Hongera sana , mwenyezi mungu akutie nguvu katika hichi unacho kifanya, maana unacho kifanya ni kikubwa sana . kinalenga kusaidia maisha ya watu kwani una lengo la kuwachia watu uwezo ulionao jambo ambalo ni wachache sana wanao jitolea malipo yako yapo kwa allah
shukrani teacher ila mimi laptop yangu ni mpya imekuja na windows 11 na sina elimu ya kutumia laptop na napenda kujifunza kwako lakini lakini pc yangu hainidhihirishii kama inavyodhihirisha yako mfumo wake siufahamu naomba unasaidia nifanyeje ili iwe inaonesha kila kitu kama yako maana nashindwa kujifunza kwako kwa sababu hii
Nataka kujiunga na nyie katika masomo ya computer nifanyaje
Jaza fomu ipo chini ya hiyo video.
Hongera sana , mwenyezi mungu akutie nguvu katika hichi unacho kifanya, maana unacho kifanya ni kikubwa sana . kinalenga kusaidia maisha ya watu kwani una lengo la kuwachia watu uwezo ulionao jambo ambalo ni wachache sana wanao jitolea malipo yako yapo kwa allah
Allahomma aamiin, Asante sana ndugu yangu.
Good job
Asante ndugu
Niko makini sana na somo lako
Asante sana kwa hilo.
Hongera sana kwa somo zuri.
Lile somo la kutengeneza app kwa simu limeishia wapi brother?
Litaendelea siku si nyingi
🎉
natamani sana kujua computer
Karibu sana, jaza fomu uimarike.
shukrani teacher ila mimi laptop yangu ni mpya imekuja na windows 11 na sina elimu ya kutumia laptop na napenda kujifunza kwako lakini lakini pc yangu hainidhihirishii kama inavyodhihirisha yako mfumo wake siufahamu naomba unasaidia nifanyeje ili iwe inaonesha kila kitu kama yako maana nashindwa kujifunza kwako kwa sababu hii
Iache vivyo hivyo tutaandaa masomo ya Windows 11.
Mwalim mm nataka kujua namna ya kukopi document ambayo mtandaoni imetiwa pini haikopiki, cjui unatumia njia gani.
Ok tutaanda masomo hayo baadae.
Mwalimu nimenunua computer mpya lakin Mimi Sina uzoefu na haya mambo,lkn naona browser hazionekani au notification zakuunga WiFi sioni je nifanyeje ?
Shusha hizo program au driver, tazama video yetu inayohusu drivers
mwalimu cpu ukiwsha inawaka taa nyekund badala ya kijani sijui shida nn
Kikawaida computer yako huwa inawaka taa gani? Maana taa nyekundu ndo huwakilisha power.
Program ya adobe Photoshop naomba tujifunze mkuu
Jaza fomu watu wanaibobea huku, ishafundishwa tangu muda mreeefuu
Mkuu Kujaza form ili niibobee hiyo program ya adobe Photoshop shingapi na nk?
Ni swali tu nauliza plz..kwakua sijui ...computer ndo laptop ama🤔...ama laptop ni nyingine na computer ni nyingine plz
Jaza fomu uimarike zaidi, computer ndio Laptop na Laptop ndio Computer.
Co kinyonge
Asantee
Wa mwanzo ni mimi leo
Nk training computer Naomba tujifunze program ya adobe Photoshop pia na jinsi ya kuandaa matangazo
Jaza fomu
Natak kuisanifu simu kwa computer
Kuisanifu unakusudia nini?
Kuisanifu unakusudia nini?
vp kaka
Safi tu, karibu