Bishop agoma dhambi zilichukuliwa au la kumechemka leo maswali moto moto yaletwa kimeeleweka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 141

  • @user-xi6iv4hl5p
    @user-xi6iv4hl5p 8 месяцев назад +14

    Shekh Salim mungu akujalie maisha marefu unawafundisha vizuri sana mashaallah

  • @bahsansheikh6042
    @bahsansheikh6042 8 месяцев назад +10

    Allah Akbar. Daawah safi kabisa Mashekhe wetu. Mungu Awahifadhi

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 8 месяцев назад +9

    Subhana Allah..Hawa viumbe ni wazito hata kwa akili ya kibinaadam.Umetakasika RABB wangu.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +4

      Allah awaongoze waione haki na waifuate

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 8 месяцев назад +14

    Now my night is going to b complete with dawaah from my beloved sheikhs..peace be with u always

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +3

      Masha Allah May Almighty Allah bless you always

  • @dominicwafula3997
    @dominicwafula3997 8 месяцев назад +16

    ASalam Aleykum mashekh wetu Allah Awalipe leo mpka Akhera InshaAllah, mkikosa hata siku nakosa raha najifunza sana tokana na dawaa hii.

    • @hythamhashiem4458
      @hythamhashiem4458 8 месяцев назад +3

      اللهم آمين يارب العالمين

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +4

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh Allah akulipe na akupe umri mrefu wenye baraka

    • @RashidAli-rn3ro
      @RashidAli-rn3ro 7 месяцев назад +3

      Yani ata mm najifunza mengi, kwakweli waafrica tumefanywa wajinga na wazungu muda mrefu

  • @Sanshiro333Giluckiano-zs1rc
    @Sanshiro333Giluckiano-zs1rc 8 месяцев назад +7

    Semoga dikasih kesehatan salam dari Indonesia, syekh

  • @RashidAli-rn3ro
    @RashidAli-rn3ro 7 месяцев назад +3

    Wakristo banaaaa....yani wameambiwa waulize masuali kuhusu uislamu wao wanauluza masuali ya ukristo ambyo wao wenyewe hawayajui. Hakika Allah nakushukuru kwa neema hii ya uislam.

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 8 месяцев назад +8

    Leo nimekuwa wakwanza ❤

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +2

      Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah

    • @omarif9935
      @omarif9935 8 месяцев назад +3

      Je sauti iko vizuri uko kwako? Huku audio haisikiki kabisa 😢

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 8 месяцев назад

      ​​@@omarif9935
      Amna sauti ata kidogo sasa natoka
      Tangia asubuhi naangaika kuitafuta video ya hii channel sasa kwabaati mbaya imekuja bila sauti😆🤣🤣🤣🤣

    • @hythamhashiem4458
      @hythamhashiem4458 8 месяцев назад +3

      Kwangu iko sawa kabisa

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 8 месяцев назад +1

      ​​@@hythamhashiem4458
      Maa shaa Allah
      Ni kweli saizi sauti ipo nimerudi tena kuja kuangalia
      Kumbe mda ule niliwai sana yaani wametuma tu nika iplay juu juu ndio maana haikuwa na sauti

  • @Sal.0
    @Sal.0 8 месяцев назад +4

    Ai, hawa wotee wana sema ni 'WaKristo', LAKINI, kila moja ana KATAA maadiko za Biblia zinao tolewa na MaUstadi hapa!
    Ai, yaani, maana ya 'ukristo', ni ku KATAA Maandiko za Biblia?
    MOTONI hawa woteeee!
    TabarakAllah Team!
    Leo tena, mume kimbia MARATHON ya Dawah leo pia!
    MashaAllah!

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +3

      Yani wakristo bila kupinga bibilia hawawi wakristo

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 8 месяцев назад +2

      kwa sababu wanafuata mafundisho ya kanisa badala ya Yesu

  • @guyogalora2736
    @guyogalora2736 7 месяцев назад +2

    Waleikum salam warhamatul wabaraqatu sheikh salim ngugi

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 8 месяцев назад +3

    Ma sha Allah tabaraka llah walim ngu Allah amfanyie wepesi kueneza dini y haki

  • @abukarosman7312
    @abukarosman7312 8 месяцев назад +4

    asalumu aleikum warahmatulahi wabarakatahu nduguzangu

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk 8 месяцев назад +1

      Wsalaam warahmatullahi ta'ala wabarakaatuh kaka etu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @habimanayasin4223
    @habimanayasin4223 8 месяцев назад +2

    Msomaji wetu wanamucerusha ila hawa watu nawo bana 😂😂😂 . Sheikh Ally taratibu mungu awajaliye kila la kheri ma sheikh

  • @AishaMohamud-k7d
    @AishaMohamud-k7d 7 месяцев назад +2

    Tamuu kama sukari Allah awape janatul firdows mashehe wetu na waislamu wote na awaongoze ndugu zetu

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 8 месяцев назад +5

    Et yesu n Mungu ajaab mbona hajasema niabuduni mm ndimi Mungu alisema Mungu ngu ndie Mungu wenu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +1

      Hawa wakristo wanapinga hata bibilia

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 месяцев назад

      Eleza ni Kwa nini Wayahudi waliokota mawe kutaka kumpiga Yesu aliposema kabla ya Abraham Mimi nipo.Hivi alimaanisha nini kulingana na Wayahudi?

  • @hassanimouigni6648
    @hassanimouigni6648 3 месяца назад +1

    Alhamdullilah mungu kituepusha na ili balaa ya ukristo tumshuru mungu

  • @abdiweliminhaj2939
    @abdiweliminhaj2939 8 месяцев назад +3

    mashallah sheikh❤

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 8 месяцев назад +3

    Ma sha Allah

  • @IbrahimOmar-kf2cv
    @IbrahimOmar-kf2cv 4 месяца назад +2

    Salim nduyangu shughuli ufanyazo ALLAH a'aalam silazi rahisi mashaallah ninavo fuatilia, Salim ww hapo jakar ground ulipo, sio kama kina abass na Anwar, coz we huwatefuti wakristo wako tayar, ALLAH, lakua

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  4 месяца назад

      Wote walimu wakisilamu wanafanya kazi kumbwa sana sisi hata ni wanafunzi wao

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 8 месяцев назад +3

    Sasa hawa wakiristo wanafuata maandiko gani maana ya kwenye biblia wanayakataa😢😢😢mtihani wallah yaaani wanachanganikiwa kabisa....hawajui wanacho kiabudu....Allah awaongoe na awaoneshe njia ya hakki🤲🤲🤲

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +1

      Aamiin amiin amiin Allah awaongoze waione haki na waifuate

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk 8 месяцев назад +4

    Allahu Akbar

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 8 месяцев назад +3

    Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh Allah awahifadhi

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aamiin amiin amiin

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 8 месяцев назад +4

    MashaAllah

  • @omarnzaro31
    @omarnzaro31 8 месяцев назад +4

    Huyu jamaa amejifanya mjuaji lakini alipopatiwa dose yake ngyvu zulimuisha kabisa.

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 8 месяцев назад +4

    Bishop ame kuwa biduka

  • @hodhanmusa7224
    @hodhanmusa7224 8 месяцев назад +1

    Sheikh salim Masha Allah , Allah akupe maisha marefu unaeleza dini vizuri na Una subra pia Alhamdhulila

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 8 месяцев назад +3

    Amna sauti

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 8 месяцев назад +3

    Safi.

  • @isahbarasa
    @isahbarasa 4 месяца назад +2

    Mashalla ❤️

  • @josemu870
    @josemu870 4 месяца назад +1

    Barikiweni

  • @Adm9464
    @Adm9464 8 месяцев назад +5

    Ajabu. When it came to creating the ones in the trinity went to lunch . This is a laughter haki this people have no knowledge. The word Trinity is not found anywhere in the Bible!

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +1

      Kabisa ila wakristo wanaingangania sana Allah awafungue macho waione haki na waifuate

  • @user-wb2ff6dj6q
    @user-wb2ff6dj6q 8 месяцев назад +1

    Masha Allah Kuna watu huku huwa wananiuliza kwa nn waislam Wana Amini mwezi huwa wanafanya vitu kulingana namwezi naomba munifundishe ili niweze kuwa elimisha

  • @aburaasmedia3682
    @aburaasmedia3682 7 месяцев назад +1

    Mashalah jazakalahu kher

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 8 месяцев назад +3

    Sheikh Ali hunifurahisha sana akianza andiko "INASEMA" 😅

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +1

      Masha Allah

    • @faridbashuu
      @faridbashuu 8 месяцев назад +2

      Ni msomaji anayeleta Raha Sana, Maashallah. Allah Awahifadhi na kuwalinda wote.

  • @aishasalim9546
    @aishasalim9546 7 месяцев назад +2

    DOOH JAMANI WAKRISTO .YAANI MIMI NAMSHUKURU MOLA WANGU KUNIJAALIYA MUISLAM LAKIN KAMA NINGEKUWA NYINYI NINGE OKOWA NAFSI YANGU KITAMBO kWA HUBIRI MOJA TU KUWA YESU ALIKUWA MUSLAMU SIMKRISTOOO MUTAKUJA KURUKWA SIKU YA QIYAMA

  • @alinoor6276
    @alinoor6276 8 месяцев назад +1

    Dawaa tamu

  • @Mohamedrashidmohd
    @Mohamedrashidmohd 8 месяцев назад +1

    M.a keep going

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 5 месяцев назад +1

    Mashalla mashekh wetu 😅😅😅😅❤

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 5 месяцев назад +1

    Ameeleweka vizuri sana coz hiyo verse ya mungu aliupenda ulimwengu ilitumiwa kutoka sijazaliwa ..so yeye anaitumia akidhani ataponyoka lakin zii coz anaongea kuhusu yesu...mara mwana..mara yusufu mara mariam ..mara trinity

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 месяца назад +1

    huyo wa yesu ndio mungu yuko na shida ya kufikiria......😮😢😢😢

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 7 месяцев назад +1

    Sheikh wetu . Ali nimkorofi kisiri maneno yake. Yananiashahoi

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 8 месяцев назад +3

    Hakuna sayti

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 8 месяцев назад +1

    😂😂😂😂 ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR Quruan nikiboko Yani ikisomwa yanipa Raha tena hustadhi Salim unafundisha vizur sana unafafanuwa vizur zaidi Hadi mtu Aelewe ALLAH awape afya walimu wetu na umr tuko pamoja 💖💖💖💖💖💖

  • @mohdibnsaleh9949
    @mohdibnsaleh9949 8 месяцев назад +3

    Asalam alaykum leo sauti imepotea

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @ibrahimhassan8501
    @ibrahimhassan8501 8 месяцев назад +1

    Masha Allah

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 8 месяцев назад +3

    Asalaam aleykum warahmatullah wabarakatuh

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @mwanaidiissa10
    @mwanaidiissa10 8 месяцев назад +1

    Mashallah Allah awalipe inshallah

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 2 месяца назад +1

    Yaarabi.bismillah..Mwizi..kaachiwa.huru.wao.usherehekea.krismas

  • @AbdallahShehi
    @AbdallahShehi Месяц назад +1

    Maasha'Allah

  • @solomonsago9445
    @solomonsago9445 2 месяца назад

    Sheikh salim mungu aezi zalisha mariamu

  • @omarjuma7401
    @omarjuma7401 8 месяцев назад +1

    MASHA ALLAH 🤲

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 2 месяца назад +1

    Jamani eeTusikilize yohana.mojamoja.huko.tusikie.biblia.imeteremshwa.nanani

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 5 месяцев назад +1

    Waliambiwa wanapotea kwa kuwa hawajui maandiko na hata wakijua hawaelewi na hata wakielewa hawaamini.

  • @abdikarim324
    @abdikarim324 8 месяцев назад +1

    Mashallah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 8 месяцев назад +1

    Masha Allah mungu azidi kuwapa moyo kuendeleza usilam 🤲🏽🤲🏽

  • @AshamMussa
    @AshamMussa 8 месяцев назад +1

    Hapo umeingia chuo Cha kike tulia ufundishwe na walimu wetu tulia

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 5 месяцев назад +1

    Sasa bibilia iligeuka kitabu maana yanayoongelewa yote ni mageni kwake

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 8 месяцев назад +2

    shida hawataki kujifunza

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад

      Yeah Allah awaongoze waione haki na waifuate

  • @abdirahmanadan654
    @abdirahmanadan654 4 месяца назад +2

    Quran: chapter 5 verse 116

  • @YUSSUFSHEIKH-qv6gz
    @YUSSUFSHEIKH-qv6gz 7 месяцев назад +1

    Watu wasome bwana

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 7 месяцев назад +1

    Kibarua kubwa wallah😢😢😢 itakua hawa watu kna vitu wanatumia zimeharb akili zao mbona ni wagum kuelewa ivo🤔

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 месяцев назад

      Allah awaongoze waione haki na waifuate

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 8 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @SalimHumud
    @SalimHumud 3 месяца назад +1

    Hao hata ukiwaonya hawaonyeki

  • @Tshimanga100
    @Tshimanga100 8 месяцев назад +1

    Mimi ni mu christo

  • @mohamedimohamedi8933
    @mohamedimohamedi8933 5 месяцев назад +1

    Wanafuata nafsi zao

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 6 месяцев назад +1

    Alii hachana na watu wa nje mbona unasmbua kichwa chako na watu wa nje ambao wanaaribu mkutano

  • @shurlaally1686
    @shurlaally1686 8 месяцев назад +1

    Maashallah Islam ❤ and peace

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 8 месяцев назад +1

    hii inaonesha kuwa yohana 1:2 ni ya kupachika

  • @fatumahamisi1604
    @fatumahamisi1604 8 месяцев назад +1

    Asalam Alykum warhmatullah wabarakat mashekh wetu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 8 месяцев назад +1

    31:01 ninashaka na malipo ambayo yesu aliahidi Paul
    Hakimu ni mtumishi ambaye anatumikia malipo .
    Sasa Paul anauliza Yesu malipo watakayo pata wanaomfata Yesu
    Kwahiyo Yesu akijibu kwamba malipo watakayo pata ni kuketi kwenye viti kumi na mbili wakihukumu kabila kumi na mbili za Israel
    Mimi hapo sioni malipo Bali ni kazi ju yakazi

  • @hodhanmusa7224
    @hodhanmusa7224 8 месяцев назад +1

    Yaani akili nzito halafu hawakubali ukweli wazungu wame wa brain wash vibaya. Colonisation of the mind.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад

      Allah awaongoze waione haki na waifuate

  • @NimoJama-iw6tg
    @NimoJama-iw6tg 4 месяца назад

    They are liging

  • @NathanielNathan-m4o
    @NathanielNathan-m4o 8 месяцев назад

    Huyo mwana ni Yesu hata nyinyi masheikh muache kupotosha watu

    • @hythamhashiem4458
      @hythamhashiem4458 7 месяцев назад

      Mume danganywa na wazungu ili wawakoloni na walifanikiwa walilo litaka wala hawakuwaletea dini

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 месяцев назад

      @@hythamhashiem4458 Sema nchi yako ni gani nikwambie mulikua colonized by which people ama pengine hujui history ya nchi yako.Kama wewe ni mtanzania Wajeruman na waingereza na kama wewe ni mkenya waingereza.

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 месяцев назад

      @@hythamhashiem4458 Kwani wewe nchi yako haikuwa colonized na wazungu? Ama historia hujui? Ama unataka uwe colonized na waarabu ndio usikie raha?

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 7 месяцев назад

      @@hythamhashiem4458 Kwani Yesu alileta dini? Yesu alihubiri na kufundisha kuhusu ufalme wa Mungu.

  • @davidgeorge5898
    @davidgeorge5898 6 месяцев назад

    Acha kudeal na wanafunzi,hawajui bibilia vyema.kuna masters wa bibilia

  • @LucyMarigu-vo8up
    @LucyMarigu-vo8up 8 месяцев назад

    Iyo niuongo siyo lazima uwe mslam

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад

      Lazima na kama hutaki nobody is forcing you

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 5 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂

  • @liyoh-254
    @liyoh-254 8 месяцев назад +1

    many ads

  • @Tshimanga100
    @Tshimanga100 8 месяцев назад +1

    Na tafuta débat na mzee muslamu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад +1

      Tuko tiyari wakati wowote inn shaa Allah

    • @Tshimanga100
      @Tshimanga100 8 месяцев назад

      But ita kuya online we can do one zoom meeting cause sina ku keniya niko merikani

    • @user-cu8ki9cn8e
      @user-cu8ki9cn8e 8 месяцев назад

      ​@@Tshimanga100wewe pole kwa kuchukia Dini ya ALLAH

  • @LucyMarigu-vo8up
    @LucyMarigu-vo8up 8 месяцев назад

    Kila,mtu akae kwa Dini yake,kwaza. Mimi uchukia waslam sn,saitan manjini na ring 💍 za freemasonry kunyua bangi.na pombe c kwa ubaya nimekaa nao 5yrs

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  8 месяцев назад

      Hakuna anayekulazimiza kuwa muisilamu chuki zako kaa nazo

  • @MosesKubula
    @MosesKubula 2 месяца назад

    Mambobad

  • @linetogega7626
    @linetogega7626 5 месяцев назад

    Mzee wewe utaki kushindwa seriously

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  5 месяцев назад +1

      Hatuko mashindano tuko kufundishana

  • @janieali5521
    @janieali5521 5 месяцев назад +1

    Kwanii ukristo ni dini ya kubabaisha babyish. ?

  • @Rajkumar-gz4qr
    @Rajkumar-gz4qr 5 месяцев назад +1

    Allahu Akbar