!!!!!!!!!Gwajima nampenda sana kwasabatu moja mhimu sana Haoni haya kulitaja jina LA YESU . Mambo ya udongo na mafuta sijawahi ona anavipigia debe na hii ndo inamfanya kuwa juu sana, wengi wanataka kulipoteza jina laYesu tulilo pewa kuokolewa kwalo na kuvitukuza vitu ,jambo ambambalo ni baya sana sana
Ujumbe mzuri sana, jua cha kusema,unasema na nani? Na wakati gani wa kusema? Mahala pa kusema na usemaje, na unasema kwa kipi? Elimu kubwa sana hii. Asante sana mtumishi.
Ni siku za mwisho Mchungaji yeyote asiyekemea dhambi, kuambia watu ukweli kwamba kuzimu iko wazipobadili njia zao,waaje mapambo na nguo sizizo na heshima wavae km wana wa Mungu, hivo Roho wa Mungu hayumo ndani yake, Mbarikiwa anakataliwa na kuchukiwa na waabudu shetani kwa sababu anahubiri kweli,na kukemea maovu bila hofu yoyote ila ni Mungu mwenyewe atamtetea na atamfungua kutoka jela pekee yake,kwa wakati wake,na atatoka akiwa chombo cha moto sana, ndiyo atazidi kukemea na kukemea usiku na mchana bila kusinzia
Si kweli Mungu ni Yule Yule na Mungu kama muda haujafika hapawezekani lazima uweke wazi Daniel tu alipozuiliwa kuomba alifungua madilisha hakuogopa. Kwa Mungu hakuna kuangalia upepo unaangalia Mungu anasema nini wewe hapo ulisha chemka mbarikiwa yupo sahihi maadamu kasimama na mungu
Gwajima hawezi kuliongelea la mbalikiwa jambo la mbalikiwa kwann ni nyingi kama mtu wa rohoni ni ngumu kusema tumuache yesu ametee mbalikiwa na mm namshauri gwajima asiingilie amuombee tu
Nyie ndio mashetani mmelaaniwa biblia inasema wateteeni wanao onewa wewe unaenda kuwaombea. Biblia inasema mtu asiongeze wala kupunguza neno katika neno la Mungu wewe ilo la kuombea umelitoa wapi?
@@kikosikaziupdate mwehu wa wapi sitaki damu za watu.mkononi mwangu kila mchungaji Tanzania angehubili hivo kama kikosi kazi.injili isingekuwa.inaokoa.watu
Dr Gwajima ni kweli wananchi wans nguvu ya umma. Katiba hawezi badilisha rais bali nguvu ya umma. Bandari atalae badilisha ni wananchi waanze wenyewe kuuliza na kufanya maandamano ya amani.
Huna hata kampuni Wala box unaloagiza nje unahangaika na bandari wanao pigania bandari wanamaslahi we we unanini huko tafakari usijiunge kwenye msafarawa mamba
@@hamisijuma8124 kweli shule ni muhimu unashindwa hata kuelewa kitu kidg tu hichooo,asilimiaa 90%ya vitu tunavotumiaa vinaagizwa na kuletwa nchin kwa kupitiaa bandariii kwahiyo kila mtu bandari inamgusa moja kwa mojaa hiyo simu tu unayotumiaa imepita bandariniii fungua akili hiyo
Mtu wa kweli anamsaidia MGONJWA siyo anasubiri mtu anakufa ndo anajitolea SANDA YA KUZIKIA UJUWE HUENDA YEYE NDO KATOA KAFARA😂😂😂😂😂 MBONA HUKUJITOLEA DAWA ILI MGONJWA APONE ULISEMA HUNA HELA YA DAWA SASA MGONJWA KAFA HELA YA SANDA UMEITOA WAPI? 🤔🤔🤔 SIYO UNAFIKI HUU?
@@kikosikaziupdate hivi unajua hata chizi hua anajiona anaakili wakati MWENYE AKILI ANAMSHANGAA KICHAA JINSI ANAVYOKULA UCHAFU, VIPOLO VILIVYOOZA ETI KICHAA NAYE ANAMSHANGAA MWENYE AKILI JINSI ANAVYO PITA BILA KUVIONA VIPOLO VILE NA KUMUITA KIPOFU ETI ANGALIA HUYU NAE HAIONI VIPOLO VYOTE HIVI WE KIJANA WEWE NI SHABIKI WA KRISTO SIO MSHIRIKA WA KRISTO WASHIRIKA WA KRISTO HALIS HAWAKO KAMA WEWE WAO WAMEVAA CHAPA ZA KRISTO WANA NIDHAMU,HEKIMA,BUSARA,UPENDO,TENA WANAKIASI, WANAMIPAKA. SIYO KAMA WEWE HAKUNA KIUMBE KISICHO KUWA NA MIPAKA HATA BAHARI IMEWEKEWA MIPAKA UMEPATA BAHATI MBAYA YA KUPATA MALEZI MABOVU YALIYO KINYUME NA INJILI YA KRISTO BADALA YA KUWA MNYENYEKEVU KAMA KRISTO UMEKUWA MKAIDI KAMA SHETANI KINYWA CHAKO KIMEONDOLEWA RIJAMU KINABWATUKA LOLOTE WE UTAJIONA KAMA NDO UMEBARIKIWA KUMBE UNATEMBEA KWENYE LAANA ZUMARIDI ALIINUA KINYWA AKATUKANA YESU NA BIBLIA AKABWATUKA BWATUKA AKAWEKWA NDANI AKAKAA RUMANDE MWAKA MZIMA ALIVYOTOKA AKASEMA AMEFUNGWA KWAAJILI YA HAKI HAKI GANI KWA MACHOKO HAWA NYIE INJILI SIO MISISIMKO TU NA USAHIHI BIBLIA INASEMA WATU HAWA WANAJUHUDI NYINGI KATKA MUNGU LAKINI SI KATIKA MAARIFA na ukikosa MAARIFA unaangamia, nikwaambie tu we KIJANA iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu lakini mwisho wa njia hiyo ni MAUTI, TUMIENI AKILI KAMA IPASAVYO KWENYE HUKUMU YA MUNGU HATAANGALIA USO WA MTU NA KILA NENO ALINENALO MTU ATALITOLEA HESABU YAKE SIKU YA MWISHO USIWE UNABWTUKA ILIMLADI KUNA KUTOA HESABU YA MANENO PIA.
Unajichanganya padogo sana na unajiporomosha bila kujuwa,leo unamuongelea Mwamposa sadaka ya kujimaliza,kwa hiyo unataka wawepo mapasitor tu ila mitume hapana na manabii wasiwepo au unamanisha Nini,nilishajifunza mengi kwako ila siku hizi umekosa uturivu kaka yangu jiperereze
Hiki ni kichwa kimeenda shule mwanasiorojia huyu mnyakyusa wawatu anapinga erimu anatumia yakwake ambayo akili yake inasema hili lipo hivi hakuna wakumbadilisha
Hapa ndipo unagundua kuwa Gwajima ni mchungaji aliesoma shule, tofauti na mbarikiwa na wengine, unatakiwa kukemea maovu ya serikali lakini kwa hekima na pia uangalie unaongea na Nani na wapi unaongea😂😂
Kuongea kwa mafumbo namna hii hakusaidii sana, majoka wana wa majoka wanakuwa comfortable tu, wanajifariji kwamba hawakutajwa wanajizima data wanaendelea na maisha na mipango yao miovu kama kawaida. Elisha hakushusha bei ya vyakula kwa mafumbo, alishusha waziwazi bila uoga kwa mamlaka ya Mungu iliyokuwa ndani yake na ikawa hivyo. Kwahiyo hekima mnayosema ya lipi la kusema, wapi pa kusema, lini pa kusema, namna ya kusema tutachelewa sana, huo ni uoga tu😂
Nimekuelewa.. Kumbe Ukiwa mbunge wa ccm inakua sio muda sahihi wa kusema na kukemea maovu husani kusemea bandari yetu.. nimeamini maslai yako ni muimu kuliko kusimamia kweli..
Una tatizo la tafsiri. Na usitake kupitishia agenda zako hapa. Hata kama kuna kukosoa, hekima ni kukosoa kwa wakati sahihi na namna sahihi. Aliyekuambia kuwa Askofu huyu hajatoa maoni yake chamani ni nani???
Kla ktu kiko waz msi ruwe birue mamb o,huku mchungaji na huku mwana Siasa,ww ni mnafki unanyuso mbili kwa mujibu ya maandiko ya Biblia. Yesu amesema cha Kaisari mpe Kaisari na cha Mungu mpe Mungu kwa Mujubu wa Biblia hv vtu viwil huwezi kuvchanganya tatizo wachungaji wengi Huizia kwenye shetan(mali) na hyo ndio waliyoikumbatia, wanamajumba na mahotel na magari ya kifahari wao ni matajiri kuliko waumini wao yaani ata mlo wao wa sku unawapiga chenga. Yesu peke yake ndie mchungaji mwema kwa wana wa Israel,Yeye kipando chake ni mwana Punda na kwa wakat ule kipando cha kifahari ni Magari ya Faras lkn hakupandapo hata km alikua anauwezo nao. Pia Bwana Yesu mwafunz moja alitaka kuwa pamoja nae alimjibu akamwambia Uza kla klicho chako na unifuate. Na imeandikwa ni Rahis kwa Ngamia kupita ktk Tundu la Shindano Kuliko Tajiri kuingia ktk Ufalme wa Mbinguni. Sasa kwa Utajri waliokua nao Wachu ngaji ni kweli watakua pamoja na Yesu huko Mbinguni?ikiwa Mchungaji haingii Mbingun ww Kondoo inakuaje. Njo upate Nusra kwa Mwenyez Mungu Mtakatifu,kuingia bure wala hulazmishw kutoa Sadaka km huna huko ni kumcha M.Mungu tu. Uislam ndio Dini ya Unyoofu na Unyenyekevu km Yesu alivyosema na Uzima wa milele ndio huu Wakujue Wewe Mungu waPekee na Wakweli na Yesu Uliyemtuma.Skiza Israel Bwana Mungu Wetu ni Mungu Mmoja,Mpende Bwana Mungu Wako kwa Nguvu na Moyo wote na Mpende Jiran yako kama Nafsi yako hakuna andiko Kuu kuliko hili basi Lifuate
Gwajiboy Man of God
!!!!!!!!!Gwajima nampenda sana kwasabatu moja mhimu sana Haoni haya kulitaja jina LA YESU . Mambo ya udongo na mafuta sijawahi ona anavipigia debe na hii ndo inamfanya kuwa juu sana, wengi wanataka kulipoteza jina laYesu tulilo pewa kuokolewa kwalo na kuvitukuza vitu ,jambo ambambalo ni baya sana sana
Ujumbe mzuri sana, jua cha kusema,unasema na nani? Na wakati gani wa kusema? Mahala pa kusema na usemaje,
na unasema kwa kipi?
Elimu kubwa sana hii. Asante sana mtumishi.
Ubarrikiwe mtumishi wa Mungu, huna tofauti na nabii Musa
You are teaching good,Gwajima.
Amen endelea ,nimekuelewa baba
Kwakwel namuelwaga sana Dr. Gwajima
Powerful words
Amen good preaching
Baba mwana wa mungu jasusi LA mbinguni 💪💪💪💪💪
Amen
Gwaji I oyeeee
HUYU NI MWANA FILOSOFI.. AMEONGEA KWA FUMBO KUBWA.. TULIOSOMA CUBA TUMEKUELEWA... ANAUMIA ILA HAJUI AFANYAJE.
."AKILI KUMKICHWA"" WEWE MSILIZAJI
Amen man of God
Hongela mkuu
I always benefit from his teachings , wasiomuelewa ni vilaza
NAMI nazidi kumjua mungu
Amazing,
Amen Amen.
Mbarikiwa ooooeeeee
Simama na kweli ya Mungu
Nimekuelewa sana mtumishi wa Mungu
Ni siku za mwisho Mchungaji yeyote asiyekemea dhambi, kuambia watu ukweli kwamba kuzimu iko wazipobadili njia zao,waaje mapambo na nguo sizizo na heshima wavae km wana wa Mungu, hivo Roho wa Mungu hayumo ndani yake, Mbarikiwa anakataliwa na kuchukiwa na waabudu shetani kwa sababu anahubiri kweli,na kukemea maovu bila hofu yoyote ila ni Mungu mwenyewe atamtetea na atamfungua kutoka jela pekee yake,kwa wakati wake,na atatoka akiwa chombo cha moto sana, ndiyo atazidi kukemea na kukemea usiku na mchana bila kusinzia
Amen sanaa
Uko sahihi kabisa mtumishi wa mungu,hii awamu ya sita mafisadi
Ni kweli kabisa binadamu tuna mamlaka makubwa ktk ndimi zetu
Sana
Amen
Si kweli Mungu ni Yule Yule na Mungu kama muda haujafika hapawezekani lazima uweke wazi Daniel tu alipozuiliwa kuomba alifungua madilisha hakuogopa. Kwa Mungu hakuna kuangalia upepo unaangalia Mungu anasema nini wewe hapo ulisha chemka mbarikiwa yupo sahihi maadamu kasimama na mungu
Yes mbarikiwa yupo sahihi
Wewe ni Fundi wa kugezuza Maneno vile Upo kwenye sistim
Haiandikwi sistim ni SYSTEM
Ameni
MUNGU Akubariki
Mimi ni mwana wa Mungu
Gwajima ni yule yule sukuma geng na anaikosoa serikali kwa elimu kubwa sio kuropoka ropoka
Kukosoa ni kukosoa tu
Hii mashine
Gwajima hawezi kuliongelea la mbalikiwa jambo la mbalikiwa kwann ni nyingi kama mtu wa rohoni ni ngumu kusema tumuache yesu ametee mbalikiwa na mm namshauri gwajima asiingilie amuombee tu
Kapime akili
@@elibarikipeter twende wote mnatamani watumishi wa Mungu wavurugane mmefeli yesu atasimama
Nyie ndio mashetani mmelaaniwa biblia inasema wateteeni wanao onewa wewe unaenda kuwaombea.
Biblia inasema mtu asiongeze wala kupunguza neno katika neno la Mungu wewe ilo la kuombea umelitoa wapi?
Wewe ni mwehu tena chizi kabisa
@@kikosikaziupdate mwehu wa wapi sitaki damu za watu.mkononi mwangu kila mchungaji Tanzania angehubili hivo kama kikosi kazi.injili isingekuwa.inaokoa.watu
Mungu wangu aki elimu nahekima yadunia imewachanganya WENGI aki roho wamungu lazima itanena
Wewe umenena?
Hakuna kama baba siku zote nakuelewa zyd ya jana
😀😀😃😃😃
Duh,Injili imekua ngumu sana,tunaodhani watakua wazi kukemea uovu unaoonekana wazi ,wanatumia history.Mungu inua watu watakao tetea wanyonge
Umeona eee
Nenda katete wewe kama unamuona huyu atetei nani anakukataza
nani kakuzuia
Mbona unajpendelea sana siuache na wengine wachangie mada au auamini ujumbe wako kaa kimya
asante😢😢uelewa
Dr Gwajima ni kweli wananchi wans nguvu ya umma. Katiba hawezi badilisha rais bali nguvu ya umma. Bandari atalae badilisha ni wananchi waanze wenyewe kuuliza na kufanya maandamano ya amani.
Huna hata kampuni Wala box unaloagiza nje unahangaika na bandari wanao pigania bandari wanamaslahi we we unanini huko tafakari usijiunge kwenye msafarawa mamba
Nyie ndio minyumbu yenyewe ya Tanzania
@@hamisijuma8124 kweli shule ni muhimu unashindwa hata kuelewa kitu kidg tu hichooo,asilimiaa 90%ya vitu tunavotumiaa vinaagizwa na kuletwa nchin kwa kupitiaa bandariii kwahiyo kila mtu bandari inamgusa moja kwa mojaa hiyo simu tu unayotumiaa imepita bandariniii
fungua akili hiyo
@@kikosikaziupdate we ambaye ni mjanja umefanya Nini umekalia kusifia mijitu iyokomba sadaka za walalahoi mbwa wewe Akuoe sasa
Yes son of God
Mtu wa kweli anamsaidia MGONJWA siyo anasubiri mtu anakufa ndo anajitolea SANDA YA KUZIKIA UJUWE HUENDA YEYE NDO KATOA KAFARA😂😂😂😂😂 MBONA HUKUJITOLEA DAWA ILI MGONJWA APONE ULISEMA HUNA HELA YA DAWA SASA MGONJWA KAFA HELA YA SANDA UMEITOA WAPI? 🤔🤔🤔 SIYO UNAFIKI HUU?
Nimekuelewa vizuri sana rafiki
Wewe unaakili chache kichwani nenda kalale uje usikilize tena
Wore nyie akili chache
@@kikosikaziupdate hivi unajua hata chizi hua anajiona anaakili wakati MWENYE AKILI ANAMSHANGAA KICHAA JINSI ANAVYOKULA UCHAFU, VIPOLO VILIVYOOZA ETI KICHAA NAYE ANAMSHANGAA MWENYE AKILI JINSI ANAVYO PITA BILA KUVIONA VIPOLO VILE NA KUMUITA KIPOFU ETI ANGALIA HUYU NAE HAIONI VIPOLO VYOTE HIVI WE KIJANA WEWE NI SHABIKI WA KRISTO SIO MSHIRIKA WA KRISTO WASHIRIKA WA KRISTO HALIS HAWAKO KAMA WEWE WAO WAMEVAA CHAPA ZA KRISTO WANA NIDHAMU,HEKIMA,BUSARA,UPENDO,TENA WANAKIASI, WANAMIPAKA. SIYO KAMA WEWE HAKUNA KIUMBE KISICHO KUWA NA MIPAKA HATA BAHARI IMEWEKEWA MIPAKA UMEPATA BAHATI MBAYA YA KUPATA MALEZI MABOVU YALIYO KINYUME NA INJILI YA KRISTO BADALA YA KUWA MNYENYEKEVU KAMA KRISTO UMEKUWA MKAIDI KAMA SHETANI KINYWA CHAKO KIMEONDOLEWA RIJAMU KINABWATUKA LOLOTE WE UTAJIONA KAMA NDO UMEBARIKIWA KUMBE UNATEMBEA KWENYE LAANA ZUMARIDI ALIINUA KINYWA AKATUKANA YESU NA BIBLIA AKABWATUKA BWATUKA AKAWEKWA NDANI AKAKAA RUMANDE MWAKA MZIMA ALIVYOTOKA AKASEMA AMEFUNGWA KWAAJILI YA HAKI HAKI GANI KWA MACHOKO HAWA NYIE INJILI SIO MISISIMKO TU NA USAHIHI BIBLIA INASEMA WATU HAWA WANAJUHUDI NYINGI KATKA MUNGU LAKINI SI KATIKA MAARIFA na ukikosa MAARIFA unaangamia, nikwaambie tu we KIJANA iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu lakini mwisho wa njia hiyo ni MAUTI, TUMIENI AKILI KAMA IPASAVYO KWENYE HUKUMU YA MUNGU HATAANGALIA USO WA MTU NA KILA NENO ALINENALO MTU ATALITOLEA HESABU YAKE SIKU YA MWISHO USIWE UNABWTUKA ILIMLADI KUNA KUTOA HESABU YA MANENO PIA.
Nazidi kumfahamu Mungu
Wala neno la Mungu halihusiani na elimu
Linahisiana sana tu mpendwa
Gwajima huaga namkubali lkn tangu ashinde Kwa kura zawizi simkubali tena
Uliona anavyo iba kwanini usimkataze asiibe na wewe ulishiriki wizi
Siwalipitishana Kwa nguvu na lile liuaji
pole unajuaj au mlishilkiana kuiba
@@user-lq7ik4jn3f kwani ccm wanashindaga kihalali
Kapime akili
Sijaona alipo ongelea hili au sijamuelewa
Sikiliza tena kuna mahali kaongea kwa mafumbo sana
Mbona serikari inmates are watu na huwaonyi
Huduma ya mitume na manabii,ni zaidi ya kuona it is more than that
nikwamba sikuya samiana tulia hitafikatu sio hivyo mtoeni mtumishi wamungu gerezani mtabata tabusana sikuyenu
Kweli kabisa
5:10 5:12 5:13 5:13 5:13
hapa napo mmmmh tuyaache km yalivyo lkn 0
baiden wanyime ccm watanzania msada
Point
Safi xana mutumish wa bwana
Amen
Baba kama baba jasusi LA mbinguni og
Unajichanganya padogo sana na unajiporomosha bila kujuwa,leo unamuongelea Mwamposa sadaka ya kujimaliza,kwa hiyo unataka wawepo mapasitor tu ila mitume hapana na manabii wasiwepo au unamanisha Nini,nilishajifunza mengi kwako ila siku hizi umekosa uturivu kaka yangu jiperereze
NAHUBILI YAKO HUWAGA SIYAELEWI. LAKINI LEO UNAMTAJA YESU.
Huwa hauelewi nini??
Huelewagi nini
Galatia 3:3
Ubunge wa mchongo unafundisha michongo ...
Wewe ni chawa bila shaka umetumwa
Haswaa huyu anayeropoka ovyo juu ya masihi wa bwana NI rusifa
Nukweli
Hamna kitu hapo
Gwajima Bado haaminiki bendela fuata upepo
Wewe akili ndogo kichwani
Usipo tuliza akili uuta mwelewa g
Ingia ndani itamwejewa gwajima ukibaki nie utabaki kutokumwelewa ni jasusi la mungu
Binafsi nakukubali
Amen
Je, tuwe na elimu ngani ili tuweze kuhubili?
Wewe ushinde uovu nenda kawafundishe watu kuacha uovu
Hiki ni kichwa kimeenda shule mwanasiorojia huyu mnyakyusa wawatu anapinga erimu anatumia yakwake ambayo akili yake inasema hili lipo hivi hakuna wakumbadilisha
Kuna jambo kalizungumzia apo la maana sanaaa
Wewe umemuelewa
Yes nimemuelewa sana.
Poa mwamba piga gombo
JASUSI LA MBINGUNI.
Hapa ndipo unagundua kuwa Gwajima ni mchungaji aliesoma shule, tofauti na mbarikiwa na wengine, unatakiwa kukemea maovu ya serikali lakini kwa hekima na pia uangalie unaongea na Nani na wapi unaongea😂😂
Hayo niyako
Hakuna hekima kwenye kubagua watu! Wawepo wa kukemewa wazi wazi na wengine wakemewe kwa kupambapamba!
Kuongea kwa mafumbo namna hii hakusaidii sana, majoka wana wa majoka wanakuwa comfortable tu, wanajifariji kwamba hawakutajwa wanajizima data wanaendelea na maisha na mipango yao miovu kama kawaida. Elisha hakushusha bei ya vyakula kwa mafumbo, alishusha waziwazi bila uoga kwa mamlaka ya Mungu iliyokuwa ndani yake na ikawa hivyo. Kwahiyo hekima mnayosema ya lipi la kusema, wapi pa kusema, lini pa kusema, namna ya kusema tutachelewa sana, huo ni uoga tu😂
Dini bila elimu dunia ni uchawi tu na uropokaji kwasababu Kuna mda inatakiwa uwe na elimu kichwani ndo utoe mahubiri yenye hekima
Du etji NA nyinyi nimungu duniani!!! Sasa mbona zumaridi alijiita Mungu wakasema anakufuru
Huyu si alifanya unyang'anyi wa kura? pumbafff
Huna hakili
Kwanza iyo maiki inafanana nafulana yako
ASKOFU ALIEPITA NA KURA ZA MWENDAZAKE
Kwan kunashda tatzo wapinzan uelewa mdogo mtaishia kusema hvohvo
Nimekuelewa.. Kumbe Ukiwa mbunge wa ccm inakua sio muda sahihi wa kusema na kukemea maovu husani kusemea bandari yetu.. nimeamini maslai yako ni muimu kuliko kusimamia kweli..
Una tatizo la tafsiri. Na usitake kupitishia agenda zako hapa. Hata kama kuna kukosoa, hekima ni kukosoa kwa wakati sahihi na namna sahihi. Aliyekuambia kuwa Askofu huyu hajatoa maoni yake chamani ni nani???
Wewe umeisimamia wapi bandari mbona hatujakuona
Tuache unafk mnao lilia bandari mbona amlilii Almas dhaabu au mwiingereza na mmarekani ana haki ya kuiba ila mwaarabu aruusiwi
@@thomasmallya2972 wewe shetani so unataka waibe kila sehemu, sisi tunapigania mali tunayo iona inapotea kwa macho mbele yetu
@@kikosikaziupdate shetani ua anamjua shetani mwenzie niambie shetan mwenzangu
Muongo wewe
Simama na kweli ya Mungu
Kla ktu kiko waz msi ruwe birue mamb
o,huku mchungaji na huku mwana Siasa,ww ni mnafki unanyuso mbili kwa mujibu ya maandiko ya Biblia.
Yesu amesema cha Kaisari mpe Kaisari na cha Mungu mpe Mungu kwa
Mujubu wa Biblia hv vtu viwil huwezi kuvchanganya tatizo wachungaji wengi
Huizia kwenye shetan(mali) na hyo ndio waliyoikumbatia, wanamajumba na mahotel na magari ya kifahari wao ni matajiri kuliko waumini wao yaani ata mlo wao wa sku unawapiga chenga.
Yesu peke yake ndie mchungaji mwema kwa wana wa Israel,Yeye kipando chake ni mwana Punda na kwa wakat ule kipando cha kifahari ni Magari ya Faras lkn hakupandapo hata km alikua anauwezo nao.
Pia Bwana Yesu mwafunz moja alitaka kuwa pamoja nae alimjibu akamwambia Uza kla klicho chako na unifuate.
Na imeandikwa ni Rahis kwa Ngamia kupita ktk Tundu la Shindano
Kuliko Tajiri kuingia ktk Ufalme wa Mbinguni.
Sasa kwa Utajri waliokua nao Wachu
ngaji ni kweli watakua pamoja na Yesu
huko Mbinguni?ikiwa Mchungaji haingii
Mbingun ww Kondoo inakuaje.
Njo upate Nusra kwa Mwenyez Mungu Mtakatifu,kuingia bure wala hulazmishw kutoa Sadaka km huna
huko ni kumcha M.Mungu tu.
Uislam ndio Dini ya Unyoofu na Unyenyekevu km Yesu alivyosema na Uzima wa milele ndio huu Wakujue Wewe Mungu waPekee na Wakweli na
Yesu Uliyemtuma.Skiza Israel Bwana Mungu Wetu ni Mungu Mmoja,Mpende Bwana Mungu Wako kwa Nguvu na Moyo wote na Mpende Jiran yako kama Nafsi yako hakuna andiko Kuu kuliko hili basi Lifuate