Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Aaaaa huyu jamaa anajuwa kuact,tena hodari..na yuko sawa full idara,yuko full package katika kuigizaa,na namuona mbali sana sana,hongera kwake🙌🏻
Nakupenda sana mungu akuongezee maarifa Na nguvu
Jamani ruka na mama yake wanajua kuuvaa uhalisia Hadi Raha 🥰💕
mtangazaji una maswali poa sana na unaongea vizuri sana kazi nzuri luka napenda akt zako uko poa nimekuskiza kwamakini
Jamaa anajua anajua anajua anajua tena
Uko juu papa
Mimi nakupenda bure,sema walizwa sana bana🥰😢
Ww uko juu
NAKUPENDA Sana kakayangu Luka Kwa aajil ya Allah mungu akuongoze na akulinde ,, akubaliki kwenye kaz zako ♥️💗💗💓💓💘💘💘💘🇹🇿
Hongera luka uko vizuri umevaa uhalisia
Uko vizuli sana kaka unavaa uhusika 🙌
Sanaaaaaa
Huyu kaka nampendaa, halafu nampendaa tena toka TMT...
Yuko juu sana my brother na anajua kuigiza congratulations
Kilamtu na kipaji chake ila kaka issa ukosawa nkupedea tu hivyo kakngu mungu ukuzidshie zaidi na akuepushe na waja mob love my brother ❤️
Dahhh sure mwanangu najiona mm kwa speech ako man
Mm naomba jua kal iwepo you tube kadri inavyotoka coz cc tupo mbal sa
I love this man jamn
Luka uko vizur kaka hongera Sana piga kaz kaka💪💪💪💪💪
Ni muigizaji poaaa sanaaaa.... Ila unauzi luka jaman kulia liaa yaan
Bonge la Actor kiukweli, ni m1 katika 5 bora yangu ya waigizaji hapa Tz.
Honger sana kak kwa kazi nzuri big Gap Sana 🤝🙏🇹🇿
Nampenda sana huyu kaka anavyo igiza
kazi nzuri luka wetu
Kazi nzuri sana! Naomba kujua jina halisi la mama Luka plse!
Nampenda isarito
❤
Bro mm nakupenda bureee
Luka ila unafanya na mm nalia kama ile mama kaandaa chakula ndo maria kaingia mitini daah nilijikuta nalia
Uyu jamaa anajua sana
Hivi Luka, Maria huwezi kumuacha
Luka 😪
Luka unajua 🔥
Uyu kaka nampenda kweli
Mie nakupenda mno ruka
Isarito ni fundi
Luka uko poa sana kwa kazi yako
Luka upo vizuri unajua kuigiza hongera sana
Umetisha sana bro
Uko ktk kazi sio wengine wanauza sura ktk wanaa
anajitahidi sana gwakukajha
NAAM NAAM NAAM 👍
Love you luka
Huwa siwafagilii Sana, ila jamaa we ni hatari.
Mimi nilianza kukupenda kwenye mimi ya Elizabeth a.k.a lulu
luka unajua
🔥😍
kweli wateseka na mm nipo hahahaha
Sky kazi njema
💪🏻
❤❤
Unajua kaka hongra Sana
Juakali ni uhalisia wa maisha
Huyu anajua
Ivi ndo yule anayefanya pia na mboneke comedian
Yp
Luka unatupa huzuni ww na mmko vile ameakti mlemavu ukilia naukizungumza huku unalia yenyewe niuhodar
sasa hivi mbona hamrush kwa wakat?
Yani Kama mm ananipa hasira Sana kwa jinsi anavyo mngangania Maria na wakati yule demu anaye mpenda mama yake nimzuri kuliko maria
Kumbe luka ni mzuri
😍😍😘😘
ila Nyiye uyu Lucas anaonekana ni Romantic sana ana Mapenzi ya Dhati ya dhati jamani oama ndo jinsi yuko kwenye Maisha ya kawaida Raha tupuu
Luka kaka daaah hiki kisa ni mimi kabisa wala hakina tofout ata kidg
sijaona kuanzia jumamosi lakini leo nimeona ya jumanne
Mi mwenyewe unanikwaza je kaka yani ujuwi tu mkaziye
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
IG yake ipi?, nampenda sana Isolate
Luka upo vizuri sanaaaaaaaaaaa 🙏
Sns 💥💥💥
Luka nakupenda ila unaniliza sana
Aaaaa huyu jamaa anajuwa kuact,tena hodari..na yuko sawa full idara,yuko full package katika kuigizaa,na namuona mbali sana sana,hongera kwake🙌🏻
Nakupenda sana mungu akuongezee maarifa
Na nguvu
Jamani ruka na mama yake wanajua kuuvaa uhalisia Hadi Raha 🥰💕
mtangazaji una maswali poa sana na unaongea vizuri sana kazi nzuri
luka napenda akt zako uko poa nimekuskiza kwamakini
Jamaa anajua anajua anajua anajua tena
Uko juu papa
Mimi nakupenda bure,sema walizwa sana bana🥰😢
Ww uko juu
NAKUPENDA Sana kakayangu Luka Kwa aajil ya Allah mungu akuongoze na akulinde ,, akubaliki kwenye kaz zako ♥️💗💗💓💓💘💘💘💘🇹🇿
Hongera luka uko vizuri umevaa uhalisia
Uko vizuli sana kaka unavaa uhusika 🙌
Sanaaaaaa
Huyu kaka nampendaa, halafu nampendaa tena toka TMT...
Yuko juu sana my brother na anajua kuigiza congratulations
Kilamtu na kipaji chake ila kaka issa ukosawa nkupedea tu hivyo kakngu mungu ukuzidshie zaidi na akuepushe na waja mob love my brother ❤️
Dahhh sure mwanangu najiona mm kwa speech ako man
Mm naomba jua kal iwepo you tube kadri inavyotoka coz cc tupo mbal sa
I love this man jamn
Luka uko vizur kaka hongera Sana piga kaz kaka💪💪💪💪💪
Ni muigizaji poaaa sanaaaa.... Ila unauzi luka jaman kulia liaa yaan
Bonge la Actor kiukweli, ni m1 katika 5 bora yangu ya waigizaji hapa Tz.
Honger sana kak kwa kazi nzuri big Gap Sana 🤝🙏🇹🇿
Nampenda sana huyu kaka anavyo igiza
kazi nzuri luka wetu
Kazi nzuri sana! Naomba kujua jina halisi la mama Luka plse!
Nampenda isarito
❤
Bro mm nakupenda bureee
Luka ila unafanya na mm nalia kama ile mama kaandaa chakula ndo maria kaingia mitini daah nilijikuta nalia
Uyu jamaa anajua sana
Hivi Luka, Maria huwezi kumuacha
Luka 😪
Luka unajua 🔥
Uyu kaka nampenda kweli
Mie nakupenda mno ruka
Isarito ni fundi
Luka uko poa sana kwa kazi yako
Luka upo vizuri unajua kuigiza hongera sana
Umetisha sana bro
Uko ktk kazi sio wengine wanauza sura ktk wanaa
anajitahidi sana gwakukajha
NAAM NAAM NAAM 👍
Love you luka
Huwa siwafagilii Sana, ila jamaa we ni hatari.
Mimi nilianza kukupenda kwenye mimi ya Elizabeth a.k.a lulu
luka unajua
🔥😍
kweli wateseka na mm nipo hahahaha
Sky kazi njema
💪🏻
❤❤
Unajua kaka hongra Sana
Juakali ni uhalisia wa maisha
Huyu anajua
Ivi ndo yule anayefanya pia na mboneke comedian
Yp
Luka unatupa huzuni ww na mmko vile ameakti mlemavu ukilia naukizungumza huku unalia yenyewe niuhodar
sasa hivi mbona hamrush kwa wakat?
Yani Kama mm ananipa hasira Sana kwa jinsi anavyo mngangania Maria na wakati yule demu anaye mpenda mama yake nimzuri kuliko maria
Kumbe luka ni mzuri
😍😍😘😘
ila Nyiye uyu Lucas anaonekana ni Romantic sana ana Mapenzi ya Dhati ya dhati jamani oama ndo jinsi yuko kwenye Maisha ya kawaida Raha tupuu
Luka kaka daaah hiki kisa ni mimi kabisa wala hakina tofout ata kidg
sijaona kuanzia jumamosi lakini leo nimeona ya jumanne
Mi mwenyewe unanikwaza je kaka yani ujuwi tu mkaziye
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
IG yake ipi?, nampenda sana Isolate
Luka upo vizuri sanaaaaaaaaaaa 🙏
Sns 💥💥💥
Luka nakupenda ila unaniliza sana