EXCLUSIVE: OMMY DIMPOZ AFUNGUKA ZAIDI HABARI YA KUWEKEWA SUMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 912

  • @beatricekarisa7145
    @beatricekarisa7145 6 лет назад +68

    Hongera kwa governor wetu Joho be blessed.Kaka yetu Ommy you'll be fine InshaAllah

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 6 лет назад +172

    Wakenya wako juu basi hongera Kwa governor JOHO

    • @fgjjgbnko4383
      @fgjjgbnko4383 6 лет назад +3

      Wakenya wanapesa watz manbululu tungechangishana na maneno juuu

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 6 лет назад +3

      Mrs Liverpool true Halafu wana moyo

    • @mrsliverpool4235
      @mrsliverpool4235 6 лет назад

      Fgjj Gbnko Hilo ndio tatizo ama kujitangaza kwenye media

    • @wacmber2131
      @wacmber2131 6 лет назад

      Fgjj Gbnko kutoa ni moyo dear wala c utajiri wapo wengi wanazo bt nyoyo zao kama miamba

    • @maryamdounga2290
      @maryamdounga2290 6 лет назад +3

      Wakenya wanamoyo tunawashukuru

  • @momabclassic523
    @momabclassic523 6 лет назад +88

    Allah Akbar, Allah Akbar, Allah Akbar, Mungu Ni Mkubwa Brother Mwenyezimungu atakujalia, na ahsante brother Milady kwa jitihada zako za habari

    • @enekuswamera7664
      @enekuswamera7664 6 лет назад

      Pole sana ndg, Allah atakujalia na afya yako itaimarika, amina

  • @mejubaraza8787
    @mejubaraza8787 6 лет назад +64

    Mlinzi wako ni Allah ommy

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 6 лет назад +23

    Washukuriwe madtar wakenya na south kutuokoleo msanii wetu kipenzi 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @patrickshabani9722
    @patrickshabani9722 6 лет назад +46

    dah.....so sry mwana nlikua nakuchukulia poa ka shabiki yako bt kupita huu ugonjwa umeonyesha ukakamavu wa hali ya juu aise

  • @yusuf5319
    @yusuf5319 6 лет назад +41

    Bro ommy...usilazimishe Kwa sasa.. take full recovery bro na muombe Allah Sana akuwezeshe upone...wish you the best

  • @Buterajm25
    @Buterajm25 6 лет назад +120

    I love you Ommy be strong you will be fine and we need you back in Music baby❤️❤️❤️❤️❤️😍😍😍😘😍😍 people are evil but God is never evil you will be fine soon honey❤️😍❤️😍😘😘😍🙄😍😘😍❤️❤️😍

    • @mwajabumaulid7104
      @mwajabumaulid7104 6 лет назад +1

      Julienne Heart pole ommy

    • @jimmymkwama6741
      @jimmymkwama6741 6 лет назад +2

      Pole kaka

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 6 лет назад +1

      True Allah will help you soon

    • @suleimanali3716
      @suleimanali3716 6 лет назад +1

      Cool

    • @sheysarahnjeno6276
      @sheysarahnjeno6276 6 лет назад +2

      Pole sana kaka omy mugu yunawe daima hakika umepitia mateso makubwa hakika wanadamu siwatuwakawaida,mungu nimwema atazid kuweka baraka zake utakua sawa

  • @nancymohamed1924
    @nancymohamed1924 6 лет назад +20

    Ujafa ujaumbika ashukuliwe mungu sana Mungu akuafu ommy upone urudi kama zamani kwa binaadamu kubwa kwa mungu dogo sana ilo usihudhunike kua na amani

  • @johnmselewa6830
    @johnmselewa6830 6 лет назад +35

    Ommy D amemjib mtangazaj majb ya weled kabisa, mwenyez Mungu akupe nguvu na Afya tele

    • @nyamwenesalim4194
      @nyamwenesalim4194 5 лет назад

      John Mselewa inatesa sana iyo kituu miee na muuguza kaka angu mpak anatia uruma ila utapona kaka jipe moyo

    • @johannesjoseph7496
      @johannesjoseph7496 5 лет назад

      Nakubali

  • @saidsalmin1248
    @saidsalmin1248 6 лет назад +18

    Dimpoz Mungu yupo atakuvusha ila magonjwa haya duuuuh

    • @RachelLeonard
      @RachelLeonard 6 лет назад

      Pole sana muha mwenzangu

    • @olivierpatrick8001
      @olivierpatrick8001 6 лет назад

      Ommy pole kk yangu mungu baba akuponye jaman nahao walokutenda waaibike mungu baba mponye kaka huyu

  • @mr.sayoosayomusic7064
    @mr.sayoosayomusic7064 6 лет назад +4

    Kiukwelii mpka nimetokwa chozi daahh,,, Katika JINA la YESU Na uwe imara urudi katika hali yako ya kawaida na uweze Kuendelea na MAJUKUMUU AAAAMEEEN,,, 😢😥😪

  • @abdillahkhalfan8186
    @abdillahkhalfan8186 6 лет назад +79

    Da! Kapenya lakn ilkuwa aachane na muzk afate msala allah kampa mda wa kumuabudu au amkufuru nadhan huyo n muislam sasa muzik kwake n kharam
    ⭐💯💯💯⭐
    💯⭐💯💯⭐
    ⭐⭐💯💯⭐
    ⭐⭐💯💯⭐
    ⭐⭐💯💯⭐
    ⭐⭐💯💯⭐
    ⭐⭐⭐⭐⭐
    ⭐💯💯💯⭐
    💯💯⭐💯💯
    💯💯⭐💯💯
    💯💯⭐💯💯
    💯💯⭐💯💯
    ⭐💯💯💯⭐
    ⭐⭐⭐⭐⭐
    ⭐💯💯💯⭐
    💯💯⭐💯💯
    💯💯⭐💯💯
    💯💯⭐💯💯
    💯💯⭐💯💯
    ⭐💯💯💯⭐

    • @halimamasalanga4039
      @halimamasalanga4039 6 лет назад

      Abdillah Khalfan Said acha maneno ya hasidi kwaiyo unamuhukumu au

    • @abdillahkhalfan8186
      @abdillahkhalfan8186 6 лет назад +2

      Halima Masalanga yaptie tena hayo maneno munamaneno ya kumuhukumu au ushaur wa kher kwake au kwetu
      💧💔💔💧💔💔💧
      💔💔💔💔💔💔💔
      💔💔💔💔💔💔💔
      💧💔💔💔💔💔💧
      💧💧💔💔💔💧💧
      💧💧💧💔💧💧💧

    • @tusiipendeduniaduniasikutu4819
      @tusiipendeduniaduniasikutu4819 6 лет назад +2

      Abdillah Khalfan Said nkweli kabisa bro appreciate

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 6 лет назад +1

      Halafu bongo flava mtaimba nyie mambwiga..?? acheni usenge..! Sauti kampa Mungu (Yehova) na inampatia ugali.. ondoeni matako yenu ya uislamu hapa.. kama allah maana yake ni Mungu kwa kiarabu je waarabu wameawambia jina halisi la huyo allah wao ni nani? Manua jina la allah ni lipi zaidi ya SIFA zake? Acheni kurukia vitu msivyojua nyie mabwege! Ommy imba mpaka utakapoamua BASI IMETOSHA wewe mwenyewe! na Mungu (Yehova) yu pamoja nawe! Ommy ameumbwa kwa mfano wa Mungu (Yehova) kama Ommy anaimba ina maana hata Mungu naye anajua na anapenda kuimba..! Muda wa kumuimbia Mungu ukifika Mungu atamwambia Ommy hivyo..mwacheni Dimpoz..!

    • @officialsalim3955
      @officialsalim3955 6 лет назад +2

      MashaLlah.. Maneno mazuri Akhiy Abdillah

  • @nancymohamed1924
    @nancymohamed1924 6 лет назад +26

    Ata mavinywaji aya na mivyakula tunayo kula nayo tuangalie hii ya spesho spesho vingi aviko vizuli mikemiko mingi sana

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 6 лет назад

      Extremelly true. Na hawa wachina tuwaangalie wanaweza wakakulisha vyakula vilivyowekwa kwenye friji kwa miaka hata kumi.. Ni mwaka jana tu wamarekani walirusisha nyma china baada ya kugundulika ilikuwa imewekwa kwenyue freezer kwa miaka.. ! Chakula ni suala kubwa linalotusumisha kila siku.. umesema kweli kabisa ndugu yangu! Serikali iangalie suala hili .. huenda tumeshakuwa dampo la mavyakula mabovu yanayotoka nje..! UGALI NA MAHARAGE AU DAGAA AU MCHICHA WA KUPIKA NYUMBANI NI BORA ZAIDI KULIKO HAYA MA-TAKE AWAY..

    • @dxvvsbfdgfdbhsdbdvgd6648
      @dxvvsbfdgfdbhsdbdvgd6648 6 лет назад

      True

  • @williammajani2152
    @williammajani2152 6 лет назад +8

    Initoshe kusema pole kaka ila utazame Msalaba kuna uzima hapo

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 6 лет назад +7

    braza achana na mambo ya dunia piga msala

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 6 лет назад +9

    Wanaweza kukuchukia ila kuku ua ni ngumu.
    Binadamu ni kiumbe cha ajabu

  • @Officialmasaikhan
    @Officialmasaikhan 6 лет назад +14

    Alie kuwekea sumu nitampigia qunoot 200 naye arudi kuwa Kama were aona Kama mtu anavyo ishi

  • @zahabujoseph6584
    @zahabujoseph6584 6 лет назад +6

    Next #president in KENYA #001.

  • @ipyanamsomba8026
    @ipyanamsomba8026 6 лет назад +16

    4ril omary mm nlikua sio shabiki yko, ila nyimbo zako zote kichwani nazijua😂, but kwa hili umenigusa mno, nikijaribu kuvaa viatu vyako siwez kabisa ommy, ila naamini yote ni mitihani na mwenyezi mungu ana sababu kwa kila jambo ommy, mungu atakupitisha katika hili pia! pole sana bro, pole sana ommy, mungu akusaidie kabisa.

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 6 лет назад +9

    Pole sana, ila kwa hizo complication za ugonjwa angekuwa mtu asiyejiweza kifedha sijui kama angekuwa haii! Mungu akusaidie

  • @mehmetylmaz6524
    @mehmetylmaz6524 6 лет назад +5

    1st comment...pole ommy
    Mungu atakusmamia bro..
    asantee bro millard kwa kumcheki.

  • @Officialmasaikhan
    @Officialmasaikhan 6 лет назад +7

    Dua zetu zimekubalika

  • @horrowsultan4131
    @horrowsultan4131 6 лет назад

    Mungu. Atakupa. Shifaa. Na. Nguvu. Na. Uzima. Na furaha. Katika maisha. Yako. InshaAllah. Usife. Moyo. Ni mitiani tu ya. Mwenyezi Mungu

  • @hadijapazia684
    @hadijapazia684 6 лет назад +9

    Ommy unaniliza Subhanallah..

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani1101 6 лет назад

    Pole sana Ommy. Umenikumbusha ICU. wakat nilipofanyiwa Operation ya goita. Mungu ni mkubwa.

  • @amidahamisi4419
    @amidahamisi4419 6 лет назад +4

    Kwakweli nimeamini banaadam tunaroho zakinyama aise namachoz yamenitoka pole sana kk angu binaadam hawapend maendeleo ya mtu mungu atakuponya inshaallha

  • @secretomorgan4201
    @secretomorgan4201 6 лет назад

    Allah Akbar mungu akusaidie.Millard thank you ningesomea utangazaji ningetamsni kufanya kazi Nawe love you

  • @clauschristopher4478
    @clauschristopher4478 6 лет назад +5

    Pole sana mr ommy dimpoz kw yaliyokukuta

  • @scolamwangi2664
    @scolamwangi2664 4 года назад +1

    So sad but God is above all

  • @akibamtavililwa1374
    @akibamtavililwa1374 6 лет назад +14

    Pole sana. Sasa amua kuokoka yesu. Atakuponya na atakuongezea miaka ya kuishi

    • @komboomar8275
      @komboomar8275 6 лет назад +2

      Hana haja ya kuokoka kwa yesu huyo ni muislam na dini yke iko na muongozo akipenda najikite tu kwenye dini yke itamuongoza

    • @kijanamatata7135
      @kijanamatata7135 6 лет назад +2

      Akiba Mtavililwa yesu ndio kijana gani huyo??

  • @treyibrahim3327
    @treyibrahim3327 6 лет назад

    Pole sana brother Ommy
    ila Kuwa na mda pia wa kutafakari ni wapi ulipo kosea na umrudie BWANA MUNGU wako,,,,,,OKOKA,MKIRI BWANA YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKO sasa.kwake kuna lipa.pole san brother nina Imani utapona tena

  • @chrisjohn4857
    @chrisjohn4857 6 лет назад +8

    pole sana bro mungu ndo muweza wa yoye binadamu kabla hujafa huja umbika

  • @سبحانالله-ح7د
    @سبحانالله-ح7د 5 лет назад

    Tubu broo.achana na mziki. Mungu anakupenda. Mtihani umepewa. Umevuka salama.

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 6 лет назад +3

    Millard Ayo nakubali sn kaz zako kuliko chanal nyengine zakuzusha Habar yani apo kaz nzur cn,,,Ila Ommy pole sn brother Allah bdo yupo pamoja na ww ila wachawi ndo awo awo waliokuzunguka,,lkn Nataka kukupa Ushauri kdgo Acha mziki usiimbe ten pumzika Rudi kwa Mungu wk huenda iyo ndo ikawa fursa Allah kakupa ili usifanye tn kazi ya kutangaza mziki mana Mziki ni kaz yashetani,,,yani Ommy Umebadilika na hauja chusha mbna uwo ndo mwili mzur yani upo safi kabisa,,,Tafta biashara nyengine ufanye acha mziki,,,kweli na kwambia iyo ni fursa Allah kakupa ili urud kwake,,acha mziki mara moja umetoka mbali ujue kwa Tatizo lako ilo,,Allah Akupe wepes Inshaallah 😥

  • @herongwikwi1021
    @herongwikwi1021 2 года назад +1

    #USIWAAMINI😓

  • @silverrichard2975
    @silverrichard2975 6 лет назад +5

    Mungu akusimamie bro ommy upone urudi tuijenge tasnia ya mziki

    • @suleimannassor1917
      @suleimannassor1917 6 лет назад

      Asalam alaykum allah anakupenda uzinduke uache mziki umuabudu allah kama una akili hapo utazindika

  • @stellaaudax3926
    @stellaaudax3926 4 года назад

    Pole mmy dimpozi nakuombea MUNGU akuponye hakuna hashidwalo

  • @saidiabaheya6801
    @saidiabaheya6801 6 лет назад +11

    Wa kwanza ku #comment ni#mecomment kwenye mda wa marekani 22:11pm pole mtu wawatu

    • @allyommy2232
      @allyommy2232 6 лет назад

      Kabla hujafa hujaumbika pole sana broo

  • @kenyadawahtv90
    @kenyadawahtv90 6 лет назад

    Allah atakupa shifaa, ila wacha mziki mrudie mola.

  • @Officialmasaikhan
    @Officialmasaikhan 6 лет назад +4

    Kama mm nili kutext kwa Snapchat

  • @prince-li6kw
    @prince-li6kw 6 лет назад

    inshallah Somo matatizo tumeubiwa ss binadamu.Allah atakupa afueni uzidi kumuomba Allah akupe wepesi.urudi ujenga taifa lako ss ndio wazee wa kesho vijana kwanza.utapoa bro+254

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 6 лет назад +16

    Omary mdogo wangu kabla ujafa hujaumbika umeniliza kiukweli nitakuomba umuombe mungu sana maelezo yako na ulipofikia sasa mshukuru mungu sana

  • @saidgawawa5742
    @saidgawawa5742 5 лет назад

    Allah ni mueza wa kila jambo bro. ..so uckate tamaa bro wangu. ...utapona inshAllah. mitihani tu ya kawaida. prying for quick recovery! !

  • @l.jviktor7745
    @l.jviktor7745 6 лет назад +10

    Watanzania wapenda kazi tuko macho ila wavivu wamejilaza hadi mda huu wizi mtupu

    • @lailatyabdallah1723
      @lailatyabdallah1723 6 лет назад

      Mpenda kazi upo you tube saa hizi😂😂😂😂

    • @l.jviktor7745
      @l.jviktor7745 6 лет назад

      @@lailatyabdallah1723nilikuwa kwenye foleni dear

  • @rehemajingu450
    @rehemajingu450 3 года назад

    Mungu anakupenda sana come on!! I wish usome ujumbe huu...nataman uimbe gospel..utaona jins ambavyo Mungu atakavyokuinua

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 6 лет назад +22

    M.mungu akupe afya inshaalah mtu hafi ila kwa siku yake kufika ila kama ni sumu kweli huyo mtu ni mnyama sana na inshaalah atapata kwa mungu...Tunakupenda sana Ommy tunakuombea 😙❤

    • @aminahamad4175
      @aminahamad4175 6 лет назад +1

      pole sna kakaake mwenyezi mungu atazidikukuafu inshalla

    • @ashaally6993
      @ashaally6993 6 лет назад

      @@aminahamad4175 Amiin

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 6 лет назад +1

      Asha Ally daaah si afe huyu mtu kamuekea sumu jamani watu majibwa

    • @ashaally6993
      @ashaally6993 6 лет назад

      @@aminahamad4175 Amiin inshaalah

    • @ashaally6993
      @ashaally6993 6 лет назад

      @@TeamKRX Itamrudi tuu kwa uwezo wa mungu

  • @changainstitute4584
    @changainstitute4584 6 лет назад

    M/Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu. GET WELL SOON BROTHER

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 6 лет назад +3

    Asante millard kwa kutuletea part2 mungu akubariki sna ktk kazi zako..allah akufanyie wepesi#ommy

    • @nassoromsagati1393
      @nassoromsagati1393 6 лет назад

      Mwenyezi mungu ataleta Rehma zake, sasa mrudie Allah achana na mambo ya kidunia Allah bado anapenda uishi.

  • @jackjulyndunguson1729
    @jackjulyndunguson1729 6 лет назад

    dahhhhhh pole sana broo Mungu akujalie na Akuzidishie afya njema uweze ku-recover mapema ili uendelee na shughul zako ommy

  • @zaitunijuma949
    @zaitunijuma949 6 лет назад +3

    Pole Kk yngu ALLAH atakupa tahfifu muhimu kuwa na subra2! jua kila lenye mtihan lina kher kwako

  • @agnessizya5058
    @agnessizya5058 6 лет назад

    hujafa ujaumbika... Pole kwa uliyopitia mrudie mungu!

  • @amosmusso6622
    @amosmusso6622 6 лет назад +12

    Daaaa mungu azidi kukurinda na kukusaidia kaka hakika utapona haraka

    • @nancymohamed1924
      @nancymohamed1924 6 лет назад

      Amos Musso amiin

    • @latifaabubakar4204
      @latifaabubakar4204 6 лет назад

      Jamani ommy .mungu ni mwema utarudi ktk hali yako .tunakuombea sana. Mungu hashindwi na jambo kamwe .mpaka hapo ulipofika ni kwa neema na rehema za mungu .nakupenda sana ndugu .🙏🙏🙏

  • @irenelukungu1150
    @irenelukungu1150 6 лет назад

    Pole sana kaka yangu MUNGU MWENYEZI ashindwi kitu km muda wako bado wa kuishi hakika utaishi

  • @hermanricci
    @hermanricci 6 лет назад +9

    Yesu akupe afya njema but ulivyopungua umependeza zaidii

  • @maimushathmani8191
    @maimushathmani8191 6 лет назад +2

    Shifaa ya haraka ommy nime angalia hii video nikilia mbaka mwisho

  • @hassanmangongo9444
    @hassanmangongo9444 6 лет назад +4

    Broo mung yupo na cc 2nakuombea

  • @mactoneyoosi1754
    @mactoneyoosi1754 6 лет назад +1

    Gonga like ya Govaner wa 001 mombasa,for the big help to our brother ommy dimpoz,babaa utapoa2 usijali mwenyezi mungu yupamoja nawe bro

  • @jjwalennylenny7943
    @jjwalennylenny7943 6 лет назад +3

    Ommy mwili yako iko sawa usijali. Wewe reporter si poa kuambia mgonjwa amepungua mwili na unajua ile hali ako

    • @aminakshamoona6900
      @aminakshamoona6900 6 лет назад

      jjwalenny lenny Sio vizuri kabisaa amepungua vzr na huo mwili alionao saa hii umempendeza tuu ni sauti tu ndio imebadilika but pole pole itarudi sawa

    • @jynka1138
      @jynka1138 5 лет назад

      poor interview! huwezi uliza mgonjwa eti kwa nini amepoteza kilo hivyo! NkT

  • @farajamuyinga420
    @farajamuyinga420 5 лет назад

    Mrejee Molla wako,mtihani ulopewa ni kipmo,Allah atakuponya Inshallah

  • @happynessmsangazi8400
    @happynessmsangazi8400 6 лет назад +8

    Kwa hakika, Mungu mkubwa. Kama yeye hakutaka binadamu hawezi kubadilisha chochote. Omary maombi tunayokuombea mmoja mmoja ni wengi sana na naamini Mungu anatusikia. Tumuache afanye kusudi lake ili kusudi huyo shetani aliyekudhamiria mabaya azidi kuumbuka. Pole sana kaka, ujasiri wako pia ni fundisho kwetu wengine. Wewe mwanaume. Mungu awalipe wote wanaokusaidia mpaka kufikia hapo.

    • @the_mnyamatv5709
      @the_mnyamatv5709 6 лет назад +1

      Hakuna jaribu lisilo na mlango wa kutokea Mungu ni mwema sana kwako kakuepusha na mengi na pia amekuvusha katika bonde la uvuli wa mauti pole sana kaka utakuwa poa kabisa na kuendelea na majukumu yako hakika nimeumia kwa pito lako kaka

    • @imamuhemed5761
      @imamuhemed5761 6 лет назад +1

      Happyness Msangazi

  • @mambopoa8159
    @mambopoa8159 6 лет назад

    Nakuombea urudi ktk hali yako nzr mapema. Mwenyezi Mungu awenawe, awenasi Emen

  • @ashrafrajabu6464
    @ashrafrajabu6464 6 лет назад +4

    Ommy mungu akuponye ila Basata wamekaa kimya hapa wanaxubr nyimbo tu wafungie

  • @pentotwelve8614
    @pentotwelve8614 6 лет назад

    Pole Sana broh ndio changamoto za Maisha na matatizo tumeumbiwa binadamu. Mungu akusaidie typo pamoja

  • @jumbebakari6706
    @jumbebakari6706 6 лет назад +7

    Da subhanallah pole san kk

  • @sharleenjj8548
    @sharleenjj8548 6 лет назад

    Humans are so inhuman...it must have been someone..who put some poison in his food..so bad..whoever did this..is so evil..shame on u...quick recovery...and back to music with a bang!! All the best from +254

  • @pamelarogo5489
    @pamelarogo5489 6 лет назад +3

    Watch out this days they poison people even through the microphones, that's how they killed Papa Wemba. May God restore your health. 001 I salute you my party leader

  • @jayloojayloo6699
    @jayloojayloo6699 6 лет назад

    Wht is going on with our FAMILY frm TZ aki😩wr praying for you ppl..ommy nobody will leav to eat your blessing..may the fire back to the sender🔥🔥

  • @ombenmichael3473
    @ombenmichael3473 6 лет назад +3

    pole mzee baba ni wakat wa mpito

  • @shaabanmusa5127
    @shaabanmusa5127 6 лет назад

    Pole tu sn Ommy ila turudi tu kwa Allah coz Dunia Mapito n umri ni mfupi pls tubadilike kiukweli n Allah yuko nac

  • @shummylove1084
    @shummylove1084 6 лет назад

    Uyu kiumbe aliemfanyia ivo akumbuke kunasiku atakufa Allah atakuraisishia usijal my ommy Dimpoz

  • @starstarboy713
    @starstarboy713 5 лет назад

    millady ayo naomb namba ya ommy dimpoz nitumie kwenye no ii apa 0655979623

  • @eliampagike6262
    @eliampagike6262 6 лет назад

    Mimi nashauri tuache knunua vyakula vya madukani (packed foods)

  • @teefahbaby352
    @teefahbaby352 6 лет назад

    ple san ommy 2nkupnd sn watanzania wenzak mung atakuafu inshllh😢😢

  • @saadakigalu7211
    @saadakigalu7211 5 лет назад

    Ama kweli kabla hujafa hujaumbika ona ndugu yetu alivyobadikila inasikitisha kiukweli

  • @malkiabintmfalme8682
    @malkiabintmfalme8682 6 лет назад

    Nakupenda sana Ommy nakuombea kila sekunde ya pumzi yangu Allah akupe afya télé upone ukuje kwetu ukanitolee posa .utapona kipenzi pona pona pona baba ukuje nikushauri kitu faraghani

  • @agnessswai9985
    @agnessswai9985 5 лет назад

    kweli hakuna jambo gumu lolote Mungu asiloliweza pole sana kaka ommy Mungu azidi kukutia nguvu

  • @revomarkjackson2814
    @revomarkjackson2814 6 лет назад

    Pole sana brother!
    Mwenyezi Mungu yu Pamoja nawe.

  • @omarmchoya5809
    @omarmchoya5809 5 лет назад

    Pole Sana omar nyembo mngu atakufanyia wepes inshallah utapona Na utaendelea namajukum yakaz yako

  • @amenyestivini2819
    @amenyestivini2819 6 лет назад

    polesana.ommy.mshukuru mungu.kwa yote.tupo. pamoja

  • @doricajosiah7108
    @doricajosiah7108 6 лет назад

    Mungu nimwema siku zote.nimefrahi sana kuona ukiongea namatumaini yamerudi

  • @sarahrichard769
    @sarahrichard769 5 лет назад

    Kwaiman yoteyanawezekan kwa mung tudhid kumuombea kwa mung apate afya njema amina

  • @hawata7614
    @hawata7614 5 лет назад

    Allahu Akbar kaka Allah ni mmoja watatangulia walokufanyia hasady hiyo mung atawaumbua na maisha marefu mung akujaalie yarabbiy mola Wang tupe imani na upendo kwenye nyoyo zetu

  • @kevinsamson7479
    @kevinsamson7479 6 лет назад

    Pole sana!!!!!akika inauma sana lakni Mwenyezi Mungu atakulehemu

  • @ruheynamakbul4903
    @ruheynamakbul4903 5 лет назад

    Pole bro Allah akupe afya umeponea kwa tundu ya sindano nakupe wasia bro Wimo ni haram huo ni mtihani tu amepewa acha kuimba bro tubu ila Allah hizo ni stareh tu zakidunia Rudi nyuma kwa Mola wako

  • @praisekavy
    @praisekavy 6 лет назад

    God is good all the time ..... Hajakusahau Huyu Mungu

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 6 лет назад

    Hata interview inakatwa sana kweli bro anaumwa huyu.... nakuombea heri

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank3737 6 лет назад

    Huyu kijana anaumwa na kapita ktk kipindi kizito mungu amfanyie wepesi kiukweli ukibadilishwa kinyume na alivokuumba mungu ni mtihani mkubwa mungu amfanyie wepesi ktk mtihani wake

  • @heriethmgaya6114
    @heriethmgaya6114 6 лет назад

    Namini uhai ni zaidi ya vyote ulivyonavyo,tumshukuru Mungu kwa matendo yake makuu aliyikutendea

  • @esterkileo3486
    @esterkileo3486 5 лет назад

    Polee ommy Mwenyezi mungu atakupigania wala usimuazie mtu muachie Mungu.

  • @sophiaabdallah9272
    @sophiaabdallah9272 6 лет назад

    Utapona tu zaidi ya hapo,mola ni mwema sana mpk hapo ulipofikia kikubwa umshukuru mungu km unavyosema na aliekufanyia hivyo yatamludia tu naamin hivyo,pole kwa matatzo uliyopitia

  • @miriamally4828
    @miriamally4828 6 лет назад

    Mungu wetu ni mwema na hashindwi kitu damu ya YESU ikufunike bro

  • @muddybmuddyb8165
    @muddybmuddyb8165 6 лет назад

    dah! pole bro mw/mungu atakuponya inshaallah kwa uwezo wake. nasi tunakuombea ili uweze kupona haraka

  • @franceisf7108
    @franceisf7108 6 лет назад

    Kaka pole sana ,tumushukuru Mungu kwa sababu anakulinda.nahuzindi kusali sana.

  • @Tv-dl4qj
    @Tv-dl4qj 2 года назад

    😭😭 inauma ALLAH atakuponya bado uko hayi mungu yupo atakupigania

  • @emmaflavor8086
    @emmaflavor8086 6 лет назад

    millardayo hongera zako brother uko vizuri sana god blees you

  • @swahibasaswa2677
    @swahibasaswa2677 6 лет назад

    Mwanadamu hajawahi kufanikisha mipango yake kushindana na mwenyezi Mungu

  • @brownmshan2629
    @brownmshan2629 6 лет назад

    Pole xnaaaa brother, Mitihan tuu ya dunia, yataisha bro, nakutakia afya njema ommy.

  • @emanuelwilliam1607
    @emanuelwilliam1607 6 лет назад

    Kazi yako njema milard.mswali yako yanakata kiu ya wateja wako.siyo ya kiudaku...kazi njema sana

  • @jenyferkimilike1623
    @jenyferkimilike1623 6 лет назад

    Pole omy dah Mungu akuponye...mbk hapo Mungu anakupenda kuwa makini