Magoli | Yanga SC 2-1 Simba SC | NBC Premier League 20/04/2024
HTML-код
- Опубликовано: 19 апр 2024
- KARIAKOO DERBY: Yanga SC imeendeleza ubabe kwa kuichapa Simba mabao 2-1 kwa mara ya pili msimu huu, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yamefungwa kipindi cha kwanza na Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 20 na Joseph Guede dakika ya 38.
Haya hapa magoli....... - Спорт
Kama unairudia hii mechi LIKE 10 ILI TUJUANE WANANCHIIIIIIIIII 😂😂😂😂😂
Ni hatari san 😅😅
@@DominickMkumbo umeonae 😂😂😂😂
@@Shadia544 Hy 🖐️
Ni hatri san vp lakin
Tunarudia kuangalia tujuaneee❤❤
hiyo assist ya bao ya pili ni moto Sana.. nani ametoa hiyo pasi👌🏻💥💯Alafu hiyo control aliyecontrol na bao lakiufundi
Aucho asisst goal Guede
Tangu nianze kushabikia mpira hii ndo penat yakwanza ambayo ata wapinzani wameikubali 😂😂😂😂😂 awajaleta utata wa aina yeyote ile😅
This Is Young Africans 💛💚💛
I think Stephan Aziz ki is de MVP (most valuable player) na Pia ndio Kiungo Bora na mfunga Bora...
Kuchukua mauwa yako mwamba wa wagadugu ki magician Stephan Aziz 🎉
Piga mbwa hao all in all 2024
Mbn goli lao kama wameachiwa😂😂mtazame diara aliacha goli liingie
Simba nguvu moja. Hii NI yetu na tumeipenda weyewe
Mwenyezi mungu mwingi wa rehema katujalia viongozi na wachezaji wanao msikiluza kocha na kuipambania team yetu wametufuta machozi ya kuzurumiwa Gori na masanda Wana ❤❤❤❤❤❤
Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Wamba wawili Kwa umoja ✅✅baraka ramsi adel mpenja Jr na kilwa finest Gharibu Mohamed ally mzinga wanakuwa watangazaji wa Kwanza kusherehesha Big derby day piga fyuuuuuuuuuuuuuu.....as farbat ndani ya NBC premier league
💚💚💛💚💚💛💛💛
yanga mmeshindikana
The commentary is well run by a Good football commentator
Mimi ni yangaa🎉
Asante kwa kuwakanda yanga hongera
Hii simba ni timu au kikundi cha wahuni 😂😂😂😂
Jamani Yanga mbona wanatixha
Hatar Sana Simba tusiwe na hasila tukutane msimu ujao
Hii yanga hiii apana kwakweli iko motoooooooooooooo no pacome no ploblem
Yanga wachezaji wakiacha ubinafsi watakuwa wanafunga magoli mengi sana
Is nomaaa
Simba haoooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂bado hamjasema yanga oyooooooooooooooo
Asante Mungu 🎉🎉🎉
Guede kafunga 💛💚💛💚🙏,,ukuta wa Yeriko ulikua wapi??😂😂
Hiyo first touch ya Freddy mimi hoi 😭😭😭😁
Yanga wawooooooooo💚💚💚💚
😂😂😂🙏🙏🙏yanga noma jamn dah
Yanga ya sikuhizi so yanga ya sikuzile🫡⚽🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️🏋♂️
Hongereni wanasimba Leo ndo mmecheza mpira ila huko nyuma mlikua mnacheza singeli
Ibra baka aliyekuwa anazungumzwa ni yupi ni huyu hapa yupo chini😂sio kinyonge na sisi😂😂😂
Asante mungu 🙏🔰💚💚
5+2=7 🔰 😀
FT: Yanga 7 - 2 Simba
Simba ni kikundi Cha wahuni ambao hawajuanii 😂😂😂 wanatia hurumaaa❤❤
Ile miaka minne mlikua mnatia furaha sio? mtani furahini lakn mjue kicheko hakidumu😂😂😂
@@j0hns0n_tz saw mtaani muda wetu huu Wacha tutambee
Simba❤❤
Asante wachezaji wetu mmetuheshimisha nakutupatia Rahat na furaha.
Noma
Azizi k sikudai chochote my dear brother
Daima mbele nyuma mwikoooo hongereni Yanga
kwa Simba hii kichapo kila siku
💛💚💛💚💛💚
Tumewapiga bao ili wakashabikie Ubuntu botho yao
Yang daima
Simba cette saison est en dessous de YANGA SC
Cette saison est celle de YANGA....dommage que MAMELODIE et le président corrompu de la CAF lui ont volé ça demi-final en ligue des champions de la Caf
This is young african ya gamond
Makolo wametupa faida ya magoli 7
Point Tisabele💚💛💚💛🙏🤗
Yanga laha sana ndgu zangun
Kaziiii
Sio Kwa yanga hii jaman
Yni chama ana hangaika peke yake simba😢
Asantee wazee wayangaaa
Hapo mashabiki wa makolo fc wamepata hasara tatu kwanza hajaswali swala ya LASIR na magharibi lakini pia wamefungwa,Akhera wamepata hasara Dunia pia wamepata hasara. YANGA forever in our heart 🫀🫀🎉🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳 🟩🟩🟩☘️☘️☘️☘️💚💚💚💚💚💚💚💚💚
😅😅😅😅hawajaswali daah,
Hasara ya akhera pia yanga wamepata na hiyo ni hasara kubwa
😂😂😂
Dooh 😂
@subiraibrahim8100 uko sahihi kabisa
Et usmkatie mtu tamaa😅
Safi Dana
PGA mbwa hao
Ndo muweke dk 4😢
Mwamnyeto amechoka sana, tunapaswa kutafuta beki wa kati mwingine.
kila nikiscrow nikikuta hizi highlights naangalia tene
Mpenja nimemuelewa sana Hilo Gori la guede kasema MBONA KAMA SIMBA HAWAOGOPI?
Quality ya Video ni MBOVU acheni usenge
Nenda kwenye settings ya video kaset vzr
Makolo mpk msemeeeeeeeee
VAR ni offside!
Na subiri "thank you" ya Inonga Baka
Mwamunyeto kazingua kweli kweli
Simba wana mda wa kufanya usajili maana wametolewa mashindano yote mapema waanze usajili labda wagombanie muungano Cup Kule zanzibar
Tutalalimika had Lin simba nimbovu mkubali mkatae nimbovu
Sema nn mwanyeto katuzingua alikua anaokoa goli baada ya kuslide anaogopa kuzalilishwa
Hili goli la guede nilikuwa sijaliangalia vizur kumbe Pas ikitoka nyuma kabisa daaah kwamba nisamehe bhana
Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kila kilicho bora ufanya kwa ubora
Nimerudi kuangalia kama wamesawazisha
Nguruwe FC lile goli la Aziz 🗝️ ni goli au Bado hamtak
Sheikh Usijimalize Sana Maana yote kwa yote Allah ndo Mjuzi Mm sikupngi ila Usijimalize Sana Hizo Ndoto Mie yalikua Maradh yangu Sana siku Chache tu Zilizo pita Lakn Mbona zimepelekea Mpaka kupoteza Nguvu za kiume ghafra
Ah simba saiv hatuna timu usajili unahitajika mzuri tu😢
Makolo maxkin nje ndan kafa daah pole kwao
He is not for sale😂😂
Ewe shabiki wa wa makolo karibu kwa wananchi tuje tule mayai na ww unenepe kama sisi
Tumejaa bwana wabak hukohuko😂😂
Kolo walikuwa wanatetea goli la mamelody ,wamekutana na moto
Daima mbele nyuma mwiko
Io gem nilitabili nenda tktk andika mc mnago utaona utabili wangu
Sasa huyu kaze alikua anawaza nini sasa
wewe akili auna
Tanga daimaaa😂😂
❤😂😂❤❤❤😂pejaa
No pacome no problem
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉 uwa awoooooooooo
Bonge la pasi ya Aucho
Siku hizi mgoli ni mipango😢😢😢
Hebu fafanua na uwe mwazi
Izo mbili zenyewe msamaha😂😂
Kipindi cha kwnz ata goli 5 walikuwa wanaenda Hawa ila tumewaonelea huruma wakongwe wenzetu😅😅😅
Jaman Simba kwa kwelii nitim ya kitoto kabisa kweliii apana wangekua walee kumama zao mame rodiii tunge wavind nyumaaa ya makalio yao
😅
😅😅
Offside ya wazi kabisa
Hii ndio yang,ubingw ule unanukia
😜😜😜
Nyuma mwiko oyee
Umepakatwa kenge ww
Kmmk Hawa watangazaji 😅
Vp