UTARATIBU WA KUFUNGUA BANK A/C MAREKANI 🇺🇸 - TANZANIA🇹🇿

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • #bankofameric#Crdbbank#Nmbbank#shengenvisa # Firsflight Hedofstaste safari#greencard #usembassy #arrivaltime#ndege#I94#diaspora#creditcard#dv2024#thedignityact2023#asylum#nairobi#romanian#amsterdam#tanzania

Комментарии • 26

  • @janety1933
    @janety1933 Год назад +1

    Mwanakwetu sijui ni vile unanipa vitu muhimu yaan sishawishiki na watu wengin😅😅😅😅😅ila Saut yakk tyu jaman mm 😢😂😂ok ahsant mwanakwetu One day nitakuwa mteja wako😅😅😅😅

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  Год назад +1

      😊😊😆😆😆😆 sawa My Dear Janety endelea kujifunza uendelee kupata maarifa

  • @lutambisos3605
    @lutambisos3605 7 месяцев назад

    Uko sahihi Brother

  • @paulaugustino3242
    @paulaugustino3242 10 месяцев назад

    Very true 💯

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 Год назад +1

    Kweli kaka yani unaongea poin

  • @paulaugustino3242
    @paulaugustino3242 10 месяцев назад

    Very true wanajifanya system ni nchi kila mtu tissi instead ya kumi d your own business industry ili use creative unakuta mtu Hana system yake,yani staki ata kuskia kama wahindi na pia kufahamiana lazima uwe unamjua bank teller ukiangalia ni wazee na kunywa chai ofisini ndio zao na snacks kila saa kwani kichwani empty technology

  • @MjombaOg-py2ls
    @MjombaOg-py2ls Год назад +1

    Pamoja sana mzee

  • @samsonbaruani865
    @samsonbaruani865 Год назад +2

    Nakuelewa sana broo, tanzania wanamambo mengi, marekani ni haraka sana kufungua bank account, africa bila hongo mambo hayahendi😂😂😂

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 Год назад +1

    Tuko Pmj tuko Pmja broo thx so much your ideas

  • @willsonsamwel1158
    @willsonsamwel1158 Год назад

    Asante mwanakwetu endelea kutema madini

  • @kakamkuu5383
    @kakamkuu5383 10 месяцев назад

    Kaka binafsi nimekuelewa Sanaaaaa

  • @nelsonmrutu371
    @nelsonmrutu371 9 месяцев назад +1

    Na baada ya kufungua account unaambia ATM card unaambiwa uje uchukue baada ya wiki tatu au mwezi

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 Год назад +1

    Kaka me nimekwenda kurenew tena kitambulisho cha taifaa naambiwa nikachukue barua ya sheba au mjumbe wakati kitambulisho kina jitosheleza

  • @gracios1324
    @gracios1324 Год назад

    Asante,naomba uongelee tourist visa na ugumu wake

  • @FadhilOmar-zx8pu
    @FadhilOmar-zx8pu Год назад +1

    Kenya ni ID pekee yake ndani ya 10minutes kwisha

  • @trueone_tz
    @trueone_tz Год назад +1

    Africa bado tupo analogy 😂😂 mtu ana vitambulisho mia ,kura ,kuzaliwa,taifa,passport, na bado ukienda navyo unaambiwa kalete barua 😂😂😂😢

  • @christopherrobert1948
    @christopherrobert1948 Год назад +1

    kaka hii ndio Tanzania mtu anauza sumu ya panya, mende, sisimizi, kunguni, alafu anakwambia ya kuonja ipo.

  • @IbnuEdrees
    @IbnuEdrees Год назад

    Kak wee unaongeag point tu nakuelewa saan repect

  • @abwaookomo466
    @abwaookomo466 Год назад

    Kaka uposawa natamani kubadilika kamawewe nitoke kwenye gunia laujinga tanzania ninapesa kidogo kama 7000000 kamautanisaidia hatakesho natamani kubadilisha makazi😢

  • @christopherrobert1948
    @christopherrobert1948 Год назад +1

    mimi nina wiki mbili account ya kawaida tu. hii inaitwa eniembii

  • @mbekiclinic
    @mbekiclinic Год назад

    Daaah we hacha Tu!😢

  • @Samworldnews
    @Samworldnews Год назад

    Kaka naomba unisaidie hivi mtu aliye Marekani anaweza kukutumia Visa?

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  Год назад

      Hawezi viza unaifuata mwenyewe Embassy

    • @Samworldnews
      @Samworldnews Год назад

      @@ArrivalTv nimekupata vema kaka najipanga hivi kwa makadirio naweza kuandaa kiasi gani unisaidie kushughulikia passport pamoja na nauli ya kufika California