RIPOTI YA LEO TABU VOLUME 05

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024

Комментарии • 58

  • @neemahando6183
    @neemahando6183 Год назад +12

    Katika shuhuda toze mwisho wa yote ni MUNGU ndiyo msaada wetu.. kumjua MUNGU NI NEEMA. Kuna wengine hawana neema ya hiyo hivyo wanaangamia. Mungu wetu sote. Asante Yesu kwa neema hii. 🙏

  • @cathelinjoseph5765
    @cathelinjoseph5765 11 месяцев назад +4

    Mungu ni mwema sana hakika tumtumikie yeye siku zote za maisha yetu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Год назад +4

    ehh Bwana Yesu hakuna kama Wewe asante sana. sifa na utukufu ni Kwako Mwana wa Mungu wtu

  • @sperabais
    @sperabais Год назад +1

    Amina amina simulizi nzuri nimejifunza kumtumikia Mungu siku zote za maisha yangu ukizingatia mery alivozubguka kwa waganga nae kasema huyo mama alimpata kwa kuchelewa ila m niseme lilikuwa kusudi la Mungubuenda km usingepitia hayo usingefindisha wengine akina sisi bigup da vero nakupenda da cc😊

  • @dianaakinyi1182
    @dianaakinyi1182 Год назад +2

    Dada Vero ...nasikiliza kutokea Kenya... nakupenda sana sana

  • @jacklinegodifrey8607
    @jacklinegodifrey8607 Год назад +5

    Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa,

  • @aishaa2930
    @aishaa2930 Год назад +4

    Nazidi kuimarika kiimani kupitia simulizi hizi hakika mungu ni muweza wa yote mubarikiwe wote munao tuletea simuliz ili tujifunze

  • @simonmaige7785
    @simonmaige7785 Год назад +6

    Mimi na Nyumba Yangu Tutamtumikia Bwana!

  • @naomimkemwa8760
    @naomimkemwa8760 3 месяца назад

    Kweli hii ni yangu kabisa Ee Mungu naomba na mimi unibadilishe

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 Год назад +16

    YESU NI BWANA WA BWANA,MUNGU WA MIUNGU NA MFALME WA WAFALME...SIFA NA UTUKUFU NI KWAKE.

  • @janethmassawe7739
    @janethmassawe7739 Год назад +1

    Kweli da vero hicho kitu ndio kinakula familia yetu hakuna hata mmoja aneweza kumwambia mweznzie sogea hapa yaani wote ni choka mbaya

  • @gracekretus1851
    @gracekretus1851 Год назад +4

    Kwanzia leo hiii naishi maisha yako tabu 🙏🙏🙏😭

  • @GroryMsangi
    @GroryMsangi Год назад

    Vero mimi tofauti yangu na tabu vimepishana kidogo sana sina tofauti sana Mungu wetu ni mwaminifu.

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 11 месяцев назад

    Kweli Mungu ni Mkuu kuliko chochote duniani bwana yesu asifiwe

  • @janeyjames14
    @janeyjames14 11 месяцев назад

    Da Vero wiki hii hamna simulizi kimya sana😮

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад

    Shukran da vero pole da tabu mungu ni wetu sote

  • @MathaMatha-e8o
    @MathaMatha-e8o 9 месяцев назад

    Da vero naomba unisaidie number ya Tabu Nina masumbuko naamin kupitia yeye naweza kutoka huk niliko nikaenda sehem nyingin nakuomba da vero

  • @GODFREY-je9xq
    @GODFREY-je9xq Год назад +1

    Lukeni mnavyoweza, kwa MUNGU NI MPANGO MZIMA NA UWAKIKA

  • @FarajaMushi-tw2lr
    @FarajaMushi-tw2lr Год назад

    Naskia furah kw niab ya tabuu
    Mungu wetuu wew mkuu kuliko yote

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 11 месяцев назад

    Mungu ni wa wote wenye mwili

  • @AishaAhmadiMakungu-vl3ff
    @AishaAhmadiMakungu-vl3ff Год назад +1

    Mungu ndo Kila kitu katka maisha

  • @gracelyimo6256
    @gracelyimo6256 Год назад +2

    Hakuna nguvu yoyote inayozid nguvu za Mungu🙏

  • @PaulNjau-zk1jm
    @PaulNjau-zk1jm Год назад

    Simulizi nzuri sana

  • @goodluckpeter4896
    @goodluckpeter4896 Год назад

    Mungu Akubariki

  • @EvelineMasubo
    @EvelineMasubo 11 месяцев назад

    Kwaiyo akutakuwa na simulizi huku zaidi ya efm ndio sitasikiliza tena huko efm matangazo kibao😢

  • @elizamhina1105
    @elizamhina1105 Год назад +1

    Yaaan haya mambo ya mizimu ni shida

    • @noelkabogo6042
      @noelkabogo6042 Год назад

      Yaani ni shida sana! Suluhisho ni kujikabidhi kwa Mungu kikamilifu kwelikweli bila kujibakiza

  • @maryammaryam444
    @maryammaryam444 Год назад

    Asante Yesu

  • @pendojohnson8470
    @pendojohnson8470 11 месяцев назад

    Hakika mungu ndo muweza wa yote

  • @Zuhuranadadoita
    @Zuhuranadadoita 11 месяцев назад

    Mashallah

  • @ireneherman76
    @ireneherman76 Год назад

    Kwel Mungu ni mwema sana🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @fora2009
    @fora2009 Год назад

    Mungu ni wetu sote🙏🏽🙏🏽😭

  • @efugenialeopord9888
    @efugenialeopord9888 Год назад +1

    @veronicasimulizi angalau ungekua hata ungekua pia unatoa maelekezo ni wap wenzetu walipoweza kwenda kuabudu wakasaidiwa kuliko kuishia tu kusikia kua alisaidiwa baada ya kuacha njia hii akafuata hii wengi tunataman nasi kufunguliwa tunatamani nasi kusaidiwa ila muongozo hatuna tusaidie da Veronica❤

  • @selinajohn536
    @selinajohn536 Год назад +3

    Mi pia nilikuwa naitwa Tabu kutokana na nilivyoishi😮 nilipobatizwa nikaitwa Selina ,,,,namshukuru Mungu japo kijijini nilikokulia bado wananiita Tabu nalichukia sana hili jina😢

    • @GODFREY-je9xq
      @GODFREY-je9xq Год назад

      😅😅😅 bahati yako maangaiko yangekuwa juu yako,TUMSIFU YESU KRISTO

    • @MwajeiKhamis
      @MwajeiKhamis 8 месяцев назад

      Nimecheka walahi😂😂😂 hulipendi jina

  • @FarajaMushi-tw2lr
    @FarajaMushi-tw2lr Год назад

    Sifa na utukufu ni kwake tuuu

  • @florenceacharlz3026
    @florenceacharlz3026 Год назад

    Kukupata redioni n shida sana

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад +2

    Allahu Akbar kweli mungu ni mkumbwa

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Год назад +1

    Wakwanza leo

  • @berthasamuel4507
    @berthasamuel4507 Год назад

    Dada vero husikiki Arusha

  • @clairenahimana1787
    @clairenahimana1787 Год назад

    Hakika Mungu ni mwaminifu

  • @JacklineMtemela-km9bz
    @JacklineMtemela-km9bz Год назад +1

    2

  • @noelkabogo6042
    @noelkabogo6042 Год назад +2

    Hakika nimetambua MUNGU wetu ni mwaminifu na nimwenye wivu na hataki michanganyo

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Год назад

    Amina 🤲

  • @witney1808
    @witney1808 Год назад

    🎉🎉

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Год назад

    HASANTEE

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Год назад

    Wa 5