MBOWE BILA KUPEPESA MSIBANI, ATOA MAKAVU "NIMESIKITISHWA NA HISTORIA YA LOWASA ILIYOTOLEWA"
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- MBOWE BILA KUPEPESA MSIBANI, ATOA MAKAVU "NIMESIKITISHWA NA HISTORIA YA LOWASA ILIYOTOLEWA"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Angalia hiyo speech utaipenda,Hakika CHADEMA wana Viongozi waliobarikiwa
Uposahihi kiongozi mungu atujalie mwisho mwema inshallah
Duuuh asee ✌️ CHADEMA tunaviongozi wenye weledi na hekima sana sijui kwanini bado tumekomaa na mke mmoja CCM bila kubadili radha ya siasa asee 🙌 MR. MBOWE FOREVER TOGETHER
Well Spoken H.E Freeman Mbowe ..
Noma
Sema Mbowe anajua kuongea aisee
My favorite politician 🙏
Ccm ni wanafiki sana
Mnafiki mama yako shenzi sana
@@halimamasai2234acha matusi toa fact......
@@halimamasai2234 mbn umejibu kwa hasira sana
Good speech
Upewe mauwa mbowe msema ukweli mpenzi wa Mungu
Ni kweli kabisa
Exactly facts, Namkubali sana sana Mbowe Mungu akulinde daima,
Noma
Ukiona Mtu anapigiwa Makofi msibani na sio Machawa wa ccm wanampongeza, "Nani kama mama" Basi, Heshimu alichosema
Hotuba nzuri sana mbowe unaongea ukweli , sio mnafiki
Kama kweli ni muungwana Mbowe angetubu maana ndio ilikuwa nafasi muhimu sana, kwani Kwa namna ambavyo walimtukana lowassa Kwa miongo kadhaa kama fisadi mkuu huku wakimtaja katika list of shame,,,,, kwahiyo bado hajafikia hiyo level ya ukweli
@@jumakapilima7295walimsamehe kwa vitendo baada ya kujua ukweli na ndio maana wakampa nafasi kubwa kwene chama ccm waka mtukana mbowe kwamba kauza chama.
This man Freeman Mbowe is full of wisdom. Only the wise can understand him!
Mbowe ni muwazi, na mkweli, yeyote anaweza kumuelewa, labda Kwa asiyetkskumuelewa.
He is not wise at all. That’s a family, they have their decision as family, what if it’s the Late himself who said do not include that history when I rest, as you all know he was sick for a very long time, it’s not a sudden death.
Mbowe had to respect family decision of not to include that history.
In this he is not wise at all.
@@nin6324 hayo ni mawazo yako na yawale wanaotaka kupepesa ukwel histor kwa mtu alie kua mtumishi wa umma tutasema yote yapo ya famili na mengine ni kitumishi
He is a Freeman with wisdom
You cannot erase history. @nin6324
Kiongozi mbowe umesema ukweli hata ccm wanafahamu kuwa uchaguzi ule luwasa alishinda kwa kishindo
Mbowe ndo maana tunataka awe mwenyekiti wa Chadema
Mbowe is another a wise states man in our country will remember him one day
You’re right but hypocrisy of country leaders they will still deny it😢I love Mr Mbowe
🙌🙌🙌🙌🙌
mbona hagombei??
Hakika
Mbowe najua hekima kubwa unayo huo ndio ukubwa wengine wanapayuka
ccm ni wagonjwa na waongo MUNGU awaponye
Mungu akubariki sana,Ukweli utakuweka huru.
Ukiona mtu anamkosoa Mbowe kwa hotuba hii, jua IQ yake ni ndogo sana sana!!!! Mbowe is one of God's talented leader, achana na wale wachumia matumbo. This man is brave, intellectual, wise and always talks sense.
Kilabinadamu anamapungufuyake usihukumumtukwa uelewawako
@@salehwaziri5062 upo sahihi. Ndiyo maana nimesema kwa hutuba hii. Sijazungumzia maisha yake. Ila hutuba hii.
Ni Mfanya Biashara wa Kisasa.
He is determined pretty much ....
Mbowe is the best
A millions dollar worth speech 😊
Grateful, wise man. Very objective
Asante. Mh. Mbowe kwa kutumia vema hekima, busara na ujasiri aliokupa mwenyezi Mungu. Umeweka vuzuri historia ya Mh. Lowasa iliyotaka kufichwa na watu wanafiki na waoga wa kivuli chao. Mungu akubariki.
Hata yeye ni mnafiki, bado hajaweka historia ya Richmond, na matusi ambayo. Chadema walimtukana karibu Kwa miongo kadhaa ikiwemo kumtaja katika list of shame,,,
@@jumakapilima7295 ni baada yakudanganywa na hao ccm
Kabisa ccm wabaya sana wanaifanya siasa kuwa ni vita
He spoke very well. Viva Tz kwa upendo, umoja na udugu pia wa pekee. God bless Tanzania. Amen 🙏🙏
Kwa kuongea ukweli imeandikwa
This man is full wisdom..Hon. Mbowe congratulations,
Mh Freeman mbowe oyeee 🎉❤🇹🇿🙌💯💣🏆⚘️🇬🇧
You showed them a way to go home 🏡 🚶♂️
Speech nzuri sana hongera kwa ujasiri
Hakika ni makosa kukwepesha kuwa aliitumikia Chadema ipasavyo so lazima iwekqe kwenye historia
Our leader Mr. Mbowe, the wiser of them. Hotuba zake siku zote zinatufunza mambo mengi. Respect to you our father!
Mbowe umesema ukweli na ukweli ni mpenzi wa Mungu.
Unajua kuna watu kwenye taifa hili wanawaza kulinda madaraka hata kwa udanganyifu na ubinafsi ili kujijenga kisiasa bila kujali kuwa ubinafsi wao unaligawa taifa na kuleta chuki kwa wananchi. Kulikuwa hakuna tija yoyote ya kuandika historia ya Kibaguzi. Hongera Mbowe kwa kupasua majipu yao.
Swadktaaaaa
Ccm mpoo,au mmeishia kufakamia minyama,ng'ombe 100 si haba.Mbowe ndiyo. Kiongozi wa mioyo ya wataanganyika.mpo kila nyama ccm kwa nyama mko vizuri nawajua.
Kwako
Kweli kabsa wamesahau chadema au wanaogopa kusema ukweli
Ccm mazwazwa wengi hamnazo mungu awa samehe
Huyu Jamaa chadema isitokee siku wakalogwa wamwache asiendelee kuwa Mwenyekiti wao..
Asee angepewa tu maua yake jamani
Wise men Mkt mbowe, very Gentlemann, good speech
Aibu kwa walioandaa wasifu wa marehemu tunajua alihama Ccm na kwenda Chadema! Tunashukuru Mbowe kwa kuliweka sawa
Waloandaa Familia. Are you saying walishinikizwa?
Mbowe ameongea vyema sana
Hu ni ujumbe wa muhimu. Ubarikiwe mwenyekiti Mbowe👏👏👏
Sikia vizr na angalia mzee mbowe navojua kuandaa hutuba hii nikweli kabisa ❤❤❤❤
Hv ameandika popote kweli???
Lazima aseme ukweli kwanini historia ifichwe na wakati mzee amefanya mambo mengi mazuri kwenye siasa na kujua kidemokeasia acha aseme ukweli Mbowe kaongea vizuri sana kwanini historia ifichwe ukweli umuweka mtu huru kulikoa angeondoka na kinyongo be wise be patient
Kila mtu anawazo lake, kikubwa mtu akifa Ni kumuombea Kwa mungu Tu na mungu NDIYE hakimu. Ukisema walilificha hili la mboye, pia hawa hawa chadema walimwambia lowasa fisadi. Na Richmond. Mbona mboye akusema Samahani tulimchafua marehemu kumbe richmond sio ya kwake!!! Si mnataka yazungumzwe yote!!? Tuache siasa misibani. Mzee Wa watu tumuache akapumzike
Safi SANA umewapa ukweli. Hata hiyo nafasi umeipata kwa. Kuwa Samia yupo. Hao waapuuzi wengine wasingekupa hiyo nafasi. Kama walivyofanya karimjee.
Kabisa
Nafasi kaipata kwa mlango wa nyuma
Wala sio kwa sababu samia yupo ila ni kwa sababu ya mama Regina lowassa ndie kapendekeza aongee kwa niaba ya family ya Lowassa.
Na kama kaongea kwa niaba ya familia , basi wajue ni mtu muhimu kwenye hiyo familia sio Kichwa maji kama Bashite ati anasema hawakuwahi kumjulia hali .
Mungu akubariki sana mh Mbowe mpaka machozi 😂😂😂
Mungu wapokee viongozi wetu bila ya kujali dini zao wanapo kufa kwa kubadilisha maisha ya watanzania walio waongoza kuwa maisha yao ya huko na uzidishe hasira zako kwao
amepga palepale kwenye mshono dasekii
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Huyu mzee anajua duuh bonge la speech rip ngoyai
Speech well organized and presented. Mbowe is always wise. God bless you Mr. Chairman.
Nakukubali sana mweshimiwa mbowe Mungu awatunze wanachadema mna neema sanaa na hekima ya kimungu
CCM walikwepa historia hii ya Lowasa siyo kwa bahati mbaya bali ni kwa sababu historia hii inawaaibisha CCM. Fikria walivyomtukana na kumdhalilisha alipogombea uraisi naeye hakurudisha neno lolote baya kwao. Fikiria kuwa Lowasa kweli alikuwa mgonjwa na hii ilikuwa dhahiri mbele ya macho yetu hatukuhitaji kuambiwa na mtu. Lakini bado akaweza kupata kura milioni 6 kwa 8 za mgombea wa CCM tena wakakiri wenyewe kwamba walilazimika kufunga goli la mkono! Huu ulikuwa ujumbe wa watanzania kwa watawala wakongwe waliochoka na kulewa madarakani kwamba tumewachoka na tulikuwa tayari kupigia kura hata jiiwe kuliko wao!
Pointless
Mh. Mbowe jambo ambalo pengine hulijui ni kwamba hakuna kitu cha ovyo kama historia ya Tanzania. Kila kinachoandikwa ni kwa maslahi ya watu flani na si taifa
Ccm mmezoea kuwafanya watu kama ni wajinga
familia ya lowasa wana akili sana waliochagua mbowe amalizie ukweli waloficha mafisi. HISTORY COMPLET
Kwel
Nashindwa jinsi ya kusema ubarikiwe sana mkuu wangu
Tetemeko latokea wakati jeneza la LOWASA linashushwa aridhini huku Manyara
Kwa hyo unataka kutuambiaje. Huko manyara tushawaziea na matetemeko yenu
come back to "ALLAH" 😭 Allah ndio Mola wetu mlezi wa Dunia yote hii iwe ulaya ,Africa,Asia, america n.k ni yeye anaetusimamia Kwa Kila jambo. Hakuzaa wala jakuzaliwa Hana sifa za wanaadamu ,,zingatieni ndugu zangu Kila nafsi itaonja Umauti" na shughuli ndio inaanza rasmi baada ya kufa , kwaiyo milango ya Toba Iko wazi tubia Rudi Kwa Mola wako acha kumshirikisha ALLah ,nafsi ndio inajutia asaivi na anaomba apewe nafasi angalau ata sekunde aje Duniani aje kuufata muongozo wote ambao Mungu alitaka tuufate lakini wapi muda ulipewa ukauchezea ."Mwenyezi Mungu haikalifishi nafsi yoyote ila kwa kadiri ya iwezavyo. Faida ya iliyo yachuma ni yake, na khasara ya iliyo yachuma ni juu yake pia".
Thanks
❤
Mbowe wewe ni baba mungu akubariki sana❤❤
This man took the truth, fact huna baya baba mheshimiwa mbowe..
Apumzike mahala pema
Mmmh!!! Kweli hakupepesa macho
Hongera sana mbowe umempa lowasa heshima yake hao ccm ni walumaji sio kwamba hawajui ni kiburi na ukatili umewajaa kama vile wao hawatakufa
Yaani wamebana wameachia
Ukweli ni upendo.
Mbowe makini mnooo
Mungu wa Mbinguni Akupatie Umri wakushiba na Afya tele❤.. ili tupate Katiba Mpya na Tume Huru.. Ili tuonozwe na viongozi tunaowachagua😂
BRAVO Hon; Freeman Mbowe 💪
Natamani katiba Mpya ingeanza Leo Mbowe utwae urais ,, Yaani unafaa kuwa kiongozi kuanzia kujieleza mwonekano Yaani ukisimama TANZANIA hutulia
Hata wewe mbowe ni mnafiki,hujaweka historia sawa sawa ya Lowassa, hujatuambia kuhusu Richmond, hujatuambia mlivyomtukana kwa miongo kadhaa mkimtaja kama fisadi mkuu na hata ile list of shame ya mwembe yanga hujaisema hapa ili kuweka kumbukumbu sawa,,,,huo nao ni unafiki wako mkubwa Mhe. Mbowe
Unalitendea haki jina la "FREEMAN "..UMEONGEA UKWELI MCHUNGU MBELE YA MAHAFIDHINA WATEKA MSIBA..WALIMBAGAZA AKIWA HAI,MSIBA WAKE WANAUTEKA..
Sisiem wajing san yaan unaandikaje historia ya lowasa bila kutaja 2015 😂kwanz n hata kura alishindw sitak kuamn ule umati et kula milion6 big no alikuw n ushawshi kuliko chama kizma cha kijan
Umesema ukweli mtupu bwana mbowe
iyoo hutuba ni bola sana sio Hao wanao msifia 2 rais
Full msuto! Umetumia akili nyingi kufikisha ujumbe
Amewasuta hadi aibu
Amewasuta hadi aibu
Nimependa anasema.. mh loasa nayeye ni muhanga ktk mifumo yetu ya uchaguzi kapata kura ml6 lakini ndo ivo tn kapigwa za uso
Mungu ampe pumziko la amani mzee wetu,,😢😢
Mh Mbowe mimi siyo Chadema. Ila wewe ni jembe. Ni kati ya viongozi tunaowahitaji nchi hii.
This is my chairman
Very good mr chairman....take your flowers 🌹🌹
Hii inaonyesha watawala wanavyotafsiri upinza. Wanaona ni uadui. Wanaona kuwa upinzani ni dhambi.
Mbowe always never disappoint
Nakukubali sana mweshimiwa mbowe Mungu awatunze wanachadema mna neema sanaa na hekima ya kimungu
Kumbe walimhujumu lowasa kwenye historia yachama 😢😢😢
Ni hery kuwa na viongoz wachache wenye hekima ,kulikon kuwa na wengi wenye vichwa maji,
Mbowe nijembe sana
Poleni sana familia ya mzee wetu lowasa
Hii speech imefuta historia iliyoandikwa na Ccm😂😂😂
Kweli kabisa na ndiyo yenye nguvu zaidi.
CCM Wanakuawaje Wajinga hadi Kwenye Misiba ya Watu Wengine.?
Halalamiki lakini anaongea ukweli yanini kuficha ukweli?????
Eti Mbowe kama sehemu ya familia!!!duh😅😅😅
Yupo sahihi,Nenda darasani kasome lugha ya kiswahili pamoja na matumizi ya neno" kama', in English examples mbowe is(ni) a family of........ And another example Mbowe as (kama) a family of.......
Mbowe uko vizuri. Umeongea ukweli usiopingika tena kwa unyenyekevu
Mbowe hakika msomj, mbobezi, mtu msema kweli hongera
Kwa hilo namuunga mkono mh. Mbowe why historia ifichwe 😂
hakuwa ubaguzi wa kidini wala kikabila hii nimeeielewa Sanaa..!
Mbowe uko vizuri kiongzi wa chadema!!
Kwanza hapo tu umewakosea
Walio handaaa wasifu wake
Ruwassa but una hadabu na mbona
Halilud #ccm uyo mzee #ruwasa
Mbowe kuwa na hadabu #raissamia
Ukitaka aongee nn amesema
Kuna viongozi walio baatika
Kujiandikia Vitabu lakin rowasa
Nazani hata andikiwa vitabu
Chepi kibaya una hatabu tukutane
#2025
Kwa jinsi alivyowatoa jasho 2015 lazima wajisahaulishe😂
Nimeipenda hiyo mheshimiwa mbowe unahekima sana
I only see wisdom in him👏
Balikiwaaa sana kiongozi safi!
Huyo ndo kiongozi wa chama kikuu Cha upinzn hbn
Bravo kamanda , ukweli humuweka mtu huru
Hata Mheshimiwa Warioba alikuwa mkweli sana. Hii nchi ngumu sana