Brother jemedali unakumbuka Yanga wamemuacha metacha alivyowaandama na sahiz Simba inamnyima nafasi manula ndio maan anachambua Kwa asila na Watu waliomuumiza Ila haka kamzee wanaomuajili sjui wanampendea Nini Ila uyu jamaa ni Mtu mmja ana kuonyesha chuki ya waziwazi
UJUE NINI WACHAMBUZI TATIZO LENU MNATEMBEA NA UPEPO HAMCHAMBUI UKWERI Laiti kama refa asingetoa penalty LEO MJADARA UNGEKUA SIMBA KANYIMWA PENALTY MNAKAUPUUZI FULANI KA KUTEMBEA NA UPEPO SIO KUCHAMBUA
Yan mwamuzi asitoe adhabu ya penati kweny mechi husika sababu aliwah kutoa adhabu nyingine ya penati kweny mechi za nyuma alizochezesha, kimsingi wachambuzi mnawavuruga waamuzi pia, muachen asimamie sheria za soka kwa weledi 😂😂
Shida ni kwamba waamuzi wa bongo hawana uhakika na kazi zao,yaan huenda asingefunika mungeanza kusema pale refa kawanyima simba penalt,kwahyo kuna wakt waandish na mashabiki uchochea kuwapa hofu waamuz maana waandishi wetu hamna misimamo sabiti na uchambuzi wenu mnabadilika badilika sna
Usenge mtupu nyote mnamakasiriko wewe jemedar na hans rafael siwakubal sio wachambuz bali niwachaguz tunakujueni nyinyi ni yanga ongeeni mpaka mchoke ila simba walee😂😂😂
Jemedari.leo umechemka.Kwa mara ya kwannza kabosa nakuona mpuuzi ttu kama wngine
Wew jemedar mpanzu alijua ataguswa ndomana katumia hakili kwaio wew ni mchambuzi sio legs legs pale anasekunde kaza
Jemedari ww ni mkongwe kwenye kazi hii! Ila ushabiki ndio unakufanya uonekane kama mwehu tu mzee wangu
Brother jemedali unakumbuka Yanga wamemuacha metacha alivyowaandama na sahiz Simba inamnyima nafasi manula ndio maan anachambua Kwa asila na Watu waliomuumiza Ila haka kamzee wanaomuajili sjui wanampendea Nini Ila uyu jamaa ni Mtu mmja ana kuonyesha chuki ya waziwazi
Jemedali umeshindwa kutafsiri Sheria Na. 12. Ukishakuwa nyuma ya mchezaji chochote ukifanya inakula kwako.
na kzma unataka uwe mwalimu wa marefa fuata utaratibu uwe mkufunzì wa marefa lkn kwa leo umechemka bwana kanzumari
Yanga mechi 16 wamechezesha malefa 7 tu amuongeiii yani mnashindwa kukubali ubira wa simba
Nyie makuma mbona game za yanga hamsemi
Jemedali nenda kasomee Ulefa acheni ushabiki wa Tim Tanzania yetu
Bila kuikanyagia Simba utrend ,juz pacome kajiangusha amja sena Sasa wachambuzi mnachagua mechi
Basi tutoe hayo magoli mnayoyakataa nyiny halfu libaki la kapombe hapo mnasemaje
UYO JEMADALI NI NANI KWANI MARUDIO HAMKUONA ENGLE GAN UNAITAJI WEW KWAN UJAONA KWENYE MARUDIO INAMAANA PALE INGEKUA NJE YA BOX NA INGEKUA FAUL,
Hakuna anayejiangusha akaangukia nyuma.
sasa kama utamani kuwa kocha tafuta timu ufundishe wachezaji wako namna ya kuwa wakakamavu wafikapo eneo la box usiinfilie kazi za watu
Huyu ni kolo ila anajua boli angalao
UJUE NINI WACHAMBUZI TATIZO LENU MNATEMBEA NA UPEPO HAMCHAMBUI UKWERI
Laiti kama refa asingetoa penalty
LEO MJADARA UNGEKUA SIMBA KANYIMWA PENALTY
MNAKAUPUUZI FULANI KA KUTEMBEA NA UPEPO SIO KUCHAMBUA
Yan mwamuzi asitoe adhabu ya penati kweny mechi husika sababu aliwah kutoa adhabu nyingine ya penati kweny mechi za nyuma alizochezesha, kimsingi wachambuzi mnawavuruga waamuzi pia, muachen asimamie sheria za soka kwa weledi 😂😂
Kuna issue ya kuchezesha mechi nyingi za simba
Wewe una conflict of interest
Wachambuzi wa mchongo..
Kwann we hujasomea uamuzi ili uokoe tasnia hii ya kelele za marefa? Ukakimbilia ukocha.
Punguza unafki bro. We umejiridhisha mda gan kuwa refa kakosea
Shida ni kwamba waamuzi wa bongo hawana uhakika na kazi zao,yaan huenda asingefunika mungeanza kusema pale refa kawanyima simba penalt,kwahyo kuna wakt waandish na mashabiki uchochea kuwapa hofu waamuz maana waandishi wetu hamna misimamo sabiti na uchambuzi wenu mnabadilika badilika sna
BIG UP SANA UMEMALIZA
Usenge mtupu nyote mnamakasiriko wewe jemedar na hans rafael siwakubal sio wachambuz bali niwachaguz tunakujueni nyinyi ni yanga ongeeni mpaka mchoke ila simba walee😂😂😂