Jifunze matumizi sahihi ya 'pressure cooker'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • #pressurecooker #mapishi #mchemshowanyama
    Sayansi na teknolojia imeturahisishia mapishi, jifunze jinsi ya kuandaa mchemsho wa nyama na viazi kwa dakika 15.
    ...
    Soma: jikopoint.co.tz/
    Twitter: / jikopoint
    Facebook: / jikopoint

Комментарии • 22

  • @AshuraAli-j7n
    @AshuraAli-j7n 2 месяца назад

    Nawashinda kupika nyote 🎉🎉

  • @estherAkiza-xg6ie
    @estherAkiza-xg6ie 7 месяцев назад +1

    Bei gan

  • @aishazahor4634
    @aishazahor4634 5 месяцев назад +1

    Kwa hio hicho kifuniko cha kutoa mvuke utakifungua tu ukitaka kufungua mfuniko??

  • @PresenterMmari
    @PresenterMmari Месяц назад

    Yangu ni mpya na inaniandikia e4

  • @GraceKombe-kj2tx
    @GraceKombe-kj2tx 5 месяцев назад

    Naomba unielekeze namna ya kupika keki kwenye presure cooker

  • @christopherkaluya4300
    @christopherkaluya4300 Год назад

    Good🎉

  • @johwilly8723
    @johwilly8723 Год назад +1

    hii haina kelele zile za mvuke kama zile za zamani?

    • @JikoPoint
      @JikoPoint  Год назад

      Hapana, kelele za mvuke zipo kidogo sana wakati wa kufungua

  • @jumaato5308
    @jumaato5308 Год назад +1

    Hii unaeza kupikia ugali?

    • @JikoPoint
      @JikoPoint  Год назад

      Ndiyo. Unaweza kupika chakula chochote kwenye pressure cooker zikiwemo chips. Video ijayo tutakuja kuonyesha namna ya kupika ugali.

  • @careenrespicus1947
    @careenrespicus1947 11 месяцев назад

    Haukuongeza tena maji mengine tofauti na yale ya mwanzo?

    • @JikoPoint
      @JikoPoint  9 месяцев назад

      Hapana, pressure cooker inapika kwa kutumia mvuke hivyo ukiweka maji mengi chakula chako kinaweza kurojeka.

  • @joniajonhson2909
    @joniajonhson2909 28 дней назад

    Sufuria yangu imepata kutu,hivi kuna.spare?

    • @JikoPoint
      @JikoPoint  15 дней назад

      Pole sana Jonia. Hatuna uhakika kama unaweza kupata sufuria itakayofanana na iliyokuwepo awali. Unaweza ukacheck na duka la jirani linauza pressure cooker au subiri waandishi watafute ukweli. Jiunge na group letu la WhatsApp kwa kuandika "Habari" kwenda +255 750 881888, subscribe channel yetu ya RUclips na fuatilia tovuti ya Jiko Point kupitia www.jikopoint.co.tz. Karibu sana.

  • @khaulathally1226
    @khaulathally1226 Год назад

    Jaman yangu mbona haina hio sehem ya program? Nafanyaje

    • @JikoPoint
      @JikoPoint  Год назад +1

      Habari Khaulath, pole sana. Kama una aina nyingine unaweza kupiga picha na kututumia WhatsApp kupitia 0677 088 088 waandishi wetu na wataalamu wanaweza kukusaidia ushauri. Usisahau kusubscribe kufahamu video zijazo huenda ukapata pia suluhu ya mambo mengi ya jikoni. Share pia na wengine itawasaidia.

    • @khaulathally1226
      @khaulathally1226 Год назад

      Nimewatumia pc wasap hata hamjafungua

    • @agripinameinrad65
      @agripinameinrad65 Год назад

      Langu linatoa mvuke jaman likitoa mvuke chakula hakiivi 😭

  • @PresenterMmari
    @PresenterMmari Месяц назад

    Yanguu ni mpya na inaniandikia E4 inamaanisha nn

    • @JikoPoint
      @JikoPoint  Месяц назад

      Pole sana Presenter Mmari kwa changamoto. Hiyo ni Error E4. Kama ni mpya irejeshe kwa aliyekuuzia na iwapo ni ya muda umeshatumia ipeleke kwa fundi wa karibu nawe mwenye ujuzi hapana shaka ni tatizo la mfumo wa sakiti.

    • @oliverngaila6708
      @oliverngaila6708 7 дней назад

      kama langu jaman linaandika error4