Kutana na Mazuzu Comedy | Akili Zao Wanazijua Wenyewe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 59

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Год назад +1

    Nyie namba moja hamna mpinzani, uigizaji wenu ni tofauti na comedian wengine, rudini tena kama zamani mlipokuwa EAtv .

  • @eddybrokalieddybrokali
    @eddybrokalieddybrokali Год назад +1

    kuna laputopu😂😂😂huku kwenye haya mabegi

  • @isayayohana6341
    @isayayohana6341 2 года назад +1

    Aise hawa mijamaa kweli ni mazuzu

  • @rogathikaziyamungu9554
    @rogathikaziyamungu9554 10 месяцев назад

    2023 where are these guys?

  • @jacksonvalence7365
    @jacksonvalence7365 3 года назад +3

    Huhahhuh mazuzu kwa upyaa na mkate wa buku na buku miatano

  • @habibuahmadiabdallah4280
    @habibuahmadiabdallah4280 2 года назад

    Nawakubali mnaweza sana......
    Mnaweza ata kumfanya punda acheke....
    Ila mm kwa mawazo yangu msitafute stry au kufikiria stry flani ili muifanyie commedy...
    Maana sty nyingi tayari zimeshafanyiwa commedy na stry nyengne hazina jambo la kujifunza unapotazana...
    Mm ningeshauri mufanye commedy kuendana na matukio nchini na kuweza kuisadia jamii kujifunza...
    Au ku rise ishu ambayo watu hawailewi wanahitaji waielewe.....
    Apo mtaisaidia jamii na nchi kwa ujumla.....

  • @lightnessmmary7935
    @lightnessmmary7935 3 года назад +1

    Upo vizuri mtangazaji tuna kupata vizur

  • @sadockalfred1710
    @sadockalfred1710 3 года назад +2

    Eti kuna kipindi tunacheka wenyewe nyie noma nawapenda aise

  • @Ndagoselemani
    @Ndagoselemani 3 года назад +3

    Nimecheka sana jaman

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 Год назад

    Noma sana

  • @olaissaitoti3550
    @olaissaitoti3550 3 года назад +1

    I love these guys

  • @ringoaskali7625
    @ringoaskali7625 3 года назад +2

    Dha nimemmiss sana kiwewe na masawe noma sana hao jamaa

  • @harounsaid580
    @harounsaid580 3 года назад +4

    Hahahahaa...
    masaweee

  • @alexmlinda9399
    @alexmlinda9399 3 года назад +1

    Kali Sana

  • @franciskavyega280
    @franciskavyega280 3 года назад +2

    Ko uku tumekuja kukosa?!...MASAWE bna 😅 hahaha

  • @abdaiiyatv7570
    @abdaiiyatv7570 3 года назад +3

    Kichekoooo hatari

  • @frankmwampamba166
    @frankmwampamba166 3 года назад +2

    Atar sana

  • @fadhilisec8456
    @fadhilisec8456 3 года назад +7

    Gonga like kama mtangazaji ni kidoti

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 3 года назад +1

    Daah hawa jamaa kitambo nilikuwa nawakubali nooma

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад

    etiiii kimetuleta ni njaa tu 😄🤣😂😆😄🤣😂

  • @khaidariylijonjo5716
    @khaidariylijonjo5716 3 года назад +1

    Eti Mungu ni mnene 😀😀😀

  • @omaryhossen8908
    @omaryhossen8908 3 года назад

    Nawakubar sana

  • @fridajoseph516
    @fridajoseph516 3 года назад +3

    Nimewamiss sana.

  • @ymusic1299
    @ymusic1299 3 года назад

    Hahahahaha nyie ni fireee

  • @djmaster4928
    @djmaster4928 2 года назад

    Kwani huku tumekuja kukosa 😆😆😆😆😆

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi202 2 года назад

    Mtangazaji nimekupenda bure

  • @emmanuelngonda1600
    @emmanuelngonda1600 2 года назад

    Mbona hamtoi mpya mazuz vp

  • @jowimacosogo9219
    @jowimacosogo9219 3 года назад

    I like it

  • @veboytz7064
    @veboytz7064 3 года назад +1

    Hahahahaha, hatariii

  • @joanejoel159
    @joanejoel159 3 года назад

    Jaman nilikuwa na mtafuta sana masawe oyoooo umenierewaa hahaaaa

  • @hendryjoseph5196
    @hendryjoseph5196 3 года назад

    Hahaha noma hakuna anao wapta

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 3 года назад +2

    Mkate wa buku na wabuku mia tano

  • @njillihotz2785
    @njillihotz2785 3 года назад

    Kwa Hawa jamaa hakuna anaewagusa wapo vzr

  • @jassontv5366
    @jassontv5366 3 года назад

    Sasa nini kimewafanya kurudi pamoja?..............Ni Njaa tu. daah Nimependa ahaahaaaa

  • @moudyhamisi2641
    @moudyhamisi2641 3 года назад +1

    Masawe duh kitambo sana brother

  • @hafidhmajaliwa6872
    @hafidhmajaliwa6872 3 года назад +2

    Mazuzu km mazuzu

  • @ngalawekikohingalawekikohi4768
    @ngalawekikohingalawekikohi4768 3 года назад +2

    Mtangazaji kwan wewe kimekuleta nn apa

  • @jonathanicrisatijonathanic6708
    @jonathanicrisatijonathanic6708 3 года назад

    Mucheki Giva akiwa na sitamina ngoma kali sana

  • @abbakarsaidimsigwa871
    @abbakarsaidimsigwa871 3 года назад

    masaweeeeee

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga6749 3 года назад

    Dada ilove you unatangaza vzr sana nimekupenda naomba u reply tu nifurahie jmn

  • @josephelias3004
    @josephelias3004 3 года назад +2

    hahahahahahahahahahh

  • @jenynaafya
    @jenynaafya 3 года назад

    Fahamu dalili za tezi dume
    1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
    2.mkojo kutoka kisiri siri
    3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
    4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
    5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
    Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
    🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
    🔸 Saratani ya tezi dume
    🔸Figo kufeli
    🔸Mawe kwenye figo
    🔸Kifo
    Kwa ushauri na tiba 0655523211

  • @evamartin863
    @evamartin863 3 года назад

    eti tumekuja kukosa😃😃😃

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 3 года назад

    Host hakuna kitu apo

  • @mhandoomary7398
    @mhandoomary7398 3 года назад

    Ww mtangazaj umefata nn😁😁😁😁

  • @kefasonivenace4301
    @kefasonivenace4301 3 года назад +2

    Inarushwa clouds au ITV

  • @dbwaxvevo5780
    @dbwaxvevo5780 3 года назад +1

    macomedi ndo nn sema macomedian

  • @simonwoisso1831
    @simonwoisso1831 Год назад

    Aggah

  • @dicksonhealthcare3016
    @dicksonhealthcare3016 3 года назад

    DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
    Ni Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.
    Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0678496912

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sanimoclassic1917
    @sanimoclassic1917 3 года назад

    Hyu dada hta hajui kutangaza