MCH. NDACHA ALIVYOMCHACHAFYA USTADHI SHAFII LIVE JUKWAANI AKIJIBU SWALI LA MWL. BAKOZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 177

  • @niwagwenemayeye972
    @niwagwenemayeye972 Месяц назад +6

    Barikiwa Ndacha Mungu azidi kukutumia

  • @JordanRichard-s2d
    @JordanRichard-s2d 5 месяцев назад +8

    Kazi nzuri ndacha Mungu akuzidishie nguvu yakumtumikia vyema Amina.

  • @EVA.ERICNAMUFWAKAGE
    @EVA.ERICNAMUFWAKAGE 2 месяца назад +6

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Ndacha

  • @HappyHappy-k4j3i
    @HappyHappy-k4j3i Месяц назад +3

    acheno ushamba wsislam kuulizs maswal yakijinga eti wakristo swalilao ambalonigumu ukiwauliza munguninani ngojanikujulishe mungu nibabayetu mwenyenguvu zote mwenyenguvuzite hanamwiliwala hakuumbwa naanakaa mahali popote upo

  • @njuhinyararaofficial
    @njuhinyararaofficial 5 месяцев назад +13

    💪💪barikiwa zaidi mwalimu Ndacha...🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula Месяц назад +4

    Wasome Yohana Sura 10 Mstari 30 Yesu anasema Mimi na Baba tu Umoja , Yaani Roho . Yohana 10 Mstari 36 na 38 Yesu anasisitiza Baba yu ndani yangu .

  • @Julius-i6e
    @Julius-i6e 22 дня назад +1

    Ndacha,mungu akuongoze,kuzidi ufunze watu ukweli.

  • @DansonFikiri
    @DansonFikiri 7 дней назад

    Mungu atabaki kuwa mungu na sifa zake ikiwa vitu vimefanyika kwa kutamka na mimea huzaa bila wanamume itakuwa shida kwake kuweka kiumbe kwa bikira ili ajifunue kwa mwanadamu ndacha uko sawa

  • @VitavyakirohoTV
    @VitavyakirohoTV 3 месяца назад +5

    Mungu akubariki Sana mwalimu ndacha

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga Месяц назад +1

    ❤❤❤❤❤❤ndacha jeshi la Mungu mtu mmoja uzuri katika kweli Ya Kristo hata
    Iweja ❤❤❤❤❤❤

  • @Mundyboy854
    @Mundyboy854 Месяц назад +1

    Ubarikiwe mwalimu ndacha....wa kubali wasi kubali yesu ni mwana wa mungu na yesu ni mungu

  • @PeninaElia-v3n
    @PeninaElia-v3n 5 месяцев назад +10

    Barikiwa ndacha

  • @markkemboi5301
    @markkemboi5301 Месяц назад +1

    We glorify God for that Grace brother Ndacha

  • @zionlinkmedia940
    @zionlinkmedia940 Месяц назад +2

    Rafiki yangu Ndacha Wacha Mungu akutumie kuwapasha habari waislamu sababu ni kupotea wamepotea. Nitajiunga nawe tuhubiri pia Nina kipawa hicho.

  • @shiracque8524
    @shiracque8524 День назад

    Amen 🙌🙌 ubarikiwesana baba

  • @RobertWesley-z7u
    @RobertWesley-z7u 29 дней назад +1

    Mungu akubariki ndacha

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula Месяц назад +2

    Wakolosai Sura 2 Mstari wa 9 Unasema Katika Yesu kristo Unakaa Utimilifu Wote wa Mungu kwa jinsi ya Kimwili .

  • @RubeniBernard
    @RubeniBernard Месяц назад +4

    Ndacha nakuita tenaaaa natenaaaaaaaaa ndachaaa weweee nitishio kwa hawa jama mungu anakupenda maana wakristo sisi tunaee mwamba we2 yesuuu

  • @constantinennonjela3922
    @constantinennonjela3922 Месяц назад +2

    Ndacha nakupenda sana maana unaondoa utata wa waislam

  • @MasaRobert-u3t
    @MasaRobert-u3t 19 дней назад

    Mungu akurinde mutumishi amin

  • @ZainJemutai
    @ZainJemutai 5 дней назад

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula Месяц назад +2

    Wasome Waefeso Sura 4 Mstari wa 9 Unasema Aliye Shuka ndiye Aliye Paa juu Sana Kupita Mbingu Zote , Nae alitoa Wengine , Mitume , Manabii , Wainjiristi , Wachungaji na Walimu .

  • @RodgersSimiyu-o4q
    @RodgersSimiyu-o4q 7 дней назад

    Barikiwa Ndacha kwa mafunzo mazuri

  • @EvaristEmmanuel-rd7hr
    @EvaristEmmanuel-rd7hr 5 месяцев назад +4

    Kazi yako njema pastor ndacha

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula Месяц назад +1

    Wasome Yohana Sura 4 Mstari wa 24 Unasema Mungu ni Roho na Kweli .

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula Месяц назад +1

    Ndugu Zetu Wasome hii Kwa Makini Watajua Kuwa Mungu ni Nani na Yesu kristo ni Nani !. Yohana 16 Mstari 7mpaka 16 .

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 5 месяцев назад +14

    waalimu wengi wanashindana na mwebrania mmoja ,😂😂😂😂

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba361 5 месяцев назад +7

    Ndacha unajua mpaka unajua tena

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula Месяц назад +1

    Soma hii Mathayo 26 Mstari 38 Yesu anawambia Wanafunzi wake kuwa Roho yangu Ina huzuni Nyingi Kiasi cha Kufa . Jibu , Kumbe Roho ni ya Yesu kristo , .

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 5 месяцев назад +8

    Ndacha dume la mdhahalo East Africa yoooote

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 5 месяцев назад

      Africa yote Kwa sababu kizungu inakaa inamlemea kiasi lakini tungemupa Fair mpaka uharabuni akonane na Ustadi Zakir 🤝🤝🤝🤝 lakini Roho wa mungu yupo nae

    • @Mapenzi2635
      @Mapenzi2635 4 месяца назад

      Yumkini, duniani kote.

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA Месяц назад +1

    Asante ndacha

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wr 5 месяцев назад +7

    Yaan walimu wa kiislamu hawajielewii mwenzao anafindishaa wao wanapigaa kelelee tuu baada ya kusikilizaa yaan hata kwa akili za kawaida unaona kabisaaa wamepungukiwaa na HEKIMA

  • @Simonsimolo-x7h
    @Simonsimolo-x7h 26 дней назад +1

    Amaze😂

  • @haronokesa9545
    @haronokesa9545 29 дней назад +1

    Funza waislamu

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wr 5 месяцев назад +6

    Yaan kuna mwalimu wa kiislamu anachekachekaa tuuu kama Juhaaaa

  • @YunisnafulaTaabu
    @YunisnafulaTaabu Месяц назад +2

    Ndacha sambalatisha iyo horoo ya akina delila

  • @Y0hanaElisha-u2i
    @Y0hanaElisha-u2i 2 дня назад

    Waisram njooni kwa yesu

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula Месяц назад

    Ndacha Wasome Fumbo ili , Yohana 18 Mstari 20 Yesu anasema Mimi nimesema Waziwazi ulimwenguni . Soma Matendo 1 Mstari 2 Anasema Aliwagiza Mitume kwa Roho Mtakatifu Wale aliyo wadhiirisha Nafsi yake ,. Yaani Roho Yake.

  • @mandelasamson8401
    @mandelasamson8401 28 дней назад +1

    Huyu unayechekacheka unafurahishwa na nini wakati mnapigwa nondo

  • @sedekiantibahoha2245
    @sedekiantibahoha2245 Месяц назад +1

    MNG akubariki San ndacha upo siku watakuerewa tu

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula Месяц назад

    Ndacha Wamalize na hii , Wasome Kwanza 1Timotheo 3 Mstari 16 Unasema Mungu Alidhihirishwa Katika Mwili na Kuchukuliwa juu Katika Utukufu wake .

  • @CharlesMbise-hc2sz
    @CharlesMbise-hc2sz 5 месяцев назад +5

    Ndacha safiiiiii

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 5 месяцев назад

      Kiboko yao huyu amejaa roho wa Mungu 🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @MuslimYouthman
    @MuslimYouthman 5 месяцев назад +1

    Jambo ambalo ni gumu sana kwa wakristo ni kuwauliza mungu ni yupi hapo pazito sana

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 4 месяца назад +1

      Hata hujui kutofautisha Kati ya Mungu na mungu, Mungu ni mmoja na YESU ni mwanawe wa pekee

    • @MuslimYouthman
      @MuslimYouthman 4 месяца назад

      @@FridayMwassa kutofautisha kati ya mungu na mungu vipi wakati mungu ni mmoja tu na mungu hajasema ni mwana wake hayo ni madoido ya wakristo soma pia Jeremiah 31:9 Ephraim mwana wa.... zaburi 89:27 Daudi mwana wa.... 2samuel 7:14 watoto wa Daudi wana wa...... jibu ni kwamba mungu hana mwana wala hafanani na yeyote KITABU CHENU KIMEANDIKWA NA WATU KILA AINA UKWELI NA UONGO UMO NDANI PIA SOMA AMRI YA KWANZA USIWE NA MIUNGU WENGINE ILA MIMI MUNGU ANAKUAMBIA HAKUNA MIUNGU WAWILI,WATATU MUNGU NI MMOJA TUU ELEWA WALA HANA MTOTO KAMA NI KUZALIWA BILA BABA KUMBUKA ADAMU AMETOKEA BILA BABA WALA BILA MAMA

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 2 месяца назад

      Rahisi kwa ndacha mana anasoma mandiko hatoi kichwani

  • @CharlesMbise-hc2sz
    @CharlesMbise-hc2sz 5 месяцев назад +23

    Ndacha ni moto wa kuotea mbali, Tanzania nzima hakuna mtu mwenye uwezo wa kufanya naye mjadala

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 5 месяцев назад +4

      kbs kbs umenena

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 5 месяцев назад +1

      Usilolijua litakusumbua IPO siku mtajua dini ya khaki na mtajua huyo Yesu ni Nani Kwa Mungu

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 5 месяцев назад

      @@MdNasr-jm8pj huo ndio wimbo tunajuwa kwa kila muislamu quran 3:19

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 5 месяцев назад +3

      Ndacha ni mwalimu mzuri ILA kuna MTU anaitwa bishop ngonyani , anajua maandiko sio mchezo uliza swali lolote ndani ya biblia unalolijua wewe ,

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 5 месяцев назад +2

      ​@@MdNasr-jm8pj nyie makafiri , njooni kwa Yesu acheni ujinga

  • @AidanoSilvestreSabiniSabini
    @AidanoSilvestreSabiniSabini 5 месяцев назад +3

    Uyo mpumbafu anacheka nini? Mbona akai vizuri.

  • @JordanRichard-s2d
    @JordanRichard-s2d 5 месяцев назад +3

    Ndacha anawapa mafunuo walimu wa kiislam, maana hua mashekh wanasoma biblia bila kujua imejaa ufunuo, ndio maana neno lililopo waefeso litakua na muafaka kamili kutoka ata kitabu kingine . Mafumbo yaliomo yana maana sana kwny biblia pengine yangekua wazi ?. Wenye fitina wangefanya yao kama wale waliopewa rushwa na mafarisayo waseme yesu ajafufuka ingali alifufuka.Tunae roho wakuyafumbua mafunuo haya yote ndio maan kwetu ni rahisi kwakua yesu hukaa ndani yetu, sasa kama autamuamini!! Wapi roho wa Mungu tuliopewa na yesu atakufunulia haya yote. Ni ngumu kidogo kwa muislamu kufunuliwa , kwasaab ili sharti upate ufunuo au uponyanyi sharti uamini. Itabidi uamini kwanza alafu ndio upokee uwezi kupokea alafu ndio uamini maana Mungu wako sio mwizi kusema ngoja atoe pesa kwanza alafu ndio nimpe moyo wangu kama ambavyo tunafanyaga kwny biashara . Ndio maana yesu hakutenda kitu pasipo mtu kuamini. Hio ndio mbinu ya Mungu . Na mbinu ya shetani ni rahisi sana kuijua mfano ubunifu wa maneno na unafiki maana heshima ya mnafiki yatokana na ubunifu wa maneno ,, Ona sasa walimu wao wanashindwa kutulia na kusikia mwenzio akiwapa mafunuo,,, lakini ambapo angekuwepo juu mwenywe alikua akiongea maneno yake akiitaji asikilizwe. Basi kubalini na kumkiri yesu kristo yakua ni Bwana .

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba361 5 месяцев назад +3

    Ukitaka kujua waislamu wameishiwa wote wanajifanya wanachati wake kwa wanaume.hawa watu wanam chukia ndacha kama ukoma aisee mpaka wameacha mchezo wakusilimisha waislamu wenzio kujifanya wakristo😂😂😂😂

  • @HappyHappy-k4j3i
    @HappyHappy-k4j3i Месяц назад +1

    halafu minashangaa mashehe wengi miwaganga wakienyeji au misahafu ndoina elezaivyo

  • @josephbills2099
    @josephbills2099 5 месяцев назад +10

    Sasa mbona wa Islam hawasikiriziyaani wanahangaika tu ndo maana wanashindwa kuelewa

    • @SemaStudio-jn1yv
      @SemaStudio-jn1yv 5 месяцев назад +1

      Absolutely, ukifuatilia vizuri. Waislam hapo lengo lao sio kuelimika. Lengo lao ni kuwafundisha wasikilizaji dini yao inasema nini. Kwa hiyo hawawezi kupatana hata mara moja wala kuelewa kinachozungumzwa hapo.

    • @jakuabdull34
      @jakuabdull34 5 месяцев назад +1

      Tatizo hapana cha kusikilizwa hapo ndacha anaconda tu

    • @GreyAloyce
      @GreyAloyce 2 месяца назад

      @@josephbills2099 ndo man wakifika Jukwan wanazunguka to man hakuna wanachofanya

  • @MathayoCharles-z2u
    @MathayoCharles-z2u 2 месяца назад +1

    Tazama ndacha yupo pekee anawabuluza mashee wengi wanafuata mkumbo

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA Месяц назад +1

    Mwalimu endlea kuwafunulia

  • @MwamvuaHamis
    @MwamvuaHamis 5 месяцев назад

    Pole sana ndacha ulie mwalim lipofu yeah amefumdisha iman ya mungu mmojakwa wana wa islaeli imani ya utatu mtakatifu amefumdisha paulo mtume wenu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 4 месяца назад +1

      Weka andiko, umekalilishwa na vishehe njaa mbumbumbu mzungu wa reli

  • @leomika8473
    @leomika8473 3 месяца назад +1

    Ili risilam lenye kikanzu Cha udongo linakenua vimeno.tu badala yakusikiliza mafundisho ndomaana yanakuwa mabishi

  • @AdamKibona-xe6pg
    @AdamKibona-xe6pg 2 месяца назад +1

    Mtu mmoja anashindana na watu mia 😅

  • @يونيسيونيس
    @يونيسيونيس 2 месяца назад +1

    Mbona Waislamu huwa wanapiga makelele

  • @HappyHappy-k4j3i
    @HappyHappy-k4j3i Месяц назад +1

    sisi tuna msubili yesukristo nyie mnamsubili nani hatauniue sitoki kwenyeimani yangu manandonjia yakwel nauzima wa milele

  • @presenttruthloudcryforthel5338
    @presenttruthloudcryforthel5338 Месяц назад

    Hizi ni dhana tu ,,mbona mnatuletea kitu ambacho hamna ushahidi ,,mitume walisherehekea wapi ama iliandikwa wapi story za sherehe ya kuzaliwa kwa Yesu kwanzia mwaka uliofuatia mbona mnasingizia katika io siku

  • @servantofgod4340
    @servantofgod4340 2 месяца назад +1

    huyo mbaba kwenye meza ya waislam alievaa dera la ugoro mbona anakenua na kurukaruka kama chizi😂

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt Месяц назад

    Ndacha hujui chochote wala dini huna

  • @MaulidMau-v9p
    @MaulidMau-v9p 5 месяцев назад +2

    Mimi niwafahamishe Makafiri kua neno (innalilahi wainailahi rajiun) maana yakeni kua (sisi wote ni WA mwenyezi mungu na tutarejea kwake)

    • @OLUNGAJOSHMAH
      @OLUNGAJOSHMAH 5 месяцев назад

      Andiko gani

    • @leonardchoma3765
      @leonardchoma3765 5 месяцев назад +2

      Uislam ni taka taka tu.Allah,hana Uwezo wowote.

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 5 месяцев назад

      ​@@OLUNGAJOSHMAHIko kwenye Qur'an. Kwenye Biblia haimo.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 4 месяца назад

      ​@@khatibal-zinjibari6956weka hilo andiko.Mnakopi kwenye vitabu vya wayahudi kuhalalisha dini yenu

  • @AidanoSilvestreSabiniSabini
    @AidanoSilvestreSabiniSabini 5 месяцев назад +1

    Kwanini uyo anangaka shana? Mbona akai vizuri na Shafi?

  • @mahsneermohammed2107
    @mahsneermohammed2107 5 месяцев назад +1

    Tunafaa tujuwe mtu huwa hapotei peke yake mpaka apoteze na wenzake ili asiingie motoni peke yake

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 5 месяцев назад +3

    Yesu sio mwana wa Mungu hana mtoto hakuzaa wala hakuzaliwa

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 5 месяцев назад +3

      Huyo ni Allah ambae hana mtoto lkn MUNGU alieumba mbingu na nchi mwanae ni YESU KRISTO.

    • @HONJEB
      @HONJEB 5 месяцев назад +1

      @@0badiaMwasongwe-rt1wr exactly

    • @JohnOuya-w7j
      @JohnOuya-w7j 5 месяцев назад

      Lakini shetani anakizazi ebu fikiria,nakumbuka mwenyezi mungu Ana uwezo,anasema kuwa na inakuwa tafakari

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 5 месяцев назад

      Kwanza Allah ni ibilisi wala sio Mungu😂😂

    • @whatmakesthisthingsimpossi7487
      @whatmakesthisthingsimpossi7487 5 месяцев назад

      @@MdNasr-jm8pj so tukuamini wewe ama Mungu......mungu anasema msikizeni mwanangu.....nawewe unasema hakuzaa na hakuzaliwa......tena ...tukumini ma tuamini mungu?

  • @GilbertNhigula
    @GilbertNhigula Месяц назад

    Wasome hii Mathayo 5 Mstari 11 harafu Wasome na Tito 1 Mstari 16 .

  • @BadJunior-v7g
    @BadJunior-v7g 5 месяцев назад

    maashaallah mashekh hata hawan presh coz kitabu chetu hakin shak ndan yak kulik hich chao kinachojikataa chenyew n ubay hakiwajui zaid ya watu wa israele😅😅😅😅😅

  • @complex7582
    @complex7582 5 месяцев назад +1

    Nendeni mkasikilize Ndacha alivyojibiwa

    • @newforcejv9721
      @newforcejv9721 5 месяцев назад

      Hatuna muda uwo nyny mnarusha vipande kwenye media zenu vya wahadhiri wenu tu

    • @complex7582
      @complex7582 5 месяцев назад

      @@newforcejv9721 😆 😂 zipo zote babu

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 5 месяцев назад

      Tumemsikiliza shafii alivyojibu hana lolote

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 5 месяцев назад

      Wewe kama sharbik wake tuambie Basi 😂😂😂 Mimi ni nacho jua Hawa masheik hupiga kelele tu ka Ndacha anaubiri ,haeana adhabu ata kidogo

    • @complex7582
      @complex7582 5 месяцев назад

      @@mjombawallace4966 ndacha kapiga kelele mpaka koo limekauka

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 5 месяцев назад +1

    Paulo ndio kawafundisha hayo yesu mwana wa mungu mrumi huyo kawapoteza

    • @WAREENG1
      @WAREENG1 Месяц назад

      Sikiliza ndugu yangu:- Unapoongea UONGO ili kuitetea DINI elewa tu hiyo dini unayotetea inakuwa SIYO YA MUNGU BALI SHETANI kwa kuwa Mungu HAENDANI NA UONGO. Umesomewa hapo mafungu Yesu mwenyewe anasema ni Mwana wa Mungu halafu unasema ni Paulo, hivi Paulo alikuwepo wakati wa huduma ya YESU duniani?

  • @AmiriahmadingerezaNgereza
    @AmiriahmadingerezaNgereza 5 месяцев назад

    Ivi nyie wakristo mnaakili Gani Alie waambia mungu kazaa ni nani mpaka mnasema yesu ni mwana wa mungu Yan kama amuwezi kuelewa

    • @ChristianEinstein-t2j
      @ChristianEinstein-t2j 5 месяцев назад

      @@AmiriahmadingerezaNgereza maandiko 1wakoribtho 15:3

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 3 месяца назад

      Mbuz anazaa .mpapai unazaa .amoeba anazaa .Mungu anazaa .

    • @edwardntamaboko3414
      @edwardntamaboko3414 Месяц назад

      Kwani Mungu akiamua Azar hawezi

    • @WAREENG1
      @WAREENG1 Месяц назад

      Tatizo lenu mnajua kuzaa kwa NGONO tu ndio maana mnaahidiana KUPEWA WANAWAKE 72 peponi. Akili fupi sana. Na kumbuka pia dini yenu ililetwa ili KUUPINGA UKRISTO. Ndio maana hata shahada yenu imeanza na hayo hayo. Uislamu ulikuja zaidi ya Miaka 600 baada ya ukristo, na kabla ya ukristo ulikuwepo Uyahudi. Wayahudi HAWAKUAMINI kuwa Yesu ni mwana wa Mungu ila WALIKIRI kuwa YESU MWWNYEWE KAJIITA MWANA WA MUNGU. Walau hawa Ni WAKWELI japo HAWAKUBALIANA na jambo husika. Ninyi mambo ya Msingi ya Yesu mnayapinga ili tu muendelee kudanganya watu

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 5 месяцев назад +1

    Mada ya jana walikua wakisaidiana ndacha na mwamkemwa leo hawawezi kusaidiana hoja mana huyu anasema ni mwana mwankemwa anasema huyo yesu yeye ndio baba na yeye ndio mwana acheni ubishi ukristo hauwezi kuwa dini mnaunga unga sana maandiko

    • @WAREENG1
      @WAREENG1 Месяц назад

      Huo uislamu wenu ndio HAKUNA KABISA. Yaani hata Muhammad aendako HAJUI, wala atakavyofanywa HAJUI!

  • @adinanihashim7
    @adinanihashim7 5 месяцев назад +1

    Huyu ndacha hamna kitu anafoka sio kama shaffy jana aliumbuka sana me nilikuepo

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 5 месяцев назад +2

      Kwanza Allah sio Mungu hivi unalijua hilo😂😂😂

    • @BadJunior-v7g
      @BadJunior-v7g 5 месяцев назад +1

      kila shekh anamtak yey na akimshindwa anapoint mwingin 😅😅😅

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 5 месяцев назад

      ​@@martinmkoba361kabisaaaa sio mungu alafu nafikiria hautijui 😂😂😂😂

    • @mjombawallace4966
      @mjombawallace4966 5 месяцев назад

      ​@@BadJunior-v7g anataka kuwafunza neno la mungu Nyinyie Wana wa Ismael 🤣🤣🤣

  • @sosdododo5653
    @sosdododo5653 5 месяцев назад +2

    Ikiwa yesu mwenyewe mara ni mungu mara ni mwana wa mungu hata hamujijui muna jicontradiction wenyewe na hio bible yenye errors thousands ndani yake,,muhim ikiwa yesu mwenyewe hajui siri za mungu nani mwingine atajua yeye yesu asema hajui kitu ila mungu peke yake ndio ajua ,,wakristo watu walopotea mungu awasaidie wamepotea nawazidi kupotea

    • @barakamwantolwa4336
      @barakamwantolwa4336 5 месяцев назад +3

      @@sosdododo5653
      Soma kitabu chenu...mumeambiwa mambo ya kiroho ninyi hamuwezi...waulizeni

    • @sosdododo5653
      @sosdododo5653 5 месяцев назад

      @@barakamwantolwa4336 alhamdulillah sisi tuko na kitabu natuna kifwata vizuri hakina ubabaisho hata kidgo kuna sura ikhlas inatujulisha mungu mmoja peke bila kupoteza nafasi yeye tu ,,,sasa njoo kwako wewe na wakristo wenzako muko na kitabu GANI?

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 5 месяцев назад +1

      Yesu ni complex usipokuwa mkristo na roho wa Mungu ukakosa Yesu kwako huwezi kumuelewa

    • @sosdododo5653
      @sosdododo5653 5 месяцев назад

      @@charlesboniphace2249 wapi yesu alisema yeye ni complex usimbandikie mambo ya urongo,,alafu very simple yesu alijitambulisha yeye ni nani kwa John 17,3,,manake hapo alisema kuhusu internal life kama kuna jambo lanyongeza angeliweka hapo lakini hakuna isipokua yeye ni mtume ame tumwa full stop

    • @ianak4
      @ianak4 5 месяцев назад

      @@barakamwantolwa4336 Umeshajichagulia fungu lako, ndio maana jambo hili limefichwa usilielewe, upo jangwani huoni njia (ambayo ni Yesu). Yesu alishafunuliwa siri zote na Baba yake na hata unayoyawaza wewe anayajua "Luka 5 21Waalimu wa sheria na Mafarisayo wakaanza kujiuliza: “Nani huyu anayesema maneno ya kufuru? Hakuna mtu awezaye kusamehe dhambi ila Mungu peke yake!” 22Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?"

  • @mrx8608
    @mrx8608 5 месяцев назад +1

    Alafu mwl ndani nikushauri jambo Hawa jamaa wao wanafundishwa kulingania dini iwe Kwa kweli ama uwongo pls mda wa kuachan nao hao sasa hubir injili Kwa watu ytosha bro imni zetu diff sana hawaamini ufufuo

  • @noorbawaazir9035
    @noorbawaazir9035 5 месяцев назад +1

    Ttzo la ndacha katoka nje ya makubaliano ya vitabu vipi kutumia..na waislam wangetumia vitabu vya watu wengine pasingetosha hapo.😅

  • @MidoMidomore
    @MidoMidomore 5 месяцев назад

    Baada ya Poul kutengeneza ukrito,wafuasi wamekosa pa kushika

  • @BadJunior-v7g
    @BadJunior-v7g 5 месяцев назад

    kam roh wa mung unafunuliwa kwenu mlio amin kuw et yes n mung mbon kutwa mnajazan kwa mabast wa uwong😂😂😂😂
    si mmefunuliw n mu g yup ndan uen mbon mnamapepo n majin kwa makanis 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @MarcellinMitamo
    @MarcellinMitamo 19 дней назад

    Asante ndacha