4 - Kuondoa Mazuio ya Kiroho ya Kimfumo kwenye Mafanikio yako || Mwl Christopher Mwakasege.
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- SEMINA YA NENO LA MUNGU MBEYA MJINI || DAY 4b || 2023
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Mungu Asante kwa ajili ya zawadi hii 🎉🎉🎉🎉
Mungu kuzidi kukubariki
Mungu wabariki watumishi wako na naomba nirudishe kwenye mfumo
Kupitia maombi mifumo yangu yote na naunganisha na mfumo wa yesu Kristo uchumi ,afya ndoa ,elimu,utumishi,uzao na mengineyo ktk jina la yesu
Kupitia maombi Haya naamini vijana wa Tanzania,,,, uamsho na mabadiliko tunaanza Kuona na kuishi ushindi katika Mungu mkuu
Somo ni nzuri sana,somo hili ĺiendelee
Ee Babakatika jina la Yesu nirehemu. Mimi sina cha kusema zaidi ya kuombaa rehemaaa😭😭😭😭😭😭
Mungu wa mbinguni we kumbuka wanangu katika .maombi haya kama vijana wa nchi hii
Njooo vijana wa Tanzania katika jina la yesu na damu ya yesu
DAMU YA YESU
DAMU YA YESU
DAM YA YESU
Kupitia maombi haya napokea uponyaji kwa damu ya yesu Mimi na watoto wangu ameeen
Mungu awabariki watumishi wa Mungu!
MUNGU wa mbinguni najiunganisha na mfumo kwa Jina LA yesu kristo
MUNGU akibariki mtumishi wa Mungu
Asanten wapakwa mafuta
Napeleka damu ya yesu shuleni vyuoni inaenda
I love 💕 so much, my pastor mwakasege God bless you, I'm praying God to meet with you. I love 💕 you
Ubarikiwe Baba mwalim mkuu
Glory to God
Mungu tusidie pastar niombe naisi nko Kwa kifungi
Amina baba
Popote walipochukuliwa mateka vijana wetu ninaeakomboa Kwa DAMU YESU
Mungu naomba nisaidie nitumie Mfumo niliyo nao nikue kiuchumi
❤
MUNGU akubariki baba
Naomba namba ya kutuma sadaka
Mungu tusaidie uchumi WA tz tunawatu wenye akili na wasomi ,lakini serikali Haina/haitaki kutumia nguvu zake na mitaji yake kuweka watu waaminifu kusimamia mifumo ya kumiliki uchumi badala yake inaita watu wenye mitaji nje watuendeshee uchumi faida ya kuinua uchumi WA tz inaondoka kwenda kwao kwa manufaa ya mataifa na wao, tukibakiwa na makapi yanayoitwa Kodi,wananchi vibarua huku mali zenye utajiri zinamilikiwa na wenye mitaji ,atusaidie fedha ya nchi tuwekeze zaidi kwenye mifumo na njia za uchumi Ili faida na sehemu ya Kodi ndio itumike kwenye huduma kuliko utaratibu tulionao Sasa hatuwezi toboa.
MUNGU nisaidie niwe kwenye mfumo
DAMU YA YESU
DAMU YA YESU
DAM YA YESU
Amina Amina