SHETANI |Ep 12|
HTML-код
- Опубликовано: 10 июн 2024
- #Bhailam#Naomy#comedyplus#2024#
⭐⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use Sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Subscribe hapa : www.youtube.com/@ComedyPlustz...
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz - Кино
MIMI NISEME KITU KIMOJA KATIKA HII TAMTHILIA NI NZULI MNO TAMU NA INAFUNDISHA SANA ,,MWENYEZIMUNGU HAWAONGOZE ZAIDI NA ZAIDI TOKA NIANZE KUMFUATILIA BHAILAM SIMBA KUTOKA WAKE WENZA,,MY LOVE HADI SASA SHETANI YUKO VIZURI SANA NA UKIMSOMA VIZURI BHAILAM ANAONGOZA KWA KUTOA WASANII WAZURI NA MAHILI KATIKA UIGZAJI MWENYEZIMUNGU HAKUONGOZE INSHALLAH WEWE BABA HUKO ULIKO BIG UP TEAM NZIMA HII SERIES NAAMINI NDIO KWANZA INAANZA 🎉🎉🎉
Thanks 🙏
Kabisa inafu disha
Tunaoangalia huku tunapika tupeane like
Tukupe like wewe ndio muandaaji
Angalia usiunguze
🤣🤣🤣 group moja
Tupo weng
Nasngalia huku nakulaaa
Km unapata funzo kwa hii movie pitia kwa like love from team strong 🇸🇦🇰🇪🥰🥰🥰
Nice movie
Wa kwanza leo jameni mnipe like zangu 🥰kutoka burundi
Jaman tumrudie Muumba wetu Hii movie inamaudhui mazur sana Mungu azid kuwapa nguvu ktk kaz yenu
Inshaallah
Tumefika kazi safi
Naom ni 🔥 wakuotea mbali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Gostei muito desse história Olá pessoal estou a pedir like
Leo nimewai kbx naomba like yangy🎉
Wa mwisho hapa nipeni like zangu hapa😂😅
Hii tamthilia inafundisha sana tena sana
Jamn Leo namimi wa19 naomben like ata10
Kiukweli muve hii imenifundisha vtu vngi sana kwamfano ibada sasahv naswali sana nawashukuru kutuelimisha mwenyezi mungu azid kuafanyia wepes kila mnapotoa muve mte zenye maadili nakuelimisha watu naawap maisha malefu ishallahi
Waooh leo dakk zko vzr asanten , tunawapenda,
Wapenda like badala ya kucoment nao washafikaa😂😂🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
@@Jackline25467unaishi gulf eeeh
Wewe ni mtu wa gulf eeeh
😂😂😂😂😂😂😂😂
Wooooh mapema sana watu washacomment❤
Kuwai kuwai kote nimekuwa wa 20 aya tusalimiane team furus team kupambana team WiFi
Je suis en RDC,
Est ce que je peux avoir le numéro de Naomi .
Move inazidi kuwa moto Kila siku
Mbona hiii sauti ya sheteni asiye onyesha uso ni ya bailamu jaman anae onekana ni mganga mcha mungu kama unaielew hii sauti tujuwane
Umechelewa kujua toka siku yakwanza tulijua
Ni yeye,hii tamthilia inatuonyesha vile shetani pia hua akiwa na kiwiliwili cha watu tunaowajua ili tuwaamini na watupotoshe😢
Ila directa wa hiii Kaz mungu amuzidishie imenifanya mpaka nimepata ushuhud hum ndani hakika kafanya kazi nzuli danan
Ni bhailum 😂
Oya wewe hii hatari SHETANI 😂😂😂😂
Nimewahi nipeni liké zenu nduguzanguni
Leo bairamu umenena neno ambalo binadamu anatakiwa aiishi hivo 🎉mungu akulipe wema wako❤hakika tumejisahau sana wanadamu kumuelekea Allah 😢like zako bairam.
Hakika
Uhakika
Nimefurahi leo mmetupa dakika nyingi sana
Like apo Mimi Leo wakwaza
Kazi nzuri🎉🎉🎉
What have learn to this movie..is that there's no difference between Christian and Muslim wote ni kitu kimoja and that's what am happy for.....tupendane sisi sote🤝🤝
Naomy Nakupend Sana Kiukwel 😢😢❤❤❤❤❤❤ Team Bhailam Hongera Sana Kwakazi Nxuli 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 One Love From Burund 🇧🇮🇧🇮💜💜💜💜💜❤❤❤❤❤❤❤
Wanaokubaliana na naomi na mariama tusonge mbele ❤❤❤❤ mwenye anashika mafunzo yakohapa. Twendelee hadi mwisho❤❤❤
Hii movie inanifunza mengi...namkubali sana bhailam
Kazi nzuri big up
Move kali sana ongera bailam mungu akupe nguv zaid auboi wala nn sasa now kunamtu fulani utaanz kumfunik yani nataman kam wake wenza isingeisha ila atuna jins pia tuludishie recho
Iko poa sana hii series 🎉❤
Waiting is over now😂😂
Nawapenda sana aisee mnafanya kaz nzuri
❤❤❤❤ Tunaokubali
🎉🎉🎉🎉🎉series ya❤ ya shetani 😂😂Tujuane kwa like za kutosha
Kipindi chenye mafunzo mengi👏hongera
Kazi nzuri sana ❤
Maneno ya hiii move yamenigusa sana mwili wote unanisisimka
Sjachelewa sana Leo mungu awafanyie wepes kwenye Kaz zenu❤❤🎉🎉
Wakwamza toka Congo DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩
😂😂kiongozi wawachawi kavaa namawani ndouzuri haha hongeleni sana kazi nzr sema mnachelewesha sana naomi hongela sana uwatetee wanadamu❤❤
Duuh kwaiyo mm kufanya kazi harahara pia nimekuwa wa mwisho siamini Naom my love np omani nikirud nitakutafuta my dear np hap waif za Bure za warabu Aya wale mashagalq wezangu tuliye maliza kazi mapema tujuwane bas
Chacha nakukubali mwanang wa faida uyo mzee miyeyuso muongo balaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ally Babu more respect mwanangu
much love sana bro 🙏🙏🙏🤣🤣
Duuh hyoo mwizi kama sio hyuu mama kuwepo leo agekuja kukuta yairi uwnchani mwake alwaka 🔥🔥🔥🔥 kumbe mwanawe eeee mungu vijan wetu acheni uwizi mtakuwa na porsha wallah
Mutu mwenye akili aji ongeze movie nzuri sana yenye mafundisho 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Naomi naona ushindi mbere yako🙌🙌🙌🙌🙌
Kazi nzuri sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kali sana❤❤❤from Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mchawi wa kuvaa miwani ndio namuona leo ndio uzuli niwachane❤❤❤
Wakwanza mimi like zangu nipeni
Hongera sana wote mnaohusika kutuletea kazi mzuri
Move inatukumbusha kumrudia mungu barikiwen
Wale wa betmama tujuane 🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪
🎉🎉❤❤ nzuri sana nayipenda
Bhailam maneno yako😭😭😭 kweli tunasahau kuna kesho...pamoja na burudani tujifunze pia
Movie naipenda maana iko na mafunzo mengi sana wakenya tujuane hapa❤❤❤❤
Wakwaza kutoka kenya 🇰🇪
Mnafanya vizuri hongereni kitu kimoja tu Rachael actress ndio amekosa
Bhailam alisema hawako na yy tena
@@aishaomar2287 yes but nothing is fine anymore
@@Bibi-he6vt sorry ooh
Bhailam anajua sanaaaaaa
Mdume mizim meupoza mbona mtakufa moja baada ya moja mjipange 😂😂 latifa wapeleke 🔥🔥🔥🔥 hawa nyamenga upo uku ndyo mkume viherehere
Movie nzur sana hii ongeren 👍👍👍🎉
Namimi leo nahitaji 😢 like 😅
Big up sana Naomi bhailam mariam na wengine wote kazi nzuri sana mungu awabiriki sana
Honger San Bhailam na Tim yako sem ukweli mnafany kazi nzuriiiii sanaaa❤❤❤❤❤
Kazi nzuri sana jamani
Mnaomba like badae mtoe maon na kelo ety naomba like🎉
Ila sheteni jaman kamfanya ramso hadi kamsahau naomi😢
Hongera muandaaji
Wachawi hawavaaji miwani nyie macho pia yanakazi.
😂😂😂😂😂😂😂me mwenyewe nimeliona hilo
Mh mchawi na miwani kama huna d2 huwez kuelewa
🎉tujuwane jamani nipeni zangu huku like nipo DRC
😂😂😂yaani wachawi kwenye kikao wanavaaga miwani kumbe duh 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Nimefrahi kumwna swaiba wangu maghembe kanumba the great pacha
Hii ya leo kali
Kiukweli hii movie naikubali sana na anajua kuipangilia sana
hii imekua kali🔥 next part ikuje haraka
Mwapenda kuomba comment sana nyinyi ata mwaboo si mucomment chenye mwajifunza apo 😂😂😂😂😂😂😂😂
Yani hii team hajawai kufeli mko vizuri hadi rahaa
Mbona mnakimbia tena simumuchinje🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️jaman
Tusiopenda like tupoooooh
Naom naom naom my dear umefeli wap mbona hv tena sumaiy kakuupua
Leo naombeni likes hata tano2
Asanteni kwa mafunzo mazuri 🎉🎉🎉
Team bailam Nawapenda sana mno mbona enjo haonekani tena alienda wapi wamepishana na jojo
Atimae ramso amekua msanii mkubwa mungu mwema akupebidii ya kipaji ulicho nacho ndugu yangu amina
Mtoto wa kiume kuomba like huyo ni upinde😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂yeah instead ya kupongeza kaz
Ongela
Palipo naomy hakiwezi kushindikana kitu smailia kitakuramba mda si mrefu😂😂😂,, alafu Jojo apunguze jazba naomy ana plan nzuri❤
Jojo ni kiwiliwili tu ila ndani yake ni shetani
Mashallah ❤🎉
Mupo vizuri sana❤😂🎉😢😮😅😊😊
Mchawi kavaaa mawani kweri kichekeshoo😮😮😮😮
Jaman nimependa hii movie,, Hongeren san 🎉❤ Naomy pamban utashinda tyu
Kweli mungu ndiye kila kitu hakuna mwingine kama yeye mungu nipe uguvu ya kushida majaribu hapa dunian
Team strong tujuwe Kwa hapa like ❤❤❤❤
Muendelea namna hii safi kabisa na inafunza kabisaa🤙🤙🙏
Ni atari mungu atuepushe na shetani😢😢
Ameniudhi sana huyu Yani amekubali kuingizwa kwauchawi wa babaake.🤔
Tupo tunaangalia filam yetu shetan bhailam oyeeee
Abuuqamar.
Kweli hizi ni zama za mwisho
Na istoshe yule mtoto akisema kasema haibadiliki km Qur-an. Nimefrai sana kumbe Mnajuwa km Qur-an ni ukweli mtupu😂❤