Wimbo huu tunatembea pole pole kwaya kuu Bethlehem kwangu ni wimbo Bora kuliko nyimbo zote za mfumo huu, maana unanibariki sana silali bila kuusikiliza ndipo nalala, Mungu awabariki ninyi nyote watumishi wa ush. wa Bethlehem
Uchala abhasaje, mmeimba vizuri mkimsifu Mungu wa mbingu na nchi. (Mawazo yangu, mwanzoni mwa wimbo, ameonekana kama malaika (Rangi ya Mzungu), kama inaweza kuwa edited hapo sijaelewa imemaaniasha nini).
Moraviani ni dheheb7 zuri sana
Wimbo huu tunatembea pole pole kwaya kuu Bethlehem kwangu ni wimbo Bora kuliko nyimbo zote za mfumo huu, maana unanibariki sana silali bila kuusikiliza ndipo nalala, Mungu awabariki ninyi nyote watumishi wa ush. wa Bethlehem
Mbalikiwe Sana watumishi
Mbarikiw kw kwel mkubwa hashindwiii
Kwaya kuu zote ni vizuri kuiga pigo kama hili la wimbo huu Toka kanisa la Moravian ushirika wa Bethlehem
❤❤ hongeleni Kwa huduma nzuri ya uinjilshaji.
1990 au sina uhakika vizuri lakini kazi yenu ilikuwa njema na bado inaubora wa kiwango cha juu.
Namisi sana mbeya kwetu jaman kuimba nikusali mara mbili huku niliko sielewi chochote cjui ndo mazoea
mungu awabalik nyimbo nzr sana daaaaaaa😊
Mungu awabalik sanaaa,,, by Deborah ndile,, kutok mlow
Ndagha muimbile bhandu bha kyala
Kicheko kicheko tukishafika mbinguni
Kyala abhasajege
Wimbo mzuri sana. Hilo pigo nimelipenda na watumishi wa Mungu wanalipiga kwa ustadi mkubwa. Mbarikiwe sana.
Hongereni wazee mungu awa
bariki sana
Mungu awabariki sana,ujumbe mzuri AMINA sana
Barikiwa sana
Vicheko vicheko vicheko tukishafika, Vicheko vicheko ahaaaaaaa
Huu ni mmoja kati ya nyimbo za dini ninazozipeda sana. Mbarikiwe.
Ghaiiiii tam sana hongereeeeni
Sijui ni mimi tu nabarikiwa zaidi na hapo mwishoni tutapongezana naona pamekua pafupi sanaaa nyelaaaaa
Daaaaah nawapenda mpka natamani kama tungeonana mbinguni pamoja
Uchala abhasaje, mmeimba vizuri mkimsifu Mungu wa mbingu na nchi. (Mawazo yangu, mwanzoni mwa wimbo, ameonekana kama malaika (Rangi ya Mzungu), kama inaweza kuwa edited hapo sijaelewa imemaaniasha nini).
Hongereni watumishi wabwana
Hakika MUNGU atukuzwe na lika zote🙏🙏🙏🙏🙏
Hakika ni kufumba na kufumbua, tuwe tayari, tutengeneze njia zetu na Bwana. Wimbo mzuri.
Asante sana kwa kuimba kuzuri wazazi mmniko zambialakini nifuraishwakuimba kwenu
Asanteee sana kutufuatilia,,,,tusaidie kushare hii huduma huko ili wote tuendelee kubarikiwa
Wawoooo Moravian mwenyezi mungu awabariki sana
Finally, nimeipata hii kwaya kwa kweli mbarikiwe mnaimb vzr sana
Safi sana. Ni wimbo mzuri sana
Nabalikiwa sana karibu ushilika wa tunduma
Tunduma Moravian?
Wimbo mzur sana... Mungu Awabaliki sana.. Kyala Abhatule....
HONGEREN NA MUBARIKIWE
Great
Mulakoze thanks
Wimbo mzuri,ujumbe mzuri
hii imeenda
Wimbo mzuri mungu awabariki
Ndagha fijo olwembo lonunu fijo kyala awatole bha Mwa nongi na Mwe wakananongi. Nsajigwe fijo no lwembo holo.
Ndaga fijo
Bwana yesu asifiwe
gooood
Wimbo mzuri, Umeimbwa kwa ustadi mkubwa..Mungu awabariki.
MUNGU awafunike Kwa MOTO..WAKE
Iko vzt
I love this song
3:38
Amen
Fb
Ploud Moravian
Asanteee Lulu ubarikiwe