Jifunze mbinu hizi katika Computer uwe zaidi yao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 36

  • @barakalameck7342
    @barakalameck7342 8 месяцев назад

    Nataka kujiunga na nyie katika masomo ya computer nifanyaje

  • @mustaphpongwe4141
    @mustaphpongwe4141 Год назад +2

    Hongera sana , mwenyezi mungu akutie nguvu katika hichi unacho kifanya, maana unacho kifanya ni kikubwa sana . kinalenga kusaidia maisha ya watu kwani una lengo la kuwachia watu uwezo ulionao jambo ambalo ni wachache sana wanao jitolea malipo yako yapo kwa allah

  • @erickbabu4404
    @erickbabu4404 11 месяцев назад +1

    Good job

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 Год назад

    Niko makini sana na somo lako

  • @jgmmifumoyakazi
    @jgmmifumoyakazi Год назад

    Hongera sana kwa somo zuri.
    Lile somo la kutengeneza app kwa simu limeishia wapi brother?

  • @NaviloBahati
    @NaviloBahati 2 месяца назад

    🎉

  • @jamalijamali6820
    @jamalijamali6820 Год назад

    natamani sana kujua computer

  • @jamalijamali6820
    @jamalijamali6820 Год назад

    shukrani teacher ila mimi laptop yangu ni mpya imekuja na windows 11 na sina elimu ya kutumia laptop na napenda kujifunza kwako lakini lakini pc yangu hainidhihirishii kama inavyodhihirisha yako mfumo wake siufahamu naomba unasaidia nifanyeje ili iwe inaonesha kila kitu kama yako maana nashindwa kujifunza kwako kwa sababu hii

  • @idrissamuhina6499
    @idrissamuhina6499 Год назад

    Mwalim mm nataka kujua namna ya kukopi document ambayo mtandaoni imetiwa pini haikopiki, cjui unatumia njia gani.

  • @NaftalJonathan
    @NaftalJonathan Год назад

    Mwalimu nimenunua computer mpya lakin Mimi Sina uzoefu na haya mambo,lkn naona browser hazionekani au notification zakuunga WiFi sioni je nifanyeje ?

    • @nk-computertraining
      @nk-computertraining  Год назад

      Shusha hizo program au driver, tazama video yetu inayohusu drivers

  • @BlackEagle-r8v
    @BlackEagle-r8v Год назад

    mwalimu cpu ukiwsha inawaka taa nyekund badala ya kijani sijui shida nn

    • @nk-computertraining
      @nk-computertraining  Год назад

      Kikawaida computer yako huwa inawaka taa gani? Maana taa nyekundu ndo huwakilisha power.

  • @FanuelJackson-gd9id
    @FanuelJackson-gd9id 5 месяцев назад

    Program ya adobe Photoshop naomba tujifunze mkuu

    • @nk-computertraining
      @nk-computertraining  5 месяцев назад

      Jaza fomu watu wanaibobea huku, ishafundishwa tangu muda mreeefuu

    • @FanuelJackson-gd9id
      @FanuelJackson-gd9id 5 месяцев назад

      Mkuu Kujaza form ili niibobee hiyo program ya adobe Photoshop shingapi na nk?

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 Год назад

    Ni swali tu nauliza plz..kwakua sijui ...computer ndo laptop ama🤔...ama laptop ni nyingine na computer ni nyingine plz

    • @nk-computertraining
      @nk-computertraining  Год назад

      Jaza fomu uimarike zaidi, computer ndio Laptop na Laptop ndio Computer.

  • @abdulrahimsaid7864
    @abdulrahimsaid7864 Месяц назад

    Co kinyonge

  • @is-hakaame
    @is-hakaame Год назад

    Wa mwanzo ni mimi leo

  • @FanuelJackson-gd9id
    @FanuelJackson-gd9id 5 месяцев назад

    Nk training computer Naomba tujifunze program ya adobe Photoshop pia na jinsi ya kuandaa matangazo

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 7 месяцев назад

    Natak kuisanifu simu kwa computer

  • @RAMADCLASSICMOVIES
    @RAMADCLASSICMOVIES 26 дней назад

    vp kaka