Yaaani nyie nawashangaa mnapomulaumu mme wa phiona, kwahiyo yeye phiona alifanya kitu sahihi kuchepuka eti sababu mme wake alianza kuchepuka? Hapana wote walikosea kila mmoja kwa namna yake ndio maana inatupasa tujifunze wote wanaume na wanawake, mmeo au mkeo akikusaliti jibu sio kushindana naye kwa kumsaliti pia
Em kwenda uko umeskiliza kuanzia mwanzo kwel ww uyo marehem angekua na mkewe ad mwsho ukute ad leo wangekua na history tofaut kuna watu machozi yao yanaweza kukulaani ogopa mtu anaemshtakia Mungu mtu anaekaa nacho moyon anaumia oyaaa inauma sn ad tunaogopa ndoa looh
Eee mungu baba " pole xana da " PHIONA" mim binafc nimeumia na kujifunza xan kwa simulizi hii😭😭
Dada phiona MUNGU akupe maisha mazuriiii ulipo🎉🎉🎉
Pole sana dada yangu phiona. Mungu yupo 😢😢
Pole sana Phiona, simulizi yako ina mafunzo atleast sasa tutakua makini na hao ma boko haram 🇰🇪 🇰🇪
Wanaume mjifunze......ukimuumiza mtu matokeo sio mazuri
Kabisa ndo maana wanaume wengi wanafariki mapema kuliko wake zao...
Ndio maana wanaume wanakufa mapema.
Pole saaana phiona 😢😢😢
Jamani fiona pole dada umepita sana dada
Wanaume kuumiza mwanamke bila sababu haijawah kuacha mtu salama jifunzeni .....Uuuh hatimae nimeshusha mzigo😊
Mmmh hii simulizi inamafunzo makubwa mno
Duh
Duuh kweli hii kubwa kuliko
Alifungwa miaka mingap huyo panyarod dada vero mambo kwa ushaid jaman kajua kutubebesha mzingo😂😂😂
Hii nayo yakufungia mwaka sio poa
Mshahara wa dhambi ni mauti,,,bora huyo mme alitangulia mapema...
Sijaelewa ndo imeisha au?
Kwani fiona alitegemea nini baada ya kuchepuka,alijua ndoa itaendelea
Acha tomorrow tajaribu😂😂😂
Yaaani nyie nawashangaa mnapomulaumu mme wa phiona, kwahiyo yeye phiona alifanya kitu sahihi kuchepuka eti sababu mme wake alianza kuchepuka? Hapana wote walikosea kila mmoja kwa namna yake ndio maana inatupasa tujifunze wote wanaume na wanawake, mmeo au mkeo akikusaliti jibu sio kushindana naye kwa kumsaliti pia
Em kwenda uko umeskiliza kuanzia mwanzo kwel ww uyo marehem angekua na mkewe ad mwsho ukute ad leo wangekua na history tofaut kuna watu machozi yao yanaweza kukulaani ogopa mtu anaemshtakia Mungu mtu anaekaa nacho moyon anaumia oyaaa inauma sn ad tunaogopa ndoa looh
Aisee
Muheshiwa Ana nielezea pw sn