SHETANI |Ep 13|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • #Bhailam#Naomy#comedyplus#2024#
    ⭐⭐ Disclaimer
    This Content is Totally made by us, Don't use Sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
    For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
    Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
    Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
    Subscribe hapa : www.youtube.co...
    Subscribe hapa : / @bhailamkhan
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz

Комментарии • 253

  • @MariamMariam-h8h
    @MariamMariam-h8h 3 месяца назад +118

    Guys niwaulize kitu ..kwani uwa mnalala hapa you tube😂😂maana imeposiwa 9 mins views en likes kibao😂Aya mm pia wakwanza nipeni likes zangu hapa ❤kutoka 🇰🇪

    • @YasithaEdward
      @YasithaEdward 3 месяца назад +3

      Huwa tunalala humu

    • @Premice-qf5tj
      @Premice-qf5tj 3 месяца назад +2

      😂😂😂😂😂

    • @rechokizumbe7314
      @rechokizumbe7314 3 месяца назад +3

      Eee naomba nipishe niende chooni😂😂

    • @Mwana85Mwana85-wz1ol
      @Mwana85Mwana85-wz1ol 3 месяца назад +2

      Hap uwa muda wote tu waif za Bure ndyo maan

    • @LubuguMaryam
      @LubuguMaryam 3 месяца назад +1

      Ata mm huwa nashindwa 😅😅watu hawalali kabisa

  • @Jajakanjaniri
    @Jajakanjaniri 3 месяца назад +9

    Watu Waburundi 🇧🇮🇧🇮Tujuwane Basi ❤️❤️❤️ Team Mariamu Mukowapi Shogazangu 😌😌❤❤💜💜 Ira Nimecerewa Nakazi Yamwarabu 🎉🎉

  • @shaldoky9382
    @shaldoky9382 3 месяца назад +19

    Shaldo ky the Boss ONGOPA masikini wapesa tajiri wama demu mndo mimi ❤❤❤❤❤

  • @JosephaGraceNtakirutimana
    @JosephaGraceNtakirutimana 3 месяца назад +17

    Nimewahi naomba like zangu jamani kutoka Burundi nawapenda sana kweri

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 3 месяца назад +6

    shetani kweli anatupelekesha sana kwenye maisha ya kila cku,, kazi Nzuri Bhailam umefikiria kwa akili sana

  • @WisdomMarcus-ii3mi
    @WisdomMarcus-ii3mi 3 месяца назад +30

    Mekutok Lindi nipo ap nawp like mlio Wai naomben like wapenz wa Naomi oyeeee🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KhadijaAli-e7e
    @KhadijaAli-e7e 3 месяца назад +8

    Jojo has come out with the best name ever, jina lake zuri km yeye. Jojo njoo kwngu bac jamani, You're beautiful haustahik mateso hayo come on😂❤

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 3 месяца назад +25

    Team strong mko wapi mbn siwaoni jmn 😢😢😢nawapenda saaaana nawatch nikiwa Riyadh 🇰🇪🇸🇦

    • @philohmutua2968
      @philohmutua2968 3 месяца назад +1

      Team hamam nikohapa❤

    • @ZaithuniNassir
      @ZaithuniNassir 3 месяца назад +1

      Tupo🤣🤣🤣tulikua twamaliza maliza shuhuliii

    • @Amina-Rshd
      @Amina-Rshd 3 месяца назад +1

      Tupo ila bzy tu mpenzi hatma weekend wal Eid😂😂😂

    • @judithpendo9985
      @judithpendo9985 3 месяца назад +1

      @@Amina-Rshd nmesinywa n io Eid walai 😂

    • @PriscalMummy
      @PriscalMummy 3 месяца назад +1

      Tupo 😂😂😂🎉🎉

  • @SaraphinaFundi-rl2hx
    @SaraphinaFundi-rl2hx 3 месяца назад +5

    Bhailam mwambie naomi nampenda sana yani anauvaa uhusika kisawa sawa❤

  • @SalamaTaura
    @SalamaTaura 3 месяца назад +10

    Kazi nzuri sana nawapenda nyote kwaujumla❤

  • @AsiaChia-n7y
    @AsiaChia-n7y 3 месяца назад +23

    Ivi izo like mnakua mnakula kwa ugali au vp maana kila mtu anaomba like like

  • @moulynnyaboke-sh9vj
    @moulynnyaboke-sh9vj 3 месяца назад +11

    Wa mwisho jamani wenzangu naomba likes 🎉🎉❤❤❤

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 3 месяца назад +5

    Kazi nzuri bipenzi vyangu nawapenda sana ❤❤❤ 🇧🇮

  • @DieudonneSylvain
    @DieudonneSylvain 3 месяца назад +22

    Toka congo DRC KAZI NZURI 👉🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @alfredtebeka2497
    @alfredtebeka2497 3 месяца назад +8

    Mzee simba mang'anya kapoteya ao vipi😢 nmemu miss mno❤

  • @OmanMuscut-ju3xp
    @OmanMuscut-ju3xp 3 месяца назад +7

    Hii movie kama siyo msomi uwezi ukaiyelewa😊😅 hii movie yakisomi zaidi🏃🏃🏃

  • @nasraemmanuel
    @nasraemmanuel 3 месяца назад +8

    Mambo ninayoyapenda kazi nzuri sana bro ijumaa kareem

  • @Bienvenue-yk4eg
    @Bienvenue-yk4eg 3 месяца назад +62

    Wa kwanza Mimi Apa toka Burundi 🇧🇮 nipe likke zangu😂,plz!!?

  • @AshaKarim-jz6zz
    @AshaKarim-jz6zz 3 месяца назад +10

    Wa kwanz mim leooo🎉🎉🎉🎉

  • @DavidNthiwa
    @DavidNthiwa 3 месяца назад +10

    Good job

  • @InnocentNdayi-cn3vk
    @InnocentNdayi-cn3vk 3 месяца назад +18

    ❤❤❤watatu ngongeni like here

  • @AmeirhajjRamadhan-e1h
    @AmeirhajjRamadhan-e1h 3 месяца назад +4

    Huyu mganga shenz kweli yaani kwaiy wadada wa wenzie wapitiwe fresh dada zake hapana mpuuzi kweli 😏😏😏😏😏

  • @MOUNTFIREGOSPELCHOIR-CHAMWINOI
    @MOUNTFIREGOSPELCHOIR-CHAMWINOI 3 месяца назад +7

    Ni nzuri san aiseee

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 3 месяца назад +14

    Aya..Mwakatobe likes zake😂

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад +4

    Movie nzuri sana next plz 🎉🎉❤

  • @FloraMwelu-xu1fv
    @FloraMwelu-xu1fv 3 месяца назад +6

    Jamani si mseme mmejifunza nn akhi

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 3 месяца назад

      Tumejifunza jini ni binadamu wa kawaida waeza tembea nae na usijue ,,,,,na Kila kiumbe kinamtegemea mungu sio binadamu majini Wala mashetani wote ni viumbe vyake ndio mana vyamtukuza siku zote,,,shetani ni hadui wa mwanadamu kumdanganya na kufanya mabaya yasio mpendeza mungu na jini nikiumbe kisicho onekana na binadamu wa kawaida ndio mana waeza tembea njiani ukaona nibinadamu mwenzako kumbe ni jini sema haezi kudhuru kama hujamkosea ama kumgusa pabaya ndio mana tukambiwa mungu hakuumba majini ili wakutane na wanadamu wako na makazi yao na binadamu wako na makazi yao ,,,,sema majini ya Karne hii yamevurugwa na maisha😂

  • @MichaelCharles-uo6rw
    @MichaelCharles-uo6rw 3 месяца назад +6

    Wa kwanza kutoka zimbabwe nipeni like zangu

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 3 месяца назад +12

    ata siku haijaisha Angel ashajulikana

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 3 месяца назад +4

    Aki hizi movie zina mafunzo kubwa sana, jamani watu tumuombe Mungu sana ili shetani asipate nafasi ya kutudhuru

  • @PamellahAmbari
    @PamellahAmbari 3 месяца назад +2

    Mtuletee episode 14 jamani zenye mnatuletea mnatuvhanganya hatuelewi nakama mmeacha kuigiza mtuambie msituchanganye bwana😢😢

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂 ila huyu mwizi chakavu yuwanifraisha yuwataka kwenda sauzi mamake jojo ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 3 месяца назад +2

    Naom naom naom nakupenda 🌹🌹🌹 mm 🇴🇲 rams naom kishakushutikia we ushqkuwa una ruka uck ww rams pole san shetan mtu mbaya saw wallah kineumana baba na mama kwenye ubora wake chakafuu 😂😂jin pia baba uliju baba gani ww 😂😂😂😂

  • @SaidiYusuphOggar
    @SaidiYusuphOggar 3 месяца назад +7

    Yes

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 месяца назад +1

    Sema kimeumanaaa🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️Angle umejisahau etii siri sasa saa umevaayann pili naona Hukuoga mlipomaliza kupeana mahabaa

  • @Diyankurze
    @Diyankurze 3 месяца назад +2

    Hapo sasa ndo "uzuri" pameanza kuchangamka mbo ndo uzuri kuanzia kwa wachawi mpaka majini 😂😂😂😂

    • @finegatwiri2597
      @finegatwiri2597 3 месяца назад

      😊😊😊😊 watu awajui maali like utoka iii Yako inaitaji like ata vila kuitisha😊😊❤😂😂😂

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 3 месяца назад +2

    Hyuu kk kapewa mashet magumu san waganga tupuguzieni bas mashart mengine yatatushinda wallah mtatuache tufel kweny mambo yetu jaman waganga 😂😂

  • @NtakirutimanaSaidi-t8o
    @NtakirutimanaSaidi-t8o 3 месяца назад +3

    Like kwajili ya naomi Ila mmetisha saana kbx nakubali Saana kbx

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 3 месяца назад +2

    Ay naom vp tena hap chakafu utamuwa hyoo mama bora upande ndege nakweli mauza uza kakulete ww 😂😂

  • @ZainabuSalehe-hi2pw
    @ZainabuSalehe-hi2pw 2 месяца назад +1

    Bd naifatilia hii move naipenda mnooo❤❤

  • @meddysaleh-sj7eh
    @meddysaleh-sj7eh 3 месяца назад +4

    the first from burundi

  • @JaneSanga-b5n
    @JaneSanga-b5n 3 месяца назад +2

    Watu mbalal macho kungij mov😊😊😊

  • @fatumamohamed4545
    @fatumamohamed4545 3 месяца назад +1

    Nlikuwa naisubiri sana Ii wakenya mpoo tujuane ❤❤kama na wew unapenda Ii

  • @WisdomMarcus-ii3mi
    @WisdomMarcus-ii3mi 3 месяца назад +2

    Hahaha umeonaeee me yenyew nimekut comment nyingi duh 😢😢😢

  • @tuombemamila1364
    @tuombemamila1364 3 месяца назад +4

    Angel hata siku haijapita umeumbuka 😂😂😂

    • @Lidiasaumu
      @Lidiasaumu 3 месяца назад

      Hana nyota😂😂😂😂

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 3 месяца назад +2

    NAOMI ni next level for sure

    • @RebeccaIlembo
      @RebeccaIlembo 2 месяца назад

      @@ALIMOHD-bk9lr mnatoa fursa kwenye kuigiza

  • @gracekayumba-z9l
    @gracekayumba-z9l 3 месяца назад +4

    Nimefurahi kumuona mdog wa Rachel nilimmiss bado rachel

  • @felistercharles
    @felistercharles 3 месяца назад +2

    Jamani angel kwa mara ya kwanza tu jojo kashamdaka🤣🤣

  • @VirginiaGoro-p6m
    @VirginiaGoro-p6m 3 месяца назад +1

    Angel kakamatwa 😂😂😂😂😂😂 nzuri sana hongera bailam na kikosi chako 🎉🎉🎉🎉

  • @joselynehabimana5186
    @joselynehabimana5186 3 месяца назад +1

    Waooooh kazi nzuri Saan asante kwakutuongezea dakika

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 3 месяца назад +2

    Sumai ww mbaya san wamuacha rafiki yake jojo kisha liwa jaman wanaume hawa mapenz shikamoooo kwaiyo namaisha bad ayaaza kubadilishwa lakn kishaliwa sumsi ww mbaya mganga mbadishiye mashart kipipa nenda mazenze we unafeli wap 😂😂 kipipa kayatimba kwa dada yake mganga

  • @AnithaStiven
    @AnithaStiven 3 месяца назад +4

    Halafu jojo huyo ni mama yake halisi kabisa make wanafanana

    • @shadiaabdul9287
      @shadiaabdul9287 3 месяца назад

      nilihis mi pk ang ndo nimeligundua hilo

  • @AminaMjema-vf5nt
    @AminaMjema-vf5nt 3 месяца назад +2

    Mganga we we ndo humesababisha yote na mteja hakujua kosa lako

  • @HuseniSabiti
    @HuseniSabiti 3 месяца назад +2

    Ndo uzuri nikuchaneeee😂😂

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc 3 месяца назад +10

    Kwakwel Mimi naifuatilia sana hii movie lakin duh sijaelew hata jaman

    • @asdfhdv9230
      @asdfhdv9230 3 месяца назад

      Ata mim kwel ipo ipo tu

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 3 месяца назад +1

      Movie ni nzuri na inatufunza jinsi shetani hutukujia kwa umbile la binadamu na maneno matamu kutuhadaa hivyo badi imani zetu zikiwa hafifu tutapotea

  • @kibibimlaula2526
    @kibibimlaula2526 3 месяца назад +3

    Jamn nmependa kumwona maua🥰🥰🥰

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 3 месяца назад

    Kazi nzr sana hii❤❤❤🎉🎉🎉

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 3 месяца назад

    Pole sana bisharifa ila huku kwakina Jojo Hali nimbaya aisee

  • @AshuraKigoma-vf7wb
    @AshuraKigoma-vf7wb 3 месяца назад

    Barikiwa. Team bailamu🎉🎉penda sana from uturuk

    • @ShabanAbdulrahman-b6r
      @ShabanAbdulrahman-b6r Месяц назад

      Sawa ashura kigoma fanya tukuone na sisi tupo karibu na uturuki hapa

  • @SamanthaMugisha-n9x
    @SamanthaMugisha-n9x 3 месяца назад +1

    Enjoy umeatimb ndugu yngu❤❤❤ jojo anahasil man Ramso amemukata atakuuwa keel😂😂 il onglen nawapend sn kutok Burundi ❤❤❤

  • @MwanaidiHussein-ne1nn
    @MwanaidiHussein-ne1nn 3 месяца назад +1

    Nampenda sana naomi

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 3 месяца назад +8

    Kuwai kote uko nimekuwa wa 88 kweli aya team furus team WiFi team kupambana nawapenda aya tusalimiane 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @franknyaganya1453
    @franknyaganya1453 3 месяца назад +1

    Naomi uu mzuri sana

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 3 месяца назад +1

    😂😂ramso ndo kulia gani huko

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂apowisho kimeumana

  • @AllyJohn-w1t
    @AllyJohn-w1t 3 месяца назад +3

    🎉🎉🎉

  • @nationaltrendingmedia4603
    @nationaltrendingmedia4603 3 месяца назад +1

    Kazi kubwaa

  • @MerrryMerry-mo2en
    @MerrryMerry-mo2en 2 месяца назад

    Yaani huu ni huarisia wa maisha yetu wanadamu shetani anatuyumbisha

  • @OswardDebwa-zq3ez
    @OswardDebwa-zq3ez 3 месяца назад +1

    Movie nzur sana hii

  • @HanifaHabibo
    @HanifaHabibo 3 месяца назад

    ❤❤❤❤ nakupenda dada Naomi

  • @SelinaSelina-sv2fv
    @SelinaSelina-sv2fv 3 месяца назад

    Jamn toeni mawz au maon kuux move at uxhaur Kaz kuomb like ni ugar huu au

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 3 месяца назад +2

    Amkeniiiii🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣

  • @PhanyKemunto
    @PhanyKemunto 3 месяца назад

    Namfananisha sana Ramson na yule chief wa imaya ya nyoka kwenye snakeboy ya VEVO

  • @Msomal47
    @Msomal47 3 месяца назад +3

    Nice

  • @lulupeter-xf9gs
    @lulupeter-xf9gs 3 месяца назад

    Nimefurahi kumuona mau🔥

  • @DishaniDisha-zm2gm
    @DishaniDisha-zm2gm 3 месяца назад

    Kazinzuri sana

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 3 месяца назад

    Good job ❤🇧🇮

  • @ShabanAbdulrahman-b6r
    @ShabanAbdulrahman-b6r Месяц назад

    An naomi kila sekta anaweza ila nampenda sana mariamu kwakweli ngekua mkubwa ngemuoa🙏

  • @pacifiquekamundu
    @pacifiquekamundu 3 месяца назад +1

    Jamani recho tume miss

  • @maulidimbona9420
    @maulidimbona9420 3 месяца назад +1

    Tamu Sanaa

  • @edwardkiyulee4956
    @edwardkiyulee4956 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤

  • @MariamAli-eh6bw
    @MariamAli-eh6bw 3 месяца назад

    Ndouzuli 🎉

  • @patrickmvera6487
    @patrickmvera6487 3 месяца назад +1

    Epi to epi❤❤

  • @khadijasaleh898
    @khadijasaleh898 3 месяца назад

    Hii movie inazidi kuwa nzuri sana ahsanteni🥰

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 3 месяца назад +1

    😢😢huyo jini simpendi

  • @AliMunga-c8n
    @AliMunga-c8n 3 месяца назад

    Kazi nzuri bro bhailam Naomi mariam

  • @cheromercy9260
    @cheromercy9260 3 месяца назад +2

    ☺️👋🇰🇪

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 3 месяца назад

    Ssasa naomi si umsaidie huyo ramso si unajua fika si akili yake

  • @AraphatSema
    @AraphatSema 3 месяца назад

    ramso kule kwa wake wenza..ulikua wamtaka jojo sana.. chuma hicho...

  • @arikibok4735
    @arikibok4735 3 месяца назад +1

    Courage ❤❤❤❤❤❤

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo 3 месяца назад

    da Moto San ii🎉🎉

  • @mejubagu6825
    @mejubagu6825 3 месяца назад +1

    Mapenzi gani hayo ya kufichwa kama bangi

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 3 месяца назад +1

    bora mmerekebisha hili

  • @boxdad
    @boxdad 3 месяца назад +1

    Ili season halitakiwi kuisha

  • @AmeirhajjRamadhan-e1h
    @AmeirhajjRamadhan-e1h 3 месяца назад +2

    🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲💪

  • @FaudhiaNjombi
    @FaudhiaNjombi 3 месяца назад

    ❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @marynyota6146
    @marynyota6146 3 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @karembo7082
    @karembo7082 3 месяца назад +1

    Time naomi mko wapi❤❤

  • @mocambiquetouch
    @mocambiquetouch 3 месяца назад

    Mwishoni amuereweki

  • @JanvierIrengenshamamba
    @JanvierIrengenshamamba 3 месяца назад

    Kama mulishaka mtiya wapi recho jamani?😂n'a mtaka recho jamani

  • @halemamoon1782
    @halemamoon1782 3 месяца назад

    Au sio kk😂ndege ndege...tuko huku tyr tunakusubiria ww tu