Alhamdulillah ya Allah nafurai sana kumwona mume wangu Allah anazidi kumpa afya inshallah .... nakuombea kwa Allah mume wangu akupe shifaa ,nguvu inshallah
Alhamdulilah!! nashukuru Allah, na nakuombea Amir wangu, Allah akupe afya Inshallar!! wewe ndio umejenga imani yangu ya uislamu baada ya kusilimu. Nna furaa kukuona Amir wangu ❤
today i have felt soo good seeing you in good shape, as compared to the last post when you were in hospital. i came across your teachings when i was looking for guidance in islam and i have never regreted following you. may allah reward you and your team abandantly and restore your health ameen
Allah aku zidishie imani na akupe shiffah uwe mwepesi zaidi kwa Daawah,Aamin…uki pata fursa funahisha waja wa Allah kwa dawa ulizo tumia ama hawo madaktari walio kutibu,BarakahAllah
Wambugu twakupenda kwa ajili ya Allah, na Allah akufanyie wepesi katika huu mtihani, akuponye kabisa uweze kurudi kufanya kazi Yake ya daawah insha'Allah, Allahu'Akbar Subhannah'Allah
Sheikh Yussuf inshallah Allah atakufanyia wepesi kwa uwezo wake na wagonjwa wote awape nafuu. Tunakupenda sana sheikh Yussuf tupo pamoja inshallah hadi katika Fir-daus.
Alhamdulillah ya Allah nafurai sana kumwona mume wangu Allah anazidi kumpa afya inshallah .... nakuombea kwa Allah mume wangu akupe shifaa ,nguvu inshallah
MashaAllah tabarkallah.
ALLAH azidi kukunusuru
Aamiin yaarabb 😢
Allah akupe shifaa ya haraka na akupe na subra wakati huu mgumu Amiin Ya Rabina Alamiin
Allah akufanyie wepesi inshaallah
Pole sana Yusuf..mimi sio muislamu but Mungu akuponye.Inshallah.
Shukran kwa hiyo....lakini karibu kwenye uislamu
@@abdiidaawah-yv9bg Inshallah.
Usijaribu kuingia uta regret siku ya mwisho Yahweh akirudi
@@cheruiyotpeter6640 mpe andiko ndo aridhike wacha maoni na chuki
Aamin thumma Aamin,
Sheikh yusufu pole sana mungu akujalie afya njema
Maa shaa Allaah Allaah atakujaalia shifaa iliyokamilika Aamin
Amin sote
ALLAHA akupe shifaa Sheikh. Amin
Allahumma Aameen
Allah akbar Allah akupee hafueni ya haraka inshallah
Shukran kwa kutupatia update
Nami naomba kama itawezekana utuwekee hizo Dawa za Sukari Kwa :
Kuvitaja hizovyakula tuweze kufaidika zaidi
Ameen Ameen Ameen nashkuru Amir sheikh wetu kukuona vizuri Alhamdulillah Allah yuko pamoja nawe usilie sheikh
Ya rabbi ALLAH wewe ndio mjuzi kwa kila mazito na wewe ndio waweza kumpa shifaa kwa upesi ya ALLAH AMEEN
Amin
Ameeen Ya Allah
Maashallah Allah akujalie uzima urudi katika hali yako kama zamani hayo ni majaribio tu kutoka kwa Allah mfano mzuri ni kwa nabii ayub (as)
Amin
Oh Yusuf my bro😢😢.. Allah akupee Afya.. Inshallah nitakuja thru Kwa Mpesa
Amin
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp MarinahSportswear1 ndio mimi. Tuna miss Muhadhara zako.
Allah yashfiik shifaan laa tughaadir saqma.
Aamiin aamiin
Allah atakufanyia wepesi sheikh wangu
Ooh pole sana ndugu Yusuf ndio kwa mara ya kwanza kujua kama unaumwa hivi! Allah akuponye Akhy.
Allah azidii kukupa afya njema na umri mrefu inshaAllah 🙏🏿 may Allah grant you good health
Amin sote
ALLAHU AKBAR? ALLAH akujalie shifaa ya haraka YARABY 🤲🤲🤲🤲🤲
Allah akupe shifa Yusuf twaku miss sana Yusuf Allah akupe shifa
Mashaallah wallah nakupenda sheikh wangu Kwa ajili ya Allah
Allahu Akbar. Allah akuzidishie afya njema na akupe umri mrefu sheik wetu🤲🤲. Na sheik Said Allah akujalie pia afya njema na umri mrefu
Amin sote
Nimefurahi sana kuona sura ya Amir Yusuf imerejea. Alahuakbar
Pole shekh wetu yusuf allah akupe shifaa inshaallah
Amin
Amin❤❤
Afadhali masha'allah Allah akuponye sheikh wetu
Allah atamfanyia wepesi insha'Allah ❤
Alhamdulilah pole sana sheikh Mungu atakurejeshs full recovery na uendelee na dawa kumtangaza mungu na maiti yakukute katka dawa insha Allah
Mimi sio muislamu but pole sana mungu akuponye
Alhamdullilah Allah atakuponyq
Ameen Allah atakupa shifaa inshallah Alhamndulilah
❤❤Allah akupe shufaa kaka yetu yusufu
Amin
Waalaykum Salaam Warhamatullah Wabarakatuh..Maasha Allah tunakupenda na kukuombea sana Ustadh Yusufu ALLAH akupe shifaa ya haraka urudi ulingoni
Amin
insha'Allah mungu akupe uzima na umri mrefu sheik wetu.
Amin
Alhamdulilah!! nashukuru Allah, na nakuombea Amir wangu, Allah akupe afya Inshallar!! wewe ndio umejenga imani yangu ya uislamu baada ya kusilimu. Nna furaa kukuona Amir wangu ❤
Amin
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassappsheikh mwenyezi Mungu akuwafu urudi kuulingania uislam ,mm nipo zanzibar
Walaikum Salam warahmatullahi wabarakatul,Allah akujalie afueni ya haraka in shaa Allah
Amin
ALLAH akupe shifaa pamoja na waislam WOTE INSHAALLAH amin
Amin
today i have felt soo good seeing you in good shape, as compared to the last post when you were in hospital. i came across your teachings when i was looking for guidance in islam and i have never regreted following you. may allah reward you and your team abandantly and restore your health ameen
Pole sana sheikh wangu wallahi umenitoa machozi,ni mtanzania huwa nakuatilia sana
Allah akupe shifaa Sheikh wetu
Amin
Waleykum salaam waramadhulahi wabarakatuh Ustadhi Yusuf
Waalykum muslaam warhmatullah wabarakatuh pole sna Ustadh Yusuf Allah atakupa Shiffa ya haraka in shaa Allah 🤲😭
Amin
Alhamdulillah,
Allah atufanyie wepesi sote.
Allah akuponye insha'Allah
Amin
May Almighty Allah give u quick recovery Ameen ya Allah
Allah akupe afya njema Sheikh in Sha allah
Waislamu woote ni ndugu..... Kidogo kidogo kila mtu amchangie amir wetu yusuf wambugu.. number hio hapo kwa screen in Sha Allah
Mungu atakupa Afya inshaallah 😢
Insha Allah
Ya rabi akupe shifaa ustadh yusuf wambugu
Amen
Ya Allah inshallah utaskia vizuri naupate shifa ya haraka unafanya na Liya na mimi walai shekh Alhamndulilah
Wallai mwenyezi mungu ampe shifaa insha Allah...am crying as well wallai...May Allah s.w grant him shifaa
Alhamdulillah. Allah azidi kukupa Afya nzuri na akulinde. Ameen Ameen Ameen
Amen
Allah akupe shifaa Ameen
Amen
Kila alie changiya kwa njia moja au nyingine Allah atawalipa katika hii duniya na kesho akheira.tunampenda soote Amir wetu Allah atamponya ❤
AMIN
Alhamdulillah Allah azidi kukuafu akuzidishie afya njema na umri mrefu Insha'Allah Amiin
Amin
Allah akuondolee kila linalokusibu urudi kwa afya njema.
Amin
شفاك الله شفاء لا يغادر سقما شيخنا الفاضل
Walykm msalam warahmatullah wabarakatuh Shekhe wetu tunakuombea Allah Akupe Shifaa Alhamdulilah
Pole sana ndugu, Allaha atakuponyaa Kwa haraka Kwa kazi nzuri unaofanya ya Dawaa
Amin
Allah aku zidishie imani na akupe shiffah uwe mwepesi zaidi kwa Daawah,Aamin…uki pata fursa funahisha waja wa Allah kwa dawa ulizo tumia ama hawo madaktari walio kutibu,BarakahAllah
Amin
Waleikum salaam warhama tulahi wabarakatuh Alhamdulilah inshaAllah Allah atakupa afya sheikh yasuf
Mweyezi Mungu Akucaafu Sheikh Yusuf
Allah akuponye akupe afya
Amin
Pole sana yusufu allah ukupe shufaa
Amin
Pole sana sheh Wambugu,
INSHAALLAH Ameen rablamin ALLAH Azidi kukupa afueni ya haraka
Amin
Wallahi nimefurahi sana kkukuona umepata nafuu pia umenikiza kwa kwa maneno yako twakuombea kwa kweli mngu akupe nafuu na afya urudi kuelimisha ummah
Amin
Mungu akuponye tunakuobea sana.
Amin
Allah akupe afya zaidi in shallah
Alhamdulillah na Allah Azidi kukufanyia wepesi sheikh Yusuf, Twafurahi kuskia waendelea vizuri.
Wambugu twakupenda kwa ajili ya Allah, na Allah akufanyie wepesi katika huu mtihani, akuponye kabisa uweze kurudi kufanya kazi Yake ya daawah insha'Allah, Allahu'Akbar Subhannah'Allah
Amin
Pole saana Akhy shekh yussuf Allah akupe shifaa ya haraka
Amin
Allah atakupa shifaa mwanangu Yusuf
Amin
IN SHAA ALLAH, ALLAH ATAKUAFU MJUKUU WANGU
Pole sna shekh mungu akuponye
Alhamdulillah.Shifa ya upesi sheikh
Pole sana amir Allah akupe shifa
Amin
Allah akupe maisha malefu na afa njema sheikh Yusuf
Amin
Ustadh Yusuf Allah akuponyeshe urudi katika hali yako uendelee na kazi ya da'waa Kama zamani ni Mimi rafiki yako kwenye mtandao kutoka tanzania
ربي يشفيك
Allah subhanahu wataalah akuondoshee mataizo ya kiAfya urudi ktk Daawah
Allah ishallah atakujaliwa wepesi usiache dawa asilia zakuondosha sumu milini kama kitunguu thomu.
Mashalllahu Allah akuponye sheik wetu mimi kutoka USA na miss sauti yako n Allah akupe nguvu
Amin
Allah akuponye kakangu Allahumma Ameen
Amin
Pole Sana wambugu.mungu akuponye ugonjwa ukija tafadhali tusiangalie dini ndugu zangu
Nakuombea kwa Yesu akupe afya ameen
Subhanallah
Alahadhullilah kukuona tena Amir wangu Allah akupe shiffa njema ,tupatene Kwa mpesa hata kama ni kidogo
Amin
Assalam alaikum brother tunakuombea shifaa.na Allah akuhifathi na atuezeshe kurudi kwenye ulingo wa Daawa.
Amin.
Twehamwe. Mwathani agocco
Amiin
Amin
Allah akupe shifa kakangu.
Alla akujaalie upone shekh
Amin
Mungu akupe shifaa ndugu
Amin
Allah akujaalie hafwan yaarab 🤲 akuondolee mitihani Kwa rehma zake inshaallah Amin Amin Amin yaarab 🤲
Amin
In shaallah mungu atakisaidia
Allah yashfik...amiin
Allah akuhifadhi akupe shifaa ndugu Yusuf wambugu akupe afya njema
Amin
MashaAllah sheikh na Amir wetu utapata Shifaa ya haraka
Amin
Inshaallah!! Allah azidi kukupanguvu kiongozi🙏
Amin
Amini yesu utapona
Yusuf ni Muislamu. Huwezi kumpotosha kwa ujanja ujanja kama huo. Wa kutangulizwa katika imaan ni Mwenyezi Mungu.
ww nani kakwambia waislam awamwamin yesu
Mwenyezi Mungu akupe Afya njema in shaa ALLAH.
Amin
Allah akuponye sheikh wangu,pia narecomend utumie supplement ya edg3 itakusaidia sana kwenye kubalance sukari mwilini na kukurudishia afya biithnillah
Allah atakuinuwa sheikh wetu na uweze kurudi kwa dawaa in shaa-Allah
Amin
Sheikh Yussuf inshallah Allah atakufanyia wepesi kwa uwezo wake na wagonjwa wote awape nafuu. Tunakupenda sana sheikh Yussuf tupo pamoja inshallah hadi katika Fir-daus.
Amen sote
ALLAH akupe afya njema amini
Amin sote