Nasma Hamisi Mwanamke mazingira

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • taarabu muziki wa mwambao , enzi hizo ,ni balaa , eehe mola turudishe kwa enzi hizi

Комментарии • 43

  • @judymrosso2725
    @judymrosso2725 Год назад +4

    You rest in 2009 but you still allive. 2023 bado tunakusikiza. Rabana mrehemu bi nasma.

  • @HazardLegend-cg3so
    @HazardLegend-cg3so Год назад +2

    like will ever happening again...
    imagine not loving taarab flavor music..
    am still listening a beautiful song 2023

  • @TrippleM254
    @TrippleM254 Год назад +2

    😂😂😂😂 I remember my kungwi when I got married I 2004, they put this song on my kitchen party and Swahili teachings.... May you keep resting In peace mammy... Jannah tul firdaus😢

  • @meddytoto93
    @meddytoto93 Год назад +2

    Dah😢mekumbuka zamani sana mpaka sahiv 2/9/2023

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q 7 месяцев назад +1

    Hapana malkia atabaki kuwa ivo malkia sijaona cha kumtisha hadija kopa hapo nyie acheni ubwege ❤❤❤hdj kp

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 5 месяцев назад

      Kopa hapo alitokota kama hujui.
      Nasma ni moto wa kuotea mbali enzi zake. Usilete ubishi huyo ndio kiboko ya sanamu la michelline

  • @kamekonas3547
    @kamekonas3547 7 месяцев назад

    ALLAH yarham .Bi nasma nikama alikua na asili ya kinyarwanda she was very beautiful mashallah 💯

  • @anselmmwajombe2034
    @anselmmwajombe2034 2 года назад +5

    Beautiful. Pumzika kwa amani, alama ulizoacha kwenye taarab hazitafutika!

  • @madarakaiddi
    @madarakaiddi 5 месяцев назад

    Wazungu kweli hamnazo oooh ngoma niushetani

  • @DollyChitumbi
    @DollyChitumbi Год назад

    Mwenyezi Mungu akurehemu Dada pia akupunguzie azabu ya kaburi

  • @mubamadenge-h9r
    @mubamadenge-h9r 2 месяца назад

    Wangapi nimemuona mwanaidi shaban

  • @abelremi5063
    @abelremi5063 2 года назад +4

    One of the the funniest fact song ever 😂
    Eti; “Mwanamke mazingira bibi siyo kunuka kikwapa 🤣🤣
    Usizani kata mti, panda mti, usafi waitajika”😅

  • @KzbBoy
    @KzbBoy 2 года назад +2

    Ujumbe mzuri kabisa

  • @JonathanBulendadavis
    @JonathanBulendadavis 5 месяцев назад

    😢😢Allah akulaze mahali pma Shangazi angu

  • @joharikibitha9092
    @joharikibitha9092 2 года назад +2

    Manshallah huo ndo wimbo

  • @MwanaMakuka
    @MwanaMakuka Год назад

    Unanikumbusha mbali sana!

  • @fathmambabazi1371
    @fathmambabazi1371 2 года назад +2

    Nimeshaitafuta,🥺 thanks legend,

  • @tiffusumaiya1342
    @tiffusumaiya1342 2 года назад +2

    Wa jina rest well dear😥😍😍😍

  • @blackberryberryblack9093
    @blackberryberryblack9093 Месяц назад

    2024 Bado mpooo?

  • @Rayyan2021-s1d
    @Rayyan2021-s1d Год назад

    Huu wimno nakikumbusha mbali sana

  • @FrancisGerald-hq8li
    @FrancisGerald-hq8li 9 месяцев назад +1

    Pumzika kwa amani Dada yangu kipenzi

  • @PeterMakona
    @PeterMakona 2 года назад +2

    Very nice.

  • @khatibmako3500
    @khatibmako3500 Год назад

    Eeeeee mama wa.kilwa kivinje alla ailaze roho yako peponi

  • @joashsichangi9788
    @joashsichangi9788 Год назад +1

    Wimbo wa nyakati na vizazi vyote

  • @jerrjamary2649
    @jerrjamary2649 Год назад +1

    Lait ungelijua unavyotia kichefuchefu😊😊😊😊

  • @davidalengaingenieur1760
    @davidalengaingenieur1760 Год назад +2

    siyo tu kwa wanawake hâta kwa wanaume usafi unaitajika
    asante sana kwa wimbo huo iliyo bora
    kutoka DRC 🇨🇩 Kivu kusini Tarafani fizi jijini baraka tuko pamoja 🤝 Saba

  • @rachaelmbega9691
    @rachaelmbega9691 Год назад

    Huyu alikuwa kiboko yao,,,kopa alikuwa anafunikwa kila kitu kwanza mwenzie mzur Na alikuwa Na bonge la shep

    • @alihamisi8440
      @alihamisi8440 11 месяцев назад

      Mwenyezi Mungu hakupi Kila kitu ,aso like ana hili,ukweli ni kwmba hadija kajajaaliwa nyota,ndo maana kafunika Kila mwimbaji wa nyakati hizo na WA Sasa,huyu Nasma alikua anasafiria nyota ya hadija .

    • @isayakazimoto4826
      @isayakazimoto4826 2 месяца назад

      @@alihamisi8440 wee huy alkua kiboko ha khadija kopa, alkua ana madongo balaa,

  • @salumusalumu8376
    @salumusalumu8376 Год назад +1

    Thank you dood bress

  • @shelyamtangi6884
    @shelyamtangi6884 2 года назад +15

    Kiboko ya hadija kopa

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina2845 9 месяцев назад

    PUMZIKA KWA AMANI NASMA HAMIS KADOGO

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +1

    Bass haya

  • @SaidAlharrasi-d7o
    @SaidAlharrasi-d7o Год назад +1

    Kun mti aniambie mwak gn pls walikuw wanashindan n hadij kop walikuw wanabifu yy alimuimb wadudu wadog wadog wanabyevua nyevu

  • @hadeeegahalmawali504
    @hadeeegahalmawali504 2 года назад +1

    😢😢😢😢

  • @pmall8867
    @pmall8867 2 года назад +6

    Taarabu Ni nyimbo flani hivi hazi wezi mchosha msikilzaji Miaka 10000....
    Nim uta futa hii nyimbo ambay nilkuw naiskia wakat nina miaka 7 ,8 😂😂

    • @dianawefila8345
      @dianawefila8345 2 года назад

      Hivi unamiaka ngapi

    • @fatoma-go2su
      @fatoma-go2su Год назад

      Una kama miaka 24 kitu kama icho au nimepoteza kumbukumbu 🤔🤔🤔🤔