PETE YA AJABU EPISODE 18 ❤ Full Movie | New Bongo Movie 2024 💞 | Swahili Movie | Love Story

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 84

  • @FrancisNdunda-w3c
    @FrancisNdunda-w3c 8 дней назад +5

    I love you 💞💞 team frank, eva ,na kelvin gonga like hapa

  • @JaneJane-h2i
    @JaneJane-h2i 9 дней назад +16

    Wangapi tuna mic sana mtoto WA boss nadada wa kazi😢😢😢😢

  • @PeninahNdinda
    @PeninahNdinda 9 дней назад +6

    Mm wa kwanza,naomba like kutoka kenya

    • @AlinaNizigama
      @AlinaNizigama 9 дней назад +1

      Ndiyo mana nawapenda hamucherewi

  • @IssackleonardBakekela-g2i
    @IssackleonardBakekela-g2i 8 дней назад +6

    Mtoto wa boss ishatoka lakini kelvin kayabananga kumuoa Tina😡😡

    • @AbdulisaBongole
      @AbdulisaBongole 8 дней назад

      Hhhhhh kweli kabisa Kelvin kayabananga kumuoa tina

  • @EvanceTarimo-mk2fh
    @EvanceTarimo-mk2fh 8 дней назад +2

    Mbona sasa hy pete hatujaoneshwa ,due hii movie ni pete ya ajabu

  • @Monicah-do9ob
    @Monicah-do9ob 9 дней назад +2

    Iyo pete ya ajabu nimengoja upaka nikachoka, ata mmeniboo sana, siangarii tena, ata sijui irikuwa ya 2019,kevni anakuanga mndogo sana.

  • @afrahafrah9460
    @afrahafrah9460 8 дней назад +2

    Sikama n Pete y Ajabu ijitokezee imsaidie Eva n frenk

  • @AnthonyNkhulande
    @AnthonyNkhulande 8 дней назад +1

    Mimi piya nipo uku south nammisi sana Kelvin

  • @Rabecanamanga
    @Rabecanamanga 9 дней назад +3

    Even me nmemisss sana

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama 8 дней назад +1

    Uyo mukaka amemuchukuwa frekinnimemupenda jamani anaroho nzuri

  • @IsayaEliacy-ey3nu
    @IsayaEliacy-ey3nu 8 дней назад +1

    Daah hii movie ata siielew maana Hatton uharsia wa jina lamovie au mmeandika t lakin maajabu hamna mnaboa bhn bora muachane nayotu muendelee.na mtt waboss na dada wakaz

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 8 дней назад +1

    Polen frank n Eva 😢😢jmn mola awaponye kwa haraka

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk 8 дней назад +1

    Pole eva

  • @kokenye9003
    @kokenye9003 8 дней назад +1

    Hata ww ujijui 😂maswali hayana majibu😢naurumia loveness jamani sana dada wa kasi😢

  • @Hope-dq1or
    @Hope-dq1or 8 дней назад +1

    Kwanini hyo pete haionekani

  • @MercyKuvuna
    @MercyKuvuna 6 дней назад

    Ila Zuu we ni mrembo sana 🥰🥰 na umpole 😊 nakupenda bure

  • @RahelKashinje
    @RahelKashinje 7 дней назад +1

    Hiyo pete ya ajabu ndo mateso ya Eva au vipi jomoni

  • @eunicenadupoi137
    @eunicenadupoi137 8 дней назад +1

    Vukeni hiyo part ya Evah bwana ikona uzuni

  • @foziaali7610
    @foziaali7610 8 дней назад +1

    Ningependa kelvin ampate eva maskini😭

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama 8 дней назад

    Jamani tunaumia tukiona. Hari watoto awo wanapitia

  • @Linetmokogoti
    @Linetmokogoti 9 дней назад +4

    Mbona Pete ivanyi kazi kwa Eva na frank juu mnaandika Pete ya ajapu

    • @ashabashir5426
      @ashabashir5426 9 дней назад

      Apo xaxa

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 8 дней назад

      ​@asha😂😂😂bashir5426 𝑈𝑚𝑒𝑜𝑛𝑎𝑒𝑒𝑒ℎ😅😅😅

    • @basimisemusafiri4856
      @basimisemusafiri4856 8 дней назад

      @@ashabashir5426iyonikweli Eva na frank banaziditu kutesekatu

    • @JaneJane-h2i
      @JaneJane-h2i 8 дней назад

      😂😂😂😂 hata Mimi sielewi

    • @AlinaNizigama
      @AlinaNizigama 8 дней назад

      Jamani Mimi sijuwi kwanini wamesema Pete arafu wadigo zetu wanazidi guteseka wamechoka

  • @AminataHababa
    @AminataHababa 8 дней назад

    Wengi mnoo hii tamthilia iko sawa

  • @IssackleonardBakekela-g2i
    @IssackleonardBakekela-g2i 8 дней назад +4

    Iv nn maana ya jina Pete ya ajabu? Toka kipande cha kwanza mpaka hiki cha 18 Pete haionekani jaribuni kufanya uhalisia wa jina husika la movie

  • @MariamBongo-g1s
    @MariamBongo-g1s 8 дней назад +1

    Kiukweli tu hamjui kabsa mlimtia kelvin mahal kwenye hamjui mwafanya nini

  • @Ased-qy7sh
    @Ased-qy7sh 6 дней назад

    Mda wooote natamani niwe namuangalia tom na zuu😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @GraceWilliam-qy5wn
    @GraceWilliam-qy5wn 9 дней назад +4

    Leo nimewah wa pil mm

  • @MwanalimaAbdallahkea
    @MwanalimaAbdallahkea 9 дней назад +1

    Nimewai leo 21 mnipe na mm hicho mnachokiomba😂😂

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 9 дней назад

    ❤❤❤❤❤

  • @Ased-qy7sh
    @Ased-qy7sh 6 дней назад

    Kaz nzur sanaa ila bado mnaferi kitu kimoja tyu yani mnaweza kuacha dakika 3 mtu anatembea2 bola izi dakika 47 muwe mnaweka kwa mtoto wa boss na dada wakazi afu zile dadika ndo muweke uku ila kazi mnafanya nzur sanaa🎉🎉🎉

  • @BonfaceNyakeriga-d2v
    @BonfaceNyakeriga-d2v 9 дней назад +1

    Bro kelvin tuandalie mtoto wa boss

  • @foziaali7610
    @foziaali7610 8 дней назад +1

    Hii movie imekua too long please mfupishe

  • @MonicaSamwel-ho2wg
    @MonicaSamwel-ho2wg 9 дней назад

    Mm hapa yaaan wamechelewa saaan k😂

  • @SalamaCharo-q6k
    @SalamaCharo-q6k 9 дней назад

    Wewe apo 😂😂maswali yko mjibu yko 😂😂

  • @ZyadaAll
    @ZyadaAll 9 дней назад +1

    Jmn yaani kipande cha Eva kibazidi kuchelewa eeeh apo bado hajaanza kulia lisaa mzima mmmh

  • @masoudkissinger
    @masoudkissinger 9 дней назад

    nzurii

  • @JackisonFokas
    @JackisonFokas 9 дней назад

    Tupo tulio miss ☝️

  • @AbelMganga-j1o
    @AbelMganga-j1o 9 дней назад

    Mpaka Leo sehemu ya 19 pete ya ajabu hamna nendene kwa vitendo

  • @MonicaFusi-k1l
    @MonicaFusi-k1l День назад

    ile ndio muvi maana hii Mimi naangalia kwa sababu Kuna kelvin

  • @ClaudeDelay-m1c
    @ClaudeDelay-m1c 6 дней назад

    Mbona majabu ya pete haionekane jamani

  • @ErnestoWesamba-sg1js
    @ErnestoWesamba-sg1js 8 дней назад +1

    Ina maana mliamua kudanganya na kichwa Cha movie hii kuteka watazamaji au ,,mpaka episode 19 hamna kitu na mateso kwa Eva na Frank ni Yale Yale tuu Kwan nao watabadilika lini😮

    • @EvalineKadogo-eb5xr
      @EvalineKadogo-eb5xr 8 дней назад

      Ina maana wakati movie itakuwa inaisha ndipo pete ionyeshwe

    • @AlinaNizigama
      @AlinaNizigama 8 дней назад

      ​@@EvalineKadogo-eb5xrhapana mungefamya wakakutana na kevine arafu wamechoka kabisa

    • @AlinaNizigama
      @AlinaNizigama 8 дней назад

      Hamuna hata siku moja watakuwa nafuraha

  • @samjabri2611
    @samjabri2611 8 дней назад

    Muvimzuli

  • @popokessi2048
    @popokessi2048 8 дней назад

    Mm pia ni.e miss

  • @AminikielMligo
    @AminikielMligo 8 дней назад

    Sawa

  • @PrincessMaomary
    @PrincessMaomary 9 дней назад

    Kwann hamtou lakn

  • @SamuelLemburis
    @SamuelLemburis 8 дней назад

    Vupisha mufi kiyasi

  • @MillicentMaina-o6l
    @MillicentMaina-o6l 6 дней назад

    Yii vidio haieleweki aki

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk 9 дней назад

    Nko APA nmemiss mtoto Wa boss

  • @AlimaRamazani-s7c
    @AlimaRamazani-s7c 7 дней назад

    2memisisa san

  • @WASACHARLES-x2u
    @WASACHARLES-x2u 8 дней назад

    Sasa mbona hii sizin mmeiharibu wameongenzeka watu wengi wale madogo ndiyo walikuwa wameipendezesha

  • @SalamaCharo-q6k
    @SalamaCharo-q6k 9 дней назад

    Tom anaogopa mchambo 😂😂😂😂

  • @SalamaSufiani-g7p
    @SalamaSufiani-g7p 7 дней назад

    yani we achatu na wantu cheleweshea san

  • @MwanaaHawaa
    @MwanaaHawaa 9 дней назад

    Sasa apo Tom utapata ujanja ukipewa ata nusu upeleke uongeze juu

  • @DanFestus
    @DanFestus 9 дней назад

    Mm wa mbili kutoka kenya naomba subscribe na like watu wangu

  • @DanFestus
    @DanFestus 9 дней назад

    Watu sauti buana

  • @saumuwendo4660
    @saumuwendo4660 8 дней назад

    Tom jamani

  • @SebaMagangira
    @SebaMagangira 9 дней назад

    Tupo wengi

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama 9 дней назад

    Ira jamani awo.watoto wamechoka

    • @Johar903
      @Johar903 9 дней назад

      ❤❤❤❤❤❤

  • @JeanNiyompano
    @JeanNiyompano 8 дней назад

    ❤❤❤❤