#LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Huyo jamaa hawezi kujibu hoja zako Mr.Odemba,unamuuliza swali anajibu vitu vinģine tofauti,unalirudia kwa technic,anazidi kujibu uvunjifu wa katiba yao wenyewe! ndio mana kavaa sox za shule afu anazianika tuzione,nne yenyewe anatundika tu mguu loh! sisi sio wajinga
Hapa tunapoteza mb tu acha tuhame..Anatabasamu nini sasa?!Ukandamizaji wa kidola ndio anaita maarifa kwa kukosa hoja!. Kimtokacho mtu ndicho kilicho moyoni ubaya ubaya tu lakini maneno yako yanatapisha kuliko kuona kinyaa!
Hivi Hawa viumbe wanawaza kutumia nini? kwahiyo vyama ambavyo havina wawakilishi maeneo mbali mbali, wanafanyaje kutafuta wanachama kama watataka wasitembee maeneo mengine?
Well done chief Odemba. Hilo jamaa lilitakiwa kuwepo na kiongozi mwingine wa upinzani ili aliweke sawa.
Brother we researched and we have evidence to prove beyond reasonable doubt just for your information
Hili jamaa najisikia kichefuchefu kulisikiliza. Odemba Pat on the back!
Hawa ndiyo wapumbavu wanaotuaribia. nchi kwa kujipendekeza
This guy is very narrow knowledged politically
Capacity ya kufikiri na uelewa ya huyo ndg ni ndogo,hata katiba hailewi.
Hili jamaa takataka kabisa ndiyo haya yanayosubiri kubebwa
KATIKA MAJITU MAJINGA HILI NAMBA MOJA....NIKICHWA HASARA
Hajielewi huyo jamaa wa ccm hajui kujibu hoja
😂😂😂😂😂 duuuu low sana yaani
Kwenye unique hapo umesema😂😂😂😂
Angalia sana mdomo wake..............
HILI JAMAA LIMEJAA MAVI KICHWANI
Jaamaa anauwezo mdogo xana
Odemba unajuwa san
Bravo Odemba.