Gavana Natembeya aongoza hafla ya upanzi wa miti Kitale
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Serikali ya kaunti ya Trans-Nzoia imeanzisha mpango wa kuboresha na kupamba mji wa kitale, hii ni mojawepo ya mikakati ya kuanzisha safari ya mji huo kupata hadhi ya kuwa mji mkuu
This is good work.