Marafiki waliokutana shule wanaopiga Pesa’’nakuanza biashara tulianza na mtaji Laki 8’

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • siku zote unaamibiwa Uaminifu ni jambo zuri sana katika maisha yakilasiku pamoja na kazi na unaweza kupata frusa kupitia uaminifu,Ayo TV ainakukutanisha na vijana wawili waliokutana shule kipindi wanasoma mwaka 2016 na kuwa na wazo la kufanya biashara ya kuuza duka la simu pamoja na computure pindi wakihitimu shule japokua walikua hawafahamiani ila waliamiana na kuanza na mtaji wa shilingi Laki nane.
    Maisha magumu waliyopitia,changamoto,kusemwa vibaya haikufanya wakate tama na hivi sasa wanamiliki Duka kubwa la kuuza sim na Computure na kupiga pesa kibao mkoani kigoma ambapo walianza kwa kuuza cover za simu tu.

Комментарии • 84

  • @Zulpha-cw1he
    @Zulpha-cw1he Месяц назад +2

    Muongeaji wa pili ni mbinafsi ila huyu wa kwanza big up....sidhani kama bado wapo wote

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Год назад +2

    Huyo jamaa wa Madrid yupo smart sana

  • @fadhilibushiri6816
    @fadhilibushiri6816 4 года назад +4

    Hapa kuna vitu v2:-
    Mosi: Baraka kuitwa na Ibra ni mpango wa m/mungu sisi pamoja na Baraka tusilibebe hili kwa mtazamo hasi tutashindwa kuona fursa, Baraka anapaswa akubali Ibra ni mbinafsi hivyo asitarajie furaha kwa upande wake kwani furaha inaanza kwa kuheshimiwa,kupewa hadhi na kuthaminika.
    Kama Baraka anasoma maoni haya anapaswa kuyafanya mambo hya kwa Ibra ili awe na furaha (7bu ni mbinafsi), Fursa iliyopo kwa Baraka ni kwamba ndani ya miaka kadhaa baadae atakuwa na uzoefu mkubwa wa biashara hiyo k2 ambacho asingeweza kukipata chuoni hii itamsaidia hapo baadae,
    Wafanye nin? ili wasitengane lazima mmoja akubari kuwa chini (Baraka) pia ni lazima wote wawe na Mtazamo(Maono-Vision) sawa kwani popote palipo na Vision mbili/tofaut(Di) pana Division (Kutengana).
    Pili: Wote kwa pamoja waandae mpango wa biashara utakao weka miiko ya biashara na Baraka atafute mtaji awekeze kwenye biashara hyo awe na share ya below 50% ili apate haki ya kuwa mmiliki halali. Ibra akigoma basi Baraka nenda kaanze biashara yako kwa uzoefu ulioupata.
    "KUWA CHANYA ONA FURSA"

    • @vamo2082
      @vamo2082 3 года назад

      HUU ushauri mzuri Sana Kaka una kitu ndani yako.

    • @pendo8082
      @pendo8082 Год назад

      Kabisa huu ni ukweli Ibrahim ni mbinafsi

  • @nyereremkama3845
    @nyereremkama3845 Год назад +1

    Nimejifunza kitu kikubwa Sana asanteni Kwa makala haya tupeni zaidi

  • @lameckmbembati6636
    @lameckmbembati6636 Год назад +1

    Nmeipenda hiyo tena sanaa chukua hatua vijana

  • @joramrweyesisa592
    @joramrweyesisa592 5 лет назад +3

    Wabarikiwe sanaa hawa vjana

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 Год назад +1

    Sawa Ila uyo jmaa wa pili hujui kijelezea vizuri but allha akusaidieni Mimi nimeanza biashara na mwenzangu but nilikua nikimshauri kitu Mimi kina kua kma hakilingani na mawazo yake kweli tuligombana na 😭😭😭😭😭😭😭 Ila powa siwezi kuendelea kuelezee hii stori but nao I have 3 shops

  • @gideonelias5379
    @gideonelias5379 3 года назад +1

    Naic wameshatenganaa uyo ibra syo

  • @jacklinerubibi1376
    @jacklinerubibi1376 5 лет назад +9

    Huyo jamaa mbinafsi anajisemea yey tu yan apo uyo dogo kapotezwa

  • @PROSPER_TV1
    @PROSPER_TV1 2 года назад +1

    Message sent broo!

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 5 лет назад +2

    Anasema na saiv nnamzigo wng wa zaid ya milioni 20..sasa uyo mwenziwe yeye anamzigo wa beigan,,,uyo anaejifanya mama mama uyo atamgeuka mwenziwe mwishoni,,pesa iyo haina uwaminifu kwa mtu ata awe ndugu yk

  • @wenceslausnshimbe5001
    @wenceslausnshimbe5001 3 года назад

    Safi kabisa kijana wenzangu🙏🙏🙏🙏👍👍

  • @funnyboy369
    @funnyboy369 Месяц назад

    Hawa watu hawapo wote muda huuu Mtangazaji unaweza kutuaminisha hilo.??

  • @brendaboniface1548
    @brendaboniface1548 5 лет назад +3

    Biashara na marafiki sitakiiii kabisa huyu kaka ni mchoyo sana hata wa kauli yani mimi sjui nini,mimi sjui waaaat dhambi tu yani anajifanya boss

    • @michaelprosper6986
      @michaelprosper6986 2 года назад

      Hata mimi sielewi hapo jamaa ni mbinafsi kinoma.Kila kitu anajizungumzia yeye

  • @marinyasaxistv8121
    @marinyasaxistv8121 5 лет назад +4

    So selfish huyo Dogo. . YAH Anamuona Mwenzie kama Mfanyakazi

    • @brendaboniface1548
      @brendaboniface1548 5 лет назад

      Kweli hata mi nmemuona hadi sio vzuriii

    • @benjaminomega5623
      @benjaminomega5623 4 года назад

      Dah kumbe naweww umeliona...ila huo dogo anakosea kauli
      Hio inaweza kuja kuwaharibia maendeleo..

  • @ramadhanlucas2510
    @ramadhanlucas2510 5 лет назад +1

    dah Saf sanaa kumbe kila kitu kinawezekana

  • @kasianmbangakasianmbanga3474
    @kasianmbangakasianmbanga3474 3 года назад

    Nimeipenda

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji3687 2 года назад +3

    Mmoja hapo anazungumzia nafsi yake yaani 'NIME' halafu mwingine anasema TUME, hatari sana

  • @ibrahimjumbe1750
    @ibrahimjumbe1750 4 года назад +2

    eti mimi nikaanza kila kitu mimi nikaanza kila kitu nikiuza naongeza baadae nikajikuta nina mzigo wa zaidi ya mil20 yani awa jamaa cjui itakuaje ☹

  • @amzamrid3571
    @amzamrid3571 3 года назад

    Safi sana vijana

  • @nersonjoseph5369
    @nersonjoseph5369 3 года назад +2

    Hakuna ata cha kujifunza hpo watoto wa mama na pesa za kupewa Mimi mwenyewe mfanya biashara ila sijaelewa maelezo yao

  • @husenhamis1173
    @husenhamis1173 3 года назад +1

    Huyo dogo aliye vaaa jezi yuko pouw xnaa

  • @MonicaWatson-q7e
    @MonicaWatson-q7e Год назад

    Mbona sielewi hiyo biashara ni ya pamoja au maana maelezo kama ni mmiliki mmoja ushauri gawaneni kila mtu apambane kivyake hapo kuna mmoja mjanja na anatumia nyota ya mwenzie

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv780 4 года назад

    Vizur

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 2 года назад

    Kwa maelezo hayo mmoja anamsindikiza tu mwenzie amegeuzwa mfanyakazi bila malipo ila ameaminishwa biashara ya wote pasipo mkataba wowote wala hana share hapo mwisho anapotezewa mda

  • @nyereremkama3845
    @nyereremkama3845 Год назад

    Huyo kijana ana nyota ya mafanikio

  • @hadijahadijictori9011
    @hadijahadijictori9011 5 лет назад

    jmn nicely

  • @salmaalimusa547
    @salmaalimusa547 5 лет назад +4

    Biashara zakushea waweza uana

    • @ahmedrazak1021
      @ahmedrazak1021 5 лет назад

      Acha ushamba bakhresa mwenyewe ame share Azam kuna share holders zaidi ya mmoja sema.. inabidi usimamizi usiwe kienyeji kila kitu kiwe documented akikutapeli unao ushaidi wakumlipisha au kimfunga.. sasa wee kua share na mtu huna proof yoyote kama Ujaenda shule ndio uone uchungu

  • @saidhamisi2795
    @saidhamisi2795 3 года назад

    Mm siwaelewi coz mada inaonyesha kama mko shirika kwa maongezi kama biasha ni ya mtu mmoja

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 4 года назад +2

    Watoto wa mama tu

  • @dennisevarist
    @dennisevarist 3 года назад +2

    Hii Biashara ni ya mmoja kulingana na huyu mama this mama that, nilikuwa nikawa nitakuwa yaani hakuna kauli ya wingi ni ubinafsi mwanzo mwisho. Be careful we jamaa mwenye jezi ya madrid

  • @jagmen4002
    @jagmen4002 5 лет назад +2

    Ipo sik watagombana sana kwan nimesoma kit,kwan mmoja anasema tutafanya lakn mwingne anasema nitafanya so kuwa makn kijana wa computer science huyo si rafk mwema niamin

  • @michaelmisago3671
    @michaelmisago3671 Год назад

    Hapo badae kuna kazi conflict of interest aisee mwisho wa siku walipane mishahara huyo dogo anasema familia yake imemuwezesha hatuombei akifa ghafla huo atafukuzwa na familia

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 Год назад

    Uyo jamaa anaubinafs sana

  • @swagatyabdallah2597
    @swagatyabdallah2597 5 лет назад

    Anazingua

  • @ignassindabaha1813
    @ignassindabaha1813 3 года назад +1

    Hapo kunamfanya kazi na mmiliki hakuna cha maana.kwanza maelezo kilamtu anaongea vyakwake

  • @Jommary
    @Jommary 4 года назад +1

    Nimejifunza kitu apo,

  • @khalidngwembele9075
    @khalidngwembele9075 3 года назад

    Mtaji million 20 na bado mnaishi kwa wazazi halaf kama ni biashara ya wote wa2 mbn Ibra unajibinafsisha pekeako!?

  • @husenhamis1173
    @husenhamis1173 3 года назад

    Huyo mwingine tapali xnaaaa jaman mbna anajitenga xnaa.

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 3 года назад

    Mpe mwezio msingi3ajitafutie

  • @maigagoodluck1481
    @maigagoodluck1481 5 лет назад +1

    mtaji umefika milion 20 bado unaishi kwenu?.. u can't be serious asee.

  • @HASASON
    @HASASON 5 лет назад +1

    Wewe Baraka tafuta tu pesa yako ujitegemee, huyo Ibrahim from his words tu anaonekana anakuxhukulia kama kibarua wake tu yeye anasema nilikua nilijiwekea nilikua nilikua nilikua sio tulikuwa so umoja haupo hapo

  • @JULIAN-es7xm
    @JULIAN-es7xm Год назад

    Mpaka saivi naisi washatengana🙄🤣

  • @justenefrank609
    @justenefrank609 4 года назад

    wwe sio rafiki

  • @mwajumakitoro8582
    @mwajumakitoro8582 5 лет назад

    Ibra sio kuwa nae makini

  • @khamismachemba4020
    @khamismachemba4020 4 года назад +3

    Hawa hawako share wamezingua,ni huyo mmoja hii interview haina mana hakuna cha kujifunza,kapewa ela na mama

    • @zayumbajunior3613
      @zayumbajunior3613 4 года назад

      Tako wew kapewe naww na mama ako

    • @zayumbajunior3613
      @zayumbajunior3613 4 года назад

      Tako wew kapewe naww na mama ako

    • @gwakisamwakabulutu4247
      @gwakisamwakabulutu4247 3 года назад

      Kuna wengi walishapewa pesa na wazazi wao na wameishia kula bata si bora hawa wana biashara imesimama wew una nini

  • @jeremyself5883
    @jeremyself5883 5 лет назад

    Duuh

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 5 лет назад +3

    Ibra ana ubinafsi,kwa mbona huyo mwengine anaelezea kama wame share ila huyo Ibra anaongea kama kila kitu chake huyo mwengine mfanyakazi.
    Umakini unahitajika hapo

  • @harrietmwanyae4778
    @harrietmwanyae4778 3 года назад

    lkn mmja anjiongelea kibinafsi

  • @JolamYusuph-e7r
    @JolamYusuph-e7r 7 месяцев назад

    Nice

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 3 года назад

    Mbinafsi huyu🤔

  • @mbeyatv
    @mbeyatv 3 года назад

    Ndo mi sijaelewa kabisa hapo biashara ni ya wawili au mmoja

  • @josephsmith412
    @josephsmith412 4 года назад

    Baraka kuwa makini na huyo rafiki yako.

  • @nyereremkama3845
    @nyereremkama3845 Год назад

    Nimejifunza kitu kikubwa Sana asanteni Kwa makala haya tupeni zaidi

  • @michaelmisago3671
    @michaelmisago3671 Год назад

    Hapo badae kuna kazi conflict of interest aisee mwisho wa siku walipane mishahara huyo dogo anasema familia yake imemuwezesha hatuombei akifa ghafla huo atafukuzwa na familia