Mgaagaa Na Upwa : Bonoko

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Mwaka 2008 katika eneo la Ngara viungani mwa jiji la Nairobi kulitokea mauaji . Raia kama ada walijitokeza na kutoa maoni yao kuhusiana na kisa hicho. Mmoja wao ni kijana wa mjini, chokora Francis Kimani .matamshi yake ya Kiswahili kwa lahaja ya lugha ya Kikuyu yaliwavutia wengi kwani mwaka mmoja baadaye matamshi hayo yaligeuzwa na kuwa muziki wa ucheshi na wacheza santuri na kutumika hadi kwenye simu za rununu, mbali na kumpa ajira. Mwanahabri wetu Joab Mwaura alimsaka kijana huyo na ndiye anayetupambia makala ya Mgaagaa Na Upwa usiku wa leo.

Комментарии • 85