Tatua tatizo la flat screen ukubwa wowote inayo Waka na kuzima Waka na kuzima

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024
  • ANGALIZO; unavopaka ayo mafuta au dawa akikisha hayagusi kwenye miguu ya ic zako

Комментарии • 23

  • @jumannekhalfan2732
    @jumannekhalfan2732 2 года назад +1

    Mungu akubariki kwa kufundisha vizuri!kuna tv nilirudisha kwa mteja yenye tatizo hilo, ngoja niifuatilie kama bado IPO!

  • @tiptop2788
    @tiptop2788 2 года назад

    mwalim nakufatilia mm na wanafunzi wenzangu mungu akujalie ue namoyo uo uo ili nasie tujefundisha wengine tumerisishwa tuarisishe

  • @hamzaomari584
    @hamzaomari584 2 года назад

    Very nice

  • @HalimaSeif-xw1il
    @HalimaSeif-xw1il 5 месяцев назад

    Unapatikana wapi tv yangu imebonyezwa inaonyesha mistar

  • @zaujatnoah-ro6uj
    @zaujatnoah-ro6uj Год назад

    Wew hauko sawa hutakiwi kutumia dawa ya meno maana ukitumia hiyodawa kwa mda mfupi tu itakakamaaa na kushindwa kufanya hiyokazi sasa kwanzia leo tumia compaundi kaka unakosea

  • @PaulKuria-p1q
    @PaulKuria-p1q Месяц назад

    Teacher chock Hua Ina wekwa Kwa FBT Kwa nn Na Ina wekwa ajy fundi

    • @kennytech
      @kennytech  Месяц назад

      Chock unamaanisha nini

    • @PaulKuria-p1q
      @PaulKuria-p1q Месяц назад

      @@kennytech Kuna tv niliona ikiwa imewekwa chopa Kwa FBT Ika Ni changanya ilikua ime fungiliwa Kwenye FBT nikaona nikuobe usaidizi juu ww Una ujuzi niko Kenya Nairobi.

  • @festomassawe2070
    @festomassawe2070 2 года назад

    We ni noma tuko nyuma yako tunasapoti kazi yako nzuri

  • @puretv8742
    @puretv8742 Год назад

    Kaka hivi umezingua sanaa 😂

  • @japhetelias3419
    @japhetelias3419 3 месяца назад

    Mbona namba Zako hakuna boc

  • @chogoraaiddy6417
    @chogoraaiddy6417 7 месяцев назад

    Hiyo huitwa LIQUID PROCESSOR au COMPOUND

  • @shengovsjahn6074
    @shengovsjahn6074 Год назад +1

    Fundi weka namba

  • @BashiruAzam
    @BashiruAzam Год назад

    Kuita data tv ya sundar

  • @ibrahimMeshak
    @ibrahimMeshak 6 месяцев назад

    Habari niritaka kujua jinsi ya gutengeneza tv inawaka rakini haionyeshi maandishu kwenye kioo

    • @kennytech
      @kennytech  6 месяцев назад

      nielezee vizuri

  • @japhetelias3419
    @japhetelias3419 3 месяца назад

    Boc mbona namba zako hazipo

  • @husseiniddy5401
    @husseiniddy5401 Год назад

    fundi weka namba ya whatsapp wengi tunahitaji huduma yako

  • @juhudinashoni5588
    @juhudinashoni5588 Год назад

    Weka namba ya Whatsapp