Alichozungumza Diamond Platnumz baada ya Kesi yake na Hamisa
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- Nyota wa muziki, Diamond Platnumz na mwanamitindo Hamisa Mobetto wamefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya usuluhishi kuhusu matunzo ya mtoto wao.
Diamond unakipaji cha ziada aiseeee ,ur genius with explaining gonga like kama unakubaliana na mimi
Diamond, mwanzo Nakushukuru sana siku ya leo kwa matamshi yako hongera sana, ya Pili, nakuheshimu sana kwa wakati huu vile unavyo fanya, we are all happy with you , and we are Proud of you, welcome back home brother!
Diamond umeonyesha ukomavu umekua ki Akili siku hizi. Umeongea maneno mazuri japokua mimi sio shabiki WAKO but I got your point brother ✅✔️
Julius Lubega aaah kwakwakwaaa
www.redbubble.com/people/shookroo/shop?asc=u
I love to hear what you learn about your daddy I I know you better and I will respect you even more . You make me cry. Your wonderful and strong man indeed.
Kwa kweli diamond katika miaka yote niliyowahi kukufaham leo ndio umeongea vitu vya maana na vya kujifunza kwa kila mtu anaezaa na mwanamke anatakiwa kuwa makini na matunzo ya mtoto wake hata kama mmeachana.mungu akubariki na akusimamie kwenye kila jambo.
Hongera mond
Hiki kichwa bana big up SIMBA stay blessed👏👏👏
Hongera Nasibu hapo nimekupenda bure musisikilize ya watu leeni mtoto wenu musifate wanafki
NDIO Maana Utabaki kua juu miaka yote Mpaka apendapo MUNGU...Wanadamu watajaribu sana kukuyumbisha ila hawatofanikiwa...Mgawa Rizki ni MUNGU PEKEE wala sio Binadamu anayekwenda haja kubwa kama wewe!!!Lengine umebarikiwa sana platnumz una hekima na busara unajieleza kwa ufasaha.Big up bro.
Chicharito Ronaldo
Chicharito Ronaldo tuseme amina
Mtangazaji munataka kujua hata maamuzi ya binafsi jamani mbona yenu hayasikiki mmh weldone Diamond lea wanao
I just love the way he gives his speech 👌🏾 he really knows how to talk
Upo vizuri Mondi watu wanasindwa kufanya kazi wanapambana kulia jasho za watu vichecheee
Chibu a,k,a Simba umeongea point sana hapo kuwa sio kila kila mtoto aliyetengwa na mzazi au wazaz sio kana kwamba hawampendi sometimes mkwaruzano na kutokuelewana kwa wazazi ndo inapelekea vile. Big up pia kwa kumuappreciate baba yako .
yani mondi nampenda anajua kujieleza 💪💪big up
waoooow nimekupend bureeeee 😘😘😘
😅😅😅😅I LOVE YOUUUUUUUU CHIBU ,SIYO KWAKUJIELEZA HIVYO
vizur sna Kaka mond im burundian ila nampenda bure huuu mkaka anafany vizuri
Hongera sana chibu kwa kutambua uwepo wa baba pamoja na dyllan Mungu akubariki
Very nice brother unajua kujieleza halafu kingine umefata nyayo zangu sitawahi kumtelekeza mtoto japo muda mwingne hawa wanaweka wanaudhi ila ndo hivo angalia mazingira ya mtoto
simbaaa simbaaa leo nimefurahi sanaa umeongea kitu cha maana hasa kuhusu wazazii safi
Safi chibudee👍👍👍👍👏👏👏👏
uko vizur l like the way you explain things.
Big up mond so smart
Umejipanga sana kk good , baba lazma àwe nà msimamo
Masha Allah Diamond you are a dad material
Team kiba mntaikubali tuu hii nikiwa mmoja wao wee nimekupnda from today simbaaaaaaa
Allah akurahisishiye kwakuleya mtoto wako Inshallah
Mondi very smart man.
big up chibu umejibu vizuri sanaaa👏👏👏👏👏👏👏
nimekupenda bure diamond kwa maelezo yko
Nakukubali kwa kujieleza tu unajua mondi
He's a gentleman...very reasonable n inteligent
Leo kwakweli umeongea jambo la maana sana chibu hasa kuhusu baba yako......kutambua kuwa magomvi ya wazazi haipaswi watoto kuyaingilia, hasa ya mahusiano ni hatari sana maana maana mtoto bado unakua,unaweza kupitia mulemule ambamo uliwalaumu wazazi wako na we ukaharibu...kuwashauri ni vizuri lakini sio kuingilia magomvi yao...big lesson to everyone!!
íla bado namuona huyo binti sio mwema Sana kawahi Sana kwenda mahakamani chibu Yuko vizuri tu
Mohammed Salim toka mwanzo hakwenda kumshtaki kama ulifuatilia vizur nikuweka mambo yamtt sawa kuna leo nakesho wanazengo wanakuza mambo
Uyo mtoto hamisa naona anafanya mtaji wake
mond you are smart guy i just loved your expressions
sipendi jubilee I don't understand Swahili what is saying dear
+Betty Janhi truly he has talked like ten thousand men...he said that they have only agreed on how to bring up their son not on restrictions or orders from the court but as a responsible parents...and outsiders are not allowed to interferre so him (Diamond) and Mabeto have schaled out everything and squared everything and there child will be brought up as it is required to every child out there
sipendi jubilee jubilee tena
+Ali g mohammed yes
+Ali g mohammed si wewe unaelewa kiswahili sinimakubaliano tu jinsi ya kumuelea mtoi and no big deal
mond kumbe unakili san ntunza mtt wako damu yako ele achana na vilanza hongera sana umejileza vizur san
woooow such a wisdom
Well said...life has way up n way down!on way up make sure n b carefull bcz on way down no helping hand around. forget d past let it go....watu wa media umbea joh.🇰🇪
I love this soul❤
you're my number one
Uko na busara diamond, big up
Yote sawa ila huyu mtangazaji moyo wangu umemwangukia....
I'm giving thumb up kwa ulichozungumza. That's how men talk. Hongera sana Simba
Nmeipenda sana... Namziki wako ndio na upenda zaidi..
Kwa kweli mond ume ongea vizuri sana mungu akubariki na azidi kufungulia milango yenye baraka
Mimi nasemaga kila Siku diamond anajua kwanzia kuongea mpaka kuimba saluti kwako mond
We ndo msanii pekee tanzania naekulewaaaaa #WCB 4 LIFEEEEE
Aise hamisa ulifka mbl snn always ukiskiliza maneno ya walimwengu hutoweza kuishi na mme. ilitakiwa muyamalize kimyakimya na sio kufikishana huku
Alikua anadanganywa na wajinga wa mitandaoni
Ume mskiliza mondi alivyo sema na maelezo aliyo toa kuhusu matumiz ya mtoto au
+Rehma Shaban yes rehma.
unajua kujieleza sana braza mondi ni kama umesoma sanaaa
yaan mondi yuko fiti kwenye idala zote safisana jembe
Hongereni, hizo ndizo hekima za Suleiman.Poa,poa sana.
Hhhhgaaaaaghhhhhhaaaa Mondi nakupenda sanaa from US
daa mondi ww kwl simbaaaaaa mungu atakujaria bro
Umesomeka Simbaaaa uwaga uko vizuri ktk Interview zako
Dah,saf my bro inshaallah mungu asimamie Nazi zako na family kiujmla p1 wew kiboko yaoooo
Hongera sana Nassibu umejieleza vizuri sana.
well done chibu well done hamissa
nachokikubaligi kwa mond pmj na utajir wake wote lkn ni mtu anaejua kuna kesho ambayo inaweza kuwa nzur au mby
jossey bourneventure simbaa,yaani nampenda mondi maanake ana maono
Mond unajua kujieleza sana hongera kijana
Wise man.
Umeeleweka Daii
fresh umeweka mambo sawa
Safi brother
Maneno matamu
apo sawa
Uko vizur Diamond ndio maana wameshindwa kukushusha kama walivyotarajia na media zao
unaanza kukua mdogwangu achana na mameneja hao wanashindwa kukufundisha maisha wanapiga ela zako kiujanjaujanja tu
mackenzie richard mmh!!! ili awe na nani ???
mackenzie richard ni viongozi katika kazi sio maisha ya kifamilia. Anyway yameisha salama✌
Mwenyezi Mungu nimependa majibu yako nawengine wajifunze kupitia wewe
Well said Baba Tiffah
Wish you write some words in English down cos RUclips doesn't carry only Swahili people
Wallahi na siyo chuki kuna kitu nmegundua kwako dai tangu ukae mbali na Zari umepunguza majivuno ....Kwa sasa uko sawa zaidi na niko sure ukiendelea hivyo mungu atazindi kukumbaliki zaidi wee ni mtoto mwenye bahati ila Zari aliingia maishani mwako kukutenganisha na watu walio kusurport kwa maisha yako na marafiki wa karibu sana nawe and some of your family members....Wee jipange kivyako ila ushughulikie watoto wako .....
Safi sana mondi unajiieleza vizuri sana
Word👌🏾
Umetisha mzee
Simbaaaaaaaaa
Umejieleza vizuri
Bro upo vizuri nakukubali sana umeongea maneno yenye busara
mond umesomea wapi kujielezea?
hope only
Umeongea point sana kaka mondi mola akujaalie mema na uwapende wanao
Jamaa anajieleza kisomi
nyie kira kitu mnasifu hata akinya hazarani tu wajinga mnasifu
nice
Umekomaa kimaisha hadi kiutu..
mondi ni very smart akihojiwa anajua anachokifanya......
Mond anajielewa bwna big up
kweli nduguyangu
Aisee mm ni shabiki mkubwa wa Kiba ila ulopoongelea point kuhusu kutoinglia ugomv wa wazazi nimepapenda embu mpe furaha mzee wko wallah utaongeza mashabiki ikiwa mm,,,
Mondi ananifurahisha anajua kujiereza
Nice answer
Safi Sana diamond umeongea kwa bus area Escanaba, wawaache mlee mtoto wenu hawakuwepo wakati mnamtafuta, maneno ya watu ni sumu kwa mwananzengo,emsikubali kujazwa ujinga, leeni mtoto na Mungu atawabariki
mond hataree anajua kujieleza aise
hatar mond
waume wangekuwa kaa wewe Chibu,aaah!dunia haingekuwa na tatizo,watoto wote wangelikuwa na Malezi bora kote
hongera simba.unajua kujieleza big up mond.
maisha ndoyanavyokuwa pind unapoamua kuish nafamilia kunameng yanakuwa yanajl hivyo yanahitaji kifua kaka
kwa kweeli Mimi mwenyewe umenifurahisha sana Lea watoto wako
Hiv hawa wadada kuzaa na diamond limekuwa ni dili au! kwan alishindwa kuyamaliza tu kifamilia, mpaka mahakani?
Hapo sawa demu ukimzalisha au ukiachana anafikiri anaweza akawa anakuingilia anavotaka
hapo nimekukubali mond....Mungu aendelee kukubariki
Mondi anajielewa sana, anyway kwa mapishi zaidi na mambo mengine karibu kwa channel yangu
dahh mondi we noooma sana boy hongera!!!
aki omeongea poa sana
Yupo sahihi
Mond, unajielewa sana
Nimekupenda mond uko sawa
mademu wakibongo tegemezi ndio mahana wanakua namambo yakushindana
Mashaallah mod umejuwa kujieleza
Ninachompenda diamond akiongea ni point afu ajiskii na wala akiwa anahojiwa ajiwek kama staa anakua n kama mtu wa kawaida
Daaah kweli aisee akilizi za watanzania kama maisha yao, kupenda vitu vya kipumbavu huwezi amini waandish wa habari wanavyoshupalia na kuwa busy hapo
Uko sawa kabisa mond