UTARATIBU WA KUFUNGUA BANK A/C MAREKANI 🇺🇸 - TANZANIA🇹🇿
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- #bankofameric#Crdbbank#Nmbbank#shengenvisa # Firsflight Hedofstaste safari#greencard #usembassy #arrivaltime#ndege#I94#diaspora#creditcard#dv2024#thedignityact2023#asylum#nairobi#romanian#amsterdam#tanzania
Mwanakwetu sijui ni vile unanipa vitu muhimu yaan sishawishiki na watu wengin😅😅😅😅😅ila Saut yakk tyu jaman mm 😢😂😂ok ahsant mwanakwetu One day nitakuwa mteja wako😅😅😅😅
😊😊😆😆😆😆 sawa My Dear Janety endelea kujifunza uendelee kupata maarifa
Uko sahihi Brother
Very true 💯
Kweli kaka yani unaongea poin
Very true wanajifanya system ni nchi kila mtu tissi instead ya kumi d your own business industry ili use creative unakuta mtu Hana system yake,yani staki ata kuskia kama wahindi na pia kufahamiana lazima uwe unamjua bank teller ukiangalia ni wazee na kunywa chai ofisini ndio zao na snacks kila saa kwani kichwani empty technology
Pamoja sana mzee
Nakuelewa sana broo, tanzania wanamambo mengi, marekani ni haraka sana kufungua bank account, africa bila hongo mambo hayahendi😂😂😂
Tuko Pmj tuko Pmja broo thx so much your ideas
Asante mwanakwetu endelea kutema madini
Kaka binafsi nimekuelewa Sanaaaaa
Na baada ya kufungua account unaambia ATM card unaambiwa uje uchukue baada ya wiki tatu au mwezi
Kaka me nimekwenda kurenew tena kitambulisho cha taifaa naambiwa nikachukue barua ya sheba au mjumbe wakati kitambulisho kina jitosheleza
Asante,naomba uongelee tourist visa na ugumu wake
Kenya ni ID pekee yake ndani ya 10minutes kwisha
Africa bado tupo analogy 😂😂 mtu ana vitambulisho mia ,kura ,kuzaliwa,taifa,passport, na bado ukienda navyo unaambiwa kalete barua 😂😂😂😢
kaka hii ndio Tanzania mtu anauza sumu ya panya, mende, sisimizi, kunguni, alafu anakwambia ya kuonja ipo.
Kak wee unaongeag point tu nakuelewa saan repect
Kaka uposawa natamani kubadilika kamawewe nitoke kwenye gunia laujinga tanzania ninapesa kidogo kama 7000000 kamautanisaidia hatakesho natamani kubadilisha makazi😢
mimi nina wiki mbili account ya kawaida tu. hii inaitwa eniembii
😂😂😂😂 ni NMB sio eniembii
@@Samworldnews ambacho ujaelewa ww ni nini sasa
Daaah we hacha Tu!😢
Kaka naomba unisaidie hivi mtu aliye Marekani anaweza kukutumia Visa?
Hawezi viza unaifuata mwenyewe Embassy
@@ArrivalTv nimekupata vema kaka najipanga hivi kwa makadirio naweza kuandaa kiasi gani unisaidie kushughulikia passport pamoja na nauli ya kufika California