Alichozungumza Diamond Platnumz baada ya Kesi yake na Hamisa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • Nyota wa muziki, Diamond Platnumz na mwanamitindo Hamisa Mobetto wamefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya usuluhishi kuhusu matunzo ya mtoto wao.

Комментарии • 365

  • @carubryant6471
    @carubryant6471 6 лет назад +68

    Diamond unakipaji cha ziada aiseeee ,ur genius with explaining gonga like kama unakubaliana na mimi

  • @bidiiyako6803
    @bidiiyako6803 6 лет назад +8

    Diamond, mwanzo Nakushukuru sana siku ya leo kwa matamshi yako hongera sana, ya Pili, nakuheshimu sana kwa wakati huu vile unavyo fanya, we are all happy with you , and we are Proud of you, welcome back home brother!

  • @jlubegas
    @jlubegas 6 лет назад +37

    Diamond umeonyesha ukomavu umekua ki Akili siku hizi. Umeongea maneno mazuri japokua mimi sio shabiki WAKO but I got your point brother ✅✔️

    • @yaaishbaybe7477
      @yaaishbaybe7477 6 лет назад +1

      Julius Lubega aaah kwakwakwaaa

    • @shaqoshaq2737
      @shaqoshaq2737 4 года назад

      www.redbubble.com/people/shookroo/shop?asc=u

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or 6 лет назад +9

    I love to hear what you learn about your daddy I I know you better and I will respect you even more . You make me cry. Your wonderful and strong man indeed.

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 6 лет назад +7

    Kwa kweli diamond katika miaka yote niliyowahi kukufaham leo ndio umeongea vitu vya maana na vya kujifunza kwa kila mtu anaezaa na mwanamke anatakiwa kuwa makini na matunzo ya mtoto wake hata kama mmeachana.mungu akubariki na akusimamie kwenye kila jambo.

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 6 лет назад +6

    Hiki kichwa bana big up SIMBA stay blessed👏👏👏

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 6 лет назад +14

    Hongera Nasibu hapo nimekupenda bure musisikilize ya watu leeni mtoto wenu musifate wanafki

  • @chicharitoronaldo5950
    @chicharitoronaldo5950 6 лет назад +23

    NDIO Maana Utabaki kua juu miaka yote Mpaka apendapo MUNGU...Wanadamu watajaribu sana kukuyumbisha ila hawatofanikiwa...Mgawa Rizki ni MUNGU PEKEE wala sio Binadamu anayekwenda haja kubwa kama wewe!!!Lengine umebarikiwa sana platnumz una hekima na busara unajieleza kwa ufasaha.Big up bro.

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 6 лет назад +30

    Mtangazaji munataka kujua hata maamuzi ya binafsi jamani mbona yenu hayasikiki mmh weldone Diamond lea wanao

  • @estherbebe2303
    @estherbebe2303 6 лет назад +2

    I just love the way he gives his speech 👌🏾 he really knows how to talk

  • @diomedesmtayoba3744
    @diomedesmtayoba3744 6 лет назад +4

    Upo vizuri Mondi watu wanasindwa kufanya kazi wanapambana kulia jasho za watu vichecheee

  • @jumanjile8008
    @jumanjile8008 6 лет назад +5

    Chibu a,k,a Simba umeongea point sana hapo kuwa sio kila kila mtoto aliyetengwa na mzazi au wazaz sio kana kwamba hawampendi sometimes mkwaruzano na kutokuelewana kwa wazazi ndo inapelekea vile. Big up pia kwa kumuappreciate baba yako .

  • @sarahlitho8331
    @sarahlitho8331 6 лет назад +3

    yani mondi nampenda anajua kujieleza 💪💪big up

  • @KhadijaKhadija-mk6jf
    @KhadijaKhadija-mk6jf 6 лет назад +11

    waoooow nimekupend bureeeee 😘😘😘

  • @prettyshemsanelly4374
    @prettyshemsanelly4374 6 лет назад +9

    😅😅😅😅I LOVE YOUUUUUUUU CHIBU ,SIYO KWAKUJIELEZA HIVYO

  • @shmshamd2041
    @shmshamd2041 6 лет назад +4

    vizur sna Kaka mond im burundian ila nampenda bure huuu mkaka anafany vizuri

  • @catherinchalamila1120
    @catherinchalamila1120 6 лет назад +2

    Hongera sana chibu kwa kutambua uwepo wa baba pamoja na dyllan Mungu akubariki

  • @franksylivestar7344
    @franksylivestar7344 6 лет назад +4

    Very nice brother unajua kujieleza halafu kingine umefata nyayo zangu sitawahi kumtelekeza mtoto japo muda mwingne hawa wanaweka wanaudhi ila ndo hivo angalia mazingira ya mtoto

  • @endadamson4117
    @endadamson4117 6 лет назад +3

    simbaaa simbaaa leo nimefurahi sanaa umeongea kitu cha maana hasa kuhusu wazazii safi

  • @lucaton2965
    @lucaton2965 6 лет назад +8

    Safi chibudee👍👍👍👍👏👏👏👏

  • @hagaijohn9597
    @hagaijohn9597 6 лет назад +6

    uko vizur l like the way you explain things.

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza 6 лет назад +11

    Big up mond so smart

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 6 лет назад +3

    Umejipanga sana kk good , baba lazma àwe nà msimamo

  • @zainabguthera7923
    @zainabguthera7923 6 лет назад +1

    Masha Allah Diamond you are a dad material

  • @aishaeliaslocalmusic8496
    @aishaeliaslocalmusic8496 6 лет назад +2

    Team kiba mntaikubali tuu hii nikiwa mmoja wao wee nimekupnda from today simbaaaaaaa

  • @immaculeeuuiiopnsabimana4500
    @immaculeeuuiiopnsabimana4500 6 лет назад +2

    Allah akurahisishiye kwakuleya mtoto wako Inshallah

  • @soccerhighlights3643
    @soccerhighlights3643 6 лет назад +21

    Mondi very smart man.

  • @happygervas5941
    @happygervas5941 6 лет назад +13

    big up chibu umejibu vizuri sanaaa👏👏👏👏👏👏👏

    • @saifarunje6169
      @saifarunje6169 6 лет назад +1

      nimekupenda bure diamond kwa maelezo yko

  • @betrecmkwasa9891
    @betrecmkwasa9891 6 лет назад +4

    Nakukubali kwa kujieleza tu unajua mondi

  • @mariamchai4495
    @mariamchai4495 6 лет назад +2

    He's a gentleman...very reasonable n inteligent

  • @emanuelndumukwa3073
    @emanuelndumukwa3073 6 лет назад +4

    Leo kwakweli umeongea jambo la maana sana chibu hasa kuhusu baba yako......kutambua kuwa magomvi ya wazazi haipaswi watoto kuyaingilia, hasa ya mahusiano ni hatari sana maana maana mtoto bado unakua,unaweza kupitia mulemule ambamo uliwalaumu wazazi wako na we ukaharibu...kuwashauri ni vizuri lakini sio kuingilia magomvi yao...big lesson to everyone!!

  • @mohammedsalim6398
    @mohammedsalim6398 6 лет назад +10

    íla bado namuona huyo binti sio mwema Sana kawahi Sana kwenda mahakamani chibu Yuko vizuri tu

    • @annacarlos7925
      @annacarlos7925 6 лет назад +2

      Mohammed Salim toka mwanzo hakwenda kumshtaki kama ulifuatilia vizur nikuweka mambo yamtt sawa kuna leo nakesho wanazengo wanakuza mambo

    • @hamidayahya9733
      @hamidayahya9733 6 лет назад

      Uyo mtoto hamisa naona anafanya mtaji wake

  • @timelessbeauty5677
    @timelessbeauty5677 6 лет назад +24

    mond you are smart guy i just loved your expressions

    • @bettyjanhi9009
      @bettyjanhi9009 6 лет назад

      sipendi jubilee I don't understand Swahili what is saying dear

    • @timelessbeauty5677
      @timelessbeauty5677 6 лет назад +2

      +Betty Janhi truly he has talked like ten thousand men...he said that they have only agreed on how to bring up their son not on restrictions or orders from the court but as a responsible parents...and outsiders are not allowed to interferre so him (Diamond) and Mabeto have schaled out everything and squared everything and there child will be brought up as it is required to every child out there

    • @aligmohammed3738
      @aligmohammed3738 6 лет назад

      sipendi jubilee jubilee tena

    • @timelessbeauty5677
      @timelessbeauty5677 6 лет назад

      +Ali g mohammed yes

    • @timelessbeauty5677
      @timelessbeauty5677 6 лет назад

      +Ali g mohammed si wewe unaelewa kiswahili sinimakubaliano tu jinsi ya kumuelea mtoi and no big deal

  • @zainabusaiddy107
    @zainabusaiddy107 6 лет назад +4

    mond kumbe unakili san ntunza mtt wako damu yako ele achana na vilanza hongera sana umejileza vizur san

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 6 лет назад +2

    woooow such a wisdom

  • @jaffarumar708
    @jaffarumar708 6 лет назад +1

    Well said...life has way up n way down!on way up make sure n b carefull bcz on way down no helping hand around. forget d past let it go....watu wa media umbea joh.🇰🇪

  • @brendaduncan8121
    @brendaduncan8121 6 лет назад +10

    I love this soul❤

  • @DiopMohamedidi
    @DiopMohamedidi 6 лет назад +5

    you're my number one

  • @hdmtanzania2617
    @hdmtanzania2617 6 лет назад +4

    Uko na busara diamond, big up

  • @jumawaziri6258
    @jumawaziri6258 6 лет назад +8

    Yote sawa ila huyu mtangazaji moyo wangu umemwangukia....

  • @ntabayemwaka5603
    @ntabayemwaka5603 6 лет назад

    I'm giving thumb up kwa ulichozungumza. That's how men talk. Hongera sana Simba

  • @nemnem7431
    @nemnem7431 6 лет назад +2

    Nmeipenda sana... Namziki wako ndio na upenda zaidi..

  • @zubeidaaboobaker5891
    @zubeidaaboobaker5891 5 лет назад

    Kwa kweli mond ume ongea vizuri sana mungu akubariki na azidi kufungulia milango yenye baraka

  • @dominikvicent3940
    @dominikvicent3940 6 лет назад +5

    Mimi nasemaga kila Siku diamond anajua kwanzia kuongea mpaka kuimba saluti kwako mond

  • @mpozymkoma7827
    @mpozymkoma7827 6 лет назад +2

    We ndo msanii pekee tanzania naekulewaaaaa #WCB 4 LIFEEEEE

  • @yohanamaiga3031
    @yohanamaiga3031 6 лет назад +16

    Aise hamisa ulifka mbl snn always ukiskiliza maneno ya walimwengu hutoweza kuishi na mme. ilitakiwa muyamalize kimyakimya na sio kufikishana huku

    • @judithlucas2612
      @judithlucas2612 6 лет назад

      Alikua anadanganywa na wajinga wa mitandaoni

    • @rehmashaban2944
      @rehmashaban2944 6 лет назад

      Ume mskiliza mondi alivyo sema na maelezo aliyo toa kuhusu matumiz ya mtoto au

    • @yohanamaiga3031
      @yohanamaiga3031 6 лет назад

      +Rehma Shaban yes rehma.

  • @emanuelmhagama8193
    @emanuelmhagama8193 6 лет назад +4

    unajua kujieleza sana braza mondi ni kama umesoma sanaaa

  • @sheluizonola7782
    @sheluizonola7782 6 лет назад +16

    yaan mondi yuko fiti kwenye idala zote safisana jembe

  • @margarethsolomon693
    @margarethsolomon693 6 лет назад +3

    Hongereni, hizo ndizo hekima za Suleiman.Poa,poa sana.

  • @mercyngo1154
    @mercyngo1154 6 лет назад +3

    Hhhhgaaaaaghhhhhhaaaa Mondi nakupenda sanaa from US

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum5002 6 лет назад +12

    daa mondi ww kwl simbaaaaaa mungu atakujaria bro

  • @rashidnassor2946
    @rashidnassor2946 6 лет назад +3

    Umesomeka Simbaaaa uwaga uko vizuri ktk Interview zako

    • @mwashangongo4823
      @mwashangongo4823 6 лет назад

      Dah,saf my bro inshaallah mungu asimamie Nazi zako na family kiujmla p1 wew kiboko yaoooo

  • @mwanaharabu82
    @mwanaharabu82 6 лет назад

    Hongera sana Nassibu umejieleza vizuri sana.

  • @ashangohi450
    @ashangohi450 6 лет назад +1

    well done chibu well done hamissa

  • @josseybourneventure4232
    @josseybourneventure4232 6 лет назад +13

    nachokikubaligi kwa mond pmj na utajir wake wote lkn ni mtu anaejua kuna kesho ambayo inaweza kuwa nzur au mby

    • @jimwana
      @jimwana 6 лет назад

      jossey bourneventure simbaa,yaani nampenda mondi maanake ana maono

  • @mbwanaomary7537
    @mbwanaomary7537 6 лет назад +2

    Mond unajua kujieleza sana hongera kijana

  • @hadassperez494
    @hadassperez494 6 лет назад +18

    Wise man.

  • @rozeeroz2515
    @rozeeroz2515 6 лет назад +10

    Umeeleweka Daii

  • @chriskiwia196
    @chriskiwia196 6 лет назад +19

    fresh umeweka mambo sawa

  • @mercygavalajanahi8787
    @mercygavalajanahi8787 6 лет назад +4

    apo sawa

  • @saadmgendi8537
    @saadmgendi8537 6 лет назад +2

    Uko vizur Diamond ndio maana wameshindwa kukushusha kama walivyotarajia na media zao

  • @mackenziengolo7mabula132
    @mackenziengolo7mabula132 6 лет назад +33

    unaanza kukua mdogwangu achana na mameneja hao wanashindwa kukufundisha maisha wanapiga ela zako kiujanjaujanja tu

    • @mwandiadam5490
      @mwandiadam5490 6 лет назад

      mackenzie richard mmh!!! ili awe na nani ???

    • @64aaa
      @64aaa 6 лет назад

      mackenzie richard ni viongozi katika kazi sio maisha ya kifamilia. Anyway yameisha salama✌

    • @theresialugongo7720
      @theresialugongo7720 6 лет назад

      Mwenyezi Mungu nimependa majibu yako nawengine wajifunze kupitia wewe

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +3

    Well said Baba Tiffah

  • @naddymercy4131
    @naddymercy4131 6 лет назад +3

    Wish you write some words in English down cos RUclips doesn't carry only Swahili people

  • @roseirungo1950
    @roseirungo1950 6 лет назад

    Wallahi na siyo chuki kuna kitu nmegundua kwako dai tangu ukae mbali na Zari umepunguza majivuno ....Kwa sasa uko sawa zaidi na niko sure ukiendelea hivyo mungu atazindi kukumbaliki zaidi wee ni mtoto mwenye bahati ila Zari aliingia maishani mwako kukutenganisha na watu walio kusurport kwa maisha yako na marafiki wa karibu sana nawe and some of your family members....Wee jipange kivyako ila ushughulikie watoto wako .....

  • @enockmgizi1088
    @enockmgizi1088 6 лет назад

    Safi sana mondi unajiieleza vizuri sana

  • @shannelika718
    @shannelika718 6 лет назад +2

    Word👌🏾

  • @awazbange7473
    @awazbange7473 6 лет назад +4

    Umetisha mzee

  • @ashabaybeashabaybe49
    @ashabaybeashabaybe49 6 лет назад +4

    Umejieleza vizuri

  • @waltermsacky4947
    @waltermsacky4947 6 лет назад

    Bro upo vizuri nakukubali sana umeongea maneno yenye busara

  • @musamoe2604
    @musamoe2604 6 лет назад +3

    mond umesomea wapi kujielezea?

  • @alhajichambo2188
    @alhajichambo2188 6 лет назад +4

    hope only

  • @sophiaabdallah9272
    @sophiaabdallah9272 6 лет назад

    Umeongea point sana kaka mondi mola akujaalie mema na uwapende wanao

  • @ahmadimpili5456
    @ahmadimpili5456 6 лет назад +29

    Jamaa anajieleza kisomi

    • @amryzubery1051
      @amryzubery1051 6 лет назад +1

      nyie kira kitu mnasifu hata akinya hazarani tu wajinga mnasifu

  • @zackshemdoe235
    @zackshemdoe235 6 лет назад +7

    nice

  • @faustinemasao5641
    @faustinemasao5641 6 лет назад +6

    Umekomaa kimaisha hadi kiutu..

  • @omarybiggygao1604
    @omarybiggygao1604 6 лет назад

    mondi ni very smart akihojiwa anajua anachokifanya......

  • @iddirashid8038
    @iddirashid8038 6 лет назад +4

    Mond anajielewa bwna big up

  • @allyramson6359
    @allyramson6359 6 лет назад +2

    Aisee mm ni shabiki mkubwa wa Kiba ila ulopoongelea point kuhusu kutoinglia ugomv wa wazazi nimepapenda embu mpe furaha mzee wko wallah utaongeza mashabiki ikiwa mm,,,

  • @wcbwanatishakiranikirudiab2349
    @wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 лет назад +29

    Mondi ananifurahisha anajua kujiereza

  • @evelynejuvenary6077
    @evelynejuvenary6077 6 лет назад

    Safi Sana diamond umeongea kwa bus area Escanaba, wawaache mlee mtoto wenu hawakuwepo wakati mnamtafuta, maneno ya watu ni sumu kwa mwananzengo,emsikubali kujazwa ujinga, leeni mtoto na Mungu atawabariki

  • @lucianjr6807
    @lucianjr6807 6 лет назад +14

    mond hataree anajua kujieleza aise

  • @irenesoita3358
    @irenesoita3358 6 лет назад +4

    waume wangekuwa kaa wewe Chibu,aaah!dunia haingekuwa na tatizo,watoto wote wangelikuwa na Malezi bora kote

  • @salamia__mwangu599
    @salamia__mwangu599 6 лет назад

    hongera simba.unajua kujieleza big up mond.

  • @chidybeka1236
    @chidybeka1236 6 лет назад +4

    maisha ndoyanavyokuwa pind unapoamua kuish nafamilia kunameng yanakuwa yanajl hivyo yanahitaji kifua kaka

  • @monikazakaria7647
    @monikazakaria7647 6 лет назад

    kwa kweeli Mimi mwenyewe umenifurahisha sana Lea watoto wako

  • @edsonsign9441
    @edsonsign9441 6 лет назад +4

    Hiv hawa wadada kuzaa na diamond limekuwa ni dili au! kwan alishindwa kuyamaliza tu kifamilia, mpaka mahakani?

  • @frozen4rozen475
    @frozen4rozen475 6 лет назад +1

    Hapo sawa demu ukimzalisha au ukiachana anafikiri anaweza akawa anakuingilia anavotaka

  • @frankdegang8245
    @frankdegang8245 6 лет назад

    hapo nimekukubali mond....Mungu aendelee kukubariki

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 6 лет назад +6

    Mondi anajielewa sana, anyway kwa mapishi zaidi na mambo mengine karibu kwa channel yangu

  • @sylviamahende8384
    @sylviamahende8384 6 лет назад

    dahh mondi we noooma sana boy hongera!!!

  • @konohadija4717
    @konohadija4717 6 лет назад +2

    aki omeongea poa sana

  • @khadijamtakahela9628
    @khadijamtakahela9628 6 лет назад +2

    Yupo sahihi

  • @anetikapami4228
    @anetikapami4228 6 лет назад +11

    Mond, unajielewa sana

  • @salamanassor6847
    @salamanassor6847 6 лет назад

    Nimekupenda mond uko sawa

  • @mikidadligogi8921
    @mikidadligogi8921 6 лет назад +2

    mademu wakibongo tegemezi ndio mahana wanakua namambo yakushindana

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 6 лет назад

    Mashaallah mod umejuwa kujieleza

  • @eliudmbange2278
    @eliudmbange2278 6 лет назад +1

    Ninachompenda diamond akiongea ni point afu ajiskii na wala akiwa anahojiwa ajiwek kama staa anakua n kama mtu wa kawaida

  • @josephtimothmbulu8677
    @josephtimothmbulu8677 6 лет назад

    Daaah kweli aisee akilizi za watanzania kama maisha yao, kupenda vitu vya kipumbavu huwezi amini waandish wa habari wanavyoshupalia na kuwa busy hapo

  • @queenyahaya3147
    @queenyahaya3147 6 лет назад +9

    Uko sawa kabisa mond