Miaka nenda rudi ni wewe Mbowe tu? Umekuwa Mfalme? Wapishe wenzako, au hiyo Demokrasia ni yako wewe tu? Nyie Chadema endeleeni kuburuzwa, na mmekutana na kichaa Charamira atawachapa bakora kama alivyo wachapa wanafunzi. Kama huyu Mbowe mwamme kweli atangulie yeye na familia yake.
Wanajeshi kuweni tayari kwa muda wa miezi miwili yote lindeni tunu yetu ni amani ni Bora tubaki na kipato kidogo amani iwepo Vita ikiingia hata kidogo ulichonacho kitaharibiwa nenda kawaulize wapalestina na wacongo utajifunza kitu
Miaka nenda rudi ni wewe Mbowe tu? Umekuwa Mfalme? Wapishe wenzako, au hiyo Demokrasia ni yako wewe tu? Nyie Chadema endeleeni kuburuzwa, na mmekutana na kichaa Charamira atawachapa bakora kama alivyo wachapa wanafunzi. Kama huyu Mbowe mwamme kweli atangulie yeye na familia yake.
Baba wa Taifa bado anazungumza hata akiwa amepumzika kaburini
Ni kutoa ushauri, ninyi hamweleweki magufuli alibana matumizi na kujenga miradi mikubwa lakini mlindharau na kumtukana ninyi ni matapeli
Jaribuni muone mtapigwa na sisi wananchi hatuandamani nendeni wenyewe
lakini mbowe wanakudanganya mbona huu ni wakati wa kilimo na ni uti wa mgongo!!!
Hatuna mpango na maandamano na utangulie wewe
Maandamano lazima
Wananchi msikubali kuingia barabarani Hawa si wapenda amani ni Vurugu HAWAFAI
Kwanini wasikubali kwanza hata mikataba mliyoingia kwenye Bandari no wizi mmefanya kwanini tusiingie
Tunakusubirini kwa hamu ingieni muone tutawapiga kama tulivyompiga Jussa uchaguzi na kama ninasema uwongo kamuulizeni Jussa ....
Mimi kama kiongozi wa Dini nawatangazia waumini wote msikubali waende wao mtauawa,ACHENI kabisa hiyo ni Vurugu haifai
Nichi imekua inaongozzwa na wahuni kwanza juu mpaka chino wahuni tupu..
Hiyo haifai na hatukubali huo ni ulafi wa madaraka😂😂😂 hiyo ni vurugu
Wanajeshi kuweni tayari kwa muda wa miezi miwili yote lindeni tunu yetu ni amani ni Bora tubaki na kipato kidogo amani iwepo Vita ikiingia hata kidogo ulichonacho kitaharibiwa nenda kawaulize wapalestina na wacongo utajifunza kitu
Mchungaji unafaa kuwa kiongozi safi sana
Laiti Samia angekupa hata ukatibu tarafa ungefaa sana kuisaidia serikali yetu Asante baba endelea hi vyo hivyo
Baba wa Taifa yeye ni muhasisi wa vingi hata elimu, hivyo tukimpuuza yeye tutaingia matopeni na Kisha kututokea puani
Mtaumizwa acheni mawazo yenu
Mr Mbowe utakuwepo mbele ukiyaongoza maandamano hayo? Au utayafuatilia kwenye TV 📺 sebureni kwako.
Haha haha
Hahaha
Inchi imefunguliwa, Mana ajiandae sasa.😂😂😂
Licha ya kwamba hatumuoni