Makonda watanzania wanyonge tunakulilia, tumejawa na hofu kubwa juu Yako Kwa kuwa tuliyaona haya Kwa mtangulizi wako JPM, ilikuwa kama haya haya, baadaye tukaja kusikia hatunae Tena ktk maisha haya, makonda kama upo njoo onakana tukuone, tuko gizani hatujui ninkimekupata, na uko wapi,
Viongozi wa dini na machifu tunawaomba muiombee nchi yetu amani itawale nnchini tz na afrika kwa ujumla.Na mumuombee kiongoz makonda popote alipo mungu ampesalama.tunawamben duazenu
Kweli kabisa nimeupenda hii xana mungu awabariki nyote nimeinukaa tena mwamba niko fti sasa kwa mwenye kupostia hii video ajue niko na yeye daima napenda xana xana
Jaman lumbukeni ss sote tunapita dunia hii tunamuitaji makonda salama ee mwenyez waukumu wote eanaousika kumficha uyu kiumbe chako makonda waukumu na uwambue
Naomba anayefahamu hii kwaya ni ya kanisa gani au kikundi gani anisaidie au ni ya watu walio andaliwa maalumu kwa kutuandaa kisaikolojia ili then ndio serikali itangaze tukio kama kweli tukio lipo?
Ivi walioitwa wasiojulika ni akina nani? walikuwa wanatumwa na nani? kwa sasa wako wapi hao wasiojulikana? ni ngumu sana kuwajuwa inahitajika akili ya ziada, wanavaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali.
Mtu mwenye familia, ndugu, jamaaa na marafiki, mwajiri, walinzi, anaosali nao, balozi wa nyumba kumi, na jamii inakuweje kuwa na tashwishi ya kutokuonekana? Amani yetu ifanyiwe utafiti kina Watanzania.
Mpaka najiuliza MUNGU anawaona Hawa ccm ama sisi ndo mitazamo yetu iko hovyo juu ya ccm Mungu litazame hiili kwanini wajinga wanadum umeamua tuishie hivi
Mhhh ila kama nikweli makonda amefarki na sababu hazijulikani mmm mimi yangu macho napita tuu
Kutoka nakonde Zambia nampenda makonda ni kiongoz wa mfano
Makonda tunakulilia😢uko wapi
Na Rais anaziba masikio Kama chura 😢
Makonda watanzania wanyonge tunakulilia, tumejawa na hofu kubwa juu Yako Kwa kuwa tuliyaona haya Kwa mtangulizi wako JPM, ilikuwa kama haya haya, baadaye tukaja kusikia hatunae Tena ktk maisha haya, makonda kama upo njoo onakana tukuone, tuko gizani hatujui ninkimekupata, na uko wapi,
Jaman 😢😢 kwani kafariki mimi siamini wallah nikisikia makonda kafariki nitaria sana hao ndo watetxi wawanyonge
Vip ben sanane mbona hamkumbuki jamanii kapote miaka zimepita
😭😭😭😭😭😭😭😭 makonda uko wap mh jaman mbona hofu inazd kunijaaa
Ukweli nikisikia jina Magufuri au Makonda au Majariwa nafarijika sanaaa
🎉
Mungu tunakuomba msimamie na kumlinda Makonda popote alipo teketeza maadui ote wanao mpangia mabaya.
Inaniuma sana makonda simsikii tena jamani tuulizane yupo wapi ajitokeze hata kwa sauti tujue yu hai ama laah
Makonda Mungu akulinde
Makonda wangu jaman❤❤❤
Mungu akulinde Makonda
Mmemuua Magufuli ,sasa mnanuua Makonda..baada ya hapo atafuata nani? Hii ni serikali ya wauaji .haina uwezo wa kutawala nchi
Wakimuua makonda wa 3 atafata waziri mkuu kassim majaaliwa mana nae ni kama magufuli na makonda
Hivi kuweza kutunga nyimbo mpaka litokee tukio ndo muweze au!!
We mwenzako Mbona unamuombye mbaya or we Ndo unawauwa 😢😢 @@KhadijaMzuri
@@KhadijaMzuri tafakari jibu lako kabla la kuliachia mtandaoni
Mbona hii nyimbo imenisitua chango😭kwani makonda kafa au......Tanzania yangu jamani💔🇹🇿
Apana sikiliza nyimbo vzr utaelew
@@MartinaAgustino-fp5eo Amekurupuka ku comment😆😆
Viongozi wa dini na machifu tunawaomba muiombee nchi yetu amani itawale nnchini tz na afrika kwa ujumla.Na mumuombee kiongoz makonda popote alipo mungu ampesalama.tunawamben duazenu
Mungu naomba simama kwa hilii jmn naomba makonda aside baba❤
Makonda ni mtetezi wetu sisi wanyonge yani wakijichanganya kuku poteza dam itamwagika
Tutabaki na Mpina😢😢likizo ya siku 28 sisi tunaesabu tu In Shaa Allah
Namkubali sana makonda hata akiongoza miaka elf awe rais swa tu
Jamani Mungu wewe wajua muinue Kwa upya mtetezi Wa wanyonge tunaonewa
Sijui kajificha wapi jaman watu wanalia
Umri wangu mdg ila najifunza kupitia watu kama Hawa
Sasa hao walinzi wa Kanisa walichanganyikiwa nini?. Badala ya kunusuru mtu wanasaidia kumua?. Poleni sana ndugu zetu.
Mbona ungei watu wako Wanayao hamisha kia kuwa honesty
Hakuna taarifa ya kwamba makonda kafa kama zina ukweli julishen umma basi
Kweli kabisa nimeupenda hii xana mungu awabariki nyote nimeinukaa tena mwamba niko fti sasa kwa mwenye kupostia hii video ajue niko na yeye daima napenda xana xana
Vitu kma hivi wanafanya wenye akili baba yako hawez kuwa hapo. Kunahitajika kufikiri, kukariri na uthubutu.
Makonda kama upo sema neno moja wenzio hatuna amani baba mwee jamani tunakupenda wenzio
Kama kweli makonda kafa mmh, sijui nchi yetu hii, ukiwa mkweli ni shida,mmmmm!
Kweri
Inkwell mungu amulnde makonda
Jamani msije mkasema kafa mbona tutachanaganyikiwa
Jaman lumbukeni ss sote tunapita dunia hii tunamuitaji makonda salama ee mwenyez waukumu wote eanaousika kumficha uyu kiumbe chako makonda waukumu na uwambue
Kama ni kweli aliefanya hivyo hatoboi hata!!! Mungu anaona
Amina mtumishi wezi hawawez kukuelewa.
Kwa kweli hao ni masetani mtu anajitahidi kufanya mazuri kwao ni tabu walaaniwe
Inauma Sana jamani
Kwani aende wapi au jmn kunanini uwimbo wauchro hauna utukufu kwa Mungu .Kauwaje sasa.Ebu jmn Tumwite Mungu kwaajili yakesio nyimbo hapana
Aende mbele kwa jina la Bwana akapige kazi ndo maana ya wimbo huu
Kwani utukufu unaonekana vipi ani???
Yan wameimba kimtegomtego tu
Yani huyo Samia likuma kweli Lina laana
Mshindwe kwa jina la Yesu!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sijui wanashindwa nanini kujulisha umma kuwa yupo.wanatuweka tu roho juu.nanyie waimbaji mbona siwaelewii
Yawezekana maana yeye pia ni binadamu kama wengine
Kwani makonda... Sielewi Hawa waimbaji
mimi kama mtanzania nauriza makonda yupo wapi kama amekufa kweli kunasiku mtasema tu na sikuhiyo mkitoa taarifa tutawakataa siku hiyo
Jamani nikweli
Nikisikia jina magufuli naumia sana, pia aliyekuwa waziri wa ardhi kipindi hicho, maana sasa kesi za ardhi inatusumbua sana
Ivi Kwan makonda kafa au mm sielewi
Yani hii nyimbo,inawalakini.😔
Hatujui kwan hakuna taarifa rasmi
Jamani hizo nyimbo mmm
Hakika wa Tanzania tunakuitaji
Upo wapi ongea kitu wewe ni Rais wetu ajae
Kwani mbona mnatutusha Jamani?
Sijaelewa makonda yuko wapi
I'll km mtamua makonda mjue mmetuua masikini wote Tanzania
Naomba anayefahamu hii kwaya ni ya kanisa gani au kikundi gani anisaidie au ni ya watu walio andaliwa maalumu kwa kutuandaa kisaikolojia ili then ndio serikali itangaze tukio kama kweli tukio lipo?
Amujui kuandamana nyinyi
Mbona mwili wangu unajaa vipele vyauoga kwani kafa? EeMUNGU simama nawatanzania.
Wimbo mzuri mnoo, semaa aliewarekodia na Infinix kaharibu video
Kwakweli kama makonda nae atakuwa amekufa kuanzia sasa sitakuwa na Imani na chama changu kwanini viongozi waadilifu ndio wafe?
Hivi ni kweli amekufa!!?
Yani mnanichanganya mm kwani nani kasema makonda kafa jamani
Yaani huo ndiyo unaoitwa machawa yenyewe. Acheni kuchuria wenzenu. Lola mtu ataondoka kwa muda sahihi wa Mungu.
Jamani hawamaanishi kaga inamaana aende kupiga kazi kwa sana
Hatuelewi Makonda amekufa?
makondo MUNGU akulinde ameni ameni ameni
Misiwaelewi..
Makonda mkimpoteza Kwa kweli tutaandamana wanjonge tusipige kula muwe mnajichagua wenyewe Ili mmalizane
Mm mbona sielewi hii nyimbo ni ya nini
Hizi ni nyimbo za uchonganishi na wala si kwamba ni kumuombea makonda, kuhani kwa njia ya maombi ni kudumu ktk maombi na siyo uchonganishi kama huu
Uchonganishi wa nini au nini ambacho huelewi
Kama makonda atapotea basi nyie watu wa CCM mjiandae
Hii nchi bana dah!wanajidai hawatuelewi.
Ivi walioitwa wasiojulika ni akina nani? walikuwa wanatumwa na nani? kwa sasa wako wapi hao wasiojulikana? ni ngumu sana kuwajuwa inahitajika akili ya ziada, wanavaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali.
Hawatuelew na wakija kugalagala kuomba kura na sie hatuwaelew kimyaa😅
Oyaa hii nyimbo cjaielewa kwani makonda yupo wapi jamani???????!!!
HII NDIO FISIEM MNAYOIKUMBATIA
Sielewi elewi kabisa!!!!
Viongozi wa kitanzania wanataka viongozi wężi kama wao ndio utadumu
Makonda wetu uko wapi jamani? Tuma hata meseji huko uliko kaka, sisi huku roho ziko juu juu
Ameen ❤❤❤❤❤
Serikali si itamke neno
Kama si kweli hawa wafungwe mwaka moja
Hacha uchawa, wao hawajaimba kafa,, ujumbe mkuu ni uongozi uliojaa Rushwa ndio chanzo cha yote hyo
Najuchukia mtu ambae hawezi kujibu mtu kwa hoja, utasikia kila neno " UCHAWA" hilo neno limekaliliwa na wajinga wengi.
@@floraflora9490 hoja zipi unataka
Yupo hai
Jiandaeni kufungiwa muda SI mrefu
Mbona siwaelewi??
Mbona hamuwaimbii walofariki kwenye mashindano ya pikipiki?Wanafiki.
Viva bashite
Makonda tunakutaka malamoja
Nausikiliza huu wimbo huku machozi yakinitoka.
Makonda hauko peke yako
Mtu mwenye familia, ndugu, jamaaa na marafiki, mwajiri, walinzi, anaosali nao, balozi wa nyumba kumi, na jamii inakuweje kuwa na tashwishi ya kutokuonekana? Amani yetu ifanyiwe utafiti kina Watanzania.
Waliokuwa na machungu na nchi wamebakia wawili au watatu tu maana alipoondoka magufuli nchi imeyumba sana,majaliwa, makonda mtupambanie sana
Yaani acha tu😢
Wapumbavu hawa huu ni upuzi wa hali ya juu wamekosa kazi ya kufanya
Mpuuzi mwenyewe bwaaa mmoj
Amina
Acheni ulimbukeni makonda bad yup
Hatujui lolote tunasubir taarifa rasmi
Hacha matuc,, kwani kasema makonda tembea ni makosa,,, wasikilze kwa makini husikulupke mwamba
Mmeacha kumuimba BWANA na ukuu wake,,, mnamwimbia bin Adam
Niwatu wenye upendo nataifa lao, wanaliombea, pia nimaambatanisho yamaombi kwamungu kwaviongozi wanao wapenda, so nisahihi tu
Ameeen
Mh
Nyie
bora baba angu hayupo apo kwenye hii nyimbo mana ni upuuzi t
Hulazimishwi kuwaelewa ni chaguo la mtu kuwaelewa au ukaushe😮
😂😂😂😂
Waache tu watafute sifa
Acheni unafiki kanisa 😢
Amen
Mpaka najiuliza MUNGU anawaona Hawa ccm ama sisi ndo mitazamo yetu iko hovyo juu ya ccm Mungu litazame hiili kwanini wajinga wanadum umeamua tuishie hivi