Daah hii movie ata siielew maana Hatton uharsia wa jina lamovie au mmeandika t lakin maajabu hamna mnaboa bhn bora muachane nayotu muendelee.na mtt waboss na dada wakaz
Kaz nzur sanaa ila bado mnaferi kitu kimoja tyu yani mnaweza kuacha dakika 3 mtu anatembea2 bola izi dakika 47 muwe mnaweka kwa mtoto wa boss na dada wakazi afu zile dadika ndo muweke uku ila kazi mnafanya nzur sanaa🎉🎉🎉
Ina maana mliamua kudanganya na kichwa Cha movie hii kuteka watazamaji au ,,mpaka episode 19 hamna kitu na mateso kwa Eva na Frank ni Yale Yale tuu Kwan nao watabadilika lini😮
I love you 💞💞 team frank, eva ,na kelvin gonga like hapa
Wangapi tuna mic sana mtoto WA boss nadada wa kazi😢😢😢😢
Mimi hapo😢
Watuwekeee mbio mbio
Ad nshaisahau😂
Weng tu yaan wanachelewa Sanaa bhnaaa had movie hamu inakata
Nishaisahau kabisa
Mm wa kwanza,naomba like kutoka kenya
Ndiyo mana nawapenda hamucherewi
Mtoto wa boss ishatoka lakini kelvin kayabananga kumuoa Tina😡😡
Hhhhhh kweli kabisa Kelvin kayabananga kumuoa tina
Mbona sasa hy pete hatujaoneshwa ,due hii movie ni pete ya ajabu
Iyo pete ya ajabu nimengoja upaka nikachoka, ata mmeniboo sana, siangarii tena, ata sijui irikuwa ya 2019,kevni anakuanga mndogo sana.
Sikama n Pete y Ajabu ijitokezee imsaidie Eva n frenk
hii n qweli
Mimi piya nipo uku south nammisi sana Kelvin
Even me nmemisss sana
Uyo mukaka amemuchukuwa frekinnimemupenda jamani anaroho nzuri
Daah hii movie ata siielew maana Hatton uharsia wa jina lamovie au mmeandika t lakin maajabu hamna mnaboa bhn bora muachane nayotu muendelee.na mtt waboss na dada wakaz
Polen frank n Eva 😢😢jmn mola awaponye kwa haraka
Pole eva
Hata ww ujijui 😂maswali hayana majibu😢naurumia loveness jamani sana dada wa kasi😢
Kwanini hyo pete haionekani
Ila Zuu we ni mrembo sana 🥰🥰 na umpole 😊 nakupenda bure
Hiyo pete ya ajabu ndo mateso ya Eva au vipi jomoni
Vukeni hiyo part ya Evah bwana ikona uzuni
Ningependa kelvin ampate eva maskini😭
Jamani tunaumia tukiona. Hari watoto awo wanapitia
Mbona Pete ivanyi kazi kwa Eva na frank juu mnaandika Pete ya ajapu
Apo xaxa
@asha😂😂😂bashir5426 𝑈𝑚𝑒𝑜𝑛𝑎𝑒𝑒𝑒ℎ😅😅😅
@@ashabashir5426iyonikweli Eva na frank banaziditu kutesekatu
😂😂😂😂 hata Mimi sielewi
Jamani Mimi sijuwi kwanini wamesema Pete arafu wadigo zetu wanazidi guteseka wamechoka
Wengi mnoo hii tamthilia iko sawa
Iv nn maana ya jina Pete ya ajabu? Toka kipande cha kwanza mpaka hiki cha 18 Pete haionekani jaribuni kufanya uhalisia wa jina husika la movie
Kiukweli tu hamjui kabsa mlimtia kelvin mahal kwenye hamjui mwafanya nini
Mda wooote natamani niwe namuangalia tom na zuu😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Leo nimewah wa pil mm
Nimewai leo 21 mnipe na mm hicho mnachokiomba😂😂
❤❤❤❤❤
Kaz nzur sanaa ila bado mnaferi kitu kimoja tyu yani mnaweza kuacha dakika 3 mtu anatembea2 bola izi dakika 47 muwe mnaweka kwa mtoto wa boss na dada wakazi afu zile dadika ndo muweke uku ila kazi mnafanya nzur sanaa🎉🎉🎉
Bro kelvin tuandalie mtoto wa boss
Hii movie imekua too long please mfupishe
Mm hapa yaaan wamechelewa saaan k😂
Wewe apo 😂😂maswali yko mjibu yko 😂😂
Jmn yaani kipande cha Eva kibazidi kuchelewa eeeh apo bado hajaanza kulia lisaa mzima mmmh
nzurii
Tupo tulio miss ☝️
Mpaka Leo sehemu ya 19 pete ya ajabu hamna nendene kwa vitendo
ile ndio muvi maana hii Mimi naangalia kwa sababu Kuna kelvin
Mbona majabu ya pete haionekane jamani
Ina maana mliamua kudanganya na kichwa Cha movie hii kuteka watazamaji au ,,mpaka episode 19 hamna kitu na mateso kwa Eva na Frank ni Yale Yale tuu Kwan nao watabadilika lini😮
Ina maana wakati movie itakuwa inaisha ndipo pete ionyeshwe
@@EvalineKadogo-eb5xrhapana mungefamya wakakutana na kevine arafu wamechoka kabisa
Hamuna hata siku moja watakuwa nafuraha
Muvimzuli
Mm pia ni.e miss
Sawa
Kwann hamtou lakn
Vupisha mufi kiyasi
Yii vidio haieleweki aki
Nko APA nmemiss mtoto Wa boss
2memisisa san
Sasa mbona hii sizin mmeiharibu wameongenzeka watu wengi wale madogo ndiyo walikuwa wameipendezesha
Hawa wengine wangetolewa
@WASACHARLtom amekua mwiziES-x2u
Tom anaogopa mchambo 😂😂😂😂
yani we achatu na wantu cheleweshea san
Sasa apo Tom utapata ujanja ukipewa ata nusu upeleke uongeze juu
Mm wa mbili kutoka kenya naomba subscribe na like watu wangu
Watu sauti buana
Tom jamani
tom nsaidie eva
Tupo wengi
Ira jamani awo.watoto wamechoka
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤