Kuna siku nilisema yanga kama wana mchukua chama kwa hajili ya mkomoeni ok lkn hana msahada wowote mechi ikiwa tafu ana potea ukiwa umecheza mpira utaelewa huyu jamaa ana zungumza Nn naungana nae 💯
Mimi nafikiri Yanga wakiamua kumsajili Chama,si kwasababu ya ligi, ni kwa uzoefu wake CAFCL! EXPERIENCE IS VITAL KWENYE MICHUANO MIKUBWA! Kwanini Ronaldo bado anachezea timu ya taifa mpaka leo? Sio kwamba ni C7 yulee! Nope,ana vast experience anayo ileta kwenye michuano mikubwa! Kuna EURO SASA HIVI,BADO ANACHEZA! SIO KWA SABABU IS AS GOOD AS HE WAS BEFORE!!! Ndo maana nasema,Chama Yanga ikimchukua,itakua mainly for CAFCL sio ligi.
@@errydeo8865 Shida sio kuwepo shida ataleta msahada upi kwenye timu mfano kaka Azizi kii unaona kabisa ana msahada mkubwa kwenye timu chama beki zikiwa timamu uwezi kuona msahada wake maji ya jioni yale
Chama Yanga atakua kulaka! Na ni mchezaji mwenye UZOEFU KWENYE CHAMPIONS LEAGUE! hamjui mipira! Yanga kwenye ligi wako okay CAFCL inahitaji experienced players! Yanga inasajili wakiwa na CAFCL in mind! Amkeni secondly,Kuna usimba na Uyanga! Hilo halikwepeki! Tuliona tulivyopwaya CAFCL kwa injuries 2 tu! Tukikosa wachezaji wenye UZOEFU!
Ataleta matatizo mengi kuliko faida kwa timu😊
ndevu nakubali
Yanga wasimchukue chama
Kuna siku nilisema yanga kama wana mchukua chama kwa hajili ya mkomoeni ok lkn hana msahada wowote mechi ikiwa tafu ana potea ukiwa umecheza mpira utaelewa huyu jamaa ana zungumza Nn naungana nae 💯
Mimi nafikiri Yanga wakiamua kumsajili Chama,si kwasababu ya ligi, ni kwa uzoefu wake CAFCL! EXPERIENCE IS VITAL KWENYE MICHUANO MIKUBWA! Kwanini Ronaldo bado anachezea timu ya taifa mpaka leo? Sio kwamba ni C7 yulee! Nope,ana vast experience anayo ileta kwenye michuano mikubwa! Kuna EURO SASA HIVI,BADO ANACHEZA! SIO KWA SABABU IS AS GOOD AS HE WAS BEFORE!!! Ndo maana nasema,Chama Yanga ikimchukua,itakua mainly for CAFCL sio ligi.
@@errydeo8865 Shida sio kuwepo shida ataleta msahada upi kwenye timu mfano kaka Azizi kii unaona kabisa ana msahada mkubwa kwenye timu chama beki zikiwa timamu uwezi kuona msahada wake maji ya jioni yale
Yanga kumchukua Chama ni kuwapunguzia mzigo Simba
Huyu midevu atulize wenge
Kama kocha amesema anamtaka sisi tutafanyaje
Gamond hamtaki chama hata kwadawa
Chama is Mobile Shop
Chama Yanga atakua kulaka! Na ni mchezaji mwenye UZOEFU KWENYE CHAMPIONS LEAGUE! hamjui mipira! Yanga kwenye ligi wako okay CAFCL inahitaji experienced players! Yanga inasajili wakiwa na CAFCL in mind! Amkeni secondly,Kuna usimba na Uyanga! Hilo halikwepeki! Tuliona tulivyopwaya CAFCL kwa injuries 2 tu! Tukikosa wachezaji wenye UZOEFU!
@@Yangaone-h8jtupe source ya hiyo habari!!!