It's your time Brother achia mawe we unarap vizuri tunasikia mashairi una aidia mpya kila siku hiphop sio kujigamba Bali ni kuburudisha na kuelimisha nakufuatilia mno I like it kazi nzuri video simple ila inaeleweka beat Kali foby kaua coras Kali respect kaka
Pmawenge,after nimekuona kwenye interview EATv nimesema wacha niskize ili chupa,,,hii idea 💡 mzee ni mwanga falni wa kibaba,,,oe asikwambia mtu janangu umeweza sana❤😂,,,hilo dundo la mwisho,,"leo niko nae getoh na ugali nshasongewa😂"...Love from Kenya ❤
Nilisikiliza hii kwenye tape ya ‘Simu na Matukio’ nikaipenda sana. Baada ya hii video it’s all coming together even more🔥 Hongera sana Mawenge… blessed with TALENT🙌
Leo asubuhi nlikua bado cjaickiliza hii nyimbo nlikua nawaza siku nimtongoze customer care kama utani my favourite songwriter umeonyesha how is done na imenishangaz kiukwel ckutegemea all in all nakuombea ufike mbali sana bro!! Una kipaji kikubwa sana
Kaka mawenge kuandika hits umeshindikana!naomba tu ufanyie kazi promotion ya ngoma zako..branding yako mwenyewe..i guess these numbers shoukdnt be for such a hit song!
p mawenge nakukubali kinoma hujawai yeyusha kwanza kuna ngoma kama mama mjane na mitaa nayotoka sijawah acha akuziskiza hii tena hit... noma hsjui hizi mistari unatoaga wapi
Daaaah, MAWENGE, mi nimiongoni mwa mashabiki zako kindaki ndaki , naskiliza group admin sijaichoka tena hiii, sema ndo hivo hip-hop bongo haipewi promo but your the best
P mawenge one of the Best HIPHOP anajua kupangilia flow..content..vina na Anaweza ku delivery Ujumbe bila kutumia lugha chafu so anastahili kua Kwenye tuzo za mwana hiphop Bora 🙌🙌🙌🙌💥💥🤝🤝🦁
Nyimbo kubwa sana enye ubunifu wa hali yajuu piga like kama unaani mawenge ni goat 🐐
tulio angaria zaid ya mara tatu hii nyimbo tukutane hapa
Mm mara nyingi
@@emmanuellykessy4290 mm
..
.poasana
😂
Noma sanaaaa 😂
Tupo sanaaa
Hata zaidi ya mara kumi nitakuwepo tuu
P. Mawengwe we noma let me say you are best like kama na mwamini P
Hatari
Ila Foby nakuvulia kofia maana kwangu you are the of my best singers
@@jastinarts colours hatari
Ngoma moto p mawenge
Hee Foby melody noma
Mamaeeee aiseee P mawenge inabid aangaliwe sana sio mtu wakawaida......Foby umeua sana chorus aiseee
Ngoma kali sana! Bonge la idea, yaan unaweza hisi idea za kuimba mapenzi zishaisha lakini kumbe bado zipo. Big up P Mawenge🫡🫡🫡🫡🫡
Naombeni likes zangu, mwamba kauaaaaaa
P mc you are always the best much love from Kenya
Kiwalani standup ❤😂😂🔥🔥🔥🙌🏾🙌🏾🏃🏾♂️ am from kiwalani Chadema DAIMA SOKO 🙌🏾
Oioi Mzee Mawenge Mbona hujamalizia nini kikafuata baada ya bibie kukutext fanya session ya pili mzee umetuacha solemba man........NGOMA YA MOTO 🔥
P MAWENGE his my favorite rapper this nowadays , he deliver what the people wants❤️❤️❤️ more love my brother🇰🇪From
Fzz😮😮
Hii ni more than fire inanikumbusha ngoma ya fid Q na matonya ngoma inaitwa USINIKUBALI HARAKA
Mawenge idea zako zinanirusha nyuma sana...zile story zetu za bongo dar ea salaam...
It's your time Brother achia mawe we unarap vizuri tunasikia mashairi una aidia mpya kila siku hiphop sio kujigamba Bali ni kuburudisha na kuelimisha nakufuatilia mno I like it kazi nzuri video simple ila inaeleweka beat Kali foby kaua coras Kali respect kaka
Jamaa akili kubwa sana
Mi nasema huyu ni master of ideas Big Up Bro
Pmawenge,after nimekuona kwenye interview EATv nimesema wacha niskize ili chupa,,,hii idea 💡 mzee ni mwanga falni wa kibaba,,,oe asikwambia mtu janangu umeweza sana❤😂,,,hilo dundo la mwisho,,"leo niko nae getoh na ugali nshasongewa😂"...Love from Kenya ❤
P MAWENGE THE LEGEND ALL THE WAY FROM KENYA🇰🇪🇰🇪 TO T.Z🎉
Aliepita Kwenye Chorus anaunyama mwingii piaa 🔥🔥
Unyama flan ka da prince
Foby
Foby huyooo
Ni munoma
FOBY_WA KUTAM
Oyaah nyie uyu mawenge froo yake inaeleweka ebu tujuane Kwa like hii comment #mawengeeee
Sijawai kuwa na shaka na jumbe zako kweny muzki, good idea ❤❤❤❤
Mawenge uko na maubunifu sana kaka daaaaaaaahhh Bado group Admini siichoki halafu unanichosha na hiiii kaka
This is your time P achilia Mawe kama haya, Storyline on Top, Video is dope Chorus jamaa kaifanyia justice
Daaah nilikuwa nafikiria niiplay au dsaah p uko gud sana broo maweengeeeeeee
🔥🔥🔥CUSTOMER CARE🔥🔥🔥CREATIVITY 100% , 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿IZZA BANGER
Foby sauti nzuri sana, Mawenge uko vizuri, hii nyimbo ingekuwa Diamond mngekuwa na view million 50 sasa hivi
Huyu Director Kaumiza sana humu 🔥🔥🔥
Customer care tuisupport mpaka iwe 1 trending
Best song mwaka 2023 hadi sasa cjui huko mbele kama kuna nyimbo itaikuta hii ngoma michano amazing creativity the best
Ubunifu wa hali ya juu, wasanii wengi hawaimbi ngoma za kueleweka wameishiwa mashahili. Jamaa yupo vzr sana P
P ni noma sana Story imetulia comedy kidogo
The best Rapper In East & Central Africa.
Wengeeeeeeeeeeeee nakukubali mpka nawazaga lini ntainjoy show yako jukwaani
gud song indeed
P kama P
Skuiz na muelewa sna huu jamaa💥💥
Kiwalani finest ✊! Umefanya kama haufanyi tena brother ⚽🥂!
Bomba la ngoma. Yaani mabomba la ngoma nimekubali asee. P mawenge umeua. Nimekubali asee
Weenge mtu mbad kbsa nakubari bro 🔥🔥🔥🔥
Nakubali wang god bless you My lovely friend iko powaaaaa 🙏💯❣️💝💓🎊🥳💐
Wengeeeeeee🔥🔥🔥
P Mwenge vipi bwana...ni mchizi fulani hpa kenya 254 na eeh ban hiyo kazi nzuri mwenzako nimependa hiyo vibe ...kazi nzuri sana..upewe sifa🔥💪💪
Daah nimerudia mara nying sana ni nomaaaaaaa
dude... cheza umu umu... ndo pesa ilipo..🔥
Video Kali brother mkubwa p mawengeeeeeee p the mc kiwalani bom bom .ndo nyumban # Godmale tz hapa
Labda ni masuala ya mtandao 🔥🔥🔥🔥 kanasa customer care
P umeua mwanangu unique idea... Am your big fan bro. Thumb up guys ✊👍
Ubunifuu wa kiwango Cha juuuuuu sana😀😃
Nilisikiliza hii kwenye tape ya ‘Simu na Matukio’ nikaipenda sana. Baada ya hii video it’s all coming together even more🔥 Hongera sana Mawenge… blessed with TALENT🙌
Uyujamaa atali sana💥💥💥✊✊
Umejua mwanangu we ni noma na nusu
Huyu jamaa nimeanza kumuekewa 😂😂😂 anastory nzuri sana 🤣🤣🤣
Msanii wangu bora sana huyu jamaa 🙌🙌🙌🙌
Big up wenge Kenya twakupa high class
P mawenge,the best MC,mwanangu unajua sana
Muda wakushika hela nyingi unazidi kuushika vema.
Sina Shaka na uwezo wako since day one Pacha. Respect 🤳🏾🤝🏾🙌🏾💥
We maweng dunia nyngne unajua music p1 xana
Boss wa Marapa kila siku utabaki kuwa mkali 🙌🙌🙌
Oyaa hii collabo kali sana yaan kila mmoja amesimama vizuri kwenye kipande chake hasa foby umeua👉👉😂😂😂🤣🤣
Mawenge🙌
@@vincentcharles4385 💥💥💥🤗🤗
Ngoma moja hatari sana,mwamba anajua hatari🎼🎼
I like it the way you create a random story and it comes out as a bang!, no 1 fan from 254
Leo asubuhi nlikua bado cjaickiliza hii nyimbo nlikua nawaza siku nimtongoze customer care kama utani my favourite songwriter umeonyesha how is done na imenishangaz kiukwel ckutegemea all in all nakuombea ufike mbali sana bro!! Una kipaji kikubwa sana
nimeisubilia kwa kitamboo 💯 sijawai kukupinga mkali 🎤
unyaaaaaamaaaaaa achia mzee
malafyaleeeeeee......ulikanunu mwaisa...rap is all about creativity and this one is dope i salute you brother
Mawenge Kenya 🇰🇪 tunakukubali sanaa🔥🔥🔥🔥
Kaka mawenge kuandika hits umeshindikana!naomba tu ufanyie kazi promotion ya ngoma zako..branding yako mwenyewe..i guess these numbers shoukdnt be for such a hit song!
Nyimbo ni kali sana..inafaa views million..bt shida managment.... angekuwa kwele lebal kubwa angeshine na huu wimbo
p mawenge nakukubali kinoma hujawai yeyusha kwanza kuna ngoma kama mama mjane na mitaa nayotoka sijawah acha akuziskiza hii tena hit... noma hsjui hizi mistari unatoaga wapi
P hujawahi niangusha.... Najiuzaga bila majibu hizo idea huwa unazpataje❤
🙌🙌🙌 #Pmawenge Ur The Best Story Teller... 🎧🎤🎶📻🎥📺🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥💥
Daaaah, MAWENGE, mi nimiongoni mwa mashabiki zako kindaki ndaki , naskiliza group admin sijaichoka tena hiii, sema ndo hivo hip-hop bongo haipewi promo but your the best
Mwanangu io story noma sna,we mkaly sna mwanangu..💪
Mmeua sanaaaaa,ila Foby ni talent kubwa mnoooo
Bonge la ngoma naangalia kila week mara 8 ,,sema wabongo hatujuagi vitu vizuri ,hii inatakiwa aiende!
Wakina p namawenge yetu wala atuna habari Mtoto yupo ghetto anatoa kitu 😂🔥🔥🙌
Wa kwanza mm naombeni like zangu
@P.Mawenge we ni Noma aseee ......nyimbo nimeielewa nairudia mara ya 4
dah braza kichwa kibirit ubongo nyumba...bro una mwandiko!!!!ujawah kosea
Isipokiwa namba moja intrending youtube wanakuhujumu brooo umeuwa dahh wasikufananishe na machari ww ni level Ingnw
Vijana wanauelewa mchezo alafu bonge la India kwenye bonge la ngoma🔥🔥🔥🔥
Hiki Kibao Nimekuwa nikiwazia video kama hii 🥳🥳🥳🥳💥💯💯💪💪
P mawenge unajua sana aisee duuh🔥🔥🔥🔥🔥
Wengeeeeee 🔥🔥
Nakubali sana mwamba 🤜🤛
Mawenge, Atari sana mwamba apa customer care alinata sio😂💪💪🔥
Break dance naziona kama ulivyotuahidi😂😂
P mawenge one of the Best HIPHOP anajua kupangilia flow..content..vina na Anaweza ku delivery Ujumbe bila kutumia lugha chafu so anastahili kua Kwenye tuzo za mwana hiphop Bora 🙌🙌🙌🙌💥💥🤝🤝🦁
from Kenya aisee ii mliua
likes za mawenge hapa wazing
I swear l love everything in this song,the beast, lyrics 👌💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍mob love
Customer care 💥💥💥💥💥 noma noma ni nomaaaaaaaa
Wengeeeee❤❤❤
💥💥💥💥 bonge mboja chupa kaka wewe nimfalme 👑 wahi game👐
kuna wasanii wana imba kuzid ata simba tatizo nyota , nakubal sana broo mawenge
Kiwalan kid we proud of you broo hii ngoma ni kali bonge la idea 👏👏👏
We mjinga unajua sana mashairi mpangilio aseee umetisha sana kweny hili ngoma
Best story teller now songa asubir kidogo
Mawenge wewe ni hatari daah hivi kwa utongozaji huo kuna pc anatoka hapo daah 👍
Goma limefikia mbaliiii trending safi kabisa
Nakubali p mawenge huna kazimbovu 🔥
You don't fail brother 🎉.👍 Na Fobby mkali pia namkubali
Asikwambie mtu hii ngoma Kali sana. Umetukumbusha enzi za ngwea R . I . P ngwea
Bonge la idea boy chunya tunakukubali sana👊 mitaa ya lunduno🙌
unyama sna mawenge ,by zincblesse Artist Baba