SHETANI |Ep 13|
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- #Bhailam#Naomy#comedyplus#2024#
⭐⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use Sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Subscribe hapa : www.youtube.co...
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz
Guys niwaulize kitu ..kwani uwa mnalala hapa you tube😂😂maana imeposiwa 9 mins views en likes kibao😂Aya mm pia wakwanza nipeni likes zangu hapa ❤kutoka 🇰🇪
Huwa tunalala humu
😂😂😂😂😂
Eee naomba nipishe niende chooni😂😂
Hap uwa muda wote tu waif za Bure ndyo maan
Ata mm huwa nashindwa 😅😅watu hawalali kabisa
Watu Waburundi 🇧🇮🇧🇮Tujuwane Basi ❤️❤️❤️ Team Mariamu Mukowapi Shogazangu 😌😌❤❤💜💜 Ira Nimecerewa Nakazi Yamwarabu 🎉🎉
Shaldo ky the Boss ONGOPA masikini wapesa tajiri wama demu mndo mimi ❤❤❤❤❤
Mmb
Nimewahi naomba like zangu jamani kutoka Burundi nawapenda sana kweri
shetani kweli anatupelekesha sana kwenye maisha ya kila cku,, kazi Nzuri Bhailam umefikiria kwa akili sana
Mekutok Lindi nipo ap nawp like mlio Wai naomben like wapenz wa Naomi oyeeee🎉🎉🎉🎉🎉
Jojo has come out with the best name ever, jina lake zuri km yeye. Jojo njoo kwngu bac jamani, You're beautiful haustahik mateso hayo come on😂❤
Team strong mko wapi mbn siwaoni jmn 😢😢😢nawapenda saaaana nawatch nikiwa Riyadh 🇰🇪🇸🇦
Team hamam nikohapa❤
Tupo🤣🤣🤣tulikua twamaliza maliza shuhuliii
Tupo ila bzy tu mpenzi hatma weekend wal Eid😂😂😂
@@Amina-Rshd nmesinywa n io Eid walai 😂
Tupo 😂😂😂🎉🎉
Bhailam mwambie naomi nampenda sana yani anauvaa uhusika kisawa sawa❤
Kazi nzuri sana nawapenda nyote kwaujumla❤
Ivi izo like mnakua mnakula kwa ugali au vp maana kila mtu anaomba like like
Wa mwisho jamani wenzangu naomba likes 🎉🎉❤❤❤
Kazi nzuri bipenzi vyangu nawapenda sana ❤❤❤ 🇧🇮
Toka congo DRC KAZI NZURI 👉🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mzee simba mang'anya kapoteya ao vipi😢 nmemu miss mno❤
Hii movie kama siyo msomi uwezi ukaiyelewa😊😅 hii movie yakisomi zaidi🏃🏃🏃
Mambo ninayoyapenda kazi nzuri sana bro ijumaa kareem
Wa kwanza Mimi Apa toka Burundi 🇧🇮 nipe likke zangu😂,plz!!?
Pia mimi mwenzako🇧🇮🇧🇮
Mwenzenu hapa🇧🇮
Wa kwanz mim leooo🎉🎉🎉🎉
Good job
❤❤❤watatu ngongeni like here
Huyu mganga shenz kweli yaani kwaiy wadada wa wenzie wapitiwe fresh dada zake hapana mpuuzi kweli 😏😏😏😏😏
Ni nzuri san aiseee
Aya..Mwakatobe likes zake😂
Movie nzuri sana next plz 🎉🎉❤
Jamani si mseme mmejifunza nn akhi
Tumejifunza jini ni binadamu wa kawaida waeza tembea nae na usijue ,,,,,na Kila kiumbe kinamtegemea mungu sio binadamu majini Wala mashetani wote ni viumbe vyake ndio mana vyamtukuza siku zote,,,shetani ni hadui wa mwanadamu kumdanganya na kufanya mabaya yasio mpendeza mungu na jini nikiumbe kisicho onekana na binadamu wa kawaida ndio mana waeza tembea njiani ukaona nibinadamu mwenzako kumbe ni jini sema haezi kudhuru kama hujamkosea ama kumgusa pabaya ndio mana tukambiwa mungu hakuumba majini ili wakutane na wanadamu wako na makazi yao na binadamu wako na makazi yao ,,,,sema majini ya Karne hii yamevurugwa na maisha😂
Wa kwanza kutoka zimbabwe nipeni like zangu
ata siku haijaisha Angel ashajulikana
Aki hizi movie zina mafunzo kubwa sana, jamani watu tumuombe Mungu sana ili shetani asipate nafasi ya kutudhuru
Mtuletee episode 14 jamani zenye mnatuletea mnatuvhanganya hatuelewi nakama mmeacha kuigiza mtuambie msituchanganye bwana😢😢
😂😂😂😂😂 ila huyu mwizi chakavu yuwanifraisha yuwataka kwenda sauzi mamake jojo ❤❤❤🎉🎉🎉
Naom naom naom nakupenda 🌹🌹🌹 mm 🇴🇲 rams naom kishakushutikia we ushqkuwa una ruka uck ww rams pole san shetan mtu mbaya saw wallah kineumana baba na mama kwenye ubora wake chakafuu 😂😂jin pia baba uliju baba gani ww 😂😂😂😂
Yes
Sema kimeumanaaa🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️Angle umejisahau etii siri sasa saa umevaayann pili naona Hukuoga mlipomaliza kupeana mahabaa
Hapo sasa ndo "uzuri" pameanza kuchangamka mbo ndo uzuri kuanzia kwa wachawi mpaka majini 😂😂😂😂
😊😊😊😊 watu awajui maali like utoka iii Yako inaitaji like ata vila kuitisha😊😊❤😂😂😂
Hyuu kk kapewa mashet magumu san waganga tupuguzieni bas mashart mengine yatatushinda wallah mtatuache tufel kweny mambo yetu jaman waganga 😂😂
Like kwajili ya naomi Ila mmetisha saana kbx nakubali Saana kbx
Ay naom vp tena hap chakafu utamuwa hyoo mama bora upande ndege nakweli mauza uza kakulete ww 😂😂
Bd naifatilia hii move naipenda mnooo❤❤
the first from burundi
Watu mbalal macho kungij mov😊😊😊
Nlikuwa naisubiri sana Ii wakenya mpoo tujuane ❤❤kama na wew unapenda Ii
Hahaha umeonaeee me yenyew nimekut comment nyingi duh 😢😢😢
Angel hata siku haijapita umeumbuka 😂😂😂
Hana nyota😂😂😂😂
NAOMI ni next level for sure
@@ALIMOHD-bk9lr mnatoa fursa kwenye kuigiza
Nimefurahi kumuona mdog wa Rachel nilimmiss bado rachel
Jamani angel kwa mara ya kwanza tu jojo kashamdaka🤣🤣
Angel kakamatwa 😂😂😂😂😂😂 nzuri sana hongera bailam na kikosi chako 🎉🎉🎉🎉
Waooooh kazi nzuri Saan asante kwakutuongezea dakika
Sumai ww mbaya san wamuacha rafiki yake jojo kisha liwa jaman wanaume hawa mapenz shikamoooo kwaiyo namaisha bad ayaaza kubadilishwa lakn kishaliwa sumsi ww mbaya mganga mbadishiye mashart kipipa nenda mazenze we unafeli wap 😂😂 kipipa kayatimba kwa dada yake mganga
Halafu jojo huyo ni mama yake halisi kabisa make wanafanana
nilihis mi pk ang ndo nimeligundua hilo
Mganga we we ndo humesababisha yote na mteja hakujua kosa lako
Ndo uzuri nikuchaneeee😂😂
Kwakwel Mimi naifuatilia sana hii movie lakin duh sijaelew hata jaman
Ata mim kwel ipo ipo tu
Movie ni nzuri na inatufunza jinsi shetani hutukujia kwa umbile la binadamu na maneno matamu kutuhadaa hivyo badi imani zetu zikiwa hafifu tutapotea
Jamn nmependa kumwona maua🥰🥰🥰
Bado lecho tuu😂
Na mzee king
Kazi nzr sana hii❤❤❤🎉🎉🎉
Pole sana bisharifa ila huku kwakina Jojo Hali nimbaya aisee
Barikiwa. Team bailamu🎉🎉penda sana from uturuk
Sawa ashura kigoma fanya tukuone na sisi tupo karibu na uturuki hapa
Enjoy umeatimb ndugu yngu❤❤❤ jojo anahasil man Ramso amemukata atakuuwa keel😂😂 il onglen nawapend sn kutok Burundi ❤❤❤
Nampenda sana naomi
Kuwai kote uko nimekuwa wa 88 kweli aya team furus team WiFi team kupambana nawapenda aya tusalimiane 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Asalam alykum
@@MkasyswallehsaidSwalleh walykumu msalam warahmatuallah wabarakath mzima
Naomi uu mzuri sana
😂😂ramso ndo kulia gani huko
😂😂😂😂😂😂😂apowisho kimeumana
🎉🎉🎉
Kazi kubwaa
Yaani huu ni huarisia wa maisha yetu wanadamu shetani anatuyumbisha
Movie nzur sana hii
❤❤❤❤ nakupenda dada Naomi
Jamn toeni mawz au maon kuux move at uxhaur Kaz kuomb like ni ugar huu au
Amkeniiiii🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣
Namfananisha sana Ramson na yule chief wa imaya ya nyoka kwenye snakeboy ya VEVO
Bwana mbwela
Nice
Nimefurahi kumuona mau🔥
Kazinzuri sana
Good job ❤🇧🇮
An naomi kila sekta anaweza ila nampenda sana mariamu kwakweli ngekua mkubwa ngemuoa🙏
Jamani recho tume miss
Tamu Sanaa
❤❤❤❤
Ndouzuli 🎉
Epi to epi❤❤
Hii movie inazidi kuwa nzuri sana ahsanteni🥰
Nice ❤❤❤
😢😢huyo jini simpendi
Kazi nzuri bro bhailam Naomi mariam
☺️👋🇰🇪
Ssasa naomi si umsaidie huyo ramso si unajua fika si akili yake
ramso kule kwa wake wenza..ulikua wamtaka jojo sana.. chuma hicho...
Courage ❤❤❤❤❤❤
da Moto San ii🎉🎉
Mapenzi gani hayo ya kufichwa kama bangi
bora mmerekebisha hili
Ili season halitakiwi kuisha
🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲💪
❤❤🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Time naomi mko wapi❤❤
Mwishoni amuereweki
Kama mulishaka mtiya wapi recho jamani?😂n'a mtaka recho jamani
Au sio kk😂ndege ndege...tuko huku tyr tunakusubiria ww tu
Nakuja uko soon ngoja nitibue uku