Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
najifunza sana kupitia simulizi lkn dd veronika mm naomba huku yutub uwe unahadhia kama mwanzo bilia tangazo wengine kwenye redio hatuwahi ombi dada
Waooo tuko pamoja nikiwa Oman nakupenda sana barikiwa
Da Vero, simulizi zako zinanifunza sana. Mungu akubariki mno.
Kuna zawadi ingine ya 2021.da vero unatuchanganya leo natafuta zawadi naona ya zaman 😢ungebadili jina
Saf sana zawadi
Maisha yana mambo Mengi sana Mungu atusaidie
Imewahi nitokeaMwanaume alivyopata pesa akaondokaAlinitafutia sababu hiyo babu kubwaEti hataki tena kuzini tuachane tubaki kuwa marafiki😂😂
Tunajifunza sana kupitia simulizi zako dada Veronica
Huyo rafiki ndio mkewenza
Tumewaza pamoja 😢
Zawadi ni mjinga sana unauza kiwanja mtu hata ajakuoa
Dah!
Daah nimechelewa kuskilizaa😢😢😭😭😠
Zawad pole sanaaa mtu akiamuwa kukufanyia jambo wala aangarii mumetoka wapi😢😢😢😢namausiyano yasikuiz yapo km msiba😭😭😭sio mpaka upewa taarifa ukiona turubai tu ujuwe uwo ni msiba😭😭😭😭
Niatali sana watu rohozetu zimetufautiana tuendelee
Yaaaani mimi eti niuze ardhi eti sababu ya mwanaume tena hajanioa naishi naye tu siwezi fanya ujinga kama huo ata siku Moja ata kama nampenda sana
Mwenyewe nimeshtuka sana
Safi zawadi
HAHA siyokila aliyefanya hivo alijua yambele niwengi wanaume kuwafanyia wakike na wakike kuwafanyia wanaume mapenzi niupofu tumpe pole tu
Nakupenda MBENA mwenzangu ❤simulizi zako zimenifunza mengi Dada Vero
Tuwekee na kule dada vero kwenye group lako
Jaman da vero upo mrembo ata bila kujipodoa et ,zawad jaman daah umemkomeshaa nimeipenda iyo lakn pole kwa kitakachoenda kukutokea maan sipati picha
Dàh nimechelw San jaman
Sitaki kuamin kinachokwenda kutokea😢😢
Kinachotetokea mbna atalia sana uyo
Mm nashuku huyu rafik yake huenda anataka kuolewa na huyo mwanaume 😢
@@Rahma25474 Umewaza kama mimi
Masafa ya efm babati ni ngapiii jamaniii 😢
Naitwa mama tavyani kutoka ununio tuko pamoja san
Yaani nimekumisi Dana nikikukosa naumwa
Jamani nimechelewa sana nakupata kutoka usa
Cjawah kumpa pesa mwanaume na.siwez kabisa kuna wanaume hawana shukran jaman naish na mmewangu lakn cjawah kumpa
Mmmmmh mama zai mbagara una yasikia mpe hai mama Abdul
Mbona dada kwenye redio atuwapati. Mkoa wa mbeya
Dada vero arusha hatukupati jamani
❤❤❤❤ Da vero,kama naona kinachoenda kutokea😂😂😂😂😂😂
Mm nataka wale ambao hawajaingia kwenye mahusiano bac ajifunze kutoka hapa
Tuko pa1 sister
Story imenigusa sana na mm niliachwa n mtt mchanga nikajipa matumain alipopt kz ata simu apokei
Polesana watu wa ainahiyo sikuzambele huawanakutwa na maisha magumu sana hadi huruma MUNGU huwa anawadhalilishwa isivyo kawaida
Nip Oman nakufatilia apa
duh rafiki ameshachukua mume wako zawadi
Takribani miezi mitatu
najifunza sana kupitia simulizi lkn dd veronika mm naomba huku yutub uwe unahadhia kama mwanzo bilia tangazo wengine kwenye redio hatuwahi ombi dada
Waooo tuko pamoja nikiwa Oman nakupenda sana barikiwa
Da Vero, simulizi zako zinanifunza sana. Mungu akubariki mno.
Kuna zawadi ingine ya 2021.da vero unatuchanganya leo natafuta zawadi naona ya zaman 😢ungebadili jina
Saf sana zawadi
Maisha yana mambo Mengi sana Mungu atusaidie
Imewahi nitokea
Mwanaume alivyopata pesa akaondoka
Alinitafutia sababu hiyo babu kubwa
Eti hataki tena kuzini tuachane tubaki kuwa marafiki😂😂
Tunajifunza sana kupitia simulizi zako dada Veronica
Huyo rafiki ndio mkewenza
Tumewaza pamoja 😢
Zawadi ni mjinga sana unauza kiwanja mtu hata ajakuoa
Dah!
Daah nimechelewa kuskilizaa😢😢😭😭😠
Zawad pole sanaaa mtu akiamuwa kukufanyia jambo wala aangarii mumetoka wapi😢😢😢😢namausiyano yasikuiz yapo km msiba😭😭😭sio mpaka upewa taarifa ukiona turubai tu ujuwe uwo ni msiba😭😭😭😭
Niatali sana watu rohozetu zimetufautiana tuendelee
Yaaaani mimi eti niuze ardhi eti sababu ya mwanaume tena hajanioa naishi naye tu siwezi fanya ujinga kama huo ata siku Moja ata kama nampenda sana
Mwenyewe nimeshtuka sana
Safi zawadi
HAHA siyokila aliyefanya hivo alijua yambele niwengi wanaume kuwafanyia wakike na wakike kuwafanyia wanaume mapenzi niupofu tumpe pole tu
Nakupenda MBENA mwenzangu ❤simulizi zako zimenifunza mengi Dada Vero
Tuwekee na kule dada vero kwenye group lako
Jaman da vero upo mrembo ata bila kujipodoa et ,zawad jaman daah umemkomeshaa nimeipenda iyo lakn pole kwa kitakachoenda kukutokea maan sipati picha
Dàh nimechelw San jaman
Sitaki kuamin kinachokwenda kutokea😢😢
Kinachotetokea mbna atalia sana uyo
Mm nashuku huyu rafik yake huenda anataka kuolewa na huyo mwanaume 😢
@@Rahma25474 Umewaza kama mimi
Masafa ya efm babati ni ngapiii jamaniii 😢
Naitwa mama tavyani kutoka ununio tuko pamoja san
Yaani nimekumisi Dana nikikukosa naumwa
Jamani nimechelewa sana nakupata kutoka usa
Cjawah kumpa pesa mwanaume na.siwez kabisa kuna wanaume hawana shukran jaman naish na mmewangu lakn cjawah kumpa
Mmmmmh mama zai mbagara una yasikia mpe hai mama Abdul
Mbona dada kwenye redio atuwapati. Mkoa wa mbeya
Dada vero arusha hatukupati jamani
❤❤❤❤ Da vero,kama naona kinachoenda kutokea😂😂😂😂😂😂
Mm nataka wale ambao hawajaingia kwenye mahusiano bac ajifunze kutoka hapa
Tuko pa1 sister
Story imenigusa sana na mm niliachwa n mtt mchanga nikajipa matumain alipopt kz ata simu apokei
Polesana watu wa ainahiyo sikuzambele huawanakutwa na maisha magumu sana hadi huruma MUNGU huwa anawadhalilishwa isivyo kawaida
Nip Oman nakufatilia apa
duh rafiki ameshachukua mume wako zawadi
Takribani miezi mitatu