NCHI HAIWEZI KUSIMAMA PEKEE YAKE | BALOZI WA MAREKANI NCHINI AFICHUA MAMBO MAZITO KWA SALIM KIKEKE
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Kikeke ni nooma hii interview very interesting hongera kwa crown media mmejipanga
Really crown media is become bigger media in Tanzania that is great to Alikiba nd' he's crew , salute .
Hakika CROWN MEDIA ni tofauti na wale, upande wa kikeni..
Crown , ukiachana na hiz big interview tunahitaji pia information za kichunguz, zinazoweza kututoa kwenye Giza totolo hongeren na tusongeee
Sawa nchi haiwezi kujitegemea shida ya marekani na baadhi ya mataifa ya ulaya ni wezi na wachochezi na hamtaki mataifa mengine yawe huru na yaendelee🙌🙌🙌
Brilliant interview!! Ila asitudanganye hakuna ktu cha bure kwny hii dunia,, kutulaghai kw kutumia lugha y misaada ni uongo ndio maan kuna makandokando ndani yake,, n kweli hakun nchi inayoweza kuishi km kisiwa bla ushirikiano ila ushirika wake usiwe wa unyonyaji na kuingilia sovereignty y nchi husika, mfano mzuri hv majuz tu nchini uganda,, mbon nchi z ulaya hazilalamiki kwasabab kuna balance na heshima kati yao,,, hawa bado ni ukolon mambo leo,,,ss tunataka sovereignty hatukatai ushirikiano!. Long live mother Tanzania
*Father
Kikeke we nomaaaa
Kaka, tunahitaji mahojiano mengi zaidi kama haya....Hongera.
Halafu wanafananiza crown media na redio za kisenge😂😂😂
😂😂😂
Kabisaaa
CROWN MEDIA NDO ITAKUWA KINARA ZAIDI BIG UP
Hivi ndivyo haiwezekani ni Marekani pekee ila nchi yeyote ya Afrika inaweza kujitegemea kama viongozi wetu wakiwa si wala rushwa
@@braystuskibassa3842 ndio HAIWEZEKANI sasa wao kuto kula rushwa
Bhna Kikeke Mbunufu sana🔥🔥🚀
Crown ❤❤❤
Ongea kiswahili ukija kwenye nch za watu jufunze lugha yao
Alitakiwa kuulizwa je Tanzania inweza kuwasaidia Homeless people in USA kwakuwapa msaada
Kaka angalia GDP tu afu ndo uuulizwe hilo swali homeless wapo kwani bongo hakuna homeless? Tofautisha homeless na Kaya Maskin ni vitu viwili tofauti
Akili hauna wewe hauna chakula kwenye kaya Yako wao wale ni wahuni tu duniani kote wapo unajilinganisha na hapa akili ndogo sana
Salim , hujambana mwamba maswali Magumu
Salim kikeke kiukweli Ameanza kubadilisha tasnia ya habari na utangazaji na waandishi wa habari kiujumla
Ulikaa kuchambana,umalaya na uchawa saivi kikeke anaiheshimisha tasnia ya habari
Ndugu S. Kikeke, hongera sana. Huyu balozi wa Marekani dakika ya 3-4 kasema jambo muhimu sana. Ujamaa ni utaifa. Soko huria ni uchumi. Na vyote vipo Kwenye katiba yetu. Wanaotaka katiba mpya wanahitaji uchumi bila taifa. Na hii ndiyo maana J. M. Kikwete alianzisha mchakato akaweka Kwenye shelf. Namheshimu sana.
Wanasiasa wakiwahudumia wananchi bila kusukumwa na tabia za kimasoko tutakuwa na taifa bora kuliko yote Africa na hata duniani.
Shida ni kuwa vyuo vikuu vinazalisha wa Tanzania wasiojua tofauti ya mtu na maharage. Na hilo hali wezi kuondolewa na Katiba MPYA.
I wish ningewafunza zaidi. Never attach human values to the goods value. The Moral categorization is necessary to sustain our future generations.
wewe umemjua juzi nn
Crown muko sawa huwezi chukua baba levo eti awe mwendesha kipindi duh haipo sawa
Au juma lukole
Crown🔥🔥
Misaada wapi sema mikataba mingi mnafaidikanayo
7 bil wakati huo huo mmechukua zaidi ya mara tatu ya hizo 7 bil.
Hawa watu wajanja sana,, anaulizwa kuhusu Tanzania kujitegemea bila USaid anaruka kabisa kwamba hata wao hawawezi kujitegemea peke yako😂😂😂
Alafu kamtukana jamaa kiaina lakini bwege halijadaka 😅
Njia Bora ya kujibu bila kuachia Shaka....lkn....
watz kusilewe kisa misaada yao,wazungu sio watu wazuri kiivo mwisho wa siku watakupangia tu cha kufanya
Watu wangu wa tanzania.msiende CRB bank kuchukuwa mkopo.yaani anasema atakupa mikopo ekesha ukishindwa kulipa watalipa wao. Mungu alisema kwenye Quruan.atakuja myahudi kusema anataka kukusaidieni kume ndio mtego wa kukuangamizeni kwenye shimo jeusi. Atazungumza maneno masuri ukweli anataka kula kupitia migogo yenu. Anagalie watu weusi walioko marekani wanawasaidia nini.hata wake Tanzania kutusaidia watu weusi. Make mpali na hawa maadui zenu
Sisi tunataka ujamaa na ndio waasisi wa nchi hii waliweka misingi hiyo nyie mnataka kuleta vibaraka watuchafulie nchi yetu tumeshaa shtuka na hakuna kima kuandamana hapa anaetaka kuandamana kwa kuipa nguvu democrasia mchukueni na huko kwenu marekani akaandamane huko hapa tz sipo mahali pakuandamana
Na huko kwao media zao wamualike balozi wetu walau awafundishe maadili bora😂😂 jamaa kakumbuka BBC
Men KIKEKE ANAIFANYA HABARI KIMATAIFA! I love this
Kikeke ndo mastermind wa kupata prominent figures kirahisi , sjajua kwann rahis kwake ila naona amekua na mahojiano na watu muhin tuliotamani
Ampe puppet
Kaka nakuelewa sana kwenye mijadala yako ekooo❤❤😅
Hapa ni nymbani 92.1
Sasa kama pesa za bure mbona anapangia watu cha kufanya akuna cha bure apa dunian
You are married bro 😂😂
G7 can stand alone that's why no other member is allowed to get in. BRICS is the result of these hypocrites behaviour.
I'm of the opinion that the latest version of Oxford Advanced Learner's Dictionary must place US, Britain, Israel, Germany, France and Canada just after the word HYPOCRISY, DOUBLE STANDARD and IMMORALITY.
I believe we can stand with own feet as a fee state how does magufuli afford to stand during hard time of corona pandemic issues and everything were running through.
Ambassador Michael seems very informed and knows where we come from and who was who and where are we going..he is smart too
Does he?
@@section8ight174 absolutely.
@@kidakawa9187 Lost cause!!
@@section8ight174 what do you mean to precisely
Hatutaki rudi marekani
Wanaita investment lakini bado wanatupa samaki sana kuliko kutufundisha kuvua samaki wenyewe kwaajili ya sisi kuweza kuwa washirik wenye nguvu.
❤❤
Salim kikeke baba wa habari africa asante sana
Kwa hiyo hoja ya CRDB mfano nimenasa hoja kubwa sana
Thank you very much, U.S. Ambassador, for representing your country well.
My main point is, what do you get in exchange for providing aid? I quote what you said: "You provide aid without getting anything in return from our country. How is this the case? Don’t you see that you are incurring losses, i.e., we are using your taxpayers' money?"
We need a win-win situation where you convert those funds into investment capital in our country, particularly in economic sectors, through partnerships by sharing risks, earnings, and ideas. By doing so, it becomes more sustainable.
And when our country says it is independent and not dependent, it means we want investment and are ready to form alliances with any country for mutual benefit while avoiding being beggars.
Perhaps giving funds with no return or benefits it gives them a chance to be given some new opportunity once available . 😂😂 Like Rwanda has gotten like 200m USD during Corona viruses eruption with no return
👑👑👑
Hawa ndio mazayunisit walio laniwaa, hawanaga heri,Hawa ndio,wanao kandamiza uchumi wa Africa 🌍 na ndio wanao ibaa Mali gafi zetu, madini yetu, na ndio wanao leta vita Africa 🌍 angalieni Congo , wanavyoo mtumia mpumbavu kagame kufanya vita Congo ili wapate kuibaa madini yetu, angalieni wanavyoo uwaa watoto na wanawake, palasitina na labanon, alafu ajifanyaa, anawapenda watanzania, laanaa iwe juu yao, mazayunisit walio laniwaa, wanao kandamiza mataifaa menginee,kwa ufisadi wao na dhuluma zao dhihidi ya mataifaa menginee,
Kuna watu akiri fupi wanadhani hawa wazungu wanawasaidia, congo tu hapo wanafadhili vikundi vinafanya mauji kwa raia, huku wao wakipewa madini na hivo vikundi
Kasaidie homeless people of your own country wacha kuvamia nchi za watu na kuzikalia kimabavu na kuiba rasilimali zao
Kodi zeti tunazokusanya zinaishia kwenye matumiz ya central goverment mishahara na anasa ukisema uchukue mapato ya kodi ya mwaka mzima ujenge reli tu ya sgr basi watumish wasilipwe mishahara miaka mitatu nani atakubali
Wambie viongozi wako wasiende kuomba fara wewe
@@rabsonchisumo6640 true hata muwekezaji akija chimba madini hawez kubali awekeza mitambo yake afu apate share ya 10% haipo hvyo duniani kote
🔥🔥🔥🔥🔥
Tulikuwa tumekosa channel kama hii kwa miaka mingi sana. Ahsante Ali Kiba
stamani hata kumsikia huyu mtu ...... bora russia
Amna kitu kama hikooo nchizoooote za wazungu wana tegemea Africa tu kwa mambi yao kama atuna kitu wana tufatilia wanini si waache tu nani kakwambia Tanzania bula marekani au Africa bila ya wazungu atuishi maisha mazuri. Acheni upuuuziii - me ninge pata nafasi kuwa kiongozi wa juu wange niuwa mapema maana ningezuba njia ya wao kupata mali toka Tanzania 😊 maana tuna jiweza. Tuna aldhi kubwa , madini. , kila aina ya kitu tunachotaka kipo - kinacho takiwa wakija wana nunua tu wanasema tunauziana wanachotaka wata nunuA na sio kupewa waji bebee tu. Jwa kuambiwa mta saidiw _ Apana kwangu tenaaa NO siwezi support hicho ( Nakupenda Tanzania 🇹🇿🇹🇿)
Nioneshe kiwanda cha computer hapa tz
Hata idd Amin aliwachukia wazungu lkn aliomba msaada kwa nchi za kiarabu ....hata uwachukie wazungu husaidii kitu koz wenye technology niwao ....ww ukiwa KIONGOZ pambana kisomesha watanzania WaWe na technology halafu utajitegemea....hebu angalia kwamambo ya internet na mambo mengine Jinsi tunavyowategemea
Akili mgando huo ndio ulimbukeni hakuna asiejua kkiingereza bali uzalendo kwanza hakuna taifa lenye lugha mbili kila taifa lina lugha yake ama kiingereza ama kifaransa ama kiswahili ama ama ama
Huyo kama amekaa muda mrefu hapa tanzania na hajui kiswahili afukuzwe kwa nn unamhoji kwa lugha ya kiingereza wakati hiyo chaneli ni ya watanzania
Tanzania lugha ya taifa ni kiswahili na kiingereza ni lugha rasmi nenda kakataze sekondari na vyuoni wasifundishe kiingereza,
Apa kwenye lugha kaka Tz bdo
Mana hata kwenye Brazil ya nyaraka zinaandikwa kwa kiengereza
Anavyo taja izo pesa yani anawambia mkizingua mtaona tunatoa pesa nyingi kwenu
Great
Analeta mawazo ya kuwategemea wao wakoloni demokrasia imeshindwa
Mmmh, hiyo translations! Manzo mzuri ila next time mboreshe kidogo
Bora mseme ukweli, pesa tele za misaada Kina za hit Husein wanapita kuomba dawa za wagojwa na chakula mitaani
Uyu mzungu yupo sahihi kweli mbona tumefanya Mambo makubwa tuu kipindi cha magufuli
Marekani wanataka nchi za afrika ziwe tegemezi kwao wanakuwa na mana yao, ili iweze kudhidhibiti ziwe chini yao mashariti yao muyafate na rasilimali muwape wizi hao ndio wakoloni mpaka leo wapo, venezuela ilikuwa nchi katika nchi 3 duniani uzalishaji wa mafuta marekani ilivyoona watawala wa venezuela wanaenda kinyume na matakwa yao wakaweka vikwazo vikali vya kiuchumi na kuondoa mashine zao za uzalishaji wa mafuta basi venezuela ikaporomoka sana kiuchumi mafuta walikuwa awauzi hata pipa moja hicho ndicho wanachokitaka wamarekani
🎯🎯
Kasema kweli japo tunachukia
Balozi Michael seems to care about Tanzanian lives more than our own Samia..anaguswa na vifo vya raia kuliko mama Samia anayesema Kifo ni kifo tu
Nawachukia sana marekani wanauwa watu sana duniani
Wanakulisha lkn
@@erasmusaloyce4398acha ujinga ww!! Kwa hiyo mtu anayekulisha ndio unamruhusu aue wengine??
Anayetoka na taulo chumbani kwa mama ndio baba. Lazima ukubali na utaelewa tu
Tuna taka mtu wa namna hii sante sana kikeke we ni tunu ndani ya nchi hii na hii ndio media ya kusikiliza vitu vyenye akili kama hivi ✅
Yaan hawa jamaa ndo mana Magufuli alizunguana nao.....Yaan husikii wamewekeza kwenye viwanda wala ishu ya kutransform uchumi....eti upotevu wa chakula,stigmatism,Malaria etc...mpe mtu uchumi dawa ya malaria atanunua mwenyewe na chandarua atanunua na kujikinga...
Uongo magu hana ubavu wa kuzinguana nao bali ni hisia zetu kupambana na sheteni kuu marekani inaitaji dual na sala za kutosha bila ya hvyo hutoboi
Yani magu azinguane na mmarekan duuuh
@@shubebunyesi542 magufuli alititaidi kupambana na mifumo hiyo ya unyonyaji hapo lazima watakuwa maadui zako umekata mirija ya upigaji. Akuna kisichowezekana zilikuwepo tawala zenye nguvu na zilianguka, hivi sasa unajengwa mfumo wa pande kadhaa zenye nguvu ndio unamkuta mchina mrusi kuna BRICS, baadhi ya nchi zimepunguza matumizi ya dola, dola mmarekani anaitumia kisiasa kuzibuazibu nchi huru ndio mana wanantengeneza mfumo utakaondoa utegemezi wa dola
👊👍✌️.
Hayo makampuni yenu na taasisi zenu zinafadhili ushoga hatuzitaki
Nawaangaliaga na jicho la pembeni, biashara zao ni mitego tu, the more unafanya nao ubia the more unategwa. Siku ukijifanya mjanja tu, wanatoa vyote unabaki unang’aang’aa tu 😆 muulize Mrusi ama Zimbabwe!!!
Hizo akili zisizo taka kujifunza mijadala kwa utulivu na kuheshimu mawazo ya hata wale tunaotofautiana nao ki fikra; ndiko kumetufanya tuwe taahila wa kiuchumi. Tujifunze Zanzibar ambao wenzetu wana uwezo mkubwa sana wa kushirikiana na watu wa mataifa yote vizuri na kufanikiwa. Zanzibar isipoingiliwa na siasa za bara bila shaka kiuchumi watafika mbali sanaaaa. Mimi nimekua nikiona Zanzibar wanaadhimisha matamasha ya Pasaka pamoja, hawabaguani, wanaheshimu watu wote.
Zanzibar ni wapi kwani😊
@@BuhetyShariahana akili uyo
Watoa Comments wengi humu wana ugonjwa wa hysomatical wanhitaji psychotherapy kwa sababu wa uchungu na chuki tofauti na mtu aliye huru ki psychology. Nadhani wangepewa nafasi ya kuwa Mungu. Basi wange ua kila mtu anayekuwa sio wao
Hakuna ugonjwa unaitwa Hysomatic
Labda fafanua kwa faida ya wasomaji
Libya
Muwe wepesi kusikilza kuliko kuandika comments za MNYAMANI TANDARE VINGUNGUTI. acheni ujuaji WAKATI bado tuko ng'ambo ya mto bado kuvuka
Ili kumsaidia mtu njoo ujenge viwanda kwake fanya biashara yenye faida pande zote, njia ya kushughulikia tatizo lililopo badala ya kuzuia siyo
Huyu balozi ni mpumbavu, kama kweli wanania ya kusaidia awasaidie masikini wa kwao marekani wanaijisaidia mpaka mabarabarani!
inamaana wewe kwenu mkichangia watu kwenye mambo tofauti tofauti inaamanisha nyinyi munauwezo wa kumudu hilo tatizo? mpumbavu wewe na ukoo wako
Kwani balii ndiye anayetoa msaada? Acha akili mgando
Libya huwezi fananisha na uwozo wetu huu wa tz wale ipo 10 inchi ambazo hutoa mafuta lakini pia viongozi Hawaii matumbini mwao tz hatuna viongozi wazalendo juu ya hilo
Mm ninachojua ili tusimame lazima tusomeshe watoto wetu wapate elimu serikali ihusike kama mzazi kusomesha watoto nje ya nchi nakuwapa ajira kama ujenz wa barabara hata bandali tuzisimamie sisi .....lkn kama hatuna technology tutabak ombaomba kama tundu lissu alivosema kwamba Taifa la omba omba hadi rais ombaomba
Tanzania huo ni trap hakuna cha AID wala covid 19 hapo munachezewa mchezo tu na Amerika
Kwa hiyo tufanyeje ndugu tupe mbinu
badala ya kuleta hiyo mikopo na kutumia nguvu kubwa yakutukopesha, kwann wasituache tumiliki mali zetu wenyewe, mfano madini yetu tukiyauza wenyewe tu tayyari tunakua matajiri.
Utayauza kwa nani na wao wakikataa kuyanunua
@@KassimAlly-xp4dzumemjibu vzuri haelewi kitu kinaitwa kuuuza yeye anataka kununua tu bidhaa ikikosa soko nani atanunua bidhaa yako itapata hasara sie tunahitaji $ kuliko Yuan
Kwani umezuiwa kuuza tamaa za viongozi wako wanunuaji ni wazungu na wewe nunua bc
Hahahaha utaishia kuyahifadhi tu
@@KassimAlly-xp4dz tanzania tunamadini mangapi ?
Hatakam utatoa kila kitu, ni lazima uheshimu sheria ya nchi na sio upange la kufanya sio kazi yako. Na wewe kikeke umekosa lakufanya ukaona bora uje ulete hayo.?
Ww mjinga hujui chochote unataka kujifanya mjamaa wakato nchi yako no yakibepari Tz ni mojabya nchi maskini kutoka mkiani bajeti yako yenyewe 60% ni ya wafadhili
huwezi sema eti nchi kama ya tanzania haiwez jitegemea nyie wazungu ndo mnatunyonya mnaiba rasilimali zetu halafu viongozi wetu mnawageuza kuwa mawakala wa kupora rasili mali zetu
Sasa si tunaongozwa na viongozi binafsi utegemee nn
"We need each other that point to note"
Mh anaongea sana,dakika tano za mwanzo kamaliza
👎🏾👎🏾👎🏾👎🏾👎🏾👎🏾👎🏾👎🏾 his very good at lying
Bongo tuna madeni 😂😂😂 damn bruh “” nothing’s for free 😂 tukiahindwa kulipa watatunyanganya mpaka bajaji 😂
Apo kwenye mikopo ya CRDB mbona hatupewi wanatuchagulia wao kiasi cha ku2pa
Qn. Who is playing us, is it the USA or TZ govnt and who is doing accounting for this Aid?
HII SASA NDIO MEDIA
Tanzania itasaidiwa mpaka lini?
Tanzania ndio inawasaidia hao lakini wamekuduaza na uchawi wa kisaikolojia, juu chini chini juu, hapo sasa ..
Naandika majina ya wapiga kelele..
Hapo mwandishi ungeuliza kuhusu Africa kuungana na kuwa united States of Africa uone kama angeendelea na Propaganda yake hapo 5:09
There is nothing for free. What you give us, you take three times from us. How do we remain poor if you give us free gift all the time? The most important is the government to fight corruptions. The money stolen by multinational going to the west is more than the so called aid you give us. Tanzania does not need aid, it needs good governance and good leadership.
Balozi Michael seems to care about Tanzanian lives more than our own Samia..anaguswa na vifo vya raia kuliko mama Samia anayesema Kifo ni kifo tu
Huna akili ww yani mzungu anakujali sana kuliko raisi wako ?
Naheshim serekali yngu na ikikosea tutakosoa bila yakuvunja heshima
@@Useri-bn6yelini umekosoa in Public?
@@mackjr5291 we lini ulifanya mapenzi hadharani ???
Aafu siku hizi bangi kali kweli ..
@@section8ight174 hapana bangi hapa nimemuliza kulingana na uwezo wake wa akili
Cz unaweza kumkosoa mtu bila ya mtu mwengine kujua na lengo likatimia vizuri tu kuliko kutaka kumkosoa hadharan kama kwamba unajionyesha
Wewe shoboka hapo lakin usishoboke kuhusu mamlaka ya nchi ya watanzania hatutaki ushoga wala usenge tuna mila zetu na desturi zetu mnatulazimisha kukopa ili mtulazimishe ushoga
Uyo choko, anawasaliti wkina traole kwa kuwashobokea hao
Nyoka hao! Wakisema tembea mi nakimbia tena mputa kwelikweli! AID does NOT exist so is FREE lunch SMH! They are always focused on the BIGGER picture, it’s called SOFT POWER, you get to EAT on the BACKEND!!!!
😂😂😂 kweli umenena
I have got him, we need them and they need us. We need each other. But how USA and Tanzania!!!.........
ambassador speaks good things, it is understandable if you look there is no nation that stands alone in this world.
On the issue of AIDS, I have seen the great work they are doing to prevent new infections, congratulations to them God Bless America today tomorrow and always
Mbona Mzungu ameshika Jukwaa kubwa kwenye maongezi kuliko Mtangazaji
Amemleta like ili aseme yake
Nyerere promoted Ujamaa na Kujitegemea the value of sharing and assisting one another. Not socialism Mr. Ambassador article 151 of the constitution of URT of 1977 “Ujamaa” or “Ujamaa and Self Reliance” means the society’s life principles for building a Nation that observes democracy, self reliance, freedom, equality, fraternity and unity of the peoples of the United Republic;
This whiteman is just a common coloniser ..
@@PatrickMaina-u9l have mercy on him in the name of the freedom to speak
To take risk sio = HATARI. Kiesa ajili chake ni kufanya ujasiri.
Je marekani inanufaika na Nini kutoka Tanzania?
Huwezi kusaidiwa bure, kufa kufaana
PROPAGANDA AND BRAINWASHING..BLACK MAILING AFRICANS RESOURCES
Dead Aid by Dambisa Moyo
THIS!!!
Na wewe ndio dalali wao na unawapendaaa hao jamaa aseee
Marekani ni taifa lilotoa misaada mingi zaid kwa taifa letu, naona kuna watu wanaikashfu marekani kwasababu za udini ukweli nikwamba nchi za uarabuni kama saudi arabia hazina mchango wowote katika taifa letu zaid ya kugawa tende kipindi cha mfungo, USA pamoja na mapungufu yake ila ni taifa ambalo linatoa fursa kwa watu wote duniani bila ubaguzi. Kikeke hongera sana interview kama hizi zinahitajika sana nazani wewe ndio muandishi wa kwanza nchi hii kufanya interview na balozi mbalimbali wakati hapo Kenya mabalozi kila siku wapo kwenye media zao wakiulizwa maswali ya msingi mfano fursa zipi wanawapa vijana hasa kielimu na kazi zs nje.
Madhara ya kuongea bila kufanya deep study na kua na statistical data Hapa uumeongea bila yakua na data nikiuliza data za total Aids taifa iliopokea huwezi sema speek with data. ASANTE
@@khalifakhalifa8570 unabishana na data za wizara ya fedha tz?
@@khalifakhalifa8570 au unataka kusema nchi gani ndio inaongoza kwa kutoka misaada ya kinaendeleo?
@@seneu.2128 Naomba niishie hapa ila plz do research before posting anything
Marekani wanataka Ubakwe nyuma wewe hujielewi.
Wengi walio comment naona kama hawajaelewa kutokana na walichoandika ni vyema kuelewa jambo vyema kabla ya ku comment.