Marafiki waliokutana shule wanaopiga Pesa’’nakuanza biashara tulianza na mtaji Laki 8’
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- siku zote unaamibiwa Uaminifu ni jambo zuri sana katika maisha yakilasiku pamoja na kazi na unaweza kupata frusa kupitia uaminifu,Ayo TV ainakukutanisha na vijana wawili waliokutana shule kipindi wanasoma mwaka 2016 na kuwa na wazo la kufanya biashara ya kuuza duka la simu pamoja na computure pindi wakihitimu shule japokua walikua hawafahamiani ila waliamiana na kuanza na mtaji wa shilingi Laki nane.
Maisha magumu waliyopitia,changamoto,kusemwa vibaya haikufanya wakate tama na hivi sasa wanamiliki Duka kubwa la kuuza sim na Computure na kupiga pesa kibao mkoani kigoma ambapo walianza kwa kuuza cover za simu tu.
Muongeaji wa pili ni mbinafsi ila huyu wa kwanza big up....sidhani kama bado wapo wote
Huyo jamaa wa Madrid yupo smart sana
Hapa kuna vitu v2:-
Mosi: Baraka kuitwa na Ibra ni mpango wa m/mungu sisi pamoja na Baraka tusilibebe hili kwa mtazamo hasi tutashindwa kuona fursa, Baraka anapaswa akubali Ibra ni mbinafsi hivyo asitarajie furaha kwa upande wake kwani furaha inaanza kwa kuheshimiwa,kupewa hadhi na kuthaminika.
Kama Baraka anasoma maoni haya anapaswa kuyafanya mambo hya kwa Ibra ili awe na furaha (7bu ni mbinafsi), Fursa iliyopo kwa Baraka ni kwamba ndani ya miaka kadhaa baadae atakuwa na uzoefu mkubwa wa biashara hiyo k2 ambacho asingeweza kukipata chuoni hii itamsaidia hapo baadae,
Wafanye nin? ili wasitengane lazima mmoja akubari kuwa chini (Baraka) pia ni lazima wote wawe na Mtazamo(Maono-Vision) sawa kwani popote palipo na Vision mbili/tofaut(Di) pana Division (Kutengana).
Pili: Wote kwa pamoja waandae mpango wa biashara utakao weka miiko ya biashara na Baraka atafute mtaji awekeze kwenye biashara hyo awe na share ya below 50% ili apate haki ya kuwa mmiliki halali. Ibra akigoma basi Baraka nenda kaanze biashara yako kwa uzoefu ulioupata.
"KUWA CHANYA ONA FURSA"
HUU ushauri mzuri Sana Kaka una kitu ndani yako.
Kabisa huu ni ukweli Ibrahim ni mbinafsi
Nimejifunza kitu kikubwa Sana asanteni Kwa makala haya tupeni zaidi
Nmeipenda hiyo tena sanaa chukua hatua vijana
Wabarikiwe sanaa hawa vjana
Sawa Ila uyo jmaa wa pili hujui kijelezea vizuri but allha akusaidieni Mimi nimeanza biashara na mwenzangu but nilikua nikimshauri kitu Mimi kina kua kma hakilingani na mawazo yake kweli tuligombana na 😭😭😭😭😭😭😭 Ila powa siwezi kuendelea kuelezee hii stori but nao I have 3 shops
Naic wameshatenganaa uyo ibra syo
Huyo jamaa mbinafsi anajisemea yey tu yan apo uyo dogo kapotezwa
sure
Kwel aseee
Kabisa yani
Kabisa
Message sent broo!
Anasema na saiv nnamzigo wng wa zaid ya milioni 20..sasa uyo mwenziwe yeye anamzigo wa beigan,,,uyo anaejifanya mama mama uyo atamgeuka mwenziwe mwishoni,,pesa iyo haina uwaminifu kwa mtu ata awe ndugu yk
Safi kabisa kijana wenzangu🙏🙏🙏🙏👍👍
Hawa watu hawapo wote muda huuu Mtangazaji unaweza kutuaminisha hilo.??
Biashara na marafiki sitakiiii kabisa huyu kaka ni mchoyo sana hata wa kauli yani mimi sjui nini,mimi sjui waaaat dhambi tu yani anajifanya boss
Hata mimi sielewi hapo jamaa ni mbinafsi kinoma.Kila kitu anajizungumzia yeye
So selfish huyo Dogo. . YAH Anamuona Mwenzie kama Mfanyakazi
Kweli hata mi nmemuona hadi sio vzuriii
Dah kumbe naweww umeliona...ila huo dogo anakosea kauli
Hio inaweza kuja kuwaharibia maendeleo..
dah Saf sanaa kumbe kila kitu kinawezekana
Nimeipenda
Mmoja hapo anazungumzia nafsi yake yaani 'NIME' halafu mwingine anasema TUME, hatari sana
Kwasababu huyu rafiki yake amemuajiri😂
But kitu nikizuri
eti mimi nikaanza kila kitu mimi nikaanza kila kitu nikiuza naongeza baadae nikajikuta nina mzigo wa zaidi ya mil20 yani awa jamaa cjui itakuaje ☹
Safi sana vijana
Hakuna ata cha kujifunza hpo watoto wa mama na pesa za kupewa Mimi mwenyewe mfanya biashara ila sijaelewa maelezo yao
Mh mh mh mh
Huyo dogo aliye vaaa jezi yuko pouw xnaa
Mbona sielewi hiyo biashara ni ya pamoja au maana maelezo kama ni mmiliki mmoja ushauri gawaneni kila mtu apambane kivyake hapo kuna mmoja mjanja na anatumia nyota ya mwenzie
Vizur
Kwa maelezo hayo mmoja anamsindikiza tu mwenzie amegeuzwa mfanyakazi bila malipo ila ameaminishwa biashara ya wote pasipo mkataba wowote wala hana share hapo mwisho anapotezewa mda
Huyo kijana ana nyota ya mafanikio
jmn nicely
Biashara zakushea waweza uana
Acha ushamba bakhresa mwenyewe ame share Azam kuna share holders zaidi ya mmoja sema.. inabidi usimamizi usiwe kienyeji kila kitu kiwe documented akikutapeli unao ushaidi wakumlipisha au kimfunga.. sasa wee kua share na mtu huna proof yoyote kama Ujaenda shule ndio uone uchungu
Mm siwaelewi coz mada inaonyesha kama mko shirika kwa maongezi kama biasha ni ya mtu mmoja
Watoto wa mama tu
We mtoto wa nan
Hii Biashara ni ya mmoja kulingana na huyu mama this mama that, nilikuwa nikawa nitakuwa yaani hakuna kauli ya wingi ni ubinafsi mwanzo mwisho. Be careful we jamaa mwenye jezi ya madrid
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Ipo sik watagombana sana kwan nimesoma kit,kwan mmoja anasema tutafanya lakn mwingne anasema nitafanya so kuwa makn kijana wa computer science huyo si rafk mwema niamin
Acha kuwatabiria vibaya wenzio
Wewe kijana mbinafsi saana unamtumia mwezio
Hawa bado wadogo akili zao haziwezi kujielezea vizur
Hapo badae kuna kazi conflict of interest aisee mwisho wa siku walipane mishahara huyo dogo anasema familia yake imemuwezesha hatuombei akifa ghafla huo atafukuzwa na familia
Uyo jamaa anaubinafs sana
Anazingua
Hapo kunamfanya kazi na mmiliki hakuna cha maana.kwanza maelezo kilamtu anaongea vyakwake
Nimejifunza kitu apo,
Mtaji million 20 na bado mnaishi kwa wazazi halaf kama ni biashara ya wote wa2 mbn Ibra unajibinafsisha pekeako!?
Huyo mwingine tapali xnaaaa jaman mbna anajitenga xnaa.
Mpe mwezio msingi3ajitafutie
mtaji umefika milion 20 bado unaishi kwenu?.. u can't be serious asee.
Kabisa yani
Wewe Baraka tafuta tu pesa yako ujitegemee, huyo Ibrahim from his words tu anaonekana anakuxhukulia kama kibarua wake tu yeye anasema nilikua nilijiwekea nilikua nilikua nilikua sio tulikuwa so umoja haupo hapo
Kabisa mie Binafsi Nimeona . Ni kama mshikaji hana Time nae Kabisa
Ni mbinafsi sana rafiki yake
Mpaka saivi naisi washatengana🙄🤣
wwe sio rafiki
Ibra sio kuwa nae makini
Hawa hawako share wamezingua,ni huyo mmoja hii interview haina mana hakuna cha kujifunza,kapewa ela na mama
Tako wew kapewe naww na mama ako
Tako wew kapewe naww na mama ako
Kuna wengi walishapewa pesa na wazazi wao na wameishia kula bata si bora hawa wana biashara imesimama wew una nini
Duuh
Ibra ana ubinafsi,kwa mbona huyo mwengine anaelezea kama wame share ila huyo Ibra anaongea kama kila kitu chake huyo mwengine mfanyakazi.
Umakini unahitajika hapo
lkn mmja anjiongelea kibinafsi
Nice
Mbinafsi huyu🤔
Ndo mi sijaelewa kabisa hapo biashara ni ya wawili au mmoja
Baraka kuwa makini na huyo rafiki yako.
Kwakwel
Kweli atakuwa anatumiwa tu,jamaa ana lugha za kibinafsi sana
Nimejifunza kitu kikubwa Sana asanteni Kwa makala haya tupeni zaidi
Hapo badae kuna kazi conflict of interest aisee mwisho wa siku walipane mishahara huyo dogo anasema familia yake imemuwezesha hatuombei akifa ghafla huo atafukuzwa na familia