TUVITU VITU VYA ELIE MPANZU DHIDI YA TABORA UNITED/ASSIST NA KATENGENEZA PENATI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 22

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 3 часа назад +9

    Mpanz na kibu ❤nyie mnajua kuchez kwenye boksi bhna ..nasubir dabi kwa hamu tar8 alafu refa awe arajiga

  • @williamikera6377
    @williamikera6377 2 часа назад +3

    Kinachovutia ni anazidi imarika mechi baada ya mechi cant wait io March 8 refa akiwa Arajiga😅

  • @AthumanAthumanTz
    @AthumanAthumanTz 34 минуты назад

    Mpanzu Mpanzu
    Siku ukifunga Itakuwa Siku kuu kwangu

  • @allymwinyi970
    @allymwinyi970 Час назад

    Simba hongereni kwa kujiongeza kwenye kutengeneza mfumo wa kuonyesha touches zote za mchezaji fulani kuanzia mwanzo wa mechi hadi mwisho. Hakika ninyi ni wa kwanza Afrika Mashatiki na Kati. Fanyeni hivyo kwa wachezaji wote kuwe na tekodi za touches zao kwenye kila mechi hata wale wanaoanzia benchi.

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 2 часа назад +1

    Elie mpanzu kahusika magoli yote 🔥

  • @agripamwakapala
    @agripamwakapala Час назад

    ❤❤❤❤

  • @IblahimuIssa
    @IblahimuIssa 2 часа назад

    Nyie huyu mpanzuuuu.

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka 2 часа назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka 2 часа назад

    🦁♥️♥️❤️❤️💪💪🙏🙏

  • @DungaMan-f9y
    @DungaMan-f9y 3 часа назад

    Noma tu😂😂

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 2 часа назад

    Mpanzu ni Pacome buku, huyu mtu hatar na noma

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 2 часа назад

    Mpanzu ni habari nyingine!!

  • @ZakayoMgaya2580
    @ZakayoMgaya2580 2 часа назад

    Mpanzu huyu nihabali nyingine kabisa mjini apa😂😂😂😂😂

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 2 часа назад

    Timu zote zitanyolewa mno na chap

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 2 часа назад

    Huyu mwanba sipidi yake hatari wakielewana itakuwa bala tupu hapo

  • @amoji126
    @amoji126 2 часа назад

    Hii somba ya 5% mbona ya moto hivi?! Ikifika 100% cjui itakuwaje.

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva8245 2 часа назад

    Tarehe nane sio mbali watatueleza kwann wametufunga mzunguko wa kwanza

  • @benjaminkambona7783
    @benjaminkambona7783 3 часа назад +1

    Alie mleta mpanzu dhambi zake achukue ali kamwe

  • @PROFESSIONAL792
    @PROFESSIONAL792 23 минуты назад

    ruclips.net/video/s-Io7YBTdTg/видео.htmlsi=52oxndlhiYGNyMXQ❤❤❤❤❤❤❤