Huo niwajibu wa serekali sio ajabu ni kodi zetu kwahio miaka 60 leo ndio tunafurahia baadhi ya barara mtihani ...kajitahidi mwinyi na shukran zote mama samia suluhu hassan kutuangali wazanzibar
Rausi Hussein Mwinyi ni jembe kwa maendeleo ya nchi mfano huduma za jamii zinaletwa kwa mfano maji umeme afya usalsma anafaa kuongiza zanzibar miaka 10 mungu akubariki.
Wazanzibari tunadhulumiwa haki zetu na haki za nchi yetu hata south Africa imejengwa kitambo na wakadai nchi yao. Tunataka mamlaka kamili ya nchi yetu zanzibar mengine yatafuata baadae. Visiwa vingi duniani vimeendelea na vina mamlaka yake na raia wake na uchumi wake. Msijifanye viziwi watanganyika mnawadhulumu wazanzibari na kuwapora nchi yao na haki yao. Wazanzibari wanalaani dhulma hii ya watanganyika
Sisi waZanzibar wooote The President Hussain Ally Mwinyi please 🙏 please ebu Lete maendeleo iweNON Stop ijenge nchiii yoote mpaka mpaka mpaka vijijini vyoote vya vya vya Unguja Na na Pemba tena tena usijaribu usijaribu kuchoka tumia pesa zooote naKuijenga ZANZIBAR naJibu utaenda peponi peponi Twendeee kazi Twendeee
naona wana sifuu tuu hakuna alie zungumziaa kuusu skuliya buyu na changa motozakee kiwanja pia kisha uzwa mm nimkaazii wabuyuu kiwanja chetu cha shule ya buyu kime sha uzwaa na wapiga jiii
Mwinyi Anapasiwa Pesa kutoka Bara kwa Samia kama hamjui ndio mjue leo. Huko Zanzibar pesa zinatoka wapi? Mbona hamjiulizi hayo? Mapato gani ya Zanzibar ya kujenga Barabara kilomita 50-100, Mashule ya maghorofa, mahospitali na mataa, hamjiulizi?
Kwani na hao waliopita akina Shein na wenzake si walisifiwa kwa maendeleo hivyo hivyo au mbona binadam tunasahau mapema sana na ataekuja mwengine atasifiwa kuliko huyu aliepo sasa.
Jee wale wanao tafuta riziki pembeni mwa barabarani sahivi wanabomolewa vp rais anayo habari kwa kazi anayofanya mazuri nahisi hajui kuvunjiwa kwa hao wanaovunjiwa
Hizo barabara alianza kujenga alau kwa kiasi chake kidogo Amani Karume wa ccm halafu munakaa miaka 20 na ushee munamsifu rais wa ccm tena kwa hizo hizo barabara sasa hayo mengine yatafanywa kwa karne ngapi?
Huo niwajibu wa serekali sio ajabu ni kodi zetu kwahio miaka 60 leo ndio tunafurahia baadhi ya barara mtihani ...kajitahidi mwinyi na shukran zote mama samia suluhu hassan kutuangali wazanzibar
Rausi Hussein Mwinyi ni jembe kwa maendeleo ya nchi mfano huduma za jamii zinaletwa kwa mfano maji umeme afya usalsma anafaa kuongiza zanzibar miaka 10 mungu akubariki.
Nampenda mwinyi piga kazi usizijali fitna na maneno ya mkosaji
Wazanzibari tunadhulumiwa haki zetu na haki za nchi yetu hata south Africa imejengwa kitambo na wakadai nchi yao. Tunataka mamlaka kamili ya nchi yetu zanzibar mengine yatafuata baadae. Visiwa vingi duniani vimeendelea na vina mamlaka yake na raia wake na uchumi wake. Msijifanye viziwi watanganyika mnawadhulumu wazanzibari na kuwapora nchi yao na haki yao. Wazanzibari wanalaani dhulma hii ya watanganyika
Maendeleo makubwa kavunja shule tano mjini kajenga maduka na mahoteli na ajira zote kwa wageni jua kali imekua ya wamasai hongera sana
😂😂😂😂 duh
Shukran zinjibar tv kutuletea changamoto hizi
Ulaya ikiyoona tu utashangaa tu haijafanana kabisa na Zanzibar
Yajayo ni njaaa tupu Wallah
Hatari kweli,,au ndio ile hadithi ya kipofu,,alieona jogoo,akadhani hakuna mnyama mkubwa kuliko jogoo
Yaani chawa kila pahala,,
Sisi waZanzibar wooote The President Hussain Ally Mwinyi please 🙏 please ebu Lete maendeleo iweNON Stop ijenge nchiii yoote mpaka mpaka mpaka vijijini vyoote vya vya vya Unguja Na na Pemba tena tena usijaribu usijaribu kuchoka tumia pesa zooote naKuijenga ZANZIBAR naJibu utaenda peponi peponi Twendeee kazi Twendeee
Achaneni na majisifu ya kifisadi
JAMANI HII NJAA WATU HAWAIONI AU NI MIMI TU NAONA HAWASEMI RAISI AKASIKIA
Waswmaji ndio wajinga kama hawa wanazidi kusifia upumbavu
Hawa ni watoto zanzibar hawaijuwi ukionabarabara inajengwe nikodi yako husein mwinyi yup miakamingi na kalelewa akilakodi zawanzibari kasoma kwakodi zawazanzibar mpaka kawawaziri waulinzi fazilayake akatuma Jeshi kujakutuua wewe unazarau roho unasifu barabara
Bibi kashapewa ubale wa kanga tatizo pesa mfukoni hakuna vyakula vimepanda bei
Munasema munaona kama muko ulaya mtu anatoa mfano huo mara hata nairobi hajafika 😂
MASHAALLAH
Safi sana na cctv mitaani itakua sawa sana ila Nyanya miaka 30 lol 😆 hio hamna km museven na kagame lol ila wazanzibar wana sura mbili
Uyo mama mshamba sana
Hao walopita na hawakufanya kitu je tuwazungumzieje
Uwo ni ulazima wa serikali naniela zetu wenyewe
17:40 jamaa kaeleza ukweli mtupu 😂😂😂
Barabara bila lanea demarcation ni chini ya kiwango!
Njaa, eti alipo yupo ulaya😂
Miaka 30 😂😂😂 bibi vipi ushaonja!!!!
Zenyibar tunaomba uje kibele na sisi tupatee kupaza sauti kupitia nyinyi kuhusu changamoto ya barabara
naona wana sifuu tuu hakuna alie zungumziaa kuusu skuliya buyu na changa motozakee kiwanja pia kisha uzwa mm nimkaazii wabuyuu kiwanja chetu cha shule ya buyu kime sha uzwaa na wapiga jiii
HATA MKIMSIFU HUYO DR MWINYI JAMBAZI LA MKURANGA, LAKINI WAZANZIBARI HAWATAKI MAANA NI MWIZI NA JAMBAZIIIII👁️👁️
Nonsense
Hahaaaaaa 😂😂😂 lolo
Kujenga Unguja t ila Pemba Aaah
Hizi comments zinanifurahisha- hawa wote walohojiwa wanasifu kisha wanatoa changamoto hapo hapo 😂
10 years only by law
Mwinyi Anapasiwa Pesa kutoka Bara kwa Samia kama hamjui ndio mjue leo. Huko Zanzibar pesa zinatoka wapi? Mbona hamjiulizi hayo? Mapato gani ya Zanzibar ya kujenga Barabara kilomita 50-100, Mashule ya maghorofa, mahospitali na mataa, hamjiulizi?
Punguza roho mbaya fala wewe
Kwani na hao waliopita akina Shein na wenzake si walisifiwa kwa maendeleo hivyo hivyo au mbona binadam tunasahau mapema sana na ataekuja mwengine atasifiwa kuliko huyu aliepo sasa.
Jee wale wanao tafuta riziki pembeni mwa barabarani sahivi wanabomolewa vp rais anayo habari kwa kazi anayofanya mazuri nahisi hajui kuvunjiwa kwa hao wanaovunjiwa
Sasa tunatembea bara bara ila tuna njaaa Kali tutakula hizo bara bara
Hizo barabara alianza kujenga alau kwa kiasi chake kidogo Amani Karume wa ccm halafu munakaa miaka 20 na ushee munamsifu rais wa ccm tena kwa hizo hizo barabara sasa hayo mengine yatafanywa kwa karne ngapi?