PENZI LA MWANAFUNZI MSELA | LOVE STORY | 2024 FULL BONGO MOVIE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Ni Story Inayomhusu binti wa shule anaejiingiza kwenye matumizi ya bangi na dawa za kulevya sambamba na mahusiano na mwalimu wake wa Tuisheni!! Fatilia kisa hiki cha kusisimua!!
    Follow Bravoo Genius on Instagram / bravoogenius
    Follow Bravoo Genius on Facebook / bravoogx
    Follow Bravoo Genius on TikTok www.tiktok.com...
    #bongomovie #bongomoviesfullmovie #bongomovies2024fullmovie #mwanafunzimsela #hemedychande #africanmovievideos #ruthkadiri247 #mauricesamtv #comasavaremix #diamondplatnum
    Comasavaremix
    Diamondplatnum
    Marioo
    Jay melody
    Wrong house 14
    Wrong house
    Harmonize
    Siri ya huba
    Hemedy chande

Комментарии • 115

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 Месяц назад +9

    Huyu dada huwa mzuri sana aisee na hiyo sauti yake ya kukwangua ndio balaa huyu mwanafunzi

  • @MosesDanielGitonga
    @MosesDanielGitonga 28 дней назад +3

    kazi njema,,, kutoka Kenya nawapenda

    • @bravoogenius
      @bravoogenius  28 дней назад

      @@MosesDanielGitonga Asante sana

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад +6

    Maombi ya kakake sophy yamenichesha sana😂😂😂 ati ashushiwe mama tu aje mchukua mwanae wakalale wote baba aachwe alale,khaaa! 🙌 🙌 ila sophy huu mchezo umeuaaaa # safi sana team bravo 🎉🎉🎉

  • @vascootieno8781
    @vascootieno8781 Месяц назад +8

    Am here because of the love I have for Sophia ❤❤ jameni more love from Kenya nipe likes 💯

  • @AmaniNkurunziza
    @AmaniNkurunziza Месяц назад +8

    Kaz nzur sana bravo nakubali kwa huyo mda saf my bro❤

  • @ashakimaya6527
    @ashakimaya6527 Месяц назад +6

    Oya mwanangu sophia chukua maua yako❤❤❤ umeuaaaa

  • @user-hr9fd8du6o
    @user-hr9fd8du6o Месяц назад +5

    Tatizo lenu hampo siliasi hamjui kazi mbaya jitaidini haswa hupande wa wanawake bado sana From Oman😊

  • @Ezraloyibobo10
    @Ezraloyibobo10 Месяц назад +5

    Mwanafunzi balaa afu sio kwa sauti iyo ya ya kisela 😂😂😂❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @ShamimuHamis-fw7fk
    @ShamimuHamis-fw7fk Месяц назад +8

    Mpo vizurii mungu awatangulie katika kazi zenuu mkafike mbele zaidii

  • @Neuvemzaliwa5
    @Neuvemzaliwa5 Месяц назад +7

    Nakama unamkubali #Bravo gonga liké

  • @kayumbasosa6033
    @kayumbasosa6033 Месяц назад +7

    Hii stori yake naona kabisa ntaielewa maaana mzee movie zako kali ila sasa mpaka uelewe sasa unatumia hedex sema big up mzee sema rahisisha sana stori mzee unatuchanganya sana😂😂😂😂😂😂😂

    • @bravoogenius
      @bravoogenius  Месяц назад

      Shukran sana 🙌🏽🙏🏽🔥

    • @user-id9pe9jj1u
      @user-id9pe9jj1u 6 дней назад

      We utakuwa unakili ndogo sana ya kufikilia na kuchambua mambo

    • @user-id9pe9jj1u
      @user-id9pe9jj1u 6 дней назад +1

      Ni Story Inayomhusu binti wa shule anaejiingiza kwenye matumizi ya bangi na dawa za kulevya sambamba na mahusiano na mwalimu wake wa Tuisheni!! Fatilia kisa hiki cha kusisimua!!

  • @GipsonStivin-wv6um
    @GipsonStivin-wv6um Месяц назад +4

    Bongee laa movie Sophia kacheza vizuri sana 🎉❤

  • @Neuvemzaliwa5
    @Neuvemzaliwa5 Месяц назад +9

    From Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 kama wewe ni mkongo konga liké

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Месяц назад +5

    Kazi nzuri sana mbarikiwe ❤❤❤🎉🎉

  • @shukurundume8181
    @shukurundume8181 Месяц назад +5

    Kazi nzuri sana ❤

  • @user-xe2wt9kt9z
    @user-xe2wt9kt9z Месяц назад +5

    Hongera sana , kazi nzur

  • @zaykham155
    @zaykham155 Месяц назад +5

    Yaan hii movie kali san huna baya bravoo genius nakubali kaz zak san san san 🎉🎉❤❤ mung akuekee enjoy dear🥰🥳🥳

  • @IsackDevidiMc
    @IsackDevidiMc Месяц назад +5

    Hongela Sana Mungu azidi Kukuinuwa🎉🎉🎉

  • @mahmoudnajad217
    @mahmoudnajad217 Месяц назад +5

    Kazi nzuri

  • @MayengDulu
    @MayengDulu Месяц назад +5

    Kazi poa hiyo tunakupenda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @winifridawolfram3010
    @winifridawolfram3010 Месяц назад +5

    Pambana bravooo❤❤

  • @user-fo4tx8ed8r
    @user-fo4tx8ed8r Месяц назад +4

    Kazi mzureee bravo

  • @hildachiboti6080
    @hildachiboti6080 Месяц назад +6

    Kazi iko bomba sanaa bravoo

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 Месяц назад +4

    😂😂😂baba teacher eti noma san wallah bravoo❤❤❤

    • @bravoogenius
      @bravoogenius  Месяц назад

      @@ashamwanganzi6400 Asante sana 😁😁😁♥️♥️♥️

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 Месяц назад +2

    Ila Sophia n mzuri jaman ❤❤

  • @manwestbrand
    @manwestbrand Месяц назад +5

    Nomaaaaaaa

  • @GipsonStivin-wv6um
    @GipsonStivin-wv6um Месяц назад +4

    😂 fanyaa mkalee mtoto

  • @Hamisi8465
    @Hamisi8465 Месяц назад +5

    Kubababake 😂😂😂😂😂

  • @SaidesimbaSimba-sm1xx
    @SaidesimbaSimba-sm1xx Месяц назад +5

    Kazi mzur brow❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @SheckinahAmisi
    @SheckinahAmisi Месяц назад +3

    Na sapoti sana

  • @mulhathamadomar4451
    @mulhathamadomar4451 Месяц назад +4

    Big up brother🎉

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Месяц назад +4

    Unasauti nzuri soph

  • @annaki318
    @annaki318 19 дней назад +2

    Bigup sana #bravogeneus kazi zako ni nzuri sana❤

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Месяц назад +4

    good movie

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ Месяц назад +4

    nakubali kaka

  • @DominkFrancis
    @DominkFrancis 24 дня назад +2

    Mmetishaaaa mnoo

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Месяц назад +8

    Mm napnda kazi zako ni full sio utoto wa dkk tano tano

  • @CHIFUILABONAKOREA
    @CHIFUILABONAKOREA Месяц назад +5

    Safi

  • @user-hr9fd8du6o
    @user-hr9fd8du6o Месяц назад +4

    Hawa unajuwa cna jitaidi lakin hao wenqine bado Cna

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Месяц назад +3

    Alafu umenenepa sana sophiya

  • @Mwanah-cg3ie
    @Mwanah-cg3ie Месяц назад +6

    Mm nampenda Sophia jmn

  • @TedyPetro-j4c
    @TedyPetro-j4c Месяц назад +3

    Ya leo sio poa

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 24 дня назад +3

    Mr B htr ...sophy umeweza mwenetu😂😂

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Месяц назад +4

    Sophia bonge la pic

  • @renatuscharles2018
    @renatuscharles2018 Месяц назад +5

    Sema Sophia humu katisha San

  • @ArafaAmirAmir-ci7ld
    @ArafaAmirAmir-ci7ld Месяц назад +3

    Sophia Teacher B❤❤❤

  • @AgustineHassan-dt2mo
    @AgustineHassan-dt2mo 8 дней назад +1

    Huyo sister anazingua anazani mapenzi ndo maisha anashindwa kusema anataka wanaume

  • @UMEUTEKAMOYO
    @UMEUTEKAMOYO Месяц назад +4

    🔥🔥

  • @user-zj3hm8wm5f
    @user-zj3hm8wm5f Месяц назад +3

    ❤❤❤❤❤

    • @bravoogenius
      @bravoogenius  Месяц назад

      @@user-zj3hm8wm5f 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @pascalkomba8574
    @pascalkomba8574 16 дней назад +1

    Sophie nakupenda Jamani 😍😍😍😍

  • @user-pv8mr8vk7j
    @user-pv8mr8vk7j Месяц назад +5

    Kaka bravo 🫡🫡🫡

  • @user-xu5rh6ub5j
    @user-xu5rh6ub5j Месяц назад +6

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Enic-m6e
    @Enic-m6e 16 дней назад +3

    Achana naye mwenyewe hata hamuendani huyo bee

  • @user-ki1rf9jw7c
    @user-ki1rf9jw7c Месяц назад +2

    Sophia much loves 💕❤️

  • @MariamFilmon
    @MariamFilmon 8 дней назад +1

    B nimekupenda sana naomba namb zak

  • @MariamFilmon
    @MariamFilmon 8 дней назад +1

    Ka b upo vizuli sana hongera jaman

  • @user-if1sb3hx5h
    @user-if1sb3hx5h Месяц назад +4

    🎉🎉🎉🎉

  • @mozzaliuleiza9288
    @mozzaliuleiza9288 Месяц назад +2

    Huyu sophia nampenda jamani nani ana namba yake kuna liten linazagaa hapa

  • @EmmanuelKivuyo-r2e
    @EmmanuelKivuyo-r2e Месяц назад +2

    SAWA SAWA is =

  • @JoaquimAntonioCornelio-z6g
    @JoaquimAntonioCornelio-z6g Месяц назад +1

    Bravo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AgustineHassan-dt2mo
    @AgustineHassan-dt2mo 8 дней назад +1

    Jamaa piga mabanzi huyo

  • @wizaraxx1256
    @wizaraxx1256 15 дней назад +1

    Sofi nimekupenda jaman ntampata vip huyo nko taar hata kumuo

  • @ZenaMustapha-tj8yn
    @ZenaMustapha-tj8yn Месяц назад +3

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SaidAlly-u4i
    @SaidAlly-u4i Месяц назад +4

    Hapa kidog mumezengua mwanafunz had maskan anafomu hatujui mda gani wa kusoma mda gan yupo nyumbn

    • @bravoogenius
      @bravoogenius  Месяц назад

      @@SaidAlly-u4i Shule haendi anaenda maskani muda wa shule

    • @hildachiboti6080
      @hildachiboti6080 Месяц назад

      Ushaambiwa msela jamani muda wa shule yupo maskani na hata akienda shule hawez kukaa zaido ya masaa hata mawili

  • @Sempchannel
    @Sempchannel 16 дней назад +1

    😂😂😂piga hata ngumi gari iyo, 😂😂noma sanà

  • @user-rd6nr4qq3s
    @user-rd6nr4qq3s Месяц назад +1

  • @johnsonChaeka-kv4tj
    @johnsonChaeka-kv4tj 14 дней назад +2

    Wangap wameona teacher B kafanana na John bocco 😅😅

  • @user-il7ve1gt5s
    @user-il7ve1gt5s Месяц назад +3

    Nimefk mzenj ap

  • @user-mk8ph8qc9k
    @user-mk8ph8qc9k Месяц назад +2

    😅😅😅km vp piga Ata ngumi gari iyo😅😅

  • @Tiffany-n9y
    @Tiffany-n9y Месяц назад +1

    Alooh so poa story imetulia🎉❤

    • @bravoogenius
      @bravoogenius  Месяц назад +1

      @@Tiffany-n9y Thank you Sharifa ❤

  • @kelvinpeter5666
    @kelvinpeter5666 18 дней назад +1

    From itaka mbozi

  • @DominkFrancis
    @DominkFrancis 24 дня назад +1

    Muendelezooo hakuna

  • @ernestgervas7021
    @ernestgervas7021 Месяц назад +9

    Huyu Sophia mbona kafanana na yule Sophia wa Kwenye movie ya Kanumba? Kwani amefafa sura na sauti.

    • @BintChaula-yj2xw
      @BintChaula-yj2xw Месяц назад +2

      Siyo yeye ila naye ni mkubwa kabisa

    • @ernestgervas7021
      @ernestgervas7021 Месяц назад +2

      @@BintChaula-yj2xw ooh shukrani kwa maelezo yako, ila wamefanana sana kila kitu.

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Месяц назад

      Mim napenda sauti yake

    • @BintChaula-yj2xw
      @BintChaula-yj2xw Месяц назад

      @@user-sv6zy3hc8o uyo anavuta bangi kweli ndo maana sauti yake inakwaruza sana

    • @stevepeter6381
      @stevepeter6381 Месяц назад +1

      Kwel jmn🙄hata ongea yake

  • @Yusco_Rhynova
    @Yusco_Rhynova 19 дней назад

    🔥🔥

  • @jacksonsengiyumva9020
    @jacksonsengiyumva9020 28 дней назад

    Sophia namkubal sna

  • @herybwanga507
    @herybwanga507 17 дней назад

    Sophia naomba namba yako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AbdallahHassan-vq9wq
    @AbdallahHassan-vq9wq 13 дней назад

    sofi una baya

  • @IsayaAmani-q1q
    @IsayaAmani-q1q День назад

    😂😂😂😂😂🎉

  • @Dogo_og
    @Dogo_og Месяц назад +2

    ❤❤❤