Jiko Point
Jiko Point
  • Видео 115
  • Просмотров 236 174

Видео

Faida za kunywa maji ya moto
Просмотров 7382 месяца назад
Faida za kunywa maji ya moto
Vijue vyakula vinavyoimarisha kumbukumbu, uelewawa masomo
Просмотров 1212 месяца назад
Vijue vyakula vinavyoimarisha kumbukumbu, uelewawa masomo
Vyakula vinavyowafaa watoto waliofikisha mwaka mmoja
Просмотров 142 месяца назад
Vyakula vinavyowafaa watoto waliofikisha mwaka mmoja
Vyakula vya kumlisha mtoto baada ya miezi 6
Просмотров 2923 месяца назад
Vyakula vya kumlisha mtoto baada ya miezi 6
Vyakula vinavyoongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha
Просмотров 1,4 тыс.3 месяца назад
Vyakula vinavyoongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha
Vyakula vinavyomfaa mtu mwenye kisukari
Просмотров 1173 месяца назад
Vyakula vinavyomfaa mtu mwenye kisukari
Vyakula rafiki kwa wagonjwa wa figo
Просмотров 3893 месяца назад
Soma: jikopoint.co.tz/ Twitter: / jikopoint Facebook: / jikopoint
Bashe:Nchi hii haitashuhudia tena uhaba wa sukari
Просмотров 53 месяца назад
Bashe:Nchi hii haitashuhudia tena uhaba wa sukari
Jinsi ya kutengeneza detox juice ya karoti na machungwa
Просмотров 2314 месяца назад
Soma: jikopoint.co.tz/ Twitter: / jikopoint Facebook: / jikopoint
Jinsi ya kutengeneza detox ya manjano na nanasi
Просмотров 1594 месяца назад
... Soma: jikopoint.co.tz/ Twitter: / jikopoint Facebook: / jikopoint
UNAVYOWEZA KUNUNUA GESI KUANZIA BUKU TU (SH1,000)
Просмотров 504 месяца назад
UNAVYOWEZA KUNUNUA GESI KUANZIA BUKU TU (SH1,000)
TOTAL ENERGIES YAJA NA SHINDANO KWA WABUNIFU WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Просмотров 104 месяца назад
TOTAL ENERGIES YAJA NA SHINDANO KWA WABUNIFU WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
JINSI YA KUFANYA UPISHI SAFI NA SALAMA KWA KUTUMIA NISHATI SAFI
Просмотров 334 месяца назад
JINSI YA KUFANYA UPISHI SAFI NA SALAMA KWA KUTUMIA NISHATI SAFI
FAIDA ZA TANZANIA KUHUDHURIA MKUTANO WA NISHATI SAFI AFRIKA
Просмотров 854 месяца назад
FAIDA ZA TANZANIA KUHUDHURIA MKUTANO WA NISHATI SAFI AFRIKA
JAFO: WATANZANIA 32,000 WANAFARIKI KILA MWAKAKUTOKANA NA NISHATI CHAFU YA KUPIKIA
Просмотров 614 месяца назад
JAFO: WATANZANIA 32,000 WANAFARIKI KILA MWAKAKUTOKANA NA NISHATI CHAFU YA KUPIKIA
Serikali yaanika mikakati ya kupunguza gharama ya nishati safi ya kupikia
Просмотров 144 месяца назад
Serikali yaanika mikakati ya kupunguza gharama ya nishati safi ya kupikia
Vipaumbele vya Wizara ya Afya mwaka 2024/2025
Просмотров 444 месяца назад
Vipaumbele vya Wizara ya Afya mwaka 2024/2025
NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUWAINUA WANAWAKE KIUCHUMI AFRIKA
Просмотров 374 месяца назад
NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUWAINUA WANAWAKE KIUCHUMI AFRIKA
Jinsi ya kutengeneza juisi ya beet root na karoti
Просмотров 7054 месяца назад
Jinsi ya kutengeneza juisi ya beet root na karoti
Mapishi rahisi ya kuku rosti(changamoto)
Просмотров 1174 месяца назад
Mapishi rahisi ya kuku rosti(changamoto)
Rais Samia: Matumizi ya kuni, mkaa ni suala la utamaduni
Просмотров 3644 месяца назад
Rais Samia: Matumizi ya kuni, mkaa ni suala la utamaduni
Mtonyo mpya huu hapa, takataka ni ajira/fursa
Просмотров 764 месяца назад
Mtonyo mpya huu hapa, takataka ni ajira/fursa
PUNGUA UZITO NA FIGIRI MWITU/CELERY NI RAHISI KUTENGENEZA
Просмотров 2524 месяца назад
PUNGUA UZITO NA FIGIRI MWITU/CELERY NI RAHISI KUTENGENEZA
Wizara ya Kilimo yaomba Sh1.24 trillioni 2024/2025
Просмотров 444 месяца назад
Wizara ya Kilimo yaomba Sh1.24 trillioni 2024/2025
Jinsi ya kugundua samaki ambaye hajaharibika
Просмотров 164 месяца назад
Jinsi ya kugundua samaki ambaye hajaharibika
Jinsi ya kutengeneza pipi za pamba (cotton candy)
Просмотров 885 месяцев назад
Jinsi ya kutengeneza pipi za pamba (cotton candy)
Sababu na jinsi ya kuondoa harufu mbaya kwenye friji
Просмотров 1,7 тыс.5 месяцев назад
Sababu na jinsi ya kuondoa harufu mbaya kwenye friji
FAIDA NA NAMNA YA KUTENGENEZA DETOX JUICE YA GILIGILANI
Просмотров 5105 месяцев назад
FAIDA NA NAMNA YA KUTENGENEZA DETOX JUICE YA GILIGILANI
Mapishi ya futari ya magimbi nyama
Просмотров 1445 месяцев назад
Mapishi ya futari ya magimbi nyama

Комментарии

  • @MariethaMsongole
    @MariethaMsongole 4 дня назад

    Mnapatikana wapi na ni bei gani

  • @EstherKanga-c6v
    @EstherKanga-c6v 6 дней назад

    Unatumia muda Gani na dozi yake ni kiasi gani

  • @NyemeEmma
    @NyemeEmma 16 дней назад

    Asante

  • @zuwenaally2734
    @zuwenaally2734 18 дней назад

    mie ndo nimeanzaaa jana sasa

    • @JikoPoint
      @JikoPoint 11 дней назад

      Hongera sana Zuwena. Afya ni kila kitu. Subscribe channel yetu ya RUclips ili kupata maujanja mengine au soma Jiko Point website kila siku www.jikopoint.co.tz. Karibu sana!

  • @liliantemba1181
    @liliantemba1181 19 дней назад

    kumbe huwek sukar

    • @JikoPoint
      @JikoPoint 11 дней назад

      Ndiyo ndiyo Lilian. Kuna aina nyingi na inategemea unapenda sukari ama la. Unaweza kutazama video nyingine kuhusu milkshake. Subscribe channel yetu ya RUclips kama bado hujasubscribe ili usipitwe au soma Jiko Point tovuti kupitia www.jikopoint.co.tz. Karibu sana na kila la kheri kwenye upishi wako.

  • @catherinekinyamagoha4875
    @catherinekinyamagoha4875 23 дня назад

    Naomba no yako nipate bei ya gel

    • @JikoPoint
      @JikoPoint 11 дней назад

      Habari Catherine, timu yetu ya uhariri watakutumia mawasiliano yako WhatsApp. Watumie message ya kawaida au WhatsApp kupitia +255 750 881888 na watakuhudumia. Subscribe channel yetu kwa update zaidi ama kwenye website yetu kupitia www.jikopoint.co.tz. Karibu sana.

  • @ihunyojoseph
    @ihunyojoseph 24 дня назад

    Niombe namba ya wataalam

  • @joniajonhson2909
    @joniajonhson2909 24 дня назад

    Sufuria yangu imepata kutu,hivi kuna.spare?

    • @JikoPoint
      @JikoPoint 11 дней назад

      Pole sana Jonia. Hatuna uhakika kama unaweza kupata sufuria itakayofanana na iliyokuwepo awali. Unaweza ukacheck na duka la jirani linauza pressure cooker au subiri waandishi watafute ukweli. Jiunge na group letu la WhatsApp kwa kuandika "Habari" kwenda +255 750 881888, subscribe channel yetu ya RUclips na fuatilia tovuti ya Jiko Point kupitia www.jikopoint.co.tz. Karibu sana.

  • @gladmsindo
    @gladmsindo 25 дней назад

    Naomba nikupe namba zangu unielekeze zaid

  • @hasinaalrahbi6681
    @hasinaalrahbi6681 Месяц назад

    Nakuaminia upo vizuri inafaida kubwa sana.asante sana

    • @JikoPoint
      @JikoPoint 26 дней назад

      Tunashukuru sana kwa mrejesho.

  • @PresenterMmari
    @PresenterMmari Месяц назад

    Yanguu ni mpya na inaniandikia E4 inamaanisha nn

    • @JikoPoint
      @JikoPoint 26 дней назад

      Pole sana Presenter Mmari kwa changamoto. Hiyo ni Error E4. Kama ni mpya irejeshe kwa aliyekuuzia na iwapo ni ya muda umeshatumia ipeleke kwa fundi wa karibu nawe mwenye ujuzi hapana shaka ni tatizo la mfumo wa sakiti.

    • @oliverngaila6708
      @oliverngaila6708 4 дня назад

      kama langu jaman linaandika error4

  • @PresenterMmari
    @PresenterMmari Месяц назад

    Yangu ni mpya na inaniandikia e4

  • @mussaseif7752
    @mussaseif7752 Месяц назад

    Nahitaji Jelly ya mwani, mnapatikana wapi ?.

  • @DottoSalum-hw8zx
    @DottoSalum-hw8zx Месяц назад

    Je ukiongezea na karanga mbichi inafaa?

  • @JamesKabangi
    @JamesKabangi Месяц назад

    Mimi ningependa kusoma namna ya kutengesa mkaa mbadala

  • @ASHURAVICTOR-fk8oi
    @ASHURAVICTOR-fk8oi 2 месяца назад

    Mwenye hiv anatakiwa kutumia mwani upi

  • @ASHURAVICTOR-fk8oi
    @ASHURAVICTOR-fk8oi 2 месяца назад

    Nahitaji naupate

  • @donfufu8424
    @donfufu8424 2 месяца назад

    Habari. Ningependa kupata mawasiliano nina fursa ntk kuwashirikisha ..

  • @juliethsamwel-s7c
    @juliethsamwel-s7c 2 месяца назад

    je inatibu homon barance

  • @JohnMagofi
    @JohnMagofi 2 месяца назад

    shukrani sana kaka

  • @RachelMoses-b3c
    @RachelMoses-b3c 2 месяца назад

    Tupatie no zako

  • @hopennko4215
    @hopennko4215 2 месяца назад

    Hiyo nyekundu ndo nini plse

  • @vallencymacdonalds
    @vallencymacdonalds 2 месяца назад

    Namba zenu tafadhali

  • @AshuraAli-j7n
    @AshuraAli-j7n 2 месяца назад

    Nawashinda kupika nyote 🎉🎉

  • @happymndeme-k7d
    @happymndeme-k7d 2 месяца назад

    Nimeiona manufaa ya mwani❤

  • @TuntufyeGwamaka-co7ht
    @TuntufyeGwamaka-co7ht 3 месяца назад

    Hahah bubu akaongea nitatafuta hii

  • @luganoalbert5483
    @luganoalbert5483 3 месяца назад

    Bado mnaendelea na uzalizaji wa hii mitambo? na mawailiano je?

  • @OlivaAloyce-de5hb
    @OlivaAloyce-de5hb 3 месяца назад

    Ukishaeka unawasha friji?

  • @Johnghati-ge6rq
    @Johnghati-ge6rq 3 месяца назад

    Unakaa muda gan kwa matumizi

  • @SteveAvelinBuretter
    @SteveAvelinBuretter 3 месяца назад

    Asante Kwa soma zuri

  • @NuuAbdallahMzee
    @NuuAbdallahMzee 3 месяца назад

    Jinsi ya kutumia

  • @lidiashayo8293
    @lidiashayo8293 3 месяца назад

    Ulichokosea nikimenya tende bila kuvaa kitu mkonon zile gloves lain, lazima uvae kiafya

    • @Switielie
      @Switielie Месяц назад

      Ni gloves za aina gani zinafaa hapo,NAMI nafanya hiyo

    • @sophykivuyo
      @sophykivuyo Месяц назад

      Hiyo hauzi ni yake anakunywaa yeye

  • @mariethahemed6785
    @mariethahemed6785 4 месяца назад

    Mwani unapatikana wapi

  • @hildamisry6581
    @hildamisry6581 4 месяца назад

    Mwennye matatizo ya figo anaruhusiwa KUTUMIA mwani?

  • @DeboraWisdom-zx8ne
    @DeboraWisdom-zx8ne 4 месяца назад

    Je kula Mwani Kilasiku nihatali?

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 4 месяца назад

    Nahitaji ya jelly

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 4 месяца назад

    Unapatikana wapi?

  • @GregorySemiono
    @GregorySemiono 4 месяца назад

    Upon vizuri ila kuna kiungo kimoja hapo sijakielewa kinaitwa tandoro masala

  • @VerianFrank
    @VerianFrank 4 месяца назад

    Naweza kupata iyo mashine wapi

  • @mamahealthproducts1107
    @mamahealthproducts1107 4 месяца назад

    Namba please

  • @TheodoraNangisa
    @TheodoraNangisa 5 месяцев назад

    Kuhusu mwani raids yake

  • @farhathilal602
    @farhathilal602 5 месяцев назад

    Ahsant kwa elimi

  • @aishazahor4634
    @aishazahor4634 5 месяцев назад

    Kwa hio hicho kifuniko cha kutoa mvuke utakifungua tu ukitaka kufungua mfuniko??

  • @allysaid5800
    @allysaid5800 5 месяцев назад

    Kwani lazima kuchemsha maziwa

  • @GraceKombe-kj2tx
    @GraceKombe-kj2tx 5 месяцев назад

    Naomba unielekeze namna ya kupika keki kwenye presure cooker

  • @NickoMafrekeche
    @NickoMafrekeche 6 месяцев назад

    Umtisha mwamba

  • @evelynsiaga1823
    @evelynsiaga1823 6 месяцев назад

    Looks yummy

    • @JikoPoint
      @JikoPoint 6 месяцев назад

      Thank you 😋

  • @rhobijumapili
    @rhobijumapili 6 месяцев назад

    Shukrani sana Ndugu mtangazaji

    • @JikoPoint
      @JikoPoint 6 месяцев назад

      Asante sana,karibu kutazama video nyingine katika chaneli yetu.

  • @NewG166
    @NewG166 6 месяцев назад

    🔥🔥🔥 kazi nzuri sana hii,

    • @JikoPoint
      @JikoPoint 6 месяцев назад

      Asante sana

  • @TulianoMedia
    @TulianoMedia 6 месяцев назад

    Our professional Chef Esau🔥