Naomba niulize swali hiv mbeya ndo watu wanaokula2? Mana sjawahi kuona mtu mwembamba wa mbeya kama nmwanamke utakuta mfupi nyuma kafungasha mwanaume ni jibaba au mbeya kuna madini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️ gan wa kulungwa? Naomba kulejesha
Kwanza ni asili alafu vyakula vya Mbeya ndiz,ugal,mihogo,viaz,wali,maziwa Hivyo vyote vinapatikana kwa wingi2 Cha ziada ata hali ya hewa ni nzur Karib sana Mbeya ndugu yang
Huyu kweli luka dahhh😂😂
Luka wewe ni msanij nakupenda sana
Home Boy unanipa Hamasa sana ya kuendelea Kupambana God Bless you..!
Interview Kama Hizi Muwe Mnawekaa Mapemaa
Mkaka anaadabu huyu da! Nimependa aisee
Mwamba anajibu kwa hekima mnoo
.😅😅😅😅😅😅wewe luka asante
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Naomba niulize swali hiv mbeya ndo watu wanaokula2? Mana sjawahi kuona mtu mwembamba wa mbeya kama nmwanamke utakuta mfupi nyuma kafungasha mwanaume ni jibaba au mbeya kuna madini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️ gan wa kulungwa? Naomba kulejesha
Hahahahaha
@@shedrackdaudi3403 maparachichi
Ugari baba
Kwanza ni asili alafu vyakula vya Mbeya ndiz,ugal,mihogo,viaz,wali,maziwa
Hivyo vyote vinapatikana kwa wingi2
Cha ziada ata hali ya hewa ni nzur
Karib sana Mbeya ndugu yang
@@umojamedia4167 Ahsante nataka kuoa mbeya🙏🙏