Akhwan Safaa in Oman 1985 Hata Haikuwa Khadija Salim

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Akhwan Safaa in Oman participating in 15th Oman National Day in 1985.

Комментарии • 49

  • @suleimansaid7486
    @suleimansaid7486 2 года назад +12

    Za kale dhahabu
    Sasa Zimebaki nyimbo za matusi

  • @alwatanalgilgilan-y3078
    @alwatanalgilgilan-y3078 2 года назад +5

    Maa shaa ALLAH enzi hizo shetani hajazaliwa zanzibar

  • @kamanyolabilajasho3833
    @kamanyolabilajasho3833 2 года назад +10

    Asante kutuwekea nyimbo za kutukumbusha tulipokuwa vijana. Nakumbuka hii ilifanyika ukumbi wa Wizara ya Utamaduni hapa Oman mwaka 1985 katika tafrija kusherekea miaka 15 tokea atawale Sultan Qaboos (Allah amrehemu)

  • @chozilasamakikachumbari6705
    @chozilasamakikachumbari6705 2 года назад +7

    Hiyo ilikukuw ZANZIBARI lakini sasa ni ZANZIBARA MATAMBARA ⚘⚘⚘

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад +1

    Allah ghfir laha wa rhamha wa skanha fil Jannat!

  • @issamakolo1033
    @issamakolo1033 Год назад +3

    Zanzibar ilikuwa mashaallah kwa twaarab sio Sasa hakuna twaarab Kuna taradansi matusi tu,

  • @princesaadat7691
    @princesaadat7691 2 года назад +1

    mashaallah hata haikuwa itapokuwa roho tawatoka..tuekee habibi albi pls

  • @issamakolo1033
    @issamakolo1033 Год назад

    Mashaallah saut nimependa iko sawa mama anaghani vizuri

  • @salyali7807
    @salyali7807 8 месяцев назад +2

    Ilikua hakuna kukata viuno kwenye stage

  • @mohamedkhalifa5764
    @mohamedkhalifa5764 Месяц назад

    Laana ya Mwenyezi Mungu haitawaacha mpaka mwisho wa Dunia kwa Mauaji muliyofanya moja wapo ni hilo.

  • @naylamohammed266
    @naylamohammed266 Год назад +3

    Maskin Mareham haloo yangu allah amsaa mehe makosa yake mpe kauli thabit

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Месяц назад

    masikini zbar yetu😊😊😊

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 Год назад +1

    Zanzibar ilikuwa njema siku hizo

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim830 2 года назад +4

    Walotangulia mbele ya haki hapo mungu awaswamehe makosa yao na awape nuru ya kabri🤲🤲

  • @lindaoduma213
    @lindaoduma213 2 года назад

    Zuri Sana habibi

  • @hassankarama7421
    @hassankarama7421 Год назад +2

    Mashallah Zanzibarian ilikuwa Thaman!

  • @yahyaibrahim6546
    @yahyaibrahim6546 2 года назад +7

    Ukiona zanzibar walioish wazee wetuh wallah wabara wametuvurugia kila kituh

    • @tariqkondo509
      @tariqkondo509 2 года назад +1

      Vijana wenu wanaongoza kwa tabia za hovyo, lakini mnasingizia bara kila kitu.

    • @kaitaramadan6340
      @kaitaramadan6340 Год назад

      Khadija kopa na mzee Yusuph ni wabara acha ubaguzi wa kijinga

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 Год назад +1

      @@tariqkondo509 wamefundishwa na Bara hao Zbar ilikuwa hkn mambo ya ajabu ajabu

    • @tariqkondo509
      @tariqkondo509 Год назад

      @@seifabdulwahid4579 wamefundishwa na waarabu, wao ndo walianza kuwa na watu wa visiwani kabla ya wao kukutana na watu wa bara.

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 Год назад +1

      @@tariqkondo509 watu wa zmn hawakuwa hv Hili suala la kutoingia kwa temprary pass ndo lilo haribu mambo yote

  • @johnkuma6867
    @johnkuma6867 2 года назад +1

    Poa sana hizi taarab. Zidi kuzituma🇰🇪

  • @allyshafi4391
    @allyshafi4391 2 года назад +1

    Hata haikuwa wanalalamika 😃😃😃

  • @maryammussa7929
    @maryammussa7929 Год назад +1

    Nyimbo ina umri sawa na wangu

  • @axzdhar1.2.3.4.5takpandaiarab
    @axzdhar1.2.3.4.5takpandaiarab 6 месяцев назад

    First tengok je same like Asia countries

  • @ahmadakhamis9451
    @ahmadakhamis9451 7 месяцев назад

    Uyo ulonae

  • @KhalidAlbusaidi-i3b
    @KhalidAlbusaidi-i3b 11 месяцев назад

    Hizi nyimbo zilikua ndio taarab. Za kistaraab

  • @salyali7807
    @salyali7807 8 месяцев назад

    Zanzibar 😭😭😭

  • @chaimaabedi8403
    @chaimaabedi8403 Год назад

    Uzuri

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 2 года назад

    Nice

  • @ahmedkhamis7229
    @ahmedkhamis7229 2 года назад

    Nice

  • @ahmedkhamis7229
    @ahmedkhamis7229 2 года назад

    Jaribu kuweka zote plz

    • @masoudapology9230
      @masoudapology9230 2 года назад

      Dah! my Zanzibar siasa za Muugani zimeiweka pabaya kwa kweli bila hivo ingekuwa mbali san