KWAYA KUU wamuimbia MAKONDA tulijua tu kua yatakupata haya NENDA TU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024

Комментарии • 144

  • @DanieliIbrahim
    @DanieliIbrahim 2 месяца назад +11

    Mhhh ila kama nikweli makonda amefarki na sababu hazijulikani mmm mimi yangu macho napita tuu

  • @bahatitumaini347
    @bahatitumaini347 2 месяца назад +4

    Kutoka nakonde Zambia nampenda makonda ni kiongoz wa mfano

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 2 месяца назад +22

    Makonda tunakulilia😢uko wapi
    Na Rais anaziba masikio Kama chura 😢

  • @TravisNgondo
    @TravisNgondo 2 месяца назад +13

    Makonda watanzania wanyonge tunakulilia, tumejawa na hofu kubwa juu Yako Kwa kuwa tuliyaona haya Kwa mtangulizi wako JPM, ilikuwa kama haya haya, baadaye tukaja kusikia hatunae Tena ktk maisha haya, makonda kama upo njoo onakana tukuone, tuko gizani hatujui ninkimekupata, na uko wapi,

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 2 месяца назад +5

    Jaman 😢😢 kwani kafariki mimi siamini wallah nikisikia makonda kafariki nitaria sana hao ndo watetxi wawanyonge

  • @joshuamollel4494
    @joshuamollel4494 2 месяца назад +5

    Vip ben sanane mbona hamkumbuki jamanii kapote miaka zimepita

  • @NeemaDainess
    @NeemaDainess 2 месяца назад +3

    😭😭😭😭😭😭😭😭 makonda uko wap mh jaman mbona hofu inazd kunijaaa

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania 2 месяца назад +14

    Ukweli nikisikia jina Magufuri au Makonda au Majariwa nafarijika sanaaa

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 2 месяца назад +2

    Mungu tunakuomba msimamie na kumlinda Makonda popote alipo teketeza maadui ote wanao mpangia mabaya.

  • @getrudealoyce580
    @getrudealoyce580 2 месяца назад +1

    Inaniuma sana makonda simsikii tena jamani tuulizane yupo wapi ajitokeze hata kwa sauti tujue yu hai ama laah

  • @MARIAMUBAJUTA
    @MARIAMUBAJUTA 2 месяца назад +6

    Makonda Mungu akulinde

  • @benikayange2605
    @benikayange2605 2 месяца назад +1

    Makonda wangu jaman❤❤❤

  • @CatherineAmos-zw8dx
    @CatherineAmos-zw8dx 2 месяца назад

    Mungu akulinde Makonda

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 2 месяца назад +28

    Mmemuua Magufuli ,sasa mnanuua Makonda..baada ya hapo atafuata nani? Hii ni serikali ya wauaji .haina uwezo wa kutawala nchi

    • @KhadijaMzuri
      @KhadijaMzuri 2 месяца назад +4

      Wakimuua makonda wa 3 atafata waziri mkuu kassim majaaliwa mana nae ni kama magufuli na makonda

    • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
      @yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 месяца назад

      Hivi kuweza kutunga nyimbo mpaka litokee tukio ndo muweze au!!

    • @Kimware-kb1yb
      @Kimware-kb1yb 2 месяца назад

      We mwenzako Mbona unamuombye mbaya or we Ndo unawauwa 😢😢 ​@@KhadijaMzuri

    • @Kimware-kb1yb
      @Kimware-kb1yb 2 месяца назад

      ​@@KhadijaMzuri tafakari jibu lako kabla la kuliachia mtandaoni

  • @estherkibajiro3480
    @estherkibajiro3480 2 месяца назад +3

    Mbona hii nyimbo imenisitua chango😭kwani makonda kafa au......Tanzania yangu jamani💔🇹🇿

  • @JumaMartin-e4v
    @JumaMartin-e4v 2 месяца назад +1

    Viongozi wa dini na machifu tunawaomba muiombee nchi yetu amani itawale nnchini tz na afrika kwa ujumla.Na mumuombee kiongoz makonda popote alipo mungu ampesalama.tunawamben duazenu

  • @lucydaniel8304
    @lucydaniel8304 2 месяца назад

    Mungu naomba simama kwa hilii jmn naomba makonda aside baba❤

  • @IssaMohamed-mp4hj
    @IssaMohamed-mp4hj 2 месяца назад +2

    Makonda ni mtetezi wetu sisi wanyonge yani wakijichanganya kuku poteza dam itamwagika

  • @sadamissa5687
    @sadamissa5687 2 месяца назад +1

    Tutabaki na Mpina😢😢likizo ya siku 28 sisi tunaesabu tu In Shaa Allah

  • @EliwadaKikoti
    @EliwadaKikoti 2 месяца назад

    Namkubali sana makonda hata akiongoza miaka elf awe rais swa tu

  • @juliusshelutete4871
    @juliusshelutete4871 2 месяца назад +1

    Jamani Mungu wewe wajua muinue Kwa upya mtetezi Wa wanyonge tunaonewa

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 2 месяца назад +3

    Sijui kajificha wapi jaman watu wanalia

  • @PaclasLeo
    @PaclasLeo 2 месяца назад +2

    Umri wangu mdg ila najifunza kupitia watu kama Hawa

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 2 месяца назад

    Sasa hao walinzi wa Kanisa walichanganyikiwa nini?. Badala ya kunusuru mtu wanasaidia kumua?. Poleni sana ndugu zetu.

  • @lucasmunyo8000
    @lucasmunyo8000 2 месяца назад

    Mbona ungei watu wako Wanayao hamisha kia kuwa honesty

  • @WakrenoSimoni
    @WakrenoSimoni 2 месяца назад +2

    Hakuna taarifa ya kwamba makonda kafa kama zina ukweli julishen umma basi

  • @SamueltajiriKivuyo-pl9db
    @SamueltajiriKivuyo-pl9db 2 месяца назад

    Kweli kabisa nimeupenda hii xana mungu awabariki nyote nimeinukaa tena mwamba niko fti sasa kwa mwenye kupostia hii video ajue niko na yeye daima napenda xana xana

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 2 месяца назад

      Vitu kma hivi wanafanya wenye akili baba yako hawez kuwa hapo. Kunahitajika kufikiri, kukariri na uthubutu.

  • @MagrethNjavike-hy2en
    @MagrethNjavike-hy2en 2 месяца назад

    Makonda kama upo sema neno moja wenzio hatuna amani baba mwee jamani tunakupenda wenzio

  • @TravisNgondo
    @TravisNgondo 2 месяца назад

    Kama kweli makonda kafa mmh, sijui nchi yetu hii, ukiwa mkweli ni shida,mmmmm!

  • @janerosambunju5670
    @janerosambunju5670 2 месяца назад

    Kweri

  • @MasanjaMagumba-r2c
    @MasanjaMagumba-r2c 2 месяца назад

    Inkwell mungu amulnde makonda

  • @MirandaThomas-n3v
    @MirandaThomas-n3v 2 месяца назад

    Jamani msije mkasema kafa mbona tutachanaganyikiwa

  • @ZuuKijangwa
    @ZuuKijangwa 2 месяца назад

    Jaman lumbukeni ss sote tunapita dunia hii tunamuitaji makonda salama ee mwenyez waukumu wote eanaousika kumficha uyu kiumbe chako makonda waukumu na uwambue

  • @ceciliaonyango5367
    @ceciliaonyango5367 2 месяца назад

    Kama ni kweli aliefanya hivyo hatoboi hata!!! Mungu anaona

  • @JustineWangi-j2t
    @JustineWangi-j2t 2 месяца назад

    Amina mtumishi wezi hawawez kukuelewa.

  • @esthernchimbi593
    @esthernchimbi593 2 месяца назад

    Kwa kweli hao ni masetani mtu anajitahidi kufanya mazuri kwao ni tabu walaaniwe

  • @hamikamgaya2885
    @hamikamgaya2885 2 месяца назад

    Inauma Sana jamani

  • @dorismkongwe4140
    @dorismkongwe4140 2 месяца назад

    Kwani aende wapi au jmn kunanini uwimbo wauchro hauna utukufu kwa Mungu .Kauwaje sasa.Ebu jmn Tumwite Mungu kwaajili yakesio nyimbo hapana

    • @modestapeter2997
      @modestapeter2997  2 месяца назад

      Aende mbele kwa jina la Bwana akapige kazi ndo maana ya wimbo huu

    • @antonychitara5707
      @antonychitara5707 2 месяца назад

      Kwani utukufu unaonekana vipi ani???

    • @emes602
      @emes602 2 месяца назад

      Yan wameimba kimtegomtego tu

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk 2 месяца назад

    Yani huyo Samia likuma kweli Lina laana

  • @lucypeter7804
    @lucypeter7804 2 месяца назад

    Mshindwe kwa jina la Yesu!!!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @VenasiaEmmanuel
    @VenasiaEmmanuel 2 месяца назад

    Sijui wanashindwa nanini kujulisha umma kuwa yupo.wanatuweka tu roho juu.nanyie waimbaji mbona siwaelewii

  • @bro.thobiassilas421
    @bro.thobiassilas421 2 месяца назад

    Yawezekana maana yeye pia ni binadamu kama wengine

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 2 месяца назад +1

    Kwani makonda... Sielewi Hawa waimbaji

  • @babawawiltegamaso4367
    @babawawiltegamaso4367 2 месяца назад

    mimi kama mtanzania nauriza makonda yupo wapi kama amekufa kweli kunasiku mtasema tu na sikuhiyo mkitoa taarifa tutawakataa siku hiyo

  • @mollelyrebecah6840
    @mollelyrebecah6840 2 месяца назад

    Jamani nikweli

  • @FilimoniSilo
    @FilimoniSilo 2 месяца назад +2

    Nikisikia jina magufuli naumia sana, pia aliyekuwa waziri wa ardhi kipindi hicho, maana sasa kesi za ardhi inatusumbua sana

  • @victorkalolo5350
    @victorkalolo5350 2 месяца назад +5

    Ivi Kwan makonda kafa au mm sielewi

  • @AlfonceFilipo
    @AlfonceFilipo 2 месяца назад

    Jamani hizo nyimbo mmm

  • @catherinechami5287
    @catherinechami5287 2 месяца назад

    Hakika wa Tanzania tunakuitaji
    Upo wapi ongea kitu wewe ni Rais wetu ajae

  • @annamtapila5761
    @annamtapila5761 2 месяца назад

    Kwani mbona mnatutusha Jamani?

  • @AllyKadege-on8zb
    @AllyKadege-on8zb 2 месяца назад

    Sijaelewa makonda yuko wapi

  • @aidaharuna5549
    @aidaharuna5549 2 месяца назад

    I'll km mtamua makonda mjue mmetuua masikini wote Tanzania

  • @barakalukeha6184
    @barakalukeha6184 2 месяца назад

    Naomba anayefahamu hii kwaya ni ya kanisa gani au kikundi gani anisaidie au ni ya watu walio andaliwa maalumu kwa kutuandaa kisaikolojia ili then ndio serikali itangaze tukio kama kweli tukio lipo?

  • @DaudiNasari-o9r
    @DaudiNasari-o9r 2 месяца назад

    Amujui kuandamana nyinyi

  • @SamoraTabaga
    @SamoraTabaga 2 месяца назад

    Mbona mwili wangu unajaa vipele vyauoga kwani kafa? EeMUNGU simama nawatanzania.

  • @ErickJeremiah-ww3ez
    @ErickJeremiah-ww3ez 2 месяца назад +1

    Wimbo mzuri mnoo, semaa aliewarekodia na Infinix kaharibu video

  • @seifntandala9137
    @seifntandala9137 2 месяца назад

    Kwakweli kama makonda nae atakuwa amekufa kuanzia sasa sitakuwa na Imani na chama changu kwanini viongozi waadilifu ndio wafe?

  • @winfredkaroli5065
    @winfredkaroli5065 2 месяца назад

    Hivi ni kweli amekufa!!?

  • @AngelMazola
    @AngelMazola 2 месяца назад

    Yani mnanichanganya mm kwani nani kasema makonda kafa jamani

    • @sophiemsuya6507
      @sophiemsuya6507 2 месяца назад +1

      Yaani huo ndiyo unaoitwa machawa yenyewe. Acheni kuchuria wenzenu. Lola mtu ataondoka kwa muda sahihi wa Mungu.

    • @HellenSulle-m7t
      @HellenSulle-m7t 2 месяца назад

      Jamani hawamaanishi kaga inamaana aende kupiga kazi kwa sana

  • @JumaKilalile
    @JumaKilalile 2 месяца назад

    Hatuelewi Makonda amekufa?

  • @PrinceMbwana-i5o
    @PrinceMbwana-i5o 2 месяца назад

    makondo MUNGU akulinde ameni ameni ameni

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 2 месяца назад

    Misiwaelewi..

  • @funnuelmwalukasa4506
    @funnuelmwalukasa4506 2 месяца назад

    Makonda mkimpoteza Kwa kweli tutaandamana wanjonge tusipige kula muwe mnajichagua wenyewe Ili mmalizane

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary7083 2 месяца назад

    Mm mbona sielewi hii nyimbo ni ya nini

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 2 месяца назад +1

    Hizi ni nyimbo za uchonganishi na wala si kwamba ni kumuombea makonda, kuhani kwa njia ya maombi ni kudumu ktk maombi na siyo uchonganishi kama huu

  • @selemannestory1694
    @selemannestory1694 2 месяца назад

    Kama makonda atapotea basi nyie watu wa CCM mjiandae

  • @JustineWangi-j2t
    @JustineWangi-j2t 2 месяца назад

    Hii nchi bana dah!wanajidai hawatuelewi.

  • @AllanLyombile
    @AllanLyombile 2 месяца назад

    Ivi walioitwa wasiojulika ni akina nani? walikuwa wanatumwa na nani? kwa sasa wako wapi hao wasiojulikana? ni ngumu sana kuwajuwa inahitajika akili ya ziada, wanavaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali.

  • @AnethMushi-c3e
    @AnethMushi-c3e 2 месяца назад

    Hawatuelew na wakija kugalagala kuomba kura na sie hatuwaelew kimyaa😅

  • @DanieliIbrahim
    @DanieliIbrahim 2 месяца назад +2

    Oyaa hii nyimbo cjaielewa kwani makonda yupo wapi jamani???????!!!

  • @NuruKanyenye
    @NuruKanyenye 2 месяца назад

    HII NDIO FISIEM MNAYOIKUMBATIA

  • @LenaMganda
    @LenaMganda 2 месяца назад

    Sielewi elewi kabisa!!!!

  • @tinershayo6191
    @tinershayo6191 2 месяца назад

    Viongozi wa kitanzania wanataka viongozi wężi kama wao ndio utadumu

  • @edithlameck8170
    @edithlameck8170 2 месяца назад

    Makonda wetu uko wapi jamani? Tuma hata meseji huko uliko kaka, sisi huku roho ziko juu juu

  • @jacksoncharles5411
    @jacksoncharles5411 2 месяца назад

    Ameen ❤❤❤❤❤

  • @lawrence-xk1km
    @lawrence-xk1km 2 месяца назад

    Serikali si itamke neno

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 2 месяца назад

    Kama si kweli hawa wafungwe mwaka moja

    • @antonychitara5707
      @antonychitara5707 2 месяца назад

      Hacha uchawa, wao hawajaimba kafa,, ujumbe mkuu ni uongozi uliojaa Rushwa ndio chanzo cha yote hyo

    • @DudddyWhyCant
      @DudddyWhyCant 2 месяца назад

      Najuchukia mtu ambae hawezi kujibu mtu kwa hoja, utasikia kila neno " UCHAWA" hilo neno limekaliliwa na wajinga wengi.

    • @antonychitara5707
      @antonychitara5707 2 месяца назад

      @@floraflora9490 hoja zipi unataka

  • @Bongovillagex
    @Bongovillagex 2 месяца назад

    Yupo hai

  • @henrychacha5592
    @henrychacha5592 2 месяца назад

    Jiandaeni kufungiwa muda SI mrefu

  • @erickkigugange5209
    @erickkigugange5209 2 месяца назад

    Mbona siwaelewi??

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 2 месяца назад

    Mbona hamuwaimbii walofariki kwenye mashindano ya pikipiki?Wanafiki.

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 2 месяца назад

    Viva bashite

  • @buchumiefremu5830
    @buchumiefremu5830 2 месяца назад

    Makonda tunakutaka malamoja

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 2 месяца назад

    Nausikiliza huu wimbo huku machozi yakinitoka.

  • @vladiminlenin8883
    @vladiminlenin8883 2 месяца назад

    Makonda hauko peke yako

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 месяца назад

    Mtu mwenye familia, ndugu, jamaaa na marafiki, mwajiri, walinzi, anaosali nao, balozi wa nyumba kumi, na jamii inakuweje kuwa na tashwishi ya kutokuonekana? Amani yetu ifanyiwe utafiti kina Watanzania.

  • @FilimoniSilo
    @FilimoniSilo 2 месяца назад

    Waliokuwa na machungu na nchi wamebakia wawili au watatu tu maana alipoondoka magufuli nchi imeyumba sana,majaliwa, makonda mtupambanie sana

  • @noahemanuel7015
    @noahemanuel7015 2 месяца назад

    Wapumbavu hawa huu ni upuzi wa hali ya juu wamekosa kazi ya kufanya

  • @josephwilliam4727
    @josephwilliam4727 2 месяца назад

    Amina

  • @MasanjaMagumba-r2c
    @MasanjaMagumba-r2c 2 месяца назад

    Acheni ulimbukeni makonda bad yup

    • @samwelandrew3852
      @samwelandrew3852 2 месяца назад

      Hatujui lolote tunasubir taarifa rasmi

    • @antonychitara5707
      @antonychitara5707 2 месяца назад

      Hacha matuc,, kwani kasema makonda tembea ni makosa,,, wasikilze kwa makini husikulupke mwamba

  • @jamestocta3075
    @jamestocta3075 2 месяца назад +2

    Mmeacha kumuimba BWANA na ukuu wake,,, mnamwimbia bin Adam

    • @samweli7985
      @samweli7985 2 месяца назад

      Niwatu wenye upendo nataifa lao, wanaliombea, pia nimaambatanisho yamaombi kwamungu kwaviongozi wanao wapenda, so nisahihi tu

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 2 месяца назад

    Ameeen

  • @joycekweka5416
    @joycekweka5416 2 месяца назад

    Mh

  • @MarthaZabron-v9b
    @MarthaZabron-v9b 2 месяца назад

    Nyie

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 2 месяца назад

    bora baba angu hayupo apo kwenye hii nyimbo mana ni upuuzi t

    • @antonychitara5707
      @antonychitara5707 2 месяца назад

      Hulazimishwi kuwaelewa ni chaguo la mtu kuwaelewa au ukaushe😮

  • @AllyKadege-on8zb
    @AllyKadege-on8zb 2 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
    @yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 месяца назад

    Waache tu watafute sifa

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia5566 2 месяца назад

    Acheni unafiki kanisa 😢

  • @vicentjackson6538
    @vicentjackson6538 2 месяца назад

    Amen

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb 2 месяца назад

    Mpaka najiuliza MUNGU anawaona Hawa ccm ama sisi ndo mitazamo yetu iko hovyo juu ya ccm Mungu litazame hiili kwanini wajinga wanadum umeamua tuishie hivi