GB 64 KWA MASHINE ZEGE ILIYOTUA KARABOUE CHAMOU, MASHINE YA KIVITA, WAPINZANI WASAHAU UBINGWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2024
  • Chamou karaboue

Комментарии • 37

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 День назад +1

    Ee Yesu nakuomba uwalinde na kuwaigania wachezaji wetu uwalinde na mabaya

  • @KhamisDilangale
    @KhamisDilangale День назад

    GB nakuku Bali Sana ww sio mamuluki Kama chama

  • @HassanDonyoa
    @HassanDonyoa День назад +1

    Kaka gb yule manara ndio mchawi wa kwanza ametoa Siri zetu kubwa

  • @HamisiAmili-ll2we
    @HamisiAmili-ll2we День назад

    Good good good ❤❤❤kaka

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt День назад

    Nyinyi wasifienitu ngoja tusubili akina jobe wengine.

  • @user-ou4tm2xi6p
    @user-ou4tm2xi6p День назад +1

    Wachezaji ote wa simba wasomewe alubadili Ili uchawi undunde

  • @SaidySaidysalum
    @SaidySaidysalum День назад

    Simba nguvu moja 🇹🇿🇹🇿🦁🦁

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli День назад

    Uchawi upo,ila kiboko ya uchawi ni DUA na viongozi wetu wawe makini na kuyatafakarii ,,,wasafishe hata wafua Jezi

  • @user-en1re7ot8c
    @user-en1re7ot8c День назад +1

    Ulisha pewa ela saiv unasifia kila kituu

  • @KhamisDilangale
    @KhamisDilangale День назад

    Chama wasinge muona Kama sio Simba kaka gb 64

  • @JumaMissungwiMpekaliwa
    @JumaMissungwiMpekaliwa День назад +1

    Chamou ni mashine mpya Tena mwaka huu wavimba macho watakima

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 День назад

    Tatizo mnawasifia sana kabla hata hawajagika nchini tz.

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa День назад +2

    Ombeni Dua acheni mboyoyo

  • @gastonmbarila9458
    @gastonmbarila9458 День назад

    Rogeni na nyie😅 mwaka uu ndo mtasema pia

  • @user-yw7uu6mc3m
    @user-yw7uu6mc3m День назад

    Wewe bwana unabidi uwe h.r wa simba no doubt

  • @MrishoMindu-zq7mz
    @MrishoMindu-zq7mz День назад

    Iwe Nyegera nyegera. Huu mpira Sio katerero migombani.

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 День назад

    Kabisa kaka yangu wafante Ivo visomo jamani na maombi sisi tumechoka kutukanwa

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa День назад

    Gb 64 msiishie kwenye midia tu wachezaji wetu walindwe

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 День назад

    Simba muiten uyu jamaa anamengi

  • @mostarwb
    @mostarwb День назад

    Njaa tupu