UNABII NA MAOMBI YA UFUNGULIVU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 59

  • @deusdeditchale
    @deusdeditchale 7 месяцев назад +1

    Amina

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Год назад +4

    Niliwahi ambiwa (hubiriwa) kuwa yule mchungaji wanayesemaga ni freemason ndo nenda huko huko wanasema wamemshindwa KBS. Wapinge mafuta maji, mafuta,chumvi na vifaa vingine vya kiroho vya kanisa lako Mimi Niko pamoja na maombi yako Na mafundisho yako kwangu Mimi ni 🔥

    • @lifejeremiah6957
      @lifejeremiah6957 Год назад +1

      Habari ivi unawza nionionyesha pic ya mafta ya nabii au maji maana nimeagiza Ila nahisi kama cyo yenyewe

    • @nancysway388
      @nancysway388 Год назад

      Tuone uliyotumiwa ebu

  • @RehemaFidelis
    @RehemaFidelis 4 месяца назад

    Najiunganisha.namaombi.ya.usuku.waleo.baba.na.pitia.ngome.ya.yesu.kilisto.🙏✋🙏✋💕

  • @SadikiLubemba
    @SadikiLubemba Год назад +1

    Nataka namba iliniombewe

  • @RehemaFidelis
    @RehemaFidelis 4 месяца назад

    Ubalikiwe.sana.na.mungu.akulinde.baba.kuhani.msa🙏🙏🙏

  • @scholastiquefeza6154
    @scholastiquefeza6154 Год назад

    Mungu wa ngomeni, nipe nguvu yako baba. Shida na matatizo yote baba zi sambaratishwe . Ee Mungu ni saidiye hapa kwetu RDC na jiungamanisha na ngome ya Yesu

  • @grorymsangi4651
    @grorymsangi4651 Год назад +1

    Kwahio na wewe unasemaje?Mungu wa kuhani musa nitendee na Mimi acha warseme wajuavyo sisi unavyojua yesu ametuponya

  • @babapastori2247
    @babapastori2247 Год назад

    Amina

  • @FARAJIFADHILI-v6x
    @FARAJIFADHILI-v6x 5 месяцев назад

    Ameena na mm ninaomba nifunguliwe na watoto wangu na tumbo linalonisubua

  • @TekraAllan
    @TekraAllan 2 месяца назад

    Amina

  • @kevinntibonera
    @kevinntibonera 3 месяца назад

    maji iyi ni yenye upako.asante Mungu🙏

  • @RehemaFidelis
    @RehemaFidelis 4 месяца назад

    Amina.baba

  • @JoyTobit
    @JoyTobit 7 месяцев назад

    Amina baba wachawi wakufe wote waliofanyia mama vita, mungu wa kuhani Mussa afufue mama yangu

  • @AngelMinga-x6b
    @AngelMinga-x6b 3 месяца назад

    Niko tayali kwa jina la yesu WA ngomen

  • @MagrethDaud-t8x
    @MagrethDaud-t8x Год назад

    Najiunganisha na mabhabah ya kuhan musa

  • @Christin-nf1vs
    @Christin-nf1vs 8 месяцев назад

    Amen amen nguvu za mungu zifanye miujiza kwa mama yang

  • @louiseramazani9820
    @louiseramazani9820 Год назад

    Damu ya yesu niponye baba

  • @marinemodest1798
    @marinemodest1798 Год назад +1

    Naamini Madhabahu hii ya Ngome ya YESU KRISTO inayoongozwa na Kuhani na Mwl.Musa Richard Mwacha! BWANA YESU usinipite mimi Mary Modest Shayo na uzao wangu utuokoe na roho za Mizimu na uganga na ushirikina kwa DAMU YA YESU KRISTO Amen

  • @FARAJIFADHILI-v6x
    @FARAJIFADHILI-v6x 5 месяцев назад

    Ameen yaraab

  • @suzanymushi9805
    @suzanymushi9805 Год назад +1

    Kupitia maji naomba watoto wangu wafungliwe

  • @ashuramachinja
    @ashuramachinja 2 месяца назад

    Aminaa mtumishi

  • @anthonykiwia1997
    @anthonykiwia1997 Год назад +1

    Amen nguvu za Mungu zinatenda miujiza damu ya Yesu nifungue na Roho za mauti na nyota yangu ing'aee na bariki kazi yangu na udongo katika nyumba yetu na ukoo ufungulie Kwa damu ya Yesu Amen.

  • @StellaGeorge-ee1gh
    @StellaGeorge-ee1gh Месяц назад

    Amiina

  • @siliviamaneno2905
    @siliviamaneno2905 Год назад

    Ameni

  • @SerahMutunga-po1ko
    @SerahMutunga-po1ko 2 месяца назад

    I connect with this altar

  • @frankfransic2872
    @frankfransic2872 Год назад +1

    Mungu nipe kibali niende ngomeni🙏🏿

  • @suzanymushi9805
    @suzanymushi9805 Год назад +1

    Mungu ni kwema kila wakati

  • @pendomanjerenga464
    @pendomanjerenga464 Год назад

    I connect

  • @MuseAli-qi9wx
    @MuseAli-qi9wx 6 месяцев назад

    Amen amen

  • @joycenicodemus.2232
    @joycenicodemus.2232 Год назад

    Najiunganisha namadhabahu hii mume wangu leo afunguliwe milango yabaraka.Afutiwe uhamisho wake🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 Год назад

    Kuhani Bwana Yesu Atukuzwe ninakuomba uniombee Milango ya kiuchumi yangu na familia yangu yote ifunguliwe! Tume soma, Tuna vitu vya thamani lakini havizai mgodi, Shamba, nyumba za kupangisha, ajira lakini tumekuwa wa Madeni na kupoteza pesa na mali mwaka hadi mwaka!! Tufungue

  • @souzanenabuki5272
    @souzanenabuki5272 Год назад +1

    Amina kubwa

  • @asumanihassan3483
    @asumanihassan3483 Год назад

    Hee Mungu wangu nimeyasogelea madhabahu ya mtumishi wako nahomba unifungulie njia ya kwenda Marekani

  • @methewgordon
    @methewgordon Год назад

    Kila kikwazo kilicho simama mbele yangu kitoweke kwa kujiungamanisha na ibada hii Ameen

  • @japhethrichard2961
    @japhethrichard2961 Год назад

    Naomba mungu anifungulie milango yangu

  • @Rose-yz7fo
    @Rose-yz7fo Год назад

    Kutoka Kenya nawafutilia Kwa tube

  • @irenegerald-vl5op
    @irenegerald-vl5op Год назад

    Niko tayari,kwa jina la Yesu

  • @suzanymushi9805
    @suzanymushi9805 Год назад +1

    Ameeen

  • @annielukogo3430
    @annielukogo3430 Год назад

    Ameeen

  • @Rose-yz7fo
    @Rose-yz7fo Год назад

    Yesu atukuswe Wana ngomeni kupitia hii maombi nlichukua manji kuhani aliposema kunywa Mara monja nkakunya nguvu za yesu skaniingia nkatapika Naamini nmefumguliwa Kwa njina la yesu natarajia mazuri Amina

  • @marieayinkam4521
    @marieayinkam4521 Год назад

    Nawomba unifunguwe niko tayali

  • @valcomangapie8590
    @valcomangapie8590 Год назад

    Shetan ashindwe Kwa jina la YESU

  • @stefanomanoki5931
    @stefanomanoki5931 Год назад

    Mungu ni mwema

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 Год назад

    Ameen

  • @officialkiller6895
    @officialkiller6895 Год назад

    Ameeen

  • @marieayinkam4521
    @marieayinkam4521 Год назад

    Nimefunguliwa

  • @jummasalomomahoro283
    @jummasalomomahoro283 Год назад

    Hallelujah Yesu yupo hapo kabisa.

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 Год назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @reginamuthoni2239
    @reginamuthoni2239 Год назад

    Amen🙏

  • @DjDj-jm4we
    @DjDj-jm4we Год назад

    Amen