THE CLASSIC TAJI LIUNDI PT 1 :MWANZO WA BONGOFLEVA RADIONI/HAKURUHUSIWA KUPIGA/ALIUPAMBANIA USIKIKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Taji Liundi ni mtu muhimu sana katika historia ya Bongo Fleva ,yeye alikua ni mtangazaji wa kwanza kuitambukisha katika radio binafsi licha ya maboss zake kutotaka muzki huo upigwe kwa siku za awali,hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi yetu na yeye yenye mafunzi na hadithi za kusisimua

Комментарии • 27

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 6 месяцев назад +5

    Saleh Jabir watu hawajui hata sura yake hebu Kuvi fanya maajabu huyo mwamba apatikane watu wamjue.

  • @jumakabota1231
    @jumakabota1231 6 месяцев назад

    Huyo dada aloimba hapo mwishono kwenye wimbo wa MSELA anaitwa nani na yuko wapi?

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 6 месяцев назад +2

    Taji jamaa kichwa anajua kupanga maneno akiongea unajisikia raha big up kwake kuvi Chaka hongera kwa kuwakumbuka wasanii wa zamani na dj na mameneja kwa kazi nziri

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 6 месяцев назад +2

    Big Jabir Bora waite wote Kwa pamoja Dj Bony na Taji Liundi litakuwa bonge moja la interview

  • @dengahmediatz1230
    @dengahmediatz1230 5 месяцев назад

    Sema temeke ipewe maua yake

  • @samirmswahili
    @samirmswahili 6 месяцев назад +1

    #theclassic ndio kipind bora tz tuache ubinafsi kuvichaka noma sana kwenye hizi vitu

  • @charlesdaniel6212
    @charlesdaniel6212 6 месяцев назад +1

    Mpaka sasa nafikiri hii ndo interview yangu bora kabisa kwa vipindi nilivyo wahi kuvisikia afu pia kuna ile ya Inspector 🙌🔥

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 6 месяцев назад +1

    Nmekumbka enzi za donbosco

  • @mackamehassani201
    @mackamehassani201 6 месяцев назад

    Kuna haja sasa jmn historia ya muziki huu wa bongo fleva kuwekwa ktk kitabu.

  • @osca_kitomari_journalist
    @osca_kitomari_journalist 6 месяцев назад +1

    Bonge la interview!

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 6 месяцев назад +1

    Kim&boyz

  • @silwanosihha4394
    @silwanosihha4394 6 месяцев назад

    Big Jabir keep it up Broo…I real appreciate your nich

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 6 месяцев назад +1

    Ila wasanii sahv hawa appreciate kbs hustle zenu

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 6 месяцев назад

      Kwa kifupi hawana adabu kabisa na hiyi inatokana sisi wenyewe mashabiki kuwambisha kichwa.

    • @nehemia397
      @nehemia397 6 месяцев назад

      wasanii wanatakiwa wafanyaje ili waonekane wana appreciate hustle za ma legend???
      pengine hawajui wafanye nini hebu waelezee hapo kiongozi?

  • @jila_legrand
    @jila_legrand 6 месяцев назад

    Big interview

  • @emaneez
    @emaneez 6 месяцев назад

    Noma sana

  • @guluramadhani1799
    @guluramadhani1799 6 месяцев назад

    Big Up 🔥🔥🔥🔥

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 6 месяцев назад

    Nina swali uwanapenda kujuwa maana Ya kuva hizo headfone mtu akiwa ndani Ya studio huwa zinasaidiya nini?

    • @SAMJIKASSIM
      @SAMJIKASSIM 6 месяцев назад +1

      kutosikia makelele mengine, unakuwa unasikia anayeongea kwenye mic

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 6 месяцев назад

      @@SAMJIKASSIM
      Nashukuru sana brother. Nilikua nashanga tu ila Leo nimeelewa sasa 🙏🏽

  • @samchris1914
    @samchris1914 6 месяцев назад

    Big up Jabir our Sway🙏🏿

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 6 месяцев назад

    Hawa watoto wa 2000/1995 hawaelewi

    • @salumuseif3324
      @salumuseif3324 6 месяцев назад +1

      nmezaliwa 1995 naufaham mziki wa kitambo kuliko ww

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 6 месяцев назад

      @@salumuseif3324 sasa we wkt unazaliwa mm nmehudhuria yo rap bonanza

    • @drisakamwakitalima1937
      @drisakamwakitalima1937 6 месяцев назад +3

      2000 ndo hawaelewi not 1995