MBOWE BILA KUPEPESA MSIBANI, ATOA MAKAVU "NIMESIKITISHWA NA HISTORIA YA LOWASA ILIYOTOLEWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • MBOWE BILA KUPEPESA MSIBANI, ATOA MAKAVU "NIMESIKITISHWA NA HISTORIA YA LOWASA ILIYOTOLEWA"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 438

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 7 месяцев назад +69

    Angalia hiyo speech utaipenda,Hakika CHADEMA wana Viongozi waliobarikiwa

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 7 месяцев назад +9

    Uposahihi kiongozi mungu atujalie mwisho mwema inshallah

  • @Presenterramjtz
    @Presenterramjtz 7 месяцев назад

    Duuuh asee ✌️ CHADEMA tunaviongozi wenye weledi na hekima sana sijui kwanini bado tumekomaa na mke mmoja CCM bila kubadili radha ya siasa asee 🙌 MR. MBOWE FOREVER TOGETHER

  • @kaktimezone
    @kaktimezone 7 месяцев назад +3

    Well Spoken H.E Freeman Mbowe ..

  • @KhaliddyRicco-tz2po
    @KhaliddyRicco-tz2po 7 месяцев назад

    Noma

  • @samsonhenry3871
    @samsonhenry3871 7 месяцев назад +4

    Sema Mbowe anajua kuongea aisee

  • @kelvinpaul7062
    @kelvinpaul7062 7 месяцев назад

    My favorite politician 🙏

  • @NobertAgustin
    @NobertAgustin 7 месяцев назад +6

    Ccm ni wanafiki sana

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 7 месяцев назад

      Mnafiki mama yako shenzi sana

    • @estherjustine8251
      @estherjustine8251 7 месяцев назад

      ​@@halimamasai2234acha matusi toa fact......

    • @NobertAgustin
      @NobertAgustin 7 месяцев назад

      @@halimamasai2234 mbn umejibu kwa hasira sana

  • @nassibu-hy5ny
    @nassibu-hy5ny 7 месяцев назад

    Good speech

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw 7 месяцев назад

    Upewe mauwa mbowe msema ukweli mpenzi wa Mungu

  • @BongaMizzo
    @BongaMizzo 7 месяцев назад

    Ni kweli kabisa

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 7 месяцев назад +45

    Exactly facts, Namkubali sana sana Mbowe Mungu akulinde daima,

  • @KhaliddyRicco-tz2po
    @KhaliddyRicco-tz2po 7 месяцев назад

    Noma

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 6 месяцев назад

    Ukiona Mtu anapigiwa Makofi msibani na sio Machawa wa ccm wanampongeza, "Nani kama mama" Basi, Heshimu alichosema

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 7 месяцев назад +40

    Hotuba nzuri sana mbowe unaongea ukweli , sio mnafiki

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 7 месяцев назад

      Kama kweli ni muungwana Mbowe angetubu maana ndio ilikuwa nafasi muhimu sana, kwani Kwa namna ambavyo walimtukana lowassa Kwa miongo kadhaa kama fisadi mkuu huku wakimtaja katika list of shame,,,,, kwahiyo bado hajafikia hiyo level ya ukweli

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 7 месяцев назад

      ​@@jumakapilima7295walimsamehe kwa vitendo baada ya kujua ukweli na ndio maana wakampa nafasi kubwa kwene chama ccm waka mtukana mbowe kwamba kauza chama.

  • @rugabelamwijage5091
    @rugabelamwijage5091 7 месяцев назад +89

    This man Freeman Mbowe is full of wisdom. Only the wise can understand him!

    • @jumanesaidi7635
      @jumanesaidi7635 7 месяцев назад +2

      Mbowe ni muwazi, na mkweli, yeyote anaweza kumuelewa, labda Kwa asiyetkskumuelewa.

    • @nin6324
      @nin6324 7 месяцев назад +3

      He is not wise at all. That’s a family, they have their decision as family, what if it’s the Late himself who said do not include that history when I rest, as you all know he was sick for a very long time, it’s not a sudden death.
      Mbowe had to respect family decision of not to include that history.
      In this he is not wise at all.

    • @ayububrantaya6624
      @ayububrantaya6624 7 месяцев назад +1

      @@nin6324 hayo ni mawazo yako na yawale wanaotaka kupepesa ukwel histor kwa mtu alie kua mtumishi wa umma tutasema yote yapo ya famili na mengine ni kitumishi

    • @jaclynmziray741
      @jaclynmziray741 7 месяцев назад

      He is a Freeman with wisdom

    • @StephenMbatia-y4j
      @StephenMbatia-y4j 7 месяцев назад

      You cannot erase history. ​@nin6324

  • @benardkinde8496
    @benardkinde8496 7 месяцев назад +18

    Kiongozi mbowe umesema ukweli hata ccm wanafahamu kuwa uchaguzi ule luwasa alishinda kwa kishindo

  • @genesfocus4145
    @genesfocus4145 7 месяцев назад +20

    Mbowe ndo maana tunataka awe mwenyekiti wa Chadema

  • @anaelnanyaro3634
    @anaelnanyaro3634 7 месяцев назад +70

    Mbowe is another a wise states man in our country will remember him one day

  • @SelijusiMalambo-q2u
    @SelijusiMalambo-q2u 7 месяцев назад +23

    Mbowe najua hekima kubwa unayo huo ndio ukubwa wengine wanapayuka

  • @josephinejoram2942
    @josephinejoram2942 7 месяцев назад +20

    ccm ni wagonjwa na waongo MUNGU awaponye

  • @SalomeShongola
    @SalomeShongola 7 месяцев назад +15

    Mungu akubariki sana,Ukweli utakuweka huru.

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 7 месяцев назад +60

    Ukiona mtu anamkosoa Mbowe kwa hotuba hii, jua IQ yake ni ndogo sana sana!!!! Mbowe is one of God's talented leader, achana na wale wachumia matumbo. This man is brave, intellectual, wise and always talks sense.

    • @salehwaziri5062
      @salehwaziri5062 7 месяцев назад +1

      Kilabinadamu anamapungufuyake usihukumumtukwa uelewawako

    • @leverimlaki5667
      @leverimlaki5667 7 месяцев назад +3

      @@salehwaziri5062 upo sahihi. Ndiyo maana nimesema kwa hutuba hii. Sijazungumzia maisha yake. Ila hutuba hii.

    • @saturinimushi4746
      @saturinimushi4746 7 месяцев назад

      Ni Mfanya Biashara wa Kisasa.

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 7 месяцев назад +1

      He is determined pretty much ....

    • @christinelihavi4068
      @christinelihavi4068 7 месяцев назад

      Mbowe is the best

  • @barakaPcm
    @barakaPcm 7 месяцев назад +29

    A millions dollar worth speech 😊

  • @ProtsMangu
    @ProtsMangu 7 месяцев назад +22

    Grateful, wise man. Very objective

  • @lutembekarodi
    @lutembekarodi 7 месяцев назад +46

    Asante. Mh. Mbowe kwa kutumia vema hekima, busara na ujasiri aliokupa mwenyezi Mungu. Umeweka vuzuri historia ya Mh. Lowasa iliyotaka kufichwa na watu wanafiki na waoga wa kivuli chao. Mungu akubariki.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 7 месяцев назад +1

      Hata yeye ni mnafiki, bado hajaweka historia ya Richmond, na matusi ambayo. Chadema walimtukana karibu Kwa miongo kadhaa ikiwemo kumtaja katika list of shame,,,

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 7 месяцев назад

      @@jumakapilima7295 ni baada yakudanganywa na hao ccm

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 7 месяцев назад

      Kabisa ccm wabaya sana wanaifanya siasa kuwa ni vita

  • @guidoliusmichaelhulilo3886
    @guidoliusmichaelhulilo3886 7 месяцев назад +41

    He spoke very well. Viva Tz kwa upendo, umoja na udugu pia wa pekee. God bless Tanzania. Amen 🙏🙏

  • @PatrickBatenga
    @PatrickBatenga 7 месяцев назад +13

    Kwa kuongea ukweli imeandikwa

  • @tuntufyekapesa3901
    @tuntufyekapesa3901 7 месяцев назад +39

    This man is full wisdom..Hon. Mbowe congratulations,

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 7 месяцев назад +2

      Mh Freeman mbowe oyeee 🎉❤🇹🇿🙌💯💣🏆⚘️🇬🇧

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 7 месяцев назад +1

      You showed them a way to go home 🏡 🚶‍♂️

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 7 месяцев назад +15

    Speech nzuri sana hongera kwa ujasiri

  • @SheillaJaffery
    @SheillaJaffery 7 месяцев назад +9

    Hakika ni makosa kukwepesha kuwa aliitumikia Chadema ipasavyo so lazima iwekqe kwenye historia

  • @shirazmunawar4433
    @shirazmunawar4433 7 месяцев назад +7

    Our leader Mr. Mbowe, the wiser of them. Hotuba zake siku zote zinatufunza mambo mengi. Respect to you our father!

  • @GoodTeck90
    @GoodTeck90 7 месяцев назад +7

    Mbowe umesema ukweli na ukweli ni mpenzi wa Mungu.
    Unajua kuna watu kwenye taifa hili wanawaza kulinda madaraka hata kwa udanganyifu na ubinafsi ili kujijenga kisiasa bila kujali kuwa ubinafsi wao unaligawa taifa na kuleta chuki kwa wananchi. Kulikuwa hakuna tija yoyote ya kuandika historia ya Kibaguzi. Hongera Mbowe kwa kupasua majipu yao.

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 7 месяцев назад +14

    Ccm mpoo,au mmeishia kufakamia minyama,ng'ombe 100 si haba.Mbowe ndiyo. Kiongozi wa mioyo ya wataanganyika.mpo kila nyama ccm kwa nyama mko vizuri nawajua.

  • @LuluErick-b9i
    @LuluErick-b9i 7 месяцев назад +12

    Kweli kabsa wamesahau chadema au wanaogopa kusema ukweli

    • @mdqweqwe251
      @mdqweqwe251 7 месяцев назад

      Ccm mazwazwa wengi hamnazo mungu awa samehe

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 7 месяцев назад +3

    Huyu Jamaa chadema isitokee siku wakalogwa wamwache asiendelee kuwa Mwenyekiti wao..

  • @elishamumba4304
    @elishamumba4304 7 месяцев назад +13

    Asee angepewa tu maua yake jamani

  • @georgepewa9624
    @georgepewa9624 7 месяцев назад +9

    Wise men Mkt mbowe, very Gentlemann, good speech

  • @free2tree
    @free2tree 7 месяцев назад +22

    Aibu kwa walioandaa wasifu wa marehemu tunajua alihama Ccm na kwenda Chadema! Tunashukuru Mbowe kwa kuliweka sawa

    • @lgf7297
      @lgf7297 7 месяцев назад +1

      Waloandaa Familia. Are you saying walishinikizwa?

    • @abdalahmohamedi1806
      @abdalahmohamedi1806 7 месяцев назад +1

      Mbowe ameongea vyema sana

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 7 месяцев назад +21

    Hu ni ujumbe wa muhimu. Ubarikiwe mwenyekiti Mbowe👏👏👏

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 7 месяцев назад +7

    Sikia vizr na angalia mzee mbowe navojua kuandaa hutuba hii nikweli kabisa ❤❤❤❤

  • @isackanatory
    @isackanatory 7 месяцев назад +18

    Lazima aseme ukweli kwanini historia ifichwe na wakati mzee amefanya mambo mengi mazuri kwenye siasa na kujua kidemokeasia acha aseme ukweli Mbowe kaongea vizuri sana kwanini historia ifichwe ukweli umuweka mtu huru kulikoa angeondoka na kinyongo be wise be patient

    • @azizimangara9024
      @azizimangara9024 7 месяцев назад

      Kila mtu anawazo lake, kikubwa mtu akifa Ni kumuombea Kwa mungu Tu na mungu NDIYE hakimu. Ukisema walilificha hili la mboye, pia hawa hawa chadema walimwambia lowasa fisadi. Na Richmond. Mbona mboye akusema Samahani tulimchafua marehemu kumbe richmond sio ya kwake!!! Si mnataka yazungumzwe yote!!? Tuache siasa misibani. Mzee Wa watu tumuache akapumzike

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 7 месяцев назад +7

    Safi SANA umewapa ukweli. Hata hiyo nafasi umeipata kwa. Kuwa Samia yupo. Hao waapuuzi wengine wasingekupa hiyo nafasi. Kama walivyofanya karimjee.

    • @yudantamaboko1976
      @yudantamaboko1976 7 месяцев назад +2

      Kabisa

    • @PatrickBatenga
      @PatrickBatenga 7 месяцев назад

      Nafasi kaipata kwa mlango wa nyuma

    • @dicksonexavery726
      @dicksonexavery726 7 месяцев назад +1

      Wala sio kwa sababu samia yupo ila ni kwa sababu ya mama Regina lowassa ndie kapendekeza aongee kwa niaba ya family ya Lowassa.

    • @ngambikomsu64
      @ngambikomsu64 7 месяцев назад

      Na kama kaongea kwa niaba ya familia , basi wajue ni mtu muhimu kwenye hiyo familia sio Kichwa maji kama Bashite ati anasema hawakuwahi kumjulia hali .

  • @moilesangau1071
    @moilesangau1071 7 месяцев назад +8

    Mungu akubariki sana mh Mbowe mpaka machozi 😂😂😂

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 7 месяцев назад +9

    Mungu wapokee viongozi wetu bila ya kujali dini zao wanapo kufa kwa kubadilisha maisha ya watanzania walio waongoza kuwa maisha yao ya huko na uzidishe hasira zako kwao

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 7 месяцев назад +6

    amepga palepale kwenye mshono dasekii

  • @godfreyayo7831
    @godfreyayo7831 7 месяцев назад +5

    Huyu mzee anajua duuh bonge la speech rip ngoyai

  • @ferdinandmakore5002
    @ferdinandmakore5002 7 месяцев назад +6

    Speech well organized and presented. Mbowe is always wise. God bless you Mr. Chairman.

  • @annastaziapaul8720
    @annastaziapaul8720 7 месяцев назад +2

    Nakukubali sana mweshimiwa mbowe Mungu awatunze wanachadema mna neema sanaa na hekima ya kimungu

  • @celestinshayo7295
    @celestinshayo7295 7 месяцев назад +3

    CCM walikwepa historia hii ya Lowasa siyo kwa bahati mbaya bali ni kwa sababu historia hii inawaaibisha CCM. Fikria walivyomtukana na kumdhalilisha alipogombea uraisi naeye hakurudisha neno lolote baya kwao. Fikiria kuwa Lowasa kweli alikuwa mgonjwa na hii ilikuwa dhahiri mbele ya macho yetu hatukuhitaji kuambiwa na mtu. Lakini bado akaweza kupata kura milioni 6 kwa 8 za mgombea wa CCM tena wakakiri wenyewe kwamba walilazimika kufunga goli la mkono! Huu ulikuwa ujumbe wa watanzania kwa watawala wakongwe waliochoka na kulewa madarakani kwamba tumewachoka na tulikuwa tayari kupigia kura hata jiiwe kuliko wao!

  • @AllySenzota
    @AllySenzota 7 месяцев назад +2

    Mh. Mbowe jambo ambalo pengine hulijui ni kwamba hakuna kitu cha ovyo kama historia ya Tanzania. Kila kinachoandikwa ni kwa maslahi ya watu flani na si taifa

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 7 месяцев назад +7

    Ccm mmezoea kuwafanya watu kama ni wajinga

  • @josephinejoram2942
    @josephinejoram2942 7 месяцев назад +9

    familia ya lowasa wana akili sana waliochagua mbowe amalizie ukweli waloficha mafisi. HISTORY COMPLET

  • @Thomasbishooolonyokye
    @Thomasbishooolonyokye 7 месяцев назад +7

    Nashindwa jinsi ya kusema ubarikiwe sana mkuu wangu

  • @shabanikilua5814
    @shabanikilua5814 7 месяцев назад +4

    Tetemeko latokea wakati jeneza la LOWASA linashushwa aridhini huku Manyara

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 7 месяцев назад

      Kwa hyo unataka kutuambiaje. Huko manyara tushawaziea na matetemeko yenu

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 7 месяцев назад +4

    come back to "ALLAH" 😭 Allah ndio Mola wetu mlezi wa Dunia yote hii iwe ulaya ,Africa,Asia, america n.k ni yeye anaetusimamia Kwa Kila jambo. Hakuzaa wala jakuzaliwa Hana sifa za wanaadamu ,,zingatieni ndugu zangu Kila nafsi itaonja Umauti" na shughuli ndio inaanza rasmi baada ya kufa , kwaiyo milango ya Toba Iko wazi tubia Rudi Kwa Mola wako acha kumshirikisha ALLah ,nafsi ndio inajutia asaivi na anaomba apewe nafasi angalau ata sekunde aje Duniani aje kuufata muongozo wote ambao Mungu alitaka tuufate lakini wapi muda ulipewa ukauchezea ."Mwenyezi Mungu haikalifishi nafsi yoyote ila kwa kadiri ya iwezavyo. Faida ya iliyo yachuma ni yake, na khasara ya iliyo yachuma ni juu yake pia".

  • @NobertEvarist
    @NobertEvarist 7 месяцев назад +5

    Mbowe wewe ni baba mungu akubariki sana❤❤

  • @Ezekiel-rh2ni
    @Ezekiel-rh2ni 7 месяцев назад +8

    This man took the truth, fact huna baya baba mheshimiwa mbowe..

  • @yuahahmad6651
    @yuahahmad6651 7 месяцев назад +10

    Mmmh!!! Kweli hakupepesa macho

  • @HasaniSadiki-u3w
    @HasaniSadiki-u3w 7 месяцев назад +8

    Hongera sana mbowe umempa lowasa heshima yake hao ccm ni walumaji sio kwamba hawajui ni kiburi na ukatili umewajaa kama vile wao hawatakufa

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 7 месяцев назад +7

    Yaani wamebana wameachia

  • @emmanyerere6479
    @emmanyerere6479 7 месяцев назад +9

    Ukweli ni upendo.

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 7 месяцев назад +8

    Mbowe makini mnooo

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 7 месяцев назад +2

    Mungu wa Mbinguni Akupatie Umri wakushiba na Afya tele❤.. ili tupate Katiba Mpya na Tume Huru.. Ili tuonozwe na viongozi tunaowachagua😂

  • @mackrankagenzi5236
    @mackrankagenzi5236 7 месяцев назад +8

    BRAVO Hon; Freeman Mbowe 💪

  • @AmosSniper
    @AmosSniper 7 месяцев назад

    Natamani katiba Mpya ingeanza Leo Mbowe utwae urais ,, Yaani unafaa kuwa kiongozi kuanzia kujieleza mwonekano Yaani ukisimama TANZANIA hutulia

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 7 месяцев назад

    Hata wewe mbowe ni mnafiki,hujaweka historia sawa sawa ya Lowassa, hujatuambia kuhusu Richmond, hujatuambia mlivyomtukana kwa miongo kadhaa mkimtaja kama fisadi mkuu na hata ile list of shame ya mwembe yanga hujaisema hapa ili kuweka kumbukumbu sawa,,,,huo nao ni unafiki wako mkubwa Mhe. Mbowe

  • @driss4957
    @driss4957 7 месяцев назад +1

    Unalitendea haki jina la "FREEMAN "..UMEONGEA UKWELI MCHUNGU MBELE YA MAHAFIDHINA WATEKA MSIBA..WALIMBAGAZA AKIWA HAI,MSIBA WAKE WANAUTEKA..

  • @mohammedmhina3973
    @mohammedmhina3973 7 месяцев назад

    Sisiem wajing san yaan unaandikaje historia ya lowasa bila kutaja 2015 😂kwanz n hata kura alishindw sitak kuamn ule umati et kula milion6 big no alikuw n ushawshi kuliko chama kizma cha kijan

  • @LeonardSimon-sk8yl
    @LeonardSimon-sk8yl 7 месяцев назад +5

    Umesema ukweli mtupu bwana mbowe

  • @Zakayo-z1k
    @Zakayo-z1k 7 месяцев назад +5

    iyoo hutuba ni bola sana sio Hao wanao msifia 2 rais

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 7 месяцев назад +5

    Full msuto! Umetumia akili nyingi kufikisha ujumbe

  • @daffangov6074
    @daffangov6074 7 месяцев назад

    Nimependa anasema.. mh loasa nayeye ni muhanga ktk mifumo yetu ya uchaguzi kapata kura ml6 lakini ndo ivo tn kapigwa za uso

  • @JotoKali
    @JotoKali 7 месяцев назад +6

    Mungu ampe pumziko la amani mzee wetu,,😢😢

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 7 месяцев назад

    Mh Mbowe mimi siyo Chadema. Ila wewe ni jembe. Ni kati ya viongozi tunaowahitaji nchi hii.

  • @willfredyriphatchuwa
    @willfredyriphatchuwa 7 месяцев назад +10

    This is my chairman

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 7 месяцев назад +8

    Very good mr chairman....take your flowers 🌹🌹

  • @georgebalilemwa3305
    @georgebalilemwa3305 7 месяцев назад

    Hii inaonyesha watawala wanavyotafsiri upinza. Wanaona ni uadui. Wanaona kuwa upinzani ni dhambi.

  • @marcomabanza6858
    @marcomabanza6858 7 месяцев назад +33

    Mbowe always never disappoint

  • @annastaziapaul8720
    @annastaziapaul8720 7 месяцев назад

    Nakukubali sana mweshimiwa mbowe Mungu awatunze wanachadema mna neema sanaa na hekima ya kimungu

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 5 месяцев назад

    Kumbe walimhujumu lowasa kwenye historia yachama 😢😢😢

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 7 месяцев назад

    Ni hery kuwa na viongoz wachache wenye hekima ,kulikon kuwa na wengi wenye vichwa maji,

  • @ndingolivin-qy6xk
    @ndingolivin-qy6xk 7 месяцев назад +6

    Mbowe nijembe sana

  • @BoniphacLukumay-mz4sn
    @BoniphacLukumay-mz4sn 7 месяцев назад +5

    Poleni sana familia ya mzee wetu lowasa

  • @teddymwai4889
    @teddymwai4889 7 месяцев назад +1

    Hii speech imefuta historia iliyoandikwa na Ccm😂😂😂

    • @SalomeShongola
      @SalomeShongola 7 месяцев назад

      Kweli kabisa na ndiyo yenye nguvu zaidi.

  • @ThomasMwarukaKeya
    @ThomasMwarukaKeya 7 месяцев назад

    CCM Wanakuawaje Wajinga hadi Kwenye Misiba ya Watu Wengine.?

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo 7 месяцев назад +1

    Halalamiki lakini anaongea ukweli yanini kuficha ukweli?????

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 7 месяцев назад +3

    Eti Mbowe kama sehemu ya familia!!!duh😅😅😅

    • @AlfarisHongo
      @AlfarisHongo 7 месяцев назад

      Yupo sahihi,Nenda darasani kasome lugha ya kiswahili pamoja na matumizi ya neno" kama', in English examples mbowe is(ni) a family of........ And another example Mbowe as (kama) a family of.......

  • @EdnaMbowe
    @EdnaMbowe 7 месяцев назад +2

    Mbowe uko vizuri. Umeongea ukweli usiopingika tena kwa unyenyekevu

  • @YussufPandu-q9s
    @YussufPandu-q9s 7 месяцев назад +6

    Mbowe hakika msomj, mbobezi, mtu msema kweli hongera

  • @Kivuruge255
    @Kivuruge255 7 месяцев назад +1

    Kwa hilo namuunga mkono mh. Mbowe why historia ifichwe 😂

  • @madelefamily2703
    @madelefamily2703 7 месяцев назад

    hakuwa ubaguzi wa kidini wala kikabila hii nimeeielewa Sanaa..!

  • @diegoshanga8184
    @diegoshanga8184 7 месяцев назад +3

    Mbowe uko vizuri kiongzi wa chadema!!

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 7 месяцев назад +1

    Kwanza hapo tu umewakosea
    Walio handaaa wasifu wake
    Ruwassa but una hadabu na mbona
    Halilud #ccm uyo mzee #ruwasa
    Mbowe kuwa na hadabu #raissamia
    Ukitaka aongee nn amesema
    Kuna viongozi walio baatika
    Kujiandikia Vitabu lakin rowasa
    Nazani hata andikiwa vitabu
    Chepi kibaya una hatabu tukutane
    #2025

  • @peterkissiri9821
    @peterkissiri9821 7 месяцев назад +1

    Kwa jinsi alivyowatoa jasho 2015 lazima wajisahaulishe😂

  • @samnyanza7642
    @samnyanza7642 7 месяцев назад +4

    Nimeipenda hiyo mheshimiwa mbowe unahekima sana

  • @AnneyAmablique-tw5mi
    @AnneyAmablique-tw5mi 7 месяцев назад +4

    I only see wisdom in him👏

  • @justinswati8225
    @justinswati8225 7 месяцев назад +4

    Balikiwaaa sana kiongozi safi!

  • @jamespilimo8986
    @jamespilimo8986 7 месяцев назад

    Huyo ndo kiongozi wa chama kikuu Cha upinzn hbn

  • @wilhelmibaganisa5493
    @wilhelmibaganisa5493 7 месяцев назад +5

    Bravo kamanda , ukweli humuweka mtu huru

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 7 месяцев назад

      Hata Mheshimiwa Warioba alikuwa mkweli sana. Hii nchi ngumu sana