GWAJIMA | "MIMI NIKIONGEA JAMBO NAWEZA KUBADILI UPEPO SASA HIVI" MOTO UMEWAKA SASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 151

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha8834 7 месяцев назад +1

    Gwajiboy Man of God

  • @AdamsonKyando-ns8jx
    @AdamsonKyando-ns8jx 10 месяцев назад +2

    !!!!!!!!!Gwajima nampenda sana kwasabatu moja mhimu sana Haoni haya kulitaja jina LA YESU . Mambo ya udongo na mafuta sijawahi ona anavipigia debe na hii ndo inamfanya kuwa juu sana, wengi wanataka kulipoteza jina laYesu tulilo pewa kuokolewa kwalo na kuvitukuza vitu ,jambo ambambalo ni baya sana sana

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618 10 месяцев назад +4

    Ujumbe mzuri sana, jua cha kusema,unasema na nani? Na wakati gani wa kusema? Mahala pa kusema na usemaje,
    na unasema kwa kipi?
    Elimu kubwa sana hii. Asante sana mtumishi.

  • @user-gc8vb3gv8c
    @user-gc8vb3gv8c Месяц назад

    Ubarrikiwe mtumishi wa Mungu, huna tofauti na nabii Musa

  • @user-yd8sp1qj3w
    @user-yd8sp1qj3w 10 месяцев назад +3

    You are teaching good,Gwajima.

  • @GraphixDesgner
    @GraphixDesgner Месяц назад

    Amen endelea ,nimekuelewa baba

  • @ferdinandntembagara2949
    @ferdinandntembagara2949 10 месяцев назад +3

    Kwakwel namuelwaga sana Dr. Gwajima

  • @imcctv9478
    @imcctv9478 10 месяцев назад +2

    Powerful words

  • @ebiudmbugi2515
    @ebiudmbugi2515 10 месяцев назад +1

    Amen good preaching

  • @MalaikaFurniture-qh9vd
    @MalaikaFurniture-qh9vd 10 месяцев назад +2

    Baba mwana wa mungu jasusi LA mbinguni 💪💪💪💪💪

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h 10 месяцев назад +2

    Gwaji I oyeeee

  • @angenyalusischmidt2321
    @angenyalusischmidt2321 10 месяцев назад +5

    HUYU NI MWANA FILOSOFI.. AMEONGEA KWA FUMBO KUBWA.. TULIOSOMA CUBA TUMEKUELEWA... ANAUMIA ILA HAJUI AFANYAJE.
    ."AKILI KUMKICHWA"" WEWE MSILIZAJI

  • @user-xe3fo1bh5s
    @user-xe3fo1bh5s 10 месяцев назад +2

    Amen man of God

  • @Oswardkadron
    @Oswardkadron 10 месяцев назад +2

    Hongela mkuu

  • @rosekiwia4944
    @rosekiwia4944 9 месяцев назад

    I always benefit from his teachings , wasiomuelewa ni vilaza

  • @user-cm3fd2kx4g
    @user-cm3fd2kx4g 9 месяцев назад +1

    NAMI nazidi kumjua mungu

  • @user-yd8sp1qj3w
    @user-yd8sp1qj3w 10 месяцев назад +1

    Amazing,

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 3 месяца назад

    Amen Amen.

  • @kuryatvfilm1161
    @kuryatvfilm1161 10 месяцев назад +2

    Mbarikiwa ooooeeeee

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t 10 месяцев назад +3

    Simama na kweli ya Mungu

  • @emmanuelmwakyoma5746
    @emmanuelmwakyoma5746 10 месяцев назад +1

    Nimekuelewa sana mtumishi wa Mungu

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 10 месяцев назад +4

    Ni siku za mwisho Mchungaji yeyote asiyekemea dhambi, kuambia watu ukweli kwamba kuzimu iko wazipobadili njia zao,waaje mapambo na nguo sizizo na heshima wavae km wana wa Mungu, hivo Roho wa Mungu hayumo ndani yake, Mbarikiwa anakataliwa na kuchukiwa na waabudu shetani kwa sababu anahubiri kweli,na kukemea maovu bila hofu yoyote ila ni Mungu mwenyewe atamtetea na atamfungua kutoka jela pekee yake,kwa wakati wake,na atatoka akiwa chombo cha moto sana, ndiyo atazidi kukemea na kukemea usiku na mchana bila kusinzia

  • @georgemanyanda3022
    @georgemanyanda3022 10 месяцев назад +1

    Amen sanaa

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 10 месяцев назад

    Uko sahihi kabisa mtumishi wa mungu,hii awamu ya sita mafisadi

  • @rebeccamsami4580
    @rebeccamsami4580 10 месяцев назад +1

    Ni kweli kabisa binadamu tuna mamlaka makubwa ktk ndimi zetu

  • @naahbby-fk9vo
    @naahbby-fk9vo 10 месяцев назад

    Amen

  • @kuryatvfilm1161
    @kuryatvfilm1161 10 месяцев назад

    Si kweli Mungu ni Yule Yule na Mungu kama muda haujafika hapawezekani lazima uweke wazi Daniel tu alipozuiliwa kuomba alifungua madilisha hakuogopa. Kwa Mungu hakuna kuangalia upepo unaangalia Mungu anasema nini wewe hapo ulisha chemka mbarikiwa yupo sahihi maadamu kasimama na mungu

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 10 месяцев назад +2

    Wewe ni Fundi wa kugezuza Maneno vile Upo kwenye sistim

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 10 месяцев назад +1

    Ameni

  • @user-du2gt8ff1r
    @user-du2gt8ff1r 10 месяцев назад +1

    MUNGU Akubariki

  • @RaimundoZacariasJonas-jq1bg
    @RaimundoZacariasJonas-jq1bg 10 месяцев назад

    Mimi ni mwana wa Mungu

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 10 месяцев назад

    Gwajima ni yule yule sukuma geng na anaikosoa serikali kwa elimu kubwa sio kuropoka ropoka

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd 10 месяцев назад +1

    Hii mashine

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 10 месяцев назад

    Gwajima hawezi kuliongelea la mbalikiwa jambo la mbalikiwa kwann ni nyingi kama mtu wa rohoni ni ngumu kusema tumuache yesu ametee mbalikiwa na mm namshauri gwajima asiingilie amuombee tu

    • @elibarikipeter
      @elibarikipeter 10 месяцев назад

      Kapime akili

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 10 месяцев назад

      @@elibarikipeter twende wote mnatamani watumishi wa Mungu wavurugane mmefeli yesu atasimama

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад

      Nyie ndio mashetani mmelaaniwa biblia inasema wateteeni wanao onewa wewe unaenda kuwaombea.
      Biblia inasema mtu asiongeze wala kupunguza neno katika neno la Mungu wewe ilo la kuombea umelitoa wapi?

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад

      Wewe ni mwehu tena chizi kabisa

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 10 месяцев назад

      @@kikosikaziupdate mwehu wa wapi sitaki damu za watu.mkononi mwangu kila mchungaji Tanzania angehubili hivo kama kikosi kazi.injili isingekuwa.inaokoa.watu

  • @estherwairimu8760
    @estherwairimu8760 10 месяцев назад

    Mungu wangu aki elimu nahekima yadunia imewachanganya WENGI aki roho wamungu lazima itanena

  • @MalaikaFurniture-qh9vd
    @MalaikaFurniture-qh9vd 10 месяцев назад +1

    Hakuna kama baba siku zote nakuelewa zyd ya jana

  • @AntonyKawage
    @AntonyKawage 10 месяцев назад +1

    Duh,Injili imekua ngumu sana,tunaodhani watakua wazi kukemea uovu unaoonekana wazi ,wanatumia history.Mungu inua watu watakao tetea wanyonge

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад +1

      Umeona eee

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад +1

      Nenda katete wewe kama unamuona huyu atetei nani anakukataza

    • @abdulkatalango2890
      @abdulkatalango2890 10 месяцев назад

      nani kakuzuia

    • @KokoloLambinguni
      @KokoloLambinguni 4 месяца назад

      Mbona unajpendelea sana siuache na wengine wachangie mada au auamini ujumbe wako kaa kimya

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 10 месяцев назад

    asante😢😢uelewa

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 10 месяцев назад +2

    Dr Gwajima ni kweli wananchi wans nguvu ya umma. Katiba hawezi badilisha rais bali nguvu ya umma. Bandari atalae badilisha ni wananchi waanze wenyewe kuuliza na kufanya maandamano ya amani.

    • @hamisijuma8124
      @hamisijuma8124 10 месяцев назад

      Huna hata kampuni Wala box unaloagiza nje unahangaika na bandari wanao pigania bandari wanamaslahi we we unanini huko tafakari usijiunge kwenye msafarawa mamba

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад +1

      Nyie ndio minyumbu yenyewe ya Tanzania

    • @essiesammy6505
      @essiesammy6505 10 месяцев назад

      @@hamisijuma8124 kweli shule ni muhimu unashindwa hata kuelewa kitu kidg tu hichooo,asilimiaa 90%ya vitu tunavotumiaa vinaagizwa na kuletwa nchin kwa kupitiaa bandariii kwahiyo kila mtu bandari inamgusa moja kwa mojaa hiyo simu tu unayotumiaa imepita bandariniii
      fungua akili hiyo

    • @hamisijuma8124
      @hamisijuma8124 10 месяцев назад

      @@kikosikaziupdate we ambaye ni mjanja umefanya Nini umekalia kusifia mijitu iyokomba sadaka za walalahoi mbwa wewe Akuoe sasa

  • @user-xe3fo1bh5s
    @user-xe3fo1bh5s 10 месяцев назад +1

    Yes son of God

  • @pastorzakariatv1786
    @pastorzakariatv1786 10 месяцев назад +2

    Mtu wa kweli anamsaidia MGONJWA siyo anasubiri mtu anakufa ndo anajitolea SANDA YA KUZIKIA UJUWE HUENDA YEYE NDO KATOA KAFARA😂😂😂😂😂 MBONA HUKUJITOLEA DAWA ILI MGONJWA APONE ULISEMA HUNA HELA YA DAWA SASA MGONJWA KAFA HELA YA SANDA UMEITOA WAPI? 🤔🤔🤔 SIYO UNAFIKI HUU?

    • @elimunimwangatv7029
      @elimunimwangatv7029 10 месяцев назад

      Nimekuelewa vizuri sana rafiki

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад

      Wewe unaakili chache kichwani nenda kalale uje usikilize tena

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад

      Wore nyie akili chache

    • @pastorzakariatv1786
      @pastorzakariatv1786 10 месяцев назад

      @@kikosikaziupdate hivi unajua hata chizi hua anajiona anaakili wakati MWENYE AKILI ANAMSHANGAA KICHAA JINSI ANAVYOKULA UCHAFU, VIPOLO VILIVYOOZA ETI KICHAA NAYE ANAMSHANGAA MWENYE AKILI JINSI ANAVYO PITA BILA KUVIONA VIPOLO VILE NA KUMUITA KIPOFU ETI ANGALIA HUYU NAE HAIONI VIPOLO VYOTE HIVI WE KIJANA WEWE NI SHABIKI WA KRISTO SIO MSHIRIKA WA KRISTO WASHIRIKA WA KRISTO HALIS HAWAKO KAMA WEWE WAO WAMEVAA CHAPA ZA KRISTO WANA NIDHAMU,HEKIMA,BUSARA,UPENDO,TENA WANAKIASI, WANAMIPAKA. SIYO KAMA WEWE HAKUNA KIUMBE KISICHO KUWA NA MIPAKA HATA BAHARI IMEWEKEWA MIPAKA UMEPATA BAHATI MBAYA YA KUPATA MALEZI MABOVU YALIYO KINYUME NA INJILI YA KRISTO BADALA YA KUWA MNYENYEKEVU KAMA KRISTO UMEKUWA MKAIDI KAMA SHETANI KINYWA CHAKO KIMEONDOLEWA RIJAMU KINABWATUKA LOLOTE WE UTAJIONA KAMA NDO UMEBARIKIWA KUMBE UNATEMBEA KWENYE LAANA ZUMARIDI ALIINUA KINYWA AKATUKANA YESU NA BIBLIA AKABWATUKA BWATUKA AKAWEKWA NDANI AKAKAA RUMANDE MWAKA MZIMA ALIVYOTOKA AKASEMA AMEFUNGWA KWAAJILI YA HAKI HAKI GANI KWA MACHOKO HAWA NYIE INJILI SIO MISISIMKO TU NA USAHIHI BIBLIA INASEMA WATU HAWA WANAJUHUDI NYINGI KATKA MUNGU LAKINI SI KATIKA MAARIFA na ukikosa MAARIFA unaangamia, nikwaambie tu we KIJANA iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu lakini mwisho wa njia hiyo ni MAUTI, TUMIENI AKILI KAMA IPASAVYO KWENYE HUKUMU YA MUNGU HATAANGALIA USO WA MTU NA KILA NENO ALINENALO MTU ATALITOLEA HESABU YAKE SIKU YA MWISHO USIWE UNABWTUKA ILIMLADI KUNA KUTOA HESABU YA MANENO PIA.

  • @kuryatvfilm1161
    @kuryatvfilm1161 10 месяцев назад

    Nazidi kumfahamu Mungu

  • @kuryatvfilm1161
    @kuryatvfilm1161 10 месяцев назад

    Wala neno la Mungu halihusiani na elimu

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 10 месяцев назад +2

    Gwajima huaga namkubali lkn tangu ashinde Kwa kura zawizi simkubali tena

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад +1

      Uliona anavyo iba kwanini usimkataze asiibe na wewe ulishiriki wizi

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 10 месяцев назад

      Siwalipitishana Kwa nguvu na lile liuaji

    • @user-lq7ik4jn3f
      @user-lq7ik4jn3f 10 месяцев назад

      ​pole unajuaj au mlishilkiana kuiba

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 10 месяцев назад

      @@user-lq7ik4jn3f kwani ccm wanashindaga kihalali

    • @elibarikipeter
      @elibarikipeter 10 месяцев назад +1

      Kapime akili

  • @laurianogerold5129
    @laurianogerold5129 10 месяцев назад +1

    Sijaona alipo ongelea hili au sijamuelewa

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад

      Sikiliza tena kuna mahali kaongea kwa mafumbo sana

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 10 месяцев назад +1

    Mbona serikari inmates are watu na huwaonyi

  • @apostlejoshuadaniel2105
    @apostlejoshuadaniel2105 10 месяцев назад

    Huduma ya mitume na manabii,ni zaidi ya kuona it is more than that

  • @user-yb3lu8dx3z
    @user-yb3lu8dx3z 10 месяцев назад +1

    nikwamba sikuya samiana tulia hitafikatu sio hivyo mtoeni mtumishi wamungu gerezani mtabata tabusana sikuyenu

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 10 месяцев назад

    5:10 5:12 5:13 5:13 5:13

  • @mage1799
    @mage1799 10 месяцев назад

    hapa napo mmmmh tuyaache km yalivyo lkn 0

  • @user-yb3lu8dx3z
    @user-yb3lu8dx3z 10 месяцев назад +1

    baiden wanyime ccm watanzania msada

  • @user-uu6zw2ev3s
    @user-uu6zw2ev3s 10 месяцев назад

    Safi xana mutumish wa bwana

  • @MalaikaFurniture-qh9vd
    @MalaikaFurniture-qh9vd 10 месяцев назад

    Baba kama baba jasusi LA mbinguni og

  • @ezekielslyver-sk4yx
    @ezekielslyver-sk4yx 10 месяцев назад

    Unajichanganya padogo sana na unajiporomosha bila kujuwa,leo unamuongelea Mwamposa sadaka ya kujimaliza,kwa hiyo unataka wawepo mapasitor tu ila mitume hapana na manabii wasiwepo au unamanisha Nini,nilishajifunza mengi kwako ila siku hizi umekosa uturivu kaka yangu jiperereze

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 10 месяцев назад

    NAHUBILI YAKO HUWAGA SIYAELEWI. LAKINI LEO UNAMTAJA YESU.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 10 месяцев назад

    Galatia 3:3

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v 10 месяцев назад +2

    Ubunge wa mchongo unafundisha michongo ...

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад

      Wewe ni chawa bila shaka umetumwa

    • @tarithalusola4458
      @tarithalusola4458 Месяц назад

      Haswaa huyu anayeropoka ovyo juu ya masihi wa bwana NI rusifa

  • @PK_MEDIA_TZ
    @PK_MEDIA_TZ 10 месяцев назад

    Nukweli

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 9 месяцев назад +1

    Hamna kitu hapo

  • @user-bz2nd3bm1w
    @user-bz2nd3bm1w 10 месяцев назад

    Gwajima Bado haaminiki bendela fuata upepo

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад

      Wewe akili ndogo kichwani

    • @thomasmallya2972
      @thomasmallya2972 10 месяцев назад

      Usipo tuliza akili uuta mwelewa g

    • @GraphixDesgner
      @GraphixDesgner Месяц назад

      Ingia ndani itamwejewa gwajima ukibaki nie utabaki kutokumwelewa ni jasusi la mungu

  • @lameckwilliam8311
    @lameckwilliam8311 10 месяцев назад

    Binafsi nakukubali

  • @Peterkasanga-fp6hd
    @Peterkasanga-fp6hd 10 месяцев назад

    Je, tuwe na elimu ngani ili tuweze kuhubili?

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад

      Wewe ushinde uovu nenda kawafundishe watu kuacha uovu

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 10 месяцев назад +1

    Hiki ni kichwa kimeenda shule mwanasiorojia huyu mnyakyusa wawatu anapinga erimu anatumia yakwake ambayo akili yake inasema hili lipo hivi hakuna wakumbadilisha

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 10 месяцев назад +1

    Kuna jambo kalizungumzia apo la maana sanaaa

  • @nelsonjasson7967m
    @nelsonjasson7967m 10 месяцев назад

    Poa mwamba piga gombo

  • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
    @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi 10 месяцев назад +1

    JASUSI LA MBINGUNI.

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 10 месяцев назад +6

    Hapa ndipo unagundua kuwa Gwajima ni mchungaji aliesoma shule, tofauti na mbarikiwa na wengine, unatakiwa kukemea maovu ya serikali lakini kwa hekima na pia uangalie unaongea na Nani na wapi unaongea😂😂

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад +2

      Hayo niyako

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 10 месяцев назад +1

      Hakuna hekima kwenye kubagua watu! Wawepo wa kukemewa wazi wazi na wengine wakemewe kwa kupambapamba!

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 10 месяцев назад +1

      Kuongea kwa mafumbo namna hii hakusaidii sana, majoka wana wa majoka wanakuwa comfortable tu, wanajifariji kwamba hawakutajwa wanajizima data wanaendelea na maisha na mipango yao miovu kama kawaida. Elisha hakushusha bei ya vyakula kwa mafumbo, alishusha waziwazi bila uoga kwa mamlaka ya Mungu iliyokuwa ndani yake na ikawa hivyo. Kwahiyo hekima mnayosema ya lipi la kusema, wapi pa kusema, lini pa kusema, namna ya kusema tutachelewa sana, huo ni uoga tu😂

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 10 месяцев назад

      Dini bila elimu dunia ni uchawi tu na uropokaji kwasababu Kuna mda inatakiwa uwe na elimu kichwani ndo utoe mahubiri yenye hekima

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc 10 месяцев назад

      Du etji NA nyinyi nimungu duniani!!! Sasa mbona zumaridi alijiita Mungu wakasema anakufuru

  • @paull8659
    @paull8659 10 месяцев назад

    Huyu si alifanya unyang'anyi wa kura? pumbafff

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 10 месяцев назад +1

    Kwanza iyo maiki inafanana nafulana yako

  • @HijasSaidy-ke2tm
    @HijasSaidy-ke2tm 10 месяцев назад +1

    ASKOFU ALIEPITA NA KURA ZA MWENDAZAKE

    • @user-lq7ik4jn3f
      @user-lq7ik4jn3f 10 месяцев назад

      Kwan kunashda tatzo wapinzan uelewa mdogo mtaishia kusema hvohvo

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 10 месяцев назад +1

    Nimekuelewa.. Kumbe Ukiwa mbunge wa ccm inakua sio muda sahihi wa kusema na kukemea maovu husani kusemea bandari yetu.. nimeamini maslai yako ni muimu kuliko kusimamia kweli..

    • @danielmulesi4025
      @danielmulesi4025 10 месяцев назад

      Una tatizo la tafsiri. Na usitake kupitishia agenda zako hapa. Hata kama kuna kukosoa, hekima ni kukosoa kwa wakati sahihi na namna sahihi. Aliyekuambia kuwa Askofu huyu hajatoa maoni yake chamani ni nani???

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад

      Wewe umeisimamia wapi bandari mbona hatujakuona

    • @thomasmallya2972
      @thomasmallya2972 10 месяцев назад

      Tuache unafk mnao lilia bandari mbona amlilii Almas dhaabu au mwiingereza na mmarekani ana haki ya kuiba ila mwaarabu aruusiwi

    • @kikosikaziupdate
      @kikosikaziupdate  10 месяцев назад

      @@thomasmallya2972 wewe shetani so unataka waibe kila sehemu, sisi tunapigania mali tunayo iona inapotea kwa macho mbele yetu

    • @thomasmallya2972
      @thomasmallya2972 10 месяцев назад

      @@kikosikaziupdate shetani ua anamjua shetani mwenzie niambie shetan mwenzangu

  • @qurantajwid9749
    @qurantajwid9749 10 месяцев назад

    Muongo wewe

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t 10 месяцев назад +1

    Simama na kweli ya Mungu

    • @muhammedsaid3659
      @muhammedsaid3659 10 месяцев назад

      Kla ktu kiko waz msi ruwe birue mamb
      o,huku mchungaji na huku mwana Siasa,ww ni mnafki unanyuso mbili kwa mujibu ya maandiko ya Biblia.
      Yesu amesema cha Kaisari mpe Kaisari na cha Mungu mpe Mungu kwa
      Mujubu wa Biblia hv vtu viwil huwezi kuvchanganya tatizo wachungaji wengi
      Huizia kwenye shetan(mali) na hyo ndio waliyoikumbatia, wanamajumba na mahotel na magari ya kifahari wao ni matajiri kuliko waumini wao yaani ata mlo wao wa sku unawapiga chenga.
      Yesu peke yake ndie mchungaji mwema kwa wana wa Israel,Yeye kipando chake ni mwana Punda na kwa wakat ule kipando cha kifahari ni Magari ya Faras lkn hakupandapo hata km alikua anauwezo nao.
      Pia Bwana Yesu mwafunz moja alitaka kuwa pamoja nae alimjibu akamwambia Uza kla klicho chako na unifuate.
      Na imeandikwa ni Rahis kwa Ngamia kupita ktk Tundu la Shindano
      Kuliko Tajiri kuingia ktk Ufalme wa Mbinguni.
      Sasa kwa Utajri waliokua nao Wachu
      ngaji ni kweli watakua pamoja na Yesu
      huko Mbinguni?ikiwa Mchungaji haingii
      Mbingun ww Kondoo inakuaje.
      Njo upate Nusra kwa Mwenyez Mungu Mtakatifu,kuingia bure wala hulazmishw kutoa Sadaka km huna
      huko ni kumcha M.Mungu tu.
      Uislam ndio Dini ya Unyoofu na Unyenyekevu km Yesu alivyosema na Uzima wa milele ndio huu Wakujue Wewe Mungu waPekee na Wakweli na
      Yesu Uliyemtuma.Skiza Israel Bwana Mungu Wetu ni Mungu Mmoja,Mpende Bwana Mungu Wako kwa Nguvu na Moyo wote na Mpende Jiran yako kama Nafsi yako hakuna andiko Kuu kuliko hili basi Lifuate