Joho was our pride of Mombasa county but he got so drunk with power, control and corruption, he has failed us miserably! he's not the same Joho walai, he has been partying with boys in TZ and in Dubai hatari mno!
@@abusaeed9037 mumgu atamlipia swabra lakini isihak ndio chanzo cha yote sio mwadilifu yuafanya kupelekwa sio mwanaume kama mswizwa manshaallah yule ndio mume akiowa ameowa apelekwi yuapeleka ela uyu mmmh
Pole Sana joho kama waita kuwa Prezzo. Una aibu Sana. Watu wanakufa wewe ni kiburi Tu na kupiga domo kizungu usicho kujua. Port ushauza wewe joho huna maana kabisaaaaaa
Kuliko nimsikize hiki joho afadhali nihesabu manyoya ya mbwa wangu !!....this dude gat so pride in him like a femeo!....ruto aint even ua class ,,uko na umama sana ww
Joho please explain how BBI will change the lives of common citizen?? If not to benefit certain selfish politicians who only think about themselves and their families.
Gvn. Joho asipoondoa hisia na makasiriko katika nomination za vyama, atafeli. Feelings katika Nyali yet Mohammed Ali was clearly popular, akapoteza. Feelings juu ya chuki kwa marehemu Dori, hadi kuiweka kwa ndugu yake Feisal, yet Feisal was clearly the popular candidate, akapoteza. Toa feelings baba kwa siasa.
Mombasa chafu joho lazima urekebishwe kama ww ni gavana kwanini kazi za vijana wa kuzowa taka na uweke mapipa ya taka ili vijana wapate kazi huna lolote ulolifanya
I conquer with you. ...mombasa is so pathetic. ..rubbish all over. ..vijana na dawa za kulevya. ..he could Ave even create job kwa hawa vijana to collect rubbish everyday. .....
@@yusufmwangichannel6692 selling drugs to Coastal youths and he is out roaming free politicking and all this is because Raila Canaan Odinga sanitises him.
@@hassanovajunior6972 what can I do with joho. I have my American husband with an original marriage license. Hey come on man. Do not mess with people who you don't know about them. Wait minute who is the so cold Joho to you
Wewe porojo tu joho kiburi lakini haki na ukweli ndio unaikiuka umefuja pesa ukitaka ukweli uliza ma MCA watasema unavyofuja hela ndio maana mvurya amekushinda kwa sekta
Wanadamu hawana wema, joho amejaribu,wewe unae mtukana joho,kwenu nyumbani hata Huna msaada wowote na pengine kuna jamaa zako wanateseka na wewe mungu amekujalia kipato,toa kibazi kwa jicho lako ndipo ukatoe kwa jicho la mwinzio
@@fff1546 drugs and SGR (after Canaan Handshake) coastal people voted for Joho and those who claimed that no one listened to him and that's why we see this SGR effect is just a damn liar. Coastal people voted for Raila and Joho so after that Canaan handshake, Joho sold Mombasa
JOHO HIYO INTERVIEW NI YA KISWAHILI, NA RASHID ANAJUA KISWAHILI, NA UKO USWAHILINI, ni yanini ugandame kizungu usichokijua? KIZUNGU MUACHIE MIGUNA MIGUNA.
🤣🤣🤣🤣 true hajui English alafu anajiuma uma hapo heri Rashid ametumia kiswahili adi mwisho hakuna hata neno moja la kiingereza lkni yeye nikujiuma uma na kujifanya anajua na hakuna analo jua
Allah ndio atakushibda, Joho you are the worst leader in coastal region. You have failed your people na kuwadhulumu kwa kutumia mabavu lakini kaa ukijua utalipwa hapa hapa duniani na akhera Kuna hisabu. Umepatikana na lot of scandals ambazo ni za madawa ya kulevya unaharibu our future generations/raping cases/kula pesa za ummah wanyonge na maskini. Honestly speaking watu kila siku wanakuombea usiku na mchana na kulani matendo na maovu yako. You are not worth to be a leader
Joho alitia blander coast alipotusi watu wa old town nakusema wafungiwe....joho ukiwa upande wa Raila sahau kuleta coast pamoja..Raila ni mbinafsi sahau story ya unity behind handshake,mnasema bbi na tumbo iko empty na pesa ya covid mlikula
Rashid Abdhallah heri ungekaa nyumbani badala ya kwenda hoji mtu vitu zenye haziko of all the things ,why didn't you talk of the halt in medical services in Mombasa. Sometimes you these interviews to those people for publicity and make them relevant while we know they are irrelevant to us
allha atakushinda hupati kiogozi chochote dhulma tupu wala hakuna maendeleo yoyote unafanya na coast general ni watu wa dubei ndio wameleta msaada sahau joho
Joho km anatufundisha kizungu anaulizwa maswali anajibu kizungu alafu ana tafsiri hii nikuonesha kwamba tunakiongozi mwenye kutudharau.yaani anajifanya amesoma sanaaa lakini hajui
Wasema uongo mtupu wala hatukutaki tena tumekuchoka sanaaa twataka mabadiliko wapawani tumeshawatchoka nendeni mukapumike mupishe na wezenu wafaidike kama vile nyinyi mumefaidika wala uraisi hupati kabisa umefanya madereva hawana makzi wateseka kwa sgr yako
Sultan joho rais ya wapwani mahasidi watasema xaana na usiku Walale wapwani lazima tuwe ndani ndani kbsaa tuko na ww king joho I respect you ALLAH akubariki
Wewe ni mnafiki usha rambishwa bahasha ukauza wapwani
Joho was our pride of Mombasa county but he got so drunk with power, control and corruption, he has failed us miserably! he's not the same Joho walai, he has been partying with boys in TZ and in Dubai hatari mno!
Kabisa bwana
I have tromendous for you Ali Hassan Joho by Steve Irungu Jermaine
Mombasa joho huthaki pitaaa kuleeeeeee.....Halloooooooow kinyaunyau kikia cha pweza wayathaka mambo nahawatayezaaaa,...Mpoo vijusooooo😜🔥👌
hongera mzeeeeee
Huyu akiwa prezzo tutapewa madawa kama za polio
Ruto akiwa President atakufira hadi unye
Mr katarina, we are tired. The city is dirty and your doing nothing apart from dancing to katarina😪
Mimi kama mcoast joho is my leader and I respect whatever he has done he has done what he has and only Allah can judge him...I respect you my leader
selling drugs to the coastal youths?
@@deepsea2141 alikuuzia wewe mbwa koko katombwe mbele uko🖕🖕🖕🖕
Seriously mombasa chafu....taka mpaka kando na katikati ya main road...wakati wako kwisha
Wewe waishi mombasa kweli....
Hata usiongee ya taka maendeleo na mambo muhimu hajafanya huyu. Uchumi wote wa pwani umeisha alafu anahepa eti yeye hafaidiki na SGR Mtsweew
hatukutaki hatukutaki joho must go
Sema wewe sio sisi bado tunampenda joho
@@karaniomoit5259 ha ha ha mushazowea kudaganywa niambie joho msa hii amefanya nini maendeleo gani
Mungu skufikishe joho mahasidi mungu atawashinda inshaallah
Nathulma hizi anazo zifanya
@@abusaeed9037 mumgu atamlipia swabra lakini isihak ndio chanzo cha yote sio mwadilifu yuafanya kupelekwa sio mwanaume kama mswizwa manshaallah yule ndio mume akiowa ameowa apelekwi yuapeleka ela uyu mmmh
What surprise!!! Joho im waiting
Mi pia nangoja hio surprise
Tafadhali mahojiano Rashid ya Kiswahili au kizungu mwambie mheshimiwa Joho
He can't be fluent in English..
Pole Sana joho kama waita kuwa Prezzo. Una aibu Sana. Watu wanakufa wewe ni kiburi Tu na kupiga domo kizungu usicho kujua. Port ushauza wewe joho huna maana kabisaaaaaa
Tambaaaa hukuu time yako kwisha..
Joho has a long way to presidency seat...
Interview mbovu kama mombasa county ilivyo mbovu ...sheeeeeenzi
Hata sema nn na ashajua chuma chake kimotoni kwishaa ww mzee pojooo
🤣🤣🤣🤣🤣 jamaniiii
🤣😁😁😁Ghai
@@nikoimarakamasimba80
😂😂😂😂😂🚴🚴🚴🚴
@@mamafatuma138 ci ume choma walai 🤯🔨
@@nikoimarakamasimba80 joho ana chake aliaribu
Kuliko nimsikize hiki joho afadhali nihesabu manyoya ya mbwa wangu !!....this dude gat so pride in him like a femeo!....ruto aint even ua class ,,uko na umama sana ww
Hapo sawa, uko wapi?
Hujalazimishwa kusikia,
Juliet hesabu mavuzi..nugu
@@evanswasike9469 unafanya nini hapa, endeni Bondo ukatege samaki
Kila mtu ni mjaluo, wacha kufikiria kama mtoto
Joho is my favorite Governor
Because he has fooled you
simba wa pwani maasidi hawana raha lakini InshAllah ya mwenyezi mungu lazima mpwani atambulike safari hii
Eti simba wa pwani we ulipewa nn. Hehehe kumbe ndo nyinyi mnaokula maneno. Wapwani tumechoka na huyu joho kabisa kabisa
@@habibasalim3092 siezi simama na Mbaraa against Kijana wa pwani na sio lazima Joho yoyote Yule bora ni mpwani ntasimama nae
Joho umetupa mbao sana walai ww ndio tulitarajia utatukomboa lkn ww ndio umetumaliza walai tena
Really Waallhy
Joho please explain how BBI will change the lives of common citizen?? If not to benefit certain selfish politicians who only think about themselves and their families.
Ask Uhuru and Raila
Rashid wacha kupoteza wakati Salim Mvurya ndio mgogo wa pwani joho ametuangusha
Joho ndiye kigogo wa Pwani
Mvurya ndo kusema nini JOHO ndo KUSEMA!
Joho ameshindwa kuunganisha mombasa county wabunge Muhammad Ali na Ali mbogo anashindwa kupa support ya wabunge eneo lake
@@husseinkazungu5101 abdulswamad mbona ywafanya vizuri,mohamed ali na Mbogo wameshindwa na kazi
@@tfl4963 Kigogo wa Kisumu
Gvn. Joho asipoondoa hisia na makasiriko katika nomination za vyama, atafeli. Feelings katika Nyali yet Mohammed Ali was clearly popular, akapoteza. Feelings juu ya chuki kwa marehemu Dori, hadi kuiweka kwa ndugu yake Feisal, yet Feisal was clearly the popular candidate, akapoteza. Toa feelings baba kwa siasa.
Koongozi wetu king pin joho msambweni tu coast still king pin of coast
Joho Babalawooo 🔥💪🤣
Sikweli wachaa zako kwisha Mombasa chafu sana
001 thats why i Like simama na ukweli
Mombasa chafu joho lazima urekebishwe kama ww ni gavana kwanini kazi za vijana wa kuzowa taka na uweke mapipa ya taka ili vijana wapate kazi huna lolote ulolifanya
I conquer with you. ...mombasa is so pathetic. ..rubbish all over. ..vijana na dawa za kulevya. ..he could Ave even create job kwa hawa vijana to collect rubbish everyday. .....
Joho is the Man
Adui wa wapwani
Aliuwa watu?
@@yusufmwangichannel6692 selling drugs to Coastal youths and he is out roaming free politicking and all this is because Raila Canaan Odinga sanitises him.
Kabisa. Huyu joho ni Adui wa wapwani naaende kwao TANZANIA
@@habibasalim3092 una nyege na Joho kwao Tanzania wew ndio ulimzaa mbwa koko wew
@@hassanovajunior6972 what can I do with joho. I have my American husband with an original marriage license. Hey come on man. Do not mess with people who you don't know about them. Wait minute who is the so cold Joho to you
Hana moja LA maana
El-Chapo Guzzman Pablo Escobar Sinaloa Los Zetas
🤣🤣
Wewe porojo tu joho kiburi lakini haki na ukweli ndio unaikiuka umefuja pesa ukitaka ukweli uliza ma MCA watasema unavyofuja hela ndio maana mvurya amekushinda kwa sekta
My point
Wanadamu hawana wema, joho amejaribu,wewe unae mtukana joho,kwenu nyumbani hata Huna msaada wowote na pengine kuna jamaa zako wanateseka na wewe mungu amekujalia kipato,toa kibazi kwa jicho lako ndipo ukatoe kwa jicho la mwinzio
Tulijua atapakaa Hustler Nation tope
Amesema nini mbaya kuhusu hustle nation,, acha utabeli bana🖐️🖐️
Hustler nation gani?????
Na wala hatamuweza
@@stephenomariba109 amesema
joho wewe umeuza watu wa mombasa sasa wataka kuuza kenya utangoja urais sana tena sana
aliuza nyanyako
Kina Nani Hao walio uzwa???
@@fff1546 drugs and SGR (after Canaan Handshake) coastal people voted for Joho and those who claimed that no one listened to him and that's why we see this SGR effect is just a damn liar. Coastal people voted for Raila and Joho so after that Canaan handshake, Joho sold Mombasa
Mbona hapo SGR Hujatafutia watu job. Nyamazia hukoo hutuambii kitu joho wewe
Pojooooo ametiwa Giii
huyu viazi vya rojo, mr pojo asema nini?
wacha madharau na matusi
@@mtumzima314 sijamtusi , ramadhan 2020 alitoa pojo na viazi vya rojo oldtown wakati wa lockdown
Kawaida maskini ndio wenye kiburi ndio maana unashindwa ata kufanikiwa
Hata sijui
@@omarabdi7722 😂😂😂
His time is done 🤡💯
100%
Nonsense wait and see
He speaks his mind. That’s more important.
Unauhakika?
JOHO HIYO INTERVIEW NI YA KISWAHILI, NA RASHID ANAJUA KISWAHILI, NA UKO USWAHILINI, ni yanini ugandame kizungu usichokijua? KIZUNGU MUACHIE MIGUNA MIGUNA.
🤣🤣🤣🤣 true hajui English alafu anajiuma uma hapo heri Rashid ametumia kiswahili adi mwisho hakuna hata neno moja la kiingereza lkni yeye nikujiuma uma na kujifanya anajua na hakuna analo jua
@@emilykithome1036 kweli kabisa dada, madebe matupu ndiyo yanayopiga kelele.
🤣🤣🤣🤣 uko funny moha
🤣🤣🤣🤣🤣kabisa kizungu mingi
@@AliMohamed-wp1op ausio 👊
Hongera 001
Maneno mataaaaamu! Wakati wako umeisha sasa
Umeisaliti pwani
ww joho ndiyo waota mchana wafikiriya president ni mchezo ama ni pojo kwa uwezo wa mungu ni ruto
Waaaah
Maulana ambariki joho
Joho umefanya siasa ya baba na bado unaanguka
Meambiee
Nilikuwa nimecheki ni kama Governor ako na mask kumbe ni ndevu 🤣💪🏼
Haha,,,i cant unsee it
Personally ...Joho is the least qualified person whom should give opinions about good leadership skills
I agree with you 100%
Wewe kwisha ,which bigger fights??Mungu akusamehe .
Garbage everywhere in mombasa.
Ukosefu wa maji Mombasa .
2022 siasa Bora nilale tuu sielewi yanii na sitaelewa😂😂😂😂
Joho is finished...
Nani ameskia kma mimi (MY FRIEND) 😜
Naona akirud kuwania nyali
Ndo siasa za kenya kupakana tope wewe ulishawahi msikia Ruto akimsifu Joho wacheni zenu
@@joramodhiambo8470 naona kama hivo lakini nae labda aibe la sivyo hapati ng'o
Mie niko hapa tu sio kuskiza habari za Siasa, Niko hapa tu kuwaona Wawili Wenu Mkipiga Gym,Healthy First!!
Kenya viongozi mmejaa tu na siasa
I like the intellectual honesty in this man...
kazi ya madawa yakurevya
Your spelling of words alone is a very dangerous drug..... Toka hapa
Nawe fanya kazi ya dawa za kulewesha
Ashawahi kukuuzia?
Fanya zoezi kaka uwongozi wachie viongozi.
Our par Fe naye mob Dali,Nou Paule our Pablo Dali up trade clear, say saline Infini Nou plyale waou non dalo,☝️
001 tosha suldan
Kwanza jiulizeni ni kitu gani kilimfanya ampende raisi?
C alikatiwa kipande Cha port.
@@charitykamundi3921 kabisaa sasa tena anatufanya mafala eti sgr na sijui nn haimpi mtu faida
Joho Kaza twendee Niko nyuma twende mbele
Good tolk simba wetu nakukubali
Mwanaume ni kujichocha,wapwani na wakenya kwa jumla wamechanuka na kuongea mingi haitoshi haiwezi those days are gone
Asalaam Aleikum Governor Joho tuko nyuma yako kabisa
Piga kelele kwa Joho babalawo
Uko nyuma yake umtombe au nini?
@@TheRepublican254 mbona waongea Kam mtu hajatahiriwa nyani wwew 🤣🤣🤣🤪👈
@@lovvy854 ni swali tu kauliza... Lol 😁😁 Mwanaume nyuma ya mwingine....
@@TheRepublican254 🤪🤣🤣alaaa nashangaa ivi mtumzima kamwew anaeza ongea ivo 😳
Pride comes before a fall
Kabisa
Me I love you whether years ur sick healthybor not JUST BECAUSE OF Allah may MANY Eyes be defeated Ameen
Joho tena hongera Sana muheshimiwa Hassan Ali Joho wewe ni Simba 🦁🔥🦁
Allah ndio atakushibda, Joho you are the worst leader in coastal region. You have failed your people na kuwadhulumu kwa kutumia mabavu lakini kaa ukijua utalipwa hapa hapa duniani na akhera Kuna hisabu. Umepatikana na lot of scandals ambazo ni za madawa ya kulevya unaharibu our future generations/raping cases/kula pesa za ummah wanyonge na maskini. Honestly speaking watu kila siku wanakuombea usiku na mchana na kulani matendo na maovu yako. You are not worth to be a leader
Inshaallah Allah will punish this drug dealer who has destroyed coastal youths.
But I see people still praising him. This Joho is disgusting
@@deepsea2141 may Allha curse this joho useless Joho naakwende zake. Sisi tushakujua joho mnafki wa wapwani
@@habibasalim3092 mtalaaniwa nyie mbwa koko shenzi zenu🖕🖕
@@hassanovajunior6972 vidole vingine vinane vimekuoteshea wewe mwenyewe.
Joho alitia blander coast alipotusi watu wa old town nakusema wafungiwe....joho ukiwa upande wa Raila sahau kuleta coast pamoja..Raila ni mbinafsi sahau story ya unity behind handshake,mnasema bbi na tumbo iko empty na pesa ya covid mlikula
It is not a barometer. (5'). Wadau alipania kusema Parameter?
Bro. In this context, barometer is the word. Joho is right...remember we're talking of political climates, heats..
@@samuelcimiyu4181 rudi shule
@@dennismuthengi8240 schools are currently closed bro. Let me wait for next year I go learn come teach you again.😛
Uliwaonesha wenzio unyama nawe Allah atakulipa
Kwani wewe hutalipwa samaki wewe
junior kakafirwe
Umeshindwa MSAMBWENI utaweza kenya ww???
Sauti kiasi.
Muilizeni
Duel its a sequel pigeon na scrub mziki
Chungwa limekua danzi na hawaamini
Mjanja endelea 2ivo
Sultan mwenyewe
Nipigie nami nami simu niskie utamu 0001,,wasikutoe roho jamani
Matunda ngani????
Bye bye 👋
Zuzutan huyo citizen munkosa kazi nyie
Kwani ulikua wataka wafanye kazi gani?
Walikua hawana kazi uko studio
Rashid Abdhallah heri ungekaa nyumbani badala ya kwenda hoji mtu vitu zenye haziko of all the things ,why didn't you talk of the halt in medical services in Mombasa. Sometimes you these interviews to those people for publicity and make them relevant while we know they are irrelevant to us
Huyu Rahid hafai hata kidogo, interview gani hii? Unatupotezea time.
Citizen TV lost its grip long time ago.
allha atakushinda hupati kiogozi chochote dhulma tupu wala hakuna maendeleo yoyote unafanya na coast general ni watu wa dubei ndio wameleta msaada sahau joho
Haoni hata haya akisema Eric anataka unganisha wapwani. Joho wewe ndo waota. Uliona Muhammed Ali Alishinda na mlimfanyia vituko mbona akapita. NYOOO
Mbona SGR Hujatafutia wapwani job kwenda wewe
Dr Amkeni akowapi amweke in his place 🤣🤣🤣🤣
King Joho wewe ndio SIMBA wa Pwani Hizi mbwa zengine zisikutishe 💪💪💪💪
Leave about interview. Just on comments tells how joho is useless and rejected
Joho nikupeshe 5000
Joho km anatufundisha kizungu anaulizwa maswali anajibu kizungu alafu ana tafsiri hii nikuonesha kwamba tunakiongozi mwenye kutudharau.yaani anajifanya amesoma sanaaa lakini hajui
which country..Mombasa country..have not seen you in other part of kenya.
Problem with our leader they alz see themself asantenii snaaa
Joho wangu mtu ,nipe dili mwana
Atakupeleka Canaan
Wala hayakupa dili yoyote atachikua dili akiwapa dada zake na ndugu zake akupe wewe akujua wapi,
SEMA UKWELI
Unakula joho
Wasema uongo mtupu wala hatukutaki tena tumekuchoka sanaaa twataka mabadiliko wapawani tumeshawatchoka nendeni mukapumike mupishe na wezenu wafaidike kama vile nyinyi mumefaidika wala uraisi hupati kabisa umefanya madereva hawana makzi wateseka kwa sgr yako
Yuaota mchana 😂😂😂😂😂
Hutaki Wewe Na Nani mwenzako ama?
Watu wamechoka na wewe wataka kujaribu wagine Mombasa chafu wizi Tu
Sultan joho rais ya wapwani mahasidi watasema xaana na usiku Walale wapwani lazima tuwe ndani ndani kbsaa tuko na ww king joho I respect you ALLAH akubariki