Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
NAOMBA MTUSAMEHE SANA KWA KUWACHELEWESHEA SERIES YETU PENDWA KUTOKANA NA MAKOSA YA EDITING TUNAWAPENDA SANAA❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Much love san❤❤❤
Hakuna chida ndugu zetu
Tumeelewa ❤❤
Ni shida,sio chida
Asante sana
Mm wa kwanza leo nipe ata like 10 tafadhali kutoka kenya
❤❤❤❤ hongereni sana
❤❤❤
Nimeona wembe nimefurahia sana nlikuwa nimemumiss tu sana aki❤❤❤
❤❤❤❤
Niliona mlipost Tena mkaitoa but imerudi Sasa keep up very much interesting
Director waiyi movie kafeli kweli movie ni pete ya ajabu ila hakuna lolote tu kweli muna tuangusha sn.😂😂😂
Hongeren san kwa wahusika wote❤️❤️❤️
🎉🎉🎉🎉❤❤❤ᴍᴏᴠɪᴇ ᴘᴇɴᴅᴡᴀ🎉❤
Pole mundongo mwangu😢😢😢
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu awasaidie wakutane na kelvin
Me bado sijaielewa hii movie
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Samahani jamani Jana simu yangu ndo irikuwa namatatizo nikasema eti hamuna sauti
Kukosa kumbukumbu ni kubaya sana jamani duuuh,,,,,Frank haelewi chochote jamani
Leo nmewahi na mm,naombeni maua yenu🎉 🎉🎉
Bado tunahitaji mi kiu yangu nikuona frenk na Eva pamoja na Kevin wanakutana 🎉
Naomba kelvin utie jitihada yakumtafuta eva na frank
Mwatuzengua ssa Eva amepataje wazimu hapo mwenye alifaa kua chizi n frenk daaa acheni hizo
Frenk amepata t shrt engne
Mim jamn nahitj kujua jin la mziki huo wa Kweny series
Jamani mbona hiyo pete sijaionaa ama ni vp
Nahusunika eva kua chizi😢
Kwahyo eva kawa chizi au mbona sielew
Mm Niko Pemba ni mshabiki wenu nguli naomba niwatake radhi kwa ushauri hiu nitakao wapa.kuweni tofauti huyu frenki na Eva hayo mabendeji musiweke rangi nyekundu .ekeni rangi ya ayodini pure.
Unajisikia wewe😂
😂😂😂😂😂,,,,,,sasa si wameumia jamani mtu akiumia lazima itoke damu
NAOMBA MTUSAMEHE SANA KWA KUWACHELEWESHEA SERIES YETU PENDWA KUTOKANA NA MAKOSA YA EDITING TUNAWAPENDA SANAA❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Much love san❤❤❤
Hakuna chida ndugu zetu
Tumeelewa ❤❤
Ni shida,sio chida
Asante sana
Mm wa kwanza leo nipe ata like 10 tafadhali kutoka kenya
❤❤❤❤ hongereni sana
❤❤❤
Nimeona wembe nimefurahia sana nlikuwa nimemumiss tu sana aki❤❤❤
❤❤❤❤
Niliona mlipost Tena mkaitoa but imerudi Sasa keep up very much interesting
Director waiyi movie kafeli kweli movie ni pete ya ajabu ila hakuna lolote tu kweli muna tuangusha sn.😂😂😂
Hongeren san kwa wahusika wote❤️❤️❤️
🎉🎉🎉🎉❤❤❤ᴍᴏᴠɪᴇ ᴘᴇɴᴅᴡᴀ🎉❤
Pole mundongo mwangu😢😢😢
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu awasaidie wakutane na kelvin
Me bado sijaielewa hii movie
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Samahani jamani Jana simu yangu ndo irikuwa namatatizo nikasema eti hamuna sauti
Kukosa kumbukumbu ni kubaya sana jamani duuuh,,,,,Frank haelewi chochote jamani
Leo nmewahi na mm,naombeni maua yenu🎉 🎉🎉
Bado tunahitaji mi kiu yangu nikuona frenk na Eva pamoja na Kevin wanakutana 🎉
Naomba kelvin utie jitihada yakumtafuta eva na frank
Mwatuzengua ssa Eva amepataje wazimu hapo mwenye alifaa kua chizi n frenk daaa acheni hizo
Frenk amepata t shrt engne
Mim jamn nahitj kujua jin la mziki huo wa Kweny series
Jamani mbona hiyo pete sijaionaa ama ni vp
Nahusunika eva kua chizi😢
Kwahyo eva kawa chizi au mbona sielew
Mm Niko Pemba ni mshabiki wenu nguli naomba niwatake radhi kwa ushauri hiu nitakao wapa.kuweni tofauti huyu frenki na Eva hayo mabendeji musiweke rangi nyekundu .ekeni rangi ya ayodini pure.
Unajisikia wewe😂
😂😂😂😂😂,,,,,,sasa si wameumia jamani mtu akiumia lazima itoke damu
❤❤❤❤