#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
    Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
    Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
    Star TV Brightens Your Day !

Комментарии • 19

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 месяца назад

    Huyo jamaa hawezi kujibu hoja zako Mr.Odemba,unamuuliza swali anajibu vitu vinģine tofauti,unalirudia kwa technic,anazidi kujibu uvunjifu wa katiba yao wenyewe! ndio mana kavaa sox za shule afu anazianika tuzione,nne yenyewe anatundika tu mguu loh! sisi sio wajinga

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 месяца назад

    Hapa tunapoteza mb tu acha tuhame..Anatabasamu nini sasa?!Ukandamizaji wa kidola ndio anaita maarifa kwa kukosa hoja!. Kimtokacho mtu ndicho kilicho moyoni ubaya ubaya tu lakini maneno yako yanatapisha kuliko kuona kinyaa!

  • @alexmwamtobe3850
    @alexmwamtobe3850 3 месяца назад

    Hivi Hawa viumbe wanawaza kutumia nini? kwahiyo vyama ambavyo havina wawakilishi maeneo mbali mbali, wanafanyaje kutafuta wanachama kama watataka wasitembee maeneo mengine?

  • @majidukalokola7253
    @majidukalokola7253 3 месяца назад

    Well done chief Odemba. Hilo jamaa lilitakiwa kuwepo na kiongozi mwingine wa upinzani ili aliweke sawa.

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz 3 месяца назад

    Brother we researched and we have evidence to prove beyond reasonable doubt just for your information

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz 3 месяца назад

    Hili jamaa najisikia kichefuchefu kulisikiliza. Odemba Pat on the back!

  • @HezroniJonh
    @HezroniJonh 3 месяца назад

    Hawa ndiyo wapumbavu wanaotuaribia. nchi kwa kujipendekeza

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz 3 месяца назад

    This guy is very narrow knowledged politically

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 3 месяца назад

    Capacity ya kufikiri na uelewa ya huyo ndg ni ndogo,hata katiba hailewi.

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz 3 месяца назад

    Hili jamaa takataka kabisa ndiyo haya yanayosubiri kubebwa

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 3 месяца назад

    KATIKA MAJITU MAJINGA HILI NAMBA MOJA....NIKICHWA HASARA

  • @laulianmeneja5923
    @laulianmeneja5923 3 месяца назад

    Hajielewi huyo jamaa wa ccm hajui kujibu hoja

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂 duuuu low sana yaani

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 3 месяца назад

    Kwenye unique hapo umesema😂😂😂😂

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 3 месяца назад

    Angalia sana mdomo wake..............

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 3 месяца назад

    HILI JAMAA LIMEJAA MAVI KICHWANI

  • @GeorgeMhada
    @GeorgeMhada 3 месяца назад

    Jaamaa anauwezo mdogo xana

  • @GeorgeMhada
    @GeorgeMhada 3 месяца назад

    Odemba unajuwa san

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 3 месяца назад

    Bravo Odemba.