Wew hauko sawa hutakiwi kutumia dawa ya meno maana ukitumia hiyodawa kwa mda mfupi tu itakakamaaa na kushindwa kufanya hiyokazi sasa kwanzia leo tumia compaundi kaka unakosea
@@kennytech Kuna tv niliona ikiwa imewekwa chopa Kwa FBT Ika Ni changanya ilikua ime fungiliwa Kwenye FBT nikaona nikuobe usaidizi juu ww Una ujuzi niko Kenya Nairobi.
Mungu akubariki kwa kufundisha vizuri!kuna tv nilirudisha kwa mteja yenye tatizo hilo, ngoja niifuatilie kama bado IPO!
Uko wapi mkuu?
Tv yangu Ina shida
mwalim nakufatilia mm na wanafunzi wenzangu mungu akujalie ue namoyo uo uo ili nasie tujefundisha wengine tumerisishwa tuarisishe
Very nice
Unapatikana wapi tv yangu imebonyezwa inaonyesha mistar
Wew hauko sawa hutakiwi kutumia dawa ya meno maana ukitumia hiyodawa kwa mda mfupi tu itakakamaaa na kushindwa kufanya hiyokazi sasa kwanzia leo tumia compaundi kaka unakosea
Teacher chock Hua Ina wekwa Kwa FBT Kwa nn Na Ina wekwa ajy fundi
Chock unamaanisha nini
@@kennytech Kuna tv niliona ikiwa imewekwa chopa Kwa FBT Ika Ni changanya ilikua ime fungiliwa Kwenye FBT nikaona nikuobe usaidizi juu ww Una ujuzi niko Kenya Nairobi.
We ni noma tuko nyuma yako tunasapoti kazi yako nzuri
Kaka hivi umezingua sanaa 😂
Mbona namba Zako hakuna boc
Hiyo huitwa LIQUID PROCESSOR au COMPOUND
Fundi weka namba
Kuita data tv ya sundar
Habari niritaka kujua jinsi ya gutengeneza tv inawaka rakini haionyeshi maandishu kwenye kioo
nielezee vizuri
Boc mbona namba zako hazipo
fundi weka namba ya whatsapp wengi tunahitaji huduma yako
Weka namba ya Whatsapp
Weka Namba Ya Cm Fundi
na aboder unafanyej yenye tatzo hilo