AIC SHINYANGA CHOIR/BWANA NI NURU YANGU / ZILIZOPENDWA AFRICA MASHARIKI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #MsalabaMEDIA #DirectorAbson #MsalabaSOS #TanzaniGospleMusic #UpendoUpatanishoUkombozi
    ©2020 Administered Msalaba MEDIA
    +255767957191 /+255 710 132 291
    Msalaba SOS & MEDIA
    Forward We Go 🚶🚶🏃🏃💪
    Efeso 2:16. 2Wakoritho5:17-19.
    WITO (Isaya 49:1-26.)
    (A-Kurudisha Sauti Ya Mungu tuliyoipoteza
    (B-Kutufanya Silaha
    (C-Jina la Yesu Kutukuka kupitia Sisi
    (D-Kuwarudisha Waliopotea Kwa Mungu
    (E-Wafalme, Watawala Na Wakuu Kusujudu kwa Mungu
    (F-Kufanya Agano Na Mungu
    (G-Kanisa kutembea ktk nguvu za Mungu
    (H-Ardhi Kupatanishwa Na Mungu
    (I- Ulimwengu kuinuliwa Upya
    (J-Kurithishwa Urithi tuliokuwa tumeibiwa
    (K-Uhuru Kwa Wana wa Mungu
    (L-Giza kuwa Nuru
    (M-Walio Na Njaa Kushibishwa
    (N-Kutokusahaulika Na Mungu
    (O-Ongezeko La Haraka
    (P-Kutoonewa Na Shetani
    KUSUDI (Mathayo 28:19-20.)
    UTUME - Enendeni
    UALIMU - Mkafundishe
    MISSION
    Zaburi 24:7-10
    Waefeso 6:10-20
    2Wakoritho 10:3-5
    MFUMO
    Mitume
    Manabii
    Walimu
    Wachungaji
    Wainjilisti
    Waimbaji
    Jicho
    Karama.
    Uhusiano & Taarifa.
    #Msalaba SOS For the Peoples.

Комментарии • 48

  • @LeosiaFesto
    @LeosiaFesto 2 месяца назад +6

    Mpaka sasa inanibarki june 2024

  • @brightonkiwango8184
    @brightonkiwango8184 3 месяца назад +4

    Bonge moja la choir 2024 bado nasikiliza ❤❤

  • @drgeofreymdede3952
    @drgeofreymdede3952 Год назад +14

    Wimbo huu unanibariki sana ninao kwenye gari yangu na sikiliza kila wakati. Nimeanza kusikiliza tangu 2007 nikiwa chuo kikuu Muhimbili. Barikiwa sana AIC SHINYANGA

  • @alphayomogunde7828
    @alphayomogunde7828 Месяц назад +2

    Msikilizaji mkuu na shabiki wa kwaya hii huko Kenya ❤❤❤mungu wetu awape nguvu.

  • @aman-20015
    @aman-20015 5 месяцев назад +5

    Hakika Mungu ni wa ajabu, nmeanza kusikilza wimbo huu nikiwa bado mdogo sana, leo tena nmepata baraka kusikilza nikiwa chuo kikuu
    Hakika Mungu ni mwema

    • @tabithalusenga1183
      @tabithalusenga1183 3 месяца назад

      Mbarikiwe tena watumishi tangu 2007 nikiwa 4m 1 mpaka Leo bado unanibariki

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 27 дней назад +1

    Huwa zinanikumbusha mzazi wangu akiwa DC pale Shinyanga. Kazi yenu njema Bwana Yesu awatunze ktk milki yake hadi tukasifu kweli kule mbinguni

  • @Facness
    @Facness 5 месяцев назад +3

    Naupenda sana hu wimbo mbarikiwe sanaa❤

  • @GodloveMbwilo-z8y
    @GodloveMbwilo-z8y Месяц назад +1

    Nawapenda saaaaana,Gody wa Mafinga

  • @kiddophilemon
    @kiddophilemon 22 дня назад +1

    Tangu mtoto nikiwa na miaka 10 nausikiliza hadi mkanda wa video tunaona hadi leo,Mungu awabariki sana

  • @marynasyieki3783
    @marynasyieki3783 6 месяцев назад +2

    Am here again 2024🎉🥳God is my light fear no more 💪💪🙏🙏

    • @aman-20015
      @aman-20015 5 месяцев назад

      Tupo pamoja 2024

  • @danielorango5875
    @danielorango5875 11 месяцев назад +2

    AIC Shinyanga. Mbarikiwa mno kwa wimbo mzuri wa kuinua mioyo. Shalom

  • @JacksonLazaro-mm3qs
    @JacksonLazaro-mm3qs 7 дней назад

    ❤❤ wimbo wangu wakati wote

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 2 месяца назад +1

    Nimekuwa nikisikiliza limbo huu toka mwaka 2007

  • @ibrahimugilya7519
    @ibrahimugilya7519 Год назад +4

    wimbo unanikumbusha marehem kaka yangu enzi hizo😭😭

  • @elihurumaombay1641
    @elihurumaombay1641 Год назад +2

    Nabarikiwa sana na huu wimbo

  • @charlesmkisi8052
    @charlesmkisi8052 18 дней назад

    Nipo live toka kiwanja chunya

  • @danielmathias160
    @danielmathias160 4 года назад +1

    Inanikumbusha mbali sana. The best choir

  • @smartcyber7531
    @smartcyber7531 3 месяца назад +2

    video shot in kenya

  • @jacobmkirya9987
    @jacobmkirya9987 18 дней назад

    1 September 2024🎉🎉🎉 nimebarikiwa kuwasikiliza Tena

  • @vailethbenjamin7489
    @vailethbenjamin7489 Год назад

    Barikiwa sn Aic shinyanga mnanibariki mnoo hii Albam nakumbuka nilikuwa mdogo sn sasa hv kama kaushuuda mmetoka mbl mnooo🔥Mungu azidi kuwapeleka viwango vya juu sana ❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥🔥

  • @wambuikariuki1450
    @wambuikariuki1450 10 месяцев назад

    I used to cry when I listened to this song dad was in rumand

  • @josephyohana8449
    @josephyohana8449 6 месяцев назад

    Hakika Wimbo ni mzur sana mungu awapiganie kwenye kutangaza jina lake

  • @MathayoMakau
    @MathayoMakau 5 месяцев назад

    Daaaaaaaaaaa jaaman kuwa na Mungu raha sana hata mbinguni 2tasifu hivyhivy

  • @DamianoMaghway-ye7qj
    @DamianoMaghway-ye7qj 8 месяцев назад

    Hongereni sana watumishi wa mungu

  • @duncannzomo-hz5qf
    @duncannzomo-hz5qf 4 месяца назад

    Amina Nabarikiwa na hii Choir...Mbarikiwe sana

  • @brightonkiwango8184
    @brightonkiwango8184 3 месяца назад +1

    😂😂😂 step zenyewe hadi raha watu wanaenda na beat vibaya mno

  • @jeanpierremugarwa9557
    @jeanpierremugarwa9557 Год назад

    Nawapenda sana. Nyimbo munaziimba zinanibariki sana Niko DRC Congo.

  • @deborahdavid9324
    @deborahdavid9324 3 дня назад

    2024 sept praising God ❤

  • @dautonmdodwe5700
    @dautonmdodwe5700 Месяц назад

    ❤💞

  • @annastaziamoshi1176
    @annastaziamoshi1176 4 года назад

    Huwa wananibariki Sana,Nina furaha sababu bwana Yesu kaniokoa

  • @BoazJackson-k1q
    @BoazJackson-k1q Год назад +1

    May God bless you and all ❤❤❤❤❤

  • @tumainirichadi4638
    @tumainirichadi4638 Год назад

    Noma sana hawa jamaa wamepotelea wapi nawakubali sana

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 2 месяца назад

    Again 2024

  • @GeoffreyRottich
    @GeoffreyRottich 21 час назад

    𝙷𝚞𝚞 𝚠𝚒𝚖𝚋𝚘 𝚞𝚖𝚎𝚗𝚒𝚋𝚊𝚛𝚒𝚔𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊

  • @officialmatambi5550
    @officialmatambi5550 4 года назад

    Nawapenda sana Hawa waimbaji.

  • @DamianoMaghway-ye7qj
    @DamianoMaghway-ye7qj Год назад

    Wabarikiwe sana waimbaji

  • @DamianoMaghway-ye7qj
    @DamianoMaghway-ye7qj Год назад

    Mbarikiwe waimbaj

  • @DamianoMaghway-ye7qj
    @DamianoMaghway-ye7qj Год назад

    Ubarikiwe sana mlieimba hizi nyimbo🙏😅😅😅😅😅😅

  • @bintijuma942
    @bintijuma942 Год назад

    Amina

  • @thomasnyalika7947
    @thomasnyalika7947 Год назад

    Napata amani na furaha

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 Год назад

    Again 2023

  • @AnnaDaniel-yt1hx
    @AnnaDaniel-yt1hx Месяц назад +1

    𝕙𝕦𝕦 𝕨𝕚𝕞𝕓𝕠 𝕒𝕥𝕒 𝕞𝕞 𝕟𝕠𝕝𝕚𝕜𝕦𝕨𝕒𝕘𝕒 𝕩𝕛𝕒𝕥𝕖𝕘𝕖𝕞𝕖𝕨𝕒 𝕜𝕦𝕫𝕒𝕝𝕚𝕨𝕒 𝕩𝕒𝕩𝕒 𝕟𝕟𝕒 𝕞𝕚𝕒𝕜𝕒 18 𝕥𝕦 𝕟 𝕞𝕦𝕕𝕒 𝕩𝕒𝕟𝕒 𝕟𝕒𝕡𝕖𝕟𝕕𝕒 𝕜𝕦𝕩𝕚𝕜𝕚𝕝𝕚𝕫𝕒 𝕔𝕠𝕤 𝕓𝕒𝕓𝕒 𝕒𝕟𝕘 𝕟𝕒 𝕞𝕒𝕞𝕒 𝕒𝕟𝕘𝕦 𝕨𝕒𝕝𝕚𝕜𝕦𝕨𝕒 𝕨𝕒𝕟𝕒𝕦𝕡𝕖𝕟𝕕𝕒 𝕩𝕒𝕟𝕒

  • @EmmanuelSusuma
    @EmmanuelSusuma Год назад

    Amina