Isarito afunguka anavyochukiwa kwa kucheza kama Luka kwenye Jua Kali 'Wanasema nalialia sana' (Pt 1)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • #ChillnaSky na muigizaji Isarito Mwakalindile anayetamba kwenye tamthilia ya Jua Kali

Комментарии • 72

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 3 года назад +22

    Aaaaa huyu jamaa anajuwa kuact,tena hodari..na yuko sawa full idara,yuko full package katika kuigizaa,na namuona mbali sana sana,hongera kwake🙌🏻

  • @issahakizimana6135
    @issahakizimana6135 Год назад

    Nakupenda sana mungu akuongezee maarifa
    Na nguvu

  • @khebbetydikson4195
    @khebbetydikson4195 2 года назад +4

    Jamani ruka na mama yake wanajua kuuvaa uhalisia Hadi Raha 🥰💕

  • @mahdiakite1833
    @mahdiakite1833 Год назад

    mtangazaji una maswali poa sana na unaongea vizuri sana kazi nzuri
    luka napenda akt zako uko poa nimekuskiza kwamakini

  • @queenmaa30
    @queenmaa30 3 года назад +11

    Jamaa anajua anajua anajua anajua tena

  • @issahakizimana6135
    @issahakizimana6135 Год назад

    Uko juu papa

  • @nicasamuel9667
    @nicasamuel9667 3 года назад +11

    Mimi nakupenda bure,sema walizwa sana bana🥰😢

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 2 года назад +2

    NAKUPENDA Sana kakayangu Luka Kwa aajil ya Allah mungu akuongoze na akulinde ,, akubaliki kwenye kaz zako ♥️💗💗💓💓💘💘💘💘🇹🇿

  • @emanherman9658
    @emanherman9658 Год назад

    Hongera luka uko vizuri umevaa uhalisia

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 года назад +10

    Uko vizuli sana kaka unavaa uhusika 🙌

  • @fatumaayubu645
    @fatumaayubu645 3 года назад +4

    Huyu kaka nampendaa, halafu nampendaa tena toka TMT...

  • @sumahtanzania4991
    @sumahtanzania4991 3 года назад +3

    Yuko juu sana my brother na anajua kuigiza congratulations

  • @patriciachangawa1754
    @patriciachangawa1754 Год назад

    Kilamtu na kipaji chake ila kaka issa ukosawa nkupedea tu hivyo kakngu mungu ukuzidshie zaidi na akuepushe na waja mob love my brother ❤️

  • @MBANGA_NAME
    @MBANGA_NAME 3 года назад +4

    Dahhh sure mwanangu najiona mm kwa speech ako man

  • @hamadmaliki5498
    @hamadmaliki5498 3 года назад +4

    Mm naomba jua kal iwepo you tube kadri inavyotoka coz cc tupo mbal sa

  • @maryaidan4614
    @maryaidan4614 2 года назад +3

    I love this man jamn

  • @aminamfupi7948
    @aminamfupi7948 3 года назад +2

    Luka uko vizur kaka hongera Sana piga kaz kaka💪💪💪💪💪

  • @happystephano2307
    @happystephano2307 2 года назад +1

    Ni muigizaji poaaa sanaaaa.... Ila unauzi luka jaman kulia liaa yaan

  • @mimihuyo8239
    @mimihuyo8239 2 года назад +1

    Bonge la Actor kiukweli, ni m1 katika 5 bora yangu ya waigizaji hapa Tz.

  • @erickelia9826
    @erickelia9826 2 года назад +1

    Honger sana kak kwa kazi nzuri big Gap Sana 🤝🙏🇹🇿

  • @rahmaqasim5143
    @rahmaqasim5143 2 года назад +1

    Nampenda sana huyu kaka anavyo igiza

  • @stelabrent6056
    @stelabrent6056 3 года назад +2

    kazi nzuri luka wetu

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 2 года назад

    Kazi nzuri sana! Naomba kujua jina halisi la mama Luka plse!

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад

    Nampenda isarito

  • @issahakizimana6135
    @issahakizimana6135 Год назад

  • @mwakaathumani4793
    @mwakaathumani4793 3 года назад +3

    Bro mm nakupenda bureee

  • @khadijaabdala6876
    @khadijaabdala6876 3 года назад +5

    Luka ila unafanya na mm nalia kama ile mama kaandaa chakula ndo maria kaingia mitini daah nilijikuta nalia

  • @forexhedgingvictory8108
    @forexhedgingvictory8108 Год назад

    Uyu jamaa anajua sana

  • @gracembilinyi563
    @gracembilinyi563 2 года назад +4

    Hivi Luka, Maria huwezi kumuacha

  • @jasmineedamu6089
    @jasmineedamu6089 3 года назад +2

    Luka 😪

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 года назад +3

    Luka unajua 🔥

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 2 года назад

    Uyu kaka nampenda kweli

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 2 года назад

    Mie nakupenda mno ruka

  • @xmaramoja362
    @xmaramoja362 3 года назад +2

    Isarito ni fundi

  • @tabithamkawughanga4783
    @tabithamkawughanga4783 2 года назад +1

    Luka uko poa sana kwa kazi yako

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 2 года назад

    Luka upo vizuri unajua kuigiza hongera sana

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 2 года назад

    Umetisha sana bro

  • @bibip9181
    @bibip9181 Год назад

    Uko ktk kazi sio wengine wanauza sura ktk wanaa

  • @jacksonpeter7484
    @jacksonpeter7484 3 года назад +2

    anajitahidi sana gwakukajha

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Год назад

    NAAM NAAM NAAM 👍

  • @aminaqatar5041
    @aminaqatar5041 2 года назад

    Love you luka

  • @paulinamassay5122
    @paulinamassay5122 2 года назад +1

    Huwa siwafagilii Sana, ila jamaa we ni hatari.

  • @batul95
    @batul95 Год назад

    Mimi nilianza kukupenda kwenye mimi ya Elizabeth a.k.a lulu

  • @fuhftyfiufffg478
    @fuhftyfiufffg478 3 года назад +2

    luka unajua

  • @molinmasumbuko8607
    @molinmasumbuko8607 3 года назад +1

    🔥😍

  • @mwanatumusalim5602
    @mwanatumusalim5602 3 года назад +2

    kweli wateseka na mm nipo hahahaha

  • @issakwisamwaiseje9294
    @issakwisamwaiseje9294 3 года назад +1

    Sky kazi njema

  • @alfredmichael5691
    @alfredmichael5691 3 года назад +1

    💪🏻

  • @godisgood3590
    @godisgood3590 2 года назад

    ❤❤

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 2 года назад

    Unajua kaka hongra Sana

  • @maryamhamad494
    @maryamhamad494 2 года назад

    Juakali ni uhalisia wa maisha

  • @maryamhamad494
    @maryamhamad494 2 года назад

    Huyu anajua

  • @mohamedmashaka4680
    @mohamedmashaka4680 3 года назад +2

    Ivi ndo yule anayefanya pia na mboneke comedian

  • @munatwalib2808
    @munatwalib2808 3 года назад +1

    Luka unatupa huzuni ww na mmko vile ameakti mlemavu ukilia naukizungumza huku unalia yenyewe niuhodar

  • @zainabukivale5824
    @zainabukivale5824 2 года назад +1

    sasa hivi mbona hamrush kwa wakat?

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 2 года назад

    Yani Kama mm ananipa hasira Sana kwa jinsi anavyo mngangania Maria na wakati yule demu anaye mpenda mama yake nimzuri kuliko maria

  • @rizikiwawa7771
    @rizikiwawa7771 2 года назад

    Kumbe luka ni mzuri

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    😍😍😘😘

  • @ashahussein2734
    @ashahussein2734 2 года назад

    ila Nyiye uyu Lucas anaonekana ni Romantic sana ana Mapenzi ya Dhati ya dhati jamani oama ndo jinsi yuko kwenye Maisha ya kawaida Raha tupuu

  • @fahmisalum4458
    @fahmisalum4458 2 года назад

    Luka kaka daaah hiki kisa ni mimi kabisa wala hakina tofout ata kidg

  • @zainabukivale5824
    @zainabukivale5824 2 года назад

    sijaona kuanzia jumamosi lakini leo nimeona ya jumanne

  • @mariebakari6692
    @mariebakari6692 3 года назад +1

    Mi mwenyewe unanikwaza je kaka yani ujuwi tu mkaziye

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 3 года назад +1

    IG yake ipi?, nampenda sana Isolate

  • @tatumussa6813
    @tatumussa6813 2 года назад

    Luka upo vizuri sanaaaaaaaaaaa 🙏

  • @justineonline6556
    @justineonline6556 2 года назад

    Sns 💥💥💥

  • @anastaziashilole2436
    @anastaziashilole2436 2 года назад

    Luka nakupenda ila unaniliza sana