4 - Kuondoa Mazuio ya Kiroho ya Kimfumo kwenye Mafanikio yako || Mwl Christopher Mwakasege.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • SEMINA YA NENO LA MUNGU MBEYA MJINI || DAY 4b || 2023
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Комментарии • 30

  • @ellyarola2939
    @ellyarola2939 Год назад +1

    Mungu Asante kwa ajili ya zawadi hii 🎉🎉🎉🎉

  • @PaskalinaRobert-hp8gj
    @PaskalinaRobert-hp8gj 11 месяцев назад

    Mungu kuzidi kukubariki

  • @kwekandumiayo4611
    @kwekandumiayo4611 Год назад +1

    Mungu wabariki watumishi wako na naomba nirudishe kwenye mfumo

  • @marygabrael147
    @marygabrael147 Год назад +1

    Kupitia maombi mifumo yangu yote na naunganisha na mfumo wa yesu Kristo uchumi ,afya ndoa ,elimu,utumishi,uzao na mengineyo ktk jina la yesu

  • @ElishaMkumbwa-eo2vj
    @ElishaMkumbwa-eo2vj Год назад +3

    Kupitia maombi Haya naamini vijana wa Tanzania,,,, uamsho na mabadiliko tunaanza Kuona na kuishi ushindi katika Mungu mkuu

  • @haikamandari8286
    @haikamandari8286 Год назад

    Somo ni nzuri sana,somo hili ĺiendelee

  • @Neema-wy4mh
    @Neema-wy4mh Год назад +1

    Ee Babakatika jina la Yesu nirehemu. Mimi sina cha kusema zaidi ya kuombaa rehemaaa😭😭😭😭😭😭

  • @zimanigervas7281
    @zimanigervas7281 Год назад +1

    Mungu wa mbinguni we kumbuka wanangu katika .maombi haya kama vijana wa nchi hii

  • @AlinanusweGerald
    @AlinanusweGerald Год назад +1

    Njooo vijana wa Tanzania katika jina la yesu na damu ya yesu

  • @Martha-l4e
    @Martha-l4e Год назад +1

    DAMU YA YESU
    DAMU YA YESU
    DAM YA YESU

  • @RememaSamul-xy5xb
    @RememaSamul-xy5xb Год назад +1

    Kupitia maombi haya napokea uponyaji kwa damu ya yesu Mimi na watoto wangu ameeen

  • @forhimchannel5965
    @forhimchannel5965 Год назад +1

    Mungu awabariki watumishi wa Mungu!

  • @AshaTaafifu
    @AshaTaafifu 11 месяцев назад

    MUNGU wa mbinguni najiunganisha na mfumo kwa Jina LA yesu kristo

  • @OLOIRUCK
    @OLOIRUCK Год назад +2

    MUNGU akibariki mtumishi wa Mungu

  • @barikisichone9697
    @barikisichone9697 Год назад +1

    Asanten wapakwa mafuta

  • @AlinanusweGerald
    @AlinanusweGerald Год назад +1

    Napeleka damu ya yesu shuleni vyuoni inaenda

  • @kaserekajules1408
    @kaserekajules1408 Год назад

    I love 💕 so much, my pastor mwakasege God bless you, I'm praying God to meet with you. I love 💕 you

  • @safialuhizo4979
    @safialuhizo4979 Год назад

    Ubarikiwe Baba mwalim mkuu

  • @AlexMchau
    @AlexMchau Год назад +2

    Glory to God

  • @alubeandrew3957
    @alubeandrew3957 Год назад

    Mungu tusidie pastar niombe naisi nko Kwa kifungi

  • @frederickmwambafula1330
    @frederickmwambafula1330 Год назад +1

    Amina baba

  • @Martha-l4e
    @Martha-l4e Год назад +1

    Popote walipochukuliwa mateka vijana wetu ninaeakomboa Kwa DAMU YESU

  • @kwekandumiayo4611
    @kwekandumiayo4611 Год назад

    Mungu naomba nisaidie nitumie Mfumo niliyo nao nikue kiuchumi

  • @MiriamSambala
    @MiriamSambala 11 месяцев назад

  • @JulianaHezron-gj4vk
    @JulianaHezron-gj4vk Год назад +1

    MUNGU akubariki baba

  • @STKMwihomeke
    @STKMwihomeke Год назад

    Naomba namba ya kutuma sadaka

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Год назад

    Mungu tusaidie uchumi WA tz tunawatu wenye akili na wasomi ,lakini serikali Haina/haitaki kutumia nguvu zake na mitaji yake kuweka watu waaminifu kusimamia mifumo ya kumiliki uchumi badala yake inaita watu wenye mitaji nje watuendeshee uchumi faida ya kuinua uchumi WA tz inaondoka kwenda kwao kwa manufaa ya mataifa na wao, tukibakiwa na makapi yanayoitwa Kodi,wananchi vibarua huku mali zenye utajiri zinamilikiwa na wenye mitaji ,atusaidie fedha ya nchi tuwekeze zaidi kwenye mifumo na njia za uchumi Ili faida na sehemu ya Kodi ndio itumike kwenye huduma kuliko utaratibu tulionao Sasa hatuwezi toboa.

  • @lucyruben2217
    @lucyruben2217 Год назад

    MUNGU nisaidie niwe kwenye mfumo

  • @Martha-l4e
    @Martha-l4e Год назад +1

    DAMU YA YESU
    DAMU YA YESU
    DAM YA YESU

  • @Hilgath
    @Hilgath Год назад +1

    Amina Amina