MBOWE ACHAFUKWA ATANGAZA MAANDAMANO"SERIKALI ZINGATIENI MAONI YA WADAU MASUALA YA UCHAGUZI,TUMECHOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #uhondotv #uhondo

Комментарии • 25

  • @mtunguja1635
    @mtunguja1635 8 месяцев назад +1

    Miaka nenda rudi ni wewe Mbowe tu? Umekuwa Mfalme? Wapishe wenzako, au hiyo Demokrasia ni yako wewe tu? Nyie Chadema endeleeni kuburuzwa, na mmekutana na kichaa Charamira atawachapa bakora kama alivyo wachapa wanafunzi. Kama huyu Mbowe mwamme kweli atangulie yeye na familia yake.

  • @princekelvin5834
    @princekelvin5834 8 месяцев назад

    Baba wa Taifa bado anazungumza hata akiwa amepumzika kaburini

  • @lamecklugodi6472
    @lamecklugodi6472 8 месяцев назад +1

    Ni kutoa ushauri, ninyi hamweleweki magufuli alibana matumizi na kujenga miradi mikubwa lakini mlindharau na kumtukana ninyi ni matapeli

  • @lamecklugodi6472
    @lamecklugodi6472 8 месяцев назад +1

    Jaribuni muone mtapigwa na sisi wananchi hatuandamani nendeni wenyewe

  • @eliezerthomas785
    @eliezerthomas785 8 месяцев назад +1

    lakini mbowe wanakudanganya mbona huu ni wakati wa kilimo na ni uti wa mgongo!!!

  • @lamecklugodi6472
    @lamecklugodi6472 8 месяцев назад +1

    Hatuna mpango na maandamano na utangulie wewe

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 8 месяцев назад +2

    Maandamano lazima

  • @lamecklugodi6472
    @lamecklugodi6472 8 месяцев назад +1

    Wananchi msikubali kuingia barabarani Hawa si wapenda amani ni Vurugu HAWAFAI

    • @oscarkasalile3966
      @oscarkasalile3966 8 месяцев назад

      Kwanini wasikubali kwanza hata mikataba mliyoingia kwenye Bandari no wizi mmefanya kwanini tusiingie

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 8 месяцев назад

    Tunakusubirini kwa hamu ingieni muone tutawapiga kama tulivyompiga Jussa uchaguzi na kama ninasema uwongo kamuulizeni Jussa ....

  • @lamecklugodi6472
    @lamecklugodi6472 8 месяцев назад

    Mimi kama kiongozi wa Dini nawatangazia waumini wote msikubali waende wao mtauawa,ACHENI kabisa hiyo ni Vurugu haifai

  • @borcherwilliamborchert3090
    @borcherwilliamborchert3090 8 месяцев назад

    Nichi imekua inaongozzwa na wahuni kwanza juu mpaka chino wahuni tupu..

  • @lamecklugodi6472
    @lamecklugodi6472 8 месяцев назад

    Hiyo haifai na hatukubali huo ni ulafi wa madaraka😂😂😂 hiyo ni vurugu

  • @lamecklugodi6472
    @lamecklugodi6472 8 месяцев назад +1

    Wanajeshi kuweni tayari kwa muda wa miezi miwili yote lindeni tunu yetu ni amani ni Bora tubaki na kipato kidogo amani iwepo Vita ikiingia hata kidogo ulichonacho kitaharibiwa nenda kawaulize wapalestina na wacongo utajifunza kitu

    • @lamecklugodi6472
      @lamecklugodi6472 8 месяцев назад +1

      Mchungaji unafaa kuwa kiongozi safi sana

    • @lamecklugodi6472
      @lamecklugodi6472 8 месяцев назад +1

      Laiti Samia angekupa hata ukatibu tarafa ungefaa sana kuisaidia serikali yetu Asante baba endelea hi vyo hivyo

  • @princekelvin5834
    @princekelvin5834 8 месяцев назад +1

    Baba wa Taifa yeye ni muhasisi wa vingi hata elimu, hivyo tukimpuuza yeye tutaingia matopeni na Kisha kututokea puani

  • @lamecklugodi6472
    @lamecklugodi6472 8 месяцев назад

    Mtaumizwa acheni mawazo yenu

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 8 месяцев назад

    Mr Mbowe utakuwepo mbele ukiyaongoza maandamano hayo? Au utayafuatilia kwenye TV 📺 sebureni kwako.

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 8 месяцев назад

    Hahaha
    Inchi imefunguliwa, Mana ajiandae sasa.😂😂😂

  • @princekelvin5834
    @princekelvin5834 8 месяцев назад

    Licha ya kwamba hatumuoni