Magoli | Yanga SC 2-1 Simba SC | NBC Premier League 20/04/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 апр 2024
  • KARIAKOO DERBY: Yanga SC imeendeleza ubabe kwa kuichapa Simba mabao 2-1 kwa mara ya pili msimu huu, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Magoli ya Yanga yamefungwa kipindi cha kwanza na Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 20 na Joseph Guede dakika ya 38.
    Haya hapa magoli.......
  • СпортСпорт

Комментарии • 151

  • @Shadia544
    @Shadia544 15 дней назад +12

    Kama unairudia hii mechi LIKE 10 ILI TUJUANE WANANCHIIIIIIIIII 😂😂😂😂😂

  • @AgathaMatambula-lf7fv
    @AgathaMatambula-lf7fv 11 дней назад +3

    Tunarudia kuangalia tujuaneee❤❤

  • @Ali-gk5mv
    @Ali-gk5mv 14 дней назад +5

    hiyo assist ya bao ya pili ni moto Sana.. nani ametoa hiyo pasi👌🏻💥💯Alafu hiyo control aliyecontrol na bao lakiufundi

    • @Shebbytvs
      @Shebbytvs 14 дней назад

      Aucho asisst goal Guede

  • @user-hu1ok9fj2h
    @user-hu1ok9fj2h 15 дней назад +7

    Tangu nianze kushabikia mpira hii ndo penat yakwanza ambayo ata wapinzani wameikubali 😂😂😂😂😂 awajaleta utata wa aina yeyote ile😅

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 15 дней назад +3

    This Is Young Africans 💛💚💛

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 15 дней назад +1

    I think Stephan Aziz ki is de MVP (most valuable player) na Pia ndio Kiungo Bora na mfunga Bora...
    Kuchukua mauwa yako mwamba wa wagadugu ki magician Stephan Aziz 🎉

  • @sananetvsanane9136
    @sananetvsanane9136 13 дней назад +2

    Piga mbwa hao all in all 2024

  • @ManaseBilago
    @ManaseBilago 14 дней назад +4

    Mbn goli lao kama wameachiwa😂😂mtazame diara aliacha goli liingie

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 15 дней назад +3

    Simba nguvu moja. Hii NI yetu na tumeipenda weyewe

  • @MuhozyaTMwangwa
    @MuhozyaTMwangwa 15 дней назад

    Mwenyezi mungu mwingi wa rehema katujalia viongozi na wachezaji wanao msikiluza kocha na kuipambania team yetu wametufuta machozi ya kuzurumiwa Gori na masanda Wana ❤❤❤❤❤❤

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 15 дней назад +3

    Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @EmmanuelKishiwa
    @EmmanuelKishiwa 15 дней назад +2

    Wamba wawili Kwa umoja ✅✅baraka ramsi adel mpenja Jr na kilwa finest Gharibu Mohamed ally mzinga wanakuwa watangazaji wa Kwanza kusherehesha Big derby day piga fyuuuuuuuuuuuuuu.....as farbat ndani ya NBC premier league

  • @nicken3250
    @nicken3250 15 дней назад +2

    💚💚💛💚💚💛💛💛

  • @GeorgeJaco
    @GeorgeJaco 15 дней назад +3

    yanga mmeshindikana

  • @user-kp4yo4xg5h
    @user-kp4yo4xg5h 15 дней назад

    The commentary is well run by a Good football commentator

  • @elizabethhilalio1369
    @elizabethhilalio1369 15 дней назад +1

    Mimi ni yangaa🎉

  • @chiaseeds6919
    @chiaseeds6919 15 дней назад

    Asante kwa kuwakanda yanga hongera

  • @LightMeck
    @LightMeck 15 дней назад +3

    Hii simba ni timu au kikundi cha wahuni 😂😂😂😂

  • @user-pn8ox4vy9e
    @user-pn8ox4vy9e 4 дня назад

    Jamani Yanga mbona wanatixha

  • @Moo-dl1ro
    @Moo-dl1ro 13 дней назад +1

    Hatar Sana Simba tusiwe na hasila tukutane msimu ujao

  • @user-hu1ok9fj2h
    @user-hu1ok9fj2h 15 дней назад +1

    Hii yanga hiii apana kwakweli iko motoooooooooooooo no pacome no ploblem

  • @henrynyanswi2132
    @henrynyanswi2132 14 дней назад +2

    Yanga wachezaji wakiacha ubinafsi watakuwa wanafunga magoli mengi sana

  • @xaverisunday699
    @xaverisunday699 15 дней назад +1

    Is nomaaa

  • @omaryshaban3958
    @omaryshaban3958 15 дней назад +2

    Simba haoooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂bado hamjasema yanga oyooooooooooooooo

  • @jenifasongoro
    @jenifasongoro 15 дней назад

    Asante Mungu 🎉🎉🎉

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania6326 15 дней назад +1

    Guede kafunga 💛💚💛💚🙏,,ukuta wa Yeriko ulikua wapi??😂😂

  • @mahamoudmkunga2798
    @mahamoudmkunga2798 14 дней назад +1

    Hiyo first touch ya Freddy mimi hoi 😭😭😭😁

  • @annastasiaSelendo
    @annastasiaSelendo 15 дней назад

    Yanga wawooooooooo💚💚💚💚

  • @user-bw4kd9tk7s
    @user-bw4kd9tk7s 15 дней назад +1

    😂😂😂🙏🙏🙏yanga noma jamn dah

  • @EmanuerBenjamin
    @EmanuerBenjamin 15 дней назад +3

    Yanga ya sikuhizi so yanga ya sikuzile🫡⚽🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️🏋‍♂️

  • @IsayaKisyeri
    @IsayaKisyeri 15 дней назад +1

    Hongereni wanasimba Leo ndo mmecheza mpira ila huko nyuma mlikua mnacheza singeli

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola5470 13 дней назад +1

    Ibra baka aliyekuwa anazungumzwa ni yupi ni huyu hapa yupo chini😂sio kinyonge na sisi😂😂😂

  • @fadboe772
    @fadboe772 15 дней назад

    Asante mungu 🙏🔰💚💚

  • @blessthegreat6210
    @blessthegreat6210 15 дней назад +3

    5+2=7 🔰 😀
    FT: Yanga 7 - 2 Simba

  • @NyanyusaIslam
    @NyanyusaIslam 15 дней назад +1

    Simba ni kikundi Cha wahuni ambao hawajuanii 😂😂😂 wanatia hurumaaa❤❤

    • @j0hns0n_tz
      @j0hns0n_tz 15 дней назад

      Ile miaka minne mlikua mnatia furaha sio? mtani furahini lakn mjue kicheko hakidumu😂😂😂

    • @NyanyusaIslam
      @NyanyusaIslam 15 дней назад

      @@j0hns0n_tz saw mtaani muda wetu huu Wacha tutambee

  • @samsonmatwiga6098
    @samsonmatwiga6098 15 дней назад

    Simba❤❤

  • @neemaisrael688
    @neemaisrael688 15 дней назад

    Asante wachezaji wetu mmetuheshimisha nakutupatia Rahat na furaha.

  • @mbansev-py5wh
    @mbansev-py5wh 14 дней назад

    Noma

  • @happyvalence5352
    @happyvalence5352 15 дней назад +1

    Azizi k sikudai chochote my dear brother

  • @leahlulama3975
    @leahlulama3975 15 дней назад

    Daima mbele nyuma mwikoooo hongereni Yanga

  • @ebenezerstationery
    @ebenezerstationery 15 дней назад +1

    kwa Simba hii kichapo kila siku

  • @jeromeseul
    @jeromeseul 15 дней назад

    💛💚💛💚💛💚

  • @jerrysonjulius7106
    @jerrysonjulius7106 14 дней назад +3

    Tumewapiga bao ili wakashabikie Ubuntu botho yao

  • @user-gq7oy5ob9u
    @user-gq7oy5ob9u 15 дней назад

    Yang daima

  • @sendo220
    @sendo220 15 дней назад +3

    Simba cette saison est en dessous de YANGA SC
    Cette saison est celle de YANGA....dommage que MAMELODIE et le président corrompu de la CAF lui ont volé ça demi-final en ligue des champions de la Caf

  • @user-tk1kr4ov6b
    @user-tk1kr4ov6b 15 дней назад

    This is young african ya gamond

  • @IssaWinana
    @IssaWinana 15 дней назад +1

    Makolo wametupa faida ya magoli 7

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania6326 15 дней назад

    Point Tisabele💚💛💚💛🙏🤗

  • @user-tk1kr4ov6b
    @user-tk1kr4ov6b 15 дней назад

    Yanga laha sana ndgu zangun

  • @JimboTvYetu
    @JimboTvYetu 15 дней назад

    Kaziiii

  • @annastasiaSelendo
    @annastasiaSelendo 15 дней назад

    Sio Kwa yanga hii jaman

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742 15 дней назад +2

    Yni chama ana hangaika peke yake simba😢

  • @AgathaMatambula-lf7fv
    @AgathaMatambula-lf7fv 15 дней назад

    Asantee wazee wayangaaa

  • @GreysonMdee-wm8tn
    @GreysonMdee-wm8tn 15 дней назад +23

    Hapo mashabiki wa makolo fc wamepata hasara tatu kwanza hajaswali swala ya LASIR na magharibi lakini pia wamefungwa,Akhera wamepata hasara Dunia pia wamepata hasara. YANGA forever in our heart 🫀🫀🎉🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳 🟩🟩🟩☘️☘️☘️☘️💚💚💚💚💚💚💚💚💚

  • @godfreylyimo1224
    @godfreylyimo1224 12 дней назад +1

    Et usmkatie mtu tamaa😅

  • @MANGAKAMASESA
    @MANGAKAMASESA 10 дней назад

    Safi Dana

  • @TalentMapenzi-ie1dr
    @TalentMapenzi-ie1dr 8 дней назад +1

    PGA mbwa hao

  • @agnesssanga6544
    @agnesssanga6544 15 дней назад +1

    Ndo muweke dk 4😢

  • @joelzacha
    @joelzacha 15 дней назад +2

    Mwamnyeto amechoka sana, tunapaswa kutafuta beki wa kati mwingine.

  • @dicksonmwenyembegu2523
    @dicksonmwenyembegu2523 14 дней назад

    kila nikiscrow nikikuta hizi highlights naangalia tene

  • @user-od9vq4fc9g
    @user-od9vq4fc9g 15 дней назад +1

    Mpenja nimemuelewa sana Hilo Gori la guede kasema MBONA KAMA SIMBA HAWAOGOPI?

  • @Munyama675
    @Munyama675 15 дней назад

    Quality ya Video ni MBOVU acheni usenge

    • @InnocentKisuge
      @InnocentKisuge 15 дней назад +1

      Nenda kwenye settings ya video kaset vzr

  • @user-jc9dz1es7h
    @user-jc9dz1es7h 14 дней назад +1

    Makolo mpk msemeeeeeeeee

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 15 дней назад +1

    VAR ni offside!

  • @ReverendJerry-bb8dc
    @ReverendJerry-bb8dc 15 дней назад

    Na subiri "thank you" ya Inonga Baka

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 14 дней назад +1

    Mwamunyeto kazingua kweli kweli

  • @ibrahimnganyule5367
    @ibrahimnganyule5367 15 дней назад +1

    Simba wana mda wa kufanya usajili maana wametolewa mashindano yote mapema waanze usajili labda wagombanie muungano Cup Kule zanzibar

  • @AlenMachibya
    @AlenMachibya 14 дней назад +1

    Tutalalimika had Lin simba nimbovu mkubali mkatae nimbovu

  • @user-lx5qz9ff8o
    @user-lx5qz9ff8o 14 дней назад +1

    Sema nn mwanyeto katuzingua alikua anaokoa goli baada ya kuslide anaogopa kuzalilishwa

  • @user-qz2if6nc9j
    @user-qz2if6nc9j 14 дней назад +1

    Hili goli la guede nilikuwa sijaliangalia vizur kumbe Pas ikitoka nyuma kabisa daaah kwamba nisamehe bhana

  • @user-yy4ei2ot6t
    @user-yy4ei2ot6t 15 дней назад

    Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @GiftMwanjat-em7sw
    @GiftMwanjat-em7sw 14 дней назад +1

    Kila kilicho bora ufanya kwa ubora

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 13 дней назад +1

    Nimerudi kuangalia kama wamesawazisha

  • @wizfbeb
    @wizfbeb 15 дней назад +1

    Nguruwe FC lile goli la Aziz 🗝️ ni goli au Bado hamtak

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 4 дня назад

    Sheikh Usijimalize Sana Maana yote kwa yote Allah ndo Mjuzi Mm sikupngi ila Usijimalize Sana Hizo Ndoto Mie yalikua Maradh yangu Sana siku Chache tu Zilizo pita Lakn Mbona zimepelekea Mpaka kupoteza Nguvu za kiume ghafra

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 14 дней назад

    Ah simba saiv hatuna timu usajili unahitajika mzuri tu😢

  • @EmanuelMayumba
    @EmanuelMayumba 15 дней назад

    Makolo maxkin nje ndan kafa daah pole kwao

  • @user-gk4nl4ht6s
    @user-gk4nl4ht6s 15 дней назад

    He is not for sale😂😂

  • @user-ic5xg3wg9j
    @user-ic5xg3wg9j 15 дней назад +2

    Ewe shabiki wa wa makolo karibu kwa wananchi tuje tule mayai na ww unenepe kama sisi

  • @imatisatv9239
    @imatisatv9239 14 дней назад +1

    Kolo walikuwa wanatetea goli la mamelody ,wamekutana na moto

  • @mathiasthimothe165
    @mathiasthimothe165 15 дней назад +1

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @GodsonMmbaga
    @GodsonMmbaga 15 дней назад

    Io gem nilitabili nenda tktk andika mc mnago utaona utabili wangu

  • @mahamoudmkunga2798
    @mahamoudmkunga2798 14 дней назад +1

    Sasa huyu kaze alikua anawaza nini sasa

  • @user-qk4lx4hg7g
    @user-qk4lx4hg7g 15 дней назад

    Tanga daimaaa😂😂

  • @budodianthony8094
    @budodianthony8094 15 дней назад

    ❤😂😂❤❤❤😂pejaa

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 15 дней назад

    No pacome no problem

  • @AsajileKyamba
    @AsajileKyamba 15 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉 uwa awoooooooooo

  • @user-cx7uz3ri6v
    @user-cx7uz3ri6v 15 дней назад

    Bonge la pasi ya Aucho

  • @user-zr8lq9lo8y
    @user-zr8lq9lo8y 15 дней назад

    Siku hizi mgoli ni mipango😢😢😢

  • @msiyambili7224
    @msiyambili7224 15 дней назад

    Izo mbili zenyewe msamaha😂😂

  • @asyashariffu7717
    @asyashariffu7717 15 дней назад

    Kipindi cha kwnz ata goli 5 walikuwa wanaenda Hawa ila tumewaonelea huruma wakongwe wenzetu😅😅😅

  • @DaughterGeremia
    @DaughterGeremia 15 дней назад

    Jaman Simba kwa kwelii nitim ya kitoto kabisa kweliii apana wangekua walee kumama zao mame rodiii tunge wavind nyumaaa ya makalio yao

  • @VivianPatrick-hi7zr
    @VivianPatrick-hi7zr 13 дней назад +1

    😅

  • @VivianPatrick-hi7zr
    @VivianPatrick-hi7zr 13 дней назад +1

    😅😅

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 14 дней назад

    Offside ya wazi kabisa

  • @AshaKhalfani
    @AshaKhalfani 15 дней назад

    Hii ndio yang,ubingw ule unanukia

  • @user-rr3rq4ui4n
    @user-rr3rq4ui4n 15 дней назад

    😜😜😜

  • @dr.elimikatv1919
    @dr.elimikatv1919 15 дней назад +1

    Nyuma mwiko oyee

  • @user-xy3gw4nx8u
    @user-xy3gw4nx8u 15 дней назад

    Kmmk Hawa watangazaji 😅

  • @JovinjosephatRukonge
    @JovinjosephatRukonge 15 дней назад

    Vp