🔴LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA PHIONA SEHEMU YA 09 - 17 OCT 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024

Комментарии • 23

  • @abdulsalim1069
    @abdulsalim1069 4 часа назад +2

    Eee mungu baba " pole xana da " PHIONA" mim binafc nimeumia na kujifunza xan kwa simulizi hii😭😭

  • @ShedrackDamiani
    @ShedrackDamiani 6 часов назад +3

    Dada phiona MUNGU akupe maisha mazuriiii ulipo🎉🎉🎉

  • @sekelamwakibete7172
    @sekelamwakibete7172 6 часов назад +1

    Pole sana dada yangu phiona. Mungu yupo 😢😢

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 5 часов назад +1

    Pole sana Phiona, simulizi yako ina mafunzo atleast sasa tutakua makini na hao ma boko haram 🇰🇪 🇰🇪

  • @sekelamwakibete7172
    @sekelamwakibete7172 6 часов назад +3

    Wanaume mjifunze......ukimuumiza mtu matokeo sio mazuri

  • @Zuhuranadadoita
    @Zuhuranadadoita 5 часов назад +1

    Pole saaana phiona 😢😢😢

  • @Sara-gn6kr
    @Sara-gn6kr 6 часов назад +1

    Jamani fiona pole dada umepita sana dada

  • @estershilla1560
    @estershilla1560 5 часов назад

    Wanaume kuumiza mwanamke bila sababu haijawah kuacha mtu salama jifunzeni .....Uuuh hatimae nimeshusha mzigo😊

  • @joycenamaumbo7697
    @joycenamaumbo7697 4 часа назад

    Mmmh hii simulizi inamafunzo makubwa mno

  • @ShedrackDamiani
    @ShedrackDamiani 6 часов назад +1

    Duh

  • @ZeinabAhmed-so7dx
    @ZeinabAhmed-so7dx 5 часов назад

    Duuh kweli hii kubwa kuliko

  • @estershilla1560
    @estershilla1560 4 часа назад

    Alifungwa miaka mingap huyo panyarod dada vero mambo kwa ushaid jaman kajua kutubebesha mzingo😂😂😂

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 6 часов назад +1

    Hii nayo yakufungia mwaka sio poa

  • @MariagraceIshengoma
    @MariagraceIshengoma 4 часа назад

    Mshahara wa dhambi ni mauti,,,bora huyo mme alitangulia mapema...

  • @catherinehuruku9826
    @catherinehuruku9826 6 часов назад +1

    Sijaelewa ndo imeisha au?

  • @complex7582
    @complex7582 4 часа назад

    Kwani fiona alitegemea nini baada ya kuchepuka,alijua ndoa itaendelea

  • @fora2009
    @fora2009 5 часов назад

    Acha tomorrow tajaribu😂😂😂

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 3 часа назад

    Yaaani nyie nawashangaa mnapomulaumu mme wa phiona, kwahiyo yeye phiona alifanya kitu sahihi kuchepuka eti sababu mme wake alianza kuchepuka? Hapana wote walikosea kila mmoja kwa namna yake ndio maana inatupasa tujifunze wote wanaume na wanawake, mmeo au mkeo akikusaliti jibu sio kushindana naye kwa kumsaliti pia

    • @Deedlr4767
      @Deedlr4767 2 часа назад

      Em kwenda uko umeskiliza kuanzia mwanzo kwel ww uyo marehem angekua na mkewe ad mwsho ukute ad leo wangekua na history tofaut kuna watu machozi yao yanaweza kukulaani ogopa mtu anaemshtakia Mungu mtu anaekaa nacho moyon anaumia oyaaa inauma sn ad tunaogopa ndoa looh

  • @ShedrackDamiani
    @ShedrackDamiani 6 часов назад +1

    Aisee

  • @ShedrackDamiani
    @ShedrackDamiani 6 часов назад +1

    Muheshiwa Ana nielezea pw sn