Kenyan men should learn from Miriam's daddy. so supportive and loving to his family regardless of what others say. He accepted his wife n children. God will always keep you safe daddy Miriam. Miriam with golden voice, beautiful heart. mmh me love it
Hongera Miriam kwani unaongea kwa kujiamini na ujasiri kwa maelezo yako na kujifahamu huko naomba usome sheria nimeona unaweza...... keep it up messenger of God
Yaani sina maneno ya kusema ila Mungu akulinde zaidi Miriam kwa Utumishi wako. Wewe ni mtumishi wa Mungu. Mungu amekupa hicho kipaji kwa kusudi maalum. Hongera sana baba Miriam kwa kuthubutu, wewe ni funzo kubwa sana kwetu sisi wanaume, na Mungu anatuonyesha mambo makubwa sana kupitia wewe Mr. Thomas Chirwa. Mungu akulinde mpaka uone destiny ya watoto wako, akutunze uwaone wajukuu na vitukuu vyako.
Amen Miriam,endelea kumtumikia mwenyezi Mungu na zaidi ya yote ubarikiwe.Barikiwa sana babake Miriam,wewe ni mfano wa kuigwa na wanaowaacha wake wao baada ya kujifungua mtoto mwenye ulemavu.
wow that was amazing. l love this beautiful Angel Miriam. her songs always blesses my heart. and to her Dad, big up for the good job you have done in the life of this girl. God will surely bless you.
Wow wow wow, what a wonderful Dad, men have alot to learn from him. The prence and support of a farher is very key in shaping a child, wishing the girl and family all the best❤️❤️❤️❤️
Wow she iz vry beautiful en encouraging anajiamini kwa cnaa may God bless you miriam ur amazin kipawa unacho kizuri sauti yko ni tmu na nyororo en ur mch mature bby gal blessings b upon you alweiz
I have known Miriam Chirwa for so long. I heard some kids sing her song in church and when I researched about the song, I found Chirwa...and I love her song and her spirit ❤️❤️
This is absolutly amazing,an Angel sent direct from heaven,oh my....may our Good Lord cerstain you talent Miriam and azidi kubariki wazazi wako,so inspiring👌👏
This is so inspiring and may our good Lord continue blessing this girl together with his dad 🙏🙏🙏🙏. She's absolutely beautiful and It's so evident that she is differently abled🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Babake Miriam you are an inspiration. You are truly amazing and your children and wife have a beautiful legacy. Miriam you are beautiful so graceful and lovely.
Wow mirriam MUNGU akutunze na kuwanawe kila mdaa..hongera daddy ake mirriam unamoyo wa pekee hakika wewe ni baba wa pekee MUNGU atakulinda na kukusimamia na akupe hitaji la moyo wako na family yako
It's lyke woooooow, I do love that girl from the bottom of my heart. May GOD keep on blessing her and her family❤💕❤💕she is deeply talented never seen be4🙏
Nakupenda miliam jamn usijali mamy Pamban tena don't look how u are but do wat u think nice work daddy & momys miliam become ur de one who supporting miliam
Kenyan men should learn from Miriam's daddy. so supportive and loving to his family regardless of what others say. He accepted his wife n children. God will always keep you safe daddy Miriam. Miriam with golden voice, beautiful heart. mmh me love it
Truly they are inspiring
U
I love how proud he is of his kids n love to his fam
Miriam Thomas receive our love from USA. We love your songs
Indeed disability is not inability...God continue to shower this family with blessings...can't hold my tears of love to Miriam
Miriam,You have touched my heart as a parent.. may God richly bless U gal.
Hongera Miriam kwani unaongea kwa kujiamini na ujasiri kwa maelezo yako na kujifahamu huko naomba usome sheria nimeona unaweza...... keep it up messenger of God
huyu baba jamani nimfano wa kuigwa hongera baba Miriam!
Yaani sina maneno ya kusema ila Mungu akulinde zaidi Miriam kwa Utumishi wako. Wewe ni mtumishi wa Mungu. Mungu amekupa hicho kipaji kwa kusudi maalum. Hongera sana baba Miriam kwa kuthubutu, wewe ni funzo kubwa sana kwetu sisi wanaume, na Mungu anatuonyesha mambo makubwa sana kupitia wewe Mr. Thomas Chirwa. Mungu akulinde mpaka uone destiny ya watoto wako, akutunze uwaone wajukuu na vitukuu vyako.
Wawoo Miriam umekua mdogo wangu,Mungu azidi kukupigania katika kila jambo nzuri kwenye maisha yako
You're truly a good father, Miriam has been an inspiration to my daughter and my self .
Amen Miriam,endelea kumtumikia mwenyezi Mungu na zaidi ya yote ubarikiwe.Barikiwa sana babake Miriam,wewe ni mfano wa kuigwa na wanaowaacha wake wao baada ya kujifungua mtoto mwenye ulemavu.
wow that was amazing. l love this beautiful Angel Miriam. her songs always blesses my heart. and to her Dad, big up for the good job you have done in the life of this girl. God will surely bless you.
Anne Matildah
asante kwaushauri wako Miriam mungu akuzidishie maono
Bb mmm
Mmm no
this interview makes me cry with tears of joy
Miriam you are a Blessed child with an Extraordinary voice, Asante kwa Mungu Mkuu kwa kipaji chako #Blessed 😊😇
Wow wow wow, what a wonderful Dad, men have alot to learn from him. The prence and support of a farher is very key in shaping a child, wishing the girl and family all the best❤️❤️❤️❤️
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 God bless you dad Miriam ur an inspiring parent🙌💗🙌
Quel bonheur pour l'oreille..
Wow she iz vry beautiful en encouraging anajiamini kwa cnaa may God bless you miriam ur amazin kipawa unacho kizuri sauti yko ni tmu na nyororo en ur mch mature bby gal blessings b upon you alweiz
Wow that dad is so inspiring
I have known Miriam Chirwa for so long. I heard some kids sing her song in church and when I researched about the song, I found Chirwa...and I love her song and her spirit ❤️❤️
This is absolutly amazing,an Angel sent direct from heaven,oh my....may our Good Lord cerstain you talent Miriam and azidi kubariki wazazi wako,so inspiring👌👏
Namwaga machozi ya furaha....kuguzwaa wat a beautiful voice... ooooooh my..it's amazing🙏
this is one inspiring lady in my life...thanx miriam for ua standard of outstanding the world. God bless
Miriam you are a blessing to many me being one of them,may you live long to fulfill what GOD has given you,
Hallelujah
U r a victor Miriam,I love ur courage. U accepted urself just as u are. God be with you 4rever
may God bless Miriam chirwa
Hallelujah
Beautiful 🥰
Mungu awabariki wazazi wa Miriam kwa kumjali na kukuza kipaji chake bila kujali ulemavu wake
God bless you Daddy . My sister marium big up. May almighty God provides you with everything you need. Loves you so much my sister 🥰
This is so inspiring and may our good Lord continue blessing this girl together with his dad 🙏🙏🙏🙏. She's absolutely beautiful and It's so evident that she is differently abled🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mungu akutunze Miriam na pongezi kwa wazazi kwa kukubali na kumsimamia,,Mungu awabarikii
thank you baby mariam iused to listen your songs but with tears of joy you are agreat blessings God bless you and parents too
I love this girl🥰, more grace to the parents and the family
Wow Miriam you came to Kenya I missed this interview
Love you so much Miriam
Nyimbo zanibariki sana
Miriam thank you for being an ambassador for Christ and a great minister of the gospel. Daddy thank you for what you are doing you are gift to us.
MAY GOD BLESS THIS BIG FAMILY YOU HAVE PLANTED ASEED IN ME THAT I WILL LIVE TO THANK GOD
Always
that dad is inspiring. ....God bless you
Wonderful you are talented Miriam you don't have any disability God bless you so so much
Am so amazed by that beautiful voice n the support n love of the Dad... may God bless you Miriam n Dad
Babake Miriam you are an inspiration. You are truly amazing and your children and wife have a beautiful legacy.
Miriam you are beautiful so graceful and lovely.
May God shower His blessings upon this girl and that her talent may be lifted up for the glory of God
Wow wow you are a wonderful father, truely Miriam is gifted
Inspired and humbled by your team work.
May God bless this family in every aspect
pongezi mirriam kwa wimbo wako mtamu mno....may God shower you with more blessing
Oh my God so blessed Miriam...God see her through
oomy God I can't hold my tears,be blessed Miriam with UA parents
Rrrrrr
I am @Miriam Thomas big fan from Belgium....
+Miriam Thomas Chirwa
Abednego mwanjala
Barikiwa sana dogo
Mungu akuzidishie neema na rehema zake kwa vyovyote vile ufanyavyo..Amenii
Wow mirriam MUNGU akutunze na kuwanawe kila mdaa..hongera daddy ake mirriam unamoyo wa pekee hakika wewe ni baba wa pekee MUNGU atakulinda na kukusimamia na akupe hitaji la moyo wako na family yako
always love..love... you miliam mungu akubariki bt ungependeza usomee sheria
Wow!!👏👏Singing like a bird!! Congrats mirriam live long,uweponi wa Mungu🙏
It's lyke woooooow, I do love that girl from the bottom of my heart. May GOD keep on blessing her and her family❤💕❤💕she is deeply talented never seen be4🙏
waw what a blessing .may almighty heal her.she sings very well.God bless her
waoo Miriam nimebarikiwa na wimbo wako was niwema wake yesu mungu azidiiii kukubarili
Asante, MUNGU wa mbinguni akubariki!
Mariah Mungu Akubariki Sana Na Wazazi Wako Pia Kwa Kukupenda Hivyo Wanavyo Kupenda. Unasauti Nzuri Sana
very touching God bless you Miriam
Good dady mirriam kweli ww ni mfano wa kuigwa wallah na ukona moyo sana mungu akulindi akupe umri mrefu uweze kulea watt wako na mkeo insha Allah
Hongera sana Baba mwenye upendo mwenye kujituma.Mungu akubariki sana na familia yako na awalinde na kupanua huduma ya Miriam.
God protect this dad, the kind of heart he has....
amazing your song very good i have follow your interview and your will go far in Jesus name
woow you are blessed gal,and may God be with you and your family
hongera cute girl be blessed u with your family.
wow what a wonderful God we serve barikiwa sana little gal n ur family
I love mirriam. she's amazing girl of God. be blessed
Mungu akubariki mdogo wangu Miriam kwa kazi nzuri
she has a beautiful voice
Mungu a Kubariki Sana mtumishi Miriam
Really touching God bless you and your entire family
Miriam wewe mungu kakuchagua hogera Sana kwa uimbaji wako sauti nzuri nakupenda Sana
Miriam n wema wake yesu,ubarikiwe sana
Kabisa
Nabarikiwa Sana najamii hiii ya Miriam, mungu azidi kuwahinuwa katika kipaji cenu.miriam nakupenda sanaaa.nipo Burundi
Miriam l really love you Mungu Akuinue Sana Karibu tena Kenya kwa Mara nyingine
Waoooo grt voice, u r inspiring to many Mariam b blessed, Dad Miriam u hav a golden hrt b blessed too
Praise Jesus. Wow, that was so amazing, wow
shukrani kwa Mola
mungu amsaidie familia yenyu..so far u r blessed so so much dad ur kids r talented
hongera mirriam kwa nyimbo zako za zakutia moyo,
Woo-hoo!!
Abigael Vuyala wow is a blessed gal
Abigael Vuyala God bless her more ilove u miriam ,keep it up
Nice song & nice voice Miriam God bless sister in christ
hongera sana Mariam unanifariji sana
wow God bless you Miriam n you dad u r so blessed nice song
This is amazing. ...nothing impossible with true love.
hongea miriam mungu akupariki pia wasazi wako mungu awapariki sana
Nakupenda miliam jamn usijali mamy Pamban tena don't look how u are but do wat u think nice work daddy & momys miliam become ur de one who supporting miliam
my name is mirriam....I love ur songs siz....mungu akupe hekima....b blessed
can't hold my tears haki,,,Mungu akuongoze mamaa
Wow,angelic voice
msanii record
Mungu ni mwema
what a wonderful song, God bless you
Baba mzazi baraka tele kwa familia yake..Mungu akubariki kwa kupenda mkeo na watoto wako
mungu akubariki mwanangu kwa kazi yako uzidi kumtumikia mungu na na waombea wazazi wenzangu mungu azidi kuwatia nguvu
l like this girl soo much, Godbless this family
God bless you parents for may namesake miriam she's search amazing Child she really bless me a lot may God honor her in Heaven
I love the dad..making the family happy.God bless u.Miriam God is with u
Lety Gesh songambele.mtoto
Girl you are amazing
God is always with you ,your dad and your family too.umeniguza sana tena sana
Miriam may almighty continue to bless u and lift you from one glory to another
Baba Mungu akubariki sanaaa
Mungu akulinde Na akupe moyo Miriam. I lv u Miriam
God bless Miriam,the dad and family 🙏🙏
wonderful girl may our mighty God help her to go far as job
mungu akubaliji kwa kweli napenda nyimbo zako sn
Wow..powerful voice miriam
Be blessed much more with your dad 😘😘
God bless you little girl.
🙏🙏🙏
Hongera sana hata mm ni mwimbaji mzr natamani kuwa kama ww binti utafanikiwa sana mdogo Wang
Mungu akubariki sn baba miriam kwa upendo wa famiriya yako
Dah mungu akubaliki ktk kazi yako amiyn amiyn
Miriam God bless u I like your song
hongera xana miriam