Daah! Umenikumbusha Mbali sana miaka ile.🔥🔥🔥. Na hii ngoma nimeikariri kichwani yani naflow nayo mwanzo mwisho. Albamu ya Mwingi wa Habari iheshimiwa jamani
hahah mawenge nakumbuka mbali tulikuwa na mwela kitaa,akitimba skan wanafull kujiamini awe nyungu wala mzee hasogei pande hizo.mwana alikuwa na nyota mbili na KINDO kama kawa
P mawenge much love from home sweet home 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wayback when P kwenye Mawenge,
Ipo Mc...Kazi nzuri ya muda wote@Bro
Daah! Umenikumbusha Mbali sana miaka ile.🔥🔥🔥.
Na hii ngoma nimeikariri kichwani yani naflow nayo mwanzo mwisho.
Albamu ya Mwingi wa Habari iheshimiwa jamani
Baba msaliti
Daaaaaa! Sio mchezooo.. bonge la idea
Mnaemjua p mawenge hii kwenu ni nyimbo mpya lkn ss tunaemjua p the mc hii niyakitambo sana kwny album ya mwingi wa habari
Upo sahihi kaka tunayo kichwani kitambo sana 🍻
Noma sna mi mwenyew pmawenge siipendagi, wakongwe tunamfaham p the mc, tena yule wa album ya mwingi wa habari!
Tumemiss hii midundo🔥🔥🔥🔥Bunduki Midundo
Kailudia tuu kitambo TU hii
Sanaa p the mc
Ga-dem,for my Likes to P MC🔥🔥🔥
Kuna afande nyati ya stereo na afande msela ya P, ngoma kali sala hizi
Boom boom 💥 💥 💥 💥 💥 another bang
Hakupenda kuwa afande sema alifail shule kwa kukimbia umande
I miss this floo from P Mawenge🇰🇪
daah kiTambo sana mwingi wa habari..nakubaLi sana kaka
Mawenge hii ngoma Nzuri sana ina ujumbe mzuri sana !!💭✌️✅
P mawenge next level
Mawengeeee🔥🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Mawengeee karibu kenya
Kiwalani mojaaaaa
Hii Idea Kali sana haya magoma mkiyapandisha hivi RUclips yatabang sana"
naam mnyama p 💥💥
Hii Ngoma umetisha sana P mawenge
Noma
Afande msela sana kama Sele 😂😂
Back in days Mazee, 🔥🔥🔥 ungetubless na ile nyingine ya Afande Nyati
Mwingi wa Habari enzi hizooooo P THE MC
Ngoma ina miaka zaidi 10 hii
kitambooooo
Huyu afande appreciate 🤜🤛
Mim ningependa kujua ni true story au
Hapana ni utunzi tu, sanaa!
Full Mawenge kisha unashushia na Incredible Moko.
Buuuuuh p mawenge my ID nakukubali bro
noma
Dah mwanetu suma dago huyo tupo nae huku South Africa
Unyama
MAWENGEEEEEEE🙌🏿🙌🏿🔥🔥🔥🔥
Hili bonge la kwanja KAKA
Dah mabrother ndo wanaanza kutumua platforms sasahivi, anyway ila ndoto zetu ni kuona rap inafika mbali so keep up the good work bruh
🔥🔥🔥🔥
Ingefaa zaid unheweka na lyrics
My brother 🫂🔥
Weeengeeee
Bunduki midundo
Hahahaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani kama vile afande huyo namuona
Mawenge🔥🫵
Time for Hip Hop ✊👮
tukio babu ni moto
Nomaa
Atakua afande male huyu, alisomaga yombo primary nimemalizanae 2000
Weeeeenge
Chorus ya incredible yamoto sana pia🙌🏾🙌🏾
Ukihisi hii ni ngoma mpya wewe sio shabiki kindaki ndaki wa Mawenge. Dah this one takes me back memory lane 🙌🔥
Wakali wa sarufi,salute kwenu..
P mawenge nomaaaaaa Sana 👂🇹🇿
hahah mawenge nakumbuka mbali tulikuwa na mwela kitaa,akitimba skan wanafull kujiamini awe nyungu wala mzee hasogei pande hizo.mwana alikuwa na nyota mbili na KINDO kama kawa
Fire
Nilikuwa naikubari sana hii ngoma mpaka kesho yaan
p mawengeeeeee hahaha
Tupo nae huku mujuni south Africa pretoria
One of the finnest...big up bro
Aaaaaayeeaaah
P kwenye story uwa mbaya sana😂
Mwamba
Kiukweli tamaduni music wako powa Sana Ila dizasta vina mkali Sana
Mawengeeee
Og story Kali message nzur
One had to rap here
Long time ago hiii ngoma nimoto
MWENGEEEEEEEE p Mc ✊✊
Kitambo sana
Wengee
Burundi 🇧🇮 huku tunakupata
P Mawenge na One
Nyie ni noumah