🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024

Комментарии • 44

  • @zuenamuhamedy-lt1yh
    @zuenamuhamedy-lt1yh 11 месяцев назад +1

    najifunza sana kupitia simulizi lkn dd veronika mm naomba huku yutub uwe unahadhia kama mwanzo bilia tangazo wengine kwenye redio hatuwahi ombi dada

  • @Estersaimon-pp9ln
    @Estersaimon-pp9ln Год назад +2

    Waooo tuko pamoja nikiwa Oman nakupenda sana barikiwa

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 11 месяцев назад

    Da Vero, simulizi zako zinanifunza sana. Mungu akubariki mno.

  • @linajoseph5296
    @linajoseph5296 11 месяцев назад

    Kuna zawadi ingine ya 2021.da vero unatuchanganya leo natafuta zawadi naona ya zaman 😢ungebadili jina

  • @ChristinaAloyce-pp6vj
    @ChristinaAloyce-pp6vj 11 месяцев назад +1

    Saf sana zawadi

  • @jackeminja9694
    @jackeminja9694 11 месяцев назад +1

    Maisha yana mambo Mengi sana Mungu atusaidie

  • @lydiajuma01
    @lydiajuma01 11 месяцев назад +2

    Imewahi nitokea
    Mwanaume alivyopata pesa akaondoka
    Alinitafutia sababu hiyo babu kubwa
    Eti hataki tena kuzini tuachane tubaki kuwa marafiki😂😂

  • @JescaObed
    @JescaObed 11 месяцев назад +1

    Tunajifunza sana kupitia simulizi zako dada Veronica

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 Год назад +3

    Huyo rafiki ndio mkewenza

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 11 месяцев назад +2

    Zawadi ni mjinga sana unauza kiwanja mtu hata ajakuoa

  • @EventsittaChagula-xt3nw
    @EventsittaChagula-xt3nw 11 месяцев назад +1

    Dah!

  • @nusrashaban6946
    @nusrashaban6946 Год назад +4

    Daah nimechelewa kuskilizaa😢😢😭😭😠

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 11 месяцев назад

    Zawad pole sanaaa mtu akiamuwa kukufanyia jambo wala aangarii mumetoka wapi😢😢😢😢namausiyano yasikuiz yapo km msiba😭😭😭sio mpaka upewa taarifa ukiona turubai tu ujuwe uwo ni msiba😭😭😭😭

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 11 месяцев назад

    Niatali sana watu rohozetu zimetufautiana tuendelee

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc Год назад +5

    Yaaaani mimi eti niuze ardhi eti sababu ya mwanaume tena hajanioa naishi naye tu siwezi fanya ujinga kama huo ata siku Moja ata kama nampenda sana

    • @peacemakune911
      @peacemakune911 11 месяцев назад

      Mwenyewe nimeshtuka sana

    • @ChristinaAloyce-pp6vj
      @ChristinaAloyce-pp6vj 11 месяцев назад

      Safi zawadi

    • @jjjohn3988
      @jjjohn3988 11 месяцев назад

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 11 месяцев назад

      HAHA siyokila aliyefanya hivo alijua yambele niwengi wanaume kuwafanyia wakike na wakike kuwafanyia wanaume mapenzi niupofu tumpe pole tu

  • @TeddyMsigwa-o8n
    @TeddyMsigwa-o8n 11 месяцев назад +1

    Nakupenda MBENA mwenzangu ❤simulizi zako zimenifunza mengi Dada Vero

  • @homeland4447
    @homeland4447 11 месяцев назад

    Tuwekee na kule dada vero kwenye group lako

  • @MeryMeryyonamaricko-bu8ou
    @MeryMeryyonamaricko-bu8ou 11 месяцев назад

    Jaman da vero upo mrembo ata bila kujipodoa et ,zawad jaman daah umemkomeshaa nimeipenda iyo lakn pole kwa kitakachoenda kukutokea maan sipati picha

  • @ZainabMohamedi-ei4gc
    @ZainabMohamedi-ei4gc Год назад +2

    Dàh nimechelw San jaman

  • @aminajumaomary5207
    @aminajumaomary5207 Год назад +3

    Sitaki kuamin kinachokwenda kutokea😢😢

    • @nusrashaban6946
      @nusrashaban6946 Год назад +1

      Kinachotetokea mbna atalia sana uyo

    • @Rahma25474
      @Rahma25474 Год назад +2

      Mm nashuku huyu rafik yake huenda anataka kuolewa na huyo mwanaume 😢

    • @kisakim5660
      @kisakim5660 11 месяцев назад

      ​@@Rahma25474 Umewaza kama mimi

  • @luciamao-pg3cg
    @luciamao-pg3cg 11 месяцев назад

    Masafa ya efm babati ni ngapiii jamaniii 😢

  • @AminaJafari-t8g
    @AminaJafari-t8g Год назад +2

    Naitwa mama tavyani kutoka ununio tuko pamoja san

  • @sittinyanda4749
    @sittinyanda4749 11 месяцев назад

    Yaani nimekumisi Dana nikikukosa naumwa

  • @zeramohamed9672
    @zeramohamed9672 Год назад +1

    Jamani nimechelewa sana nakupata kutoka usa

  • @minablessing8650
    @minablessing8650 11 месяцев назад

    Cjawah kumpa pesa mwanaume na.siwez kabisa kuna wanaume hawana shukran jaman naish na mmewangu lakn cjawah kumpa

  • @SiaEldar
    @SiaEldar 11 месяцев назад

    Mmmmmh mama zai mbagara una yasikia mpe hai mama Abdul

  • @FrolahHassan-ny2hc
    @FrolahHassan-ny2hc 11 месяцев назад

    Mbona dada kwenye redio atuwapati. Mkoa wa mbeya

  • @AllyRajabu-f3c
    @AllyRajabu-f3c 8 месяцев назад

    Dada vero arusha hatukupati jamani

  • @DORCUSSAZIA
    @DORCUSSAZIA 11 месяцев назад

    ❤❤❤❤ Da vero,kama naona kinachoenda kutokea😂😂😂😂😂😂

  • @sperabais
    @sperabais 11 месяцев назад

    Mm nataka wale ambao hawajaingia kwenye mahusiano bac ajifunze kutoka hapa

  • @amaniwilliam8875
    @amaniwilliam8875 Год назад +2

    Tuko pa1 sister

  • @estherphilipo5845
    @estherphilipo5845 11 месяцев назад

    Story imenigusa sana na mm niliachwa n mtt mchanga nikajipa matumain alipopt kz ata simu apokei

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 11 месяцев назад

      Polesana watu wa ainahiyo sikuzambele huawanakutwa na maisha magumu sana hadi huruma MUNGU huwa anawadhalilishwa isivyo kawaida

  • @ZainabMohamedi-ei4gc
    @ZainabMohamedi-ei4gc Год назад +2

    Nip Oman nakufatilia apa

  • @AnnaMkumbukwa
    @AnnaMkumbukwa 11 месяцев назад +1

    duh rafiki ameshachukua mume wako zawadi

  • @FrolahHassan-ny2hc
    @FrolahHassan-ny2hc 11 месяцев назад

    Takribani miezi mitatu