"TARURA" Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Nikiwa kama Balozi wa Miundombinu Tanzania nimeendelea na ziara yangu ya mkoa wa Tanga kwa kutembelea Miradi mbali mbali ya TARURA iliyojengwa Pesa za TOZO💪🏿 kwa hakika TARURA inaendelea kutatua changamoto za usafiri na usafirishaji kwa wananchi, hii imewezekana baada ya Serikali ya awamu ya sita kuongeza Bajeti ya Wakala. Ahsante Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuelekeza Pesa za Tozo kuhakikisha Tatizo lilikokuwa linawasumbua wananchi Wa stahabu Pwani wanapata usafiri wa uhakika.
    TARURA Tunakufungulia Barabara kufika Mahali kusiko Fikila

Комментарии •