BEST NASO ''KIBA NAOMBA KOLABO ALBUM YAKE NI KALI SIJAWAI ONA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • BEST NASO AFUNGUKA ALBUM YA ALIKIBA NI KALI ANAOMBA APATE JAPO KOLABO

Комментарии • 33

  • @MavaibooMavaiiboo
    @MavaibooMavaiiboo 3 дня назад

    Nomaaaa

  • @emedimejos6244
    @emedimejos6244 2 года назад +14

    Huyo best naso ndo msani anaeimba nyimbo zenye mahana ☝️☝️☝️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @didannyboy9013
    @didannyboy9013 Год назад

    Nakukubal san

  • @martinbally8379
    @martinbally8379 2 года назад

    Namkubali sana jamaa

  • @khadija5761
    @khadija5761 Год назад

    Kabsaa king kiba moto🎉🎉🎉🎉

  • @alphathmohamed479
    @alphathmohamed479 11 месяцев назад

    Hakika broo

  • @emedimejos6244
    @emedimejos6244 2 года назад +8

    Namkubali sana naso msani weshima sana nyimbo zinahimbwa hata na bibi mtu

  • @barakasaimon5602
    @barakasaimon5602 2 года назад +1

    hongera sana broo nakabali ngoma yko ile mrundishe dada

  • @MbwamboBoy
    @MbwamboBoy Год назад

    Best nasso uko sahihi kabisa

    • @MbwamboBoy
      @MbwamboBoy Год назад

      Coz anafanya mziki ambao uko tofauti na wasanii wengine

  • @christianmwashala276
    @christianmwashala276 2 года назад

    Yaaaan wew best naso ujue mim mziki huuu nimeanzia kwa kina tuma ringa kifupi tu jamaaaaa kwamim we ndo msaniii wangu nae kubali kinomaaaa milele,,,,,ila saiv nipo kwa mondi

  • @idrisashelimo307
    @idrisashelimo307 2 года назад +2

    Only one King 🇹🇿 🤴 👏👏👏👏👏👏

  • @fravythemistocless6903
    @fravythemistocless6903 2 года назад +2

    Alikiba for life King's music one love

  • @nyimbizikamtima967
    @nyimbizikamtima967 2 года назад +1

    Wanyumbani

  • @fredkalamu5033
    @fredkalamu5033 2 года назад

    Noma sana Best Nasso... Nyimbo zake ziko vzr sana

  • @gustafmbemba1027
    @gustafmbemba1027 2 года назад +2

    Coz wote wanaimba nyimbo za heshima zenye kusumbua mtaan

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 2 года назад +2

    Big up to you bro,I respect much what you're doing

  • @nyotastar102nyota2
    @nyotastar102nyota2 2 года назад +1

    Nakubali sana

  • @hashimurajabu2089
    @hashimurajabu2089 2 года назад

    Nakubali

  • @josephmarole5159
    @josephmarole5159 2 года назад +2

    Best nasso wewe ni mtu wa nyumbn lkn acha hizo issue!!
    Back to school ya harmonize,ni bora kuliko hilo li albamu lako la Gift of life!!
    Umeznguw sana wewe jamaa!

    • @jasmineeomary2041
      @jasmineeomary2041 2 года назад +1

      Heeeh sasa unampangia mtu wee ni nani? Penda chako na yy kapenda chake that's it

    • @sophiamfikwa7340
      @sophiamfikwa7340 2 года назад +1

      @@jasmineeomary2041 watu bwana wanamaneno ya ovyo.kama hawajielewi

    • @wamoroboy8963
      @wamoroboy8963 2 года назад +1

      Wewe ni mujinga kwakweli?

    • @mosimba467
      @mosimba467 2 года назад

      Nyumbu kama Nyumbu

    • @zabibukusekwa3845
      @zabibukusekwa3845 Год назад

      Amesema alikiba siyo yeye

  • @monikakimath3810
    @monikakimath3810 2 года назад

    Mstarabu sana

  • @monikakimath3810
    @monikakimath3810 2 года назад

    Sielewi

  • @jacilygabriely6840
    @jacilygabriely6840 2 года назад

    Uko sawasawa kwelikweli hata mimi niliona matopoolo walituma upumbavu wao kuwa naso umeitwa ahela nilitumia kiukweli lakini mpaka sasa ninafulaha sana niko nawewe kaka

  • @gustafmbemba1027
    @gustafmbemba1027 2 года назад

    Ameipata asihof na hyo Ngoma itakuw kaliiiiiiiii sana mafundi wakikutana studio