudie mungu!
Daaaa mungu azidi kukurinda na kukusaidia kaka hakika utapona haraka
Amos Musso amiin
Jamani ommy .mungu ni mwema utarudi ktk hali yako .tunakuombea sana. Mungu hashindwi na jambo kamwe .mpaka hapo ulipofika ni kwa neema na rehema za mungu .nakupenda sana ndugu .🙏🙏🙏
Pole sana kaka yangu MUNGU MWENYEZI ashindwi kitu km muda wako bado wa kuishi hakika utaishi
Yesu akupe afya njema but ulivyopungua umependeza zaidii
Shifaa ya haraka ommy nime angalia hii video nikilia mbaka mwisho
Broo mung yupo na cc 2nakuombea
Pole ommy dimpoz
Gonga like ya Govaner wa 001 mombasa,for the big help to our brother ommy dimpoz,babaa utapoa2 usijali mwenyezi mungu yupamoja nawe bro
Ommy mwili yako iko sawa usijali. Wewe reporter si poa kuambia mgonjwa amepungua mwili na unajua ile hali ako
jjwalenny lenny Sio vizuri kabisaa amepungua vzr na huo mwili alionao saa hii umempendeza tuu ni sauti tu ndio imebadilika but pole pole itarudi sawa
poor interview! huwezi uliza mgonjwa eti kwa nini amepoteza kilo hivyo! NkT
Mrejee Molla wako,mtihani ulopewa ni kipmo,Allah atakuponya Inshallah
Kwa hakika, Mungu mkubwa. Kama yeye hakutaka binadamu hawezi kubadilisha chochote. Omary maombi tunayokuombea mmoja mmoja ni wengi sana na naamini Mungu anatusikia. Tumuache afanye kusudi lake ili kusudi huyo shetani aliyekudhamiria mabaya azidi kuumbuka. Pole sana kaka, ujasiri wako pia ni fundisho kwetu wengine. Wewe mwanaume. Mungu awalipe wote wanaokusaidia mpaka kufikia hapo.
Hakuna jaribu lisilo na mlango wa kutokea Mungu ni mwema sana kwako kakuepusha na mengi na pia amekuvusha katika bonde la uvuli wa mauti pole sana kaka utakuwa poa kabisa na kuendelea na majukumu yako hakika nimeumia kwa pito lako kaka
Happyness Msangazi
Nakuombea urudi ktk hali yako nzr mapema. Mwenyezi Mungu awenawe, awenasi Emen
Ommy mungu akuponye ila Basata wamekaa kimya hapa wanaxubr nyimbo tu wafungie
Ashraf Rajabu point
Pole Sana broh ndio changamoto za Maisha na matatizo tumeumbiwa binadamu. Mungu akusaidie typo pamoja
Da subhanallah pole san kk
Humans are so inhuman...it must have been someone..who put some poison in his food..so bad..whoever did this..is so evil..shame on u...quick recovery...and back to music with a bang!! All the best from +254
Watch out this days they poison people even through the microphones, that's how they killed Papa Wemba. May God restore your health. 001 I salute you my party leader
Wht is going on with our FAMILY frm TZ aki😩wr praying for you ppl..ommy nobody will leav to eat your blessing..may the fire back to the sender🔥🔥
pole mzee baba ni wakat wa mpito
Pole tu sn Ommy ila turudi tu kwa Allah coz Dunia Mapito n umri ni mfupi pls tubadilike kiukweli n Allah yuko nac
Uyu kiumbe aliemfanyia ivo akumbuke kunasiku atakufa Allah atakuraisishia usijal my ommy Dimpoz
millady ayo naomb namba ya ommy dimpoz nitumie kwenye no ii apa 0655979623
Mimi nashauri tuache knunua vyakula vya madukani (packed foods)
ple san ommy 2nkupnd sn watanzania wenzak mung atakuafu inshllh😢😢
Ama kweli kabla hujafa hujaumbika ona ndugu yetu alivyobadikila inasikitisha kiukweli
Nakupenda sana Ommy nakuombea kila sekunde ya pumzi yangu Allah akupe afya télé upone ukuje kwetu ukanitolee posa .utapona kipenzi pona pona pona baba ukuje nikushauri kitu faraghani
kweli hakuna jambo gumu lolote Mungu asiloliweza pole sana kaka ommy Mungu azidi kukutia nguvu
Pole sana brother!
Mwenyezi Mungu yu Pamoja nawe.
Pole Sana omar nyembo mngu atakufanyia wepes inshallah utapona Na utaendelea namajukum yakaz yako
polesana.ommy.mshukuru mungu.kwa yote.tupo. pamoja
Mungu nimwema siku zote.nimefrahi sana kuona ukiongea namatumaini yamerudi
Kwaiman yoteyanawezekan kwa mung tudhid kumuombea kwa mung apate afya njema amina
Allahu Akbar kaka Allah ni mmoja watatangulia walokufanyia hasady hiyo mung atawaumbua na maisha marefu mung akujaalie yarabbiy mola Wang tupe imani na upendo kwenye nyoyo zetu
Pole sana!!!!!akika inauma sana lakni Mwenyezi Mungu atakulehemu
Pole bro Allah akupe afya umeponea kwa tundu ya sindano nakupe wasia bro Wimo ni haram huo ni mtihani tu amepewa acha kuimba bro tubu ila Allah hizo ni stareh tu zakidunia Rudi nyuma kwa Mola wako
God is good all the time ..... Hajakusahau Huyu Mungu
Hata interview inakatwa sana kweli bro anaumwa huyu.... nakuombea heri
Huyu kijana anaumwa na kapita ktk kipindi kizito mungu amfanyie wepesi kiukweli ukibadilishwa kinyume na alivokuumba mungu ni mtihani mkubwa mungu amfanyie wepesi ktk mtihani wake
Namini uhai ni zaidi ya vyote ulivyonavyo,tumshukuru Mungu kwa matendo yake makuu aliyikutendea
Polee ommy Mwenyezi mungu atakupigania wala usimuazie mtu muachie Mungu.
Utapona tu zaidi ya hapo,mola ni mwema sana mpk hapo ulipofikia kikubwa umshukuru mungu km unavyosema na aliekufanyia hivyo yatamludia tu naamin hivyo,pole kwa matatzo uliyopitia
Mungu wetu ni mwema na hashindwi kitu damu ya YESU ikufunike bro
dah! pole bro mw/mungu atakuponya inshaallah kwa uwezo wake. nasi tunakuombea ili uweze kupona haraka
Kaka pole sana ,tumushukuru Mungu kwa sababu anakulinda.nahuzindi kusali sana.
😭😭 inauma ALLAH atakuponya bado uko hayi mungu yupo atakupigania
millardayo hongera zako brother uko vizuri sana god blees you
Mwanadamu hajawahi kufanikisha mipango yake kushindana na mwenyezi Mungu
Pole xnaaaa brother, Mitihan tuu ya dunia, yataisha bro, nakutakia afya njema ommy.
Kazi yako njema milard.mswali yako yanakata kiu ya wateja wako.siyo ya kiudaku...kazi njema sana
Pole omy dah Mungu akuponye...mbk hapo Mungu anakupenda kuwa makini