THE CLASSIC TAJI LIUNDI PT 1 :MWANZO WA BONGOFLEVA RADIONI/HAKURUHUSIWA KUPIGA/ALIUPAMBANIA USIKIKE
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Taji Liundi ni mtu muhimu sana katika historia ya Bongo Fleva ,yeye alikua ni mtangazaji wa kwanza kuitambukisha katika radio binafsi licha ya maboss zake kutotaka muzki huo upigwe kwa siku za awali,hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi yetu na yeye yenye mafunzi na hadithi za kusisimua
Saleh Jabir watu hawajui hata sura yake hebu Kuvi fanya maajabu huyo mwamba apatikane watu wamjue.
Huyo dada aloimba hapo mwishono kwenye wimbo wa MSELA anaitwa nani na yuko wapi?
Taji jamaa kichwa anajua kupanga maneno akiongea unajisikia raha big up kwake kuvi Chaka hongera kwa kuwakumbuka wasanii wa zamani na dj na mameneja kwa kazi nziri
Big Jabir Bora waite wote Kwa pamoja Dj Bony na Taji Liundi litakuwa bonge moja la interview
Sema temeke ipewe maua yake
#theclassic ndio kipind bora tz tuache ubinafsi kuvichaka noma sana kwenye hizi vitu
Mpaka sasa nafikiri hii ndo interview yangu bora kabisa kwa vipindi nilivyo wahi kuvisikia afu pia kuna ile ya Inspector 🙌🔥
Nmekumbka enzi za donbosco
Kuna haja sasa jmn historia ya muziki huu wa bongo fleva kuwekwa ktk kitabu.
Bonge la interview!
Kim&boyz
Big Jabir keep it up Broo…I real appreciate your nich
Ila wasanii sahv hawa appreciate kbs hustle zenu
Kwa kifupi hawana adabu kabisa na hiyi inatokana sisi wenyewe mashabiki kuwambisha kichwa.
wasanii wanatakiwa wafanyaje ili waonekane wana appreciate hustle za ma legend???
pengine hawajui wafanye nini hebu waelezee hapo kiongozi?
Big interview
Noma sana
Big Up 🔥🔥🔥🔥
Nina swali uwanapenda kujuwa maana Ya kuva hizo headfone mtu akiwa ndani Ya studio huwa zinasaidiya nini?
kutosikia makelele mengine, unakuwa unasikia anayeongea kwenye mic
@@SAMJIKASSIM
Nashukuru sana brother. Nilikua nashanga tu ila Leo nimeelewa sasa 🙏🏽
Big up Jabir our Sway🙏🏿
🙏🏾🫡
Hawa watoto wa 2000/1995 hawaelewi
nmezaliwa 1995 naufaham mziki wa kitambo kuliko ww
@@salumuseif3324 sasa we wkt unazaliwa mm nmehudhuria yo rap bonanza
2000 ndo hawaelewi not 1995