HII NDIYO HOTUBA YA MWISHO YA FREEMAN MBOWE? KABLA YA KUNG'ATUKA KWENYE NAFASI YA UWENYEKITI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 19

  • @Juliusmassawe-j7q
    @Juliusmassawe-j7q 10 дней назад

    Umefanya mengi Sana Mh Mbowe,wanaokukandya Wana uchu was madaraka.

  • @HanifaUrassa
    @HanifaUrassa 11 дней назад

    Hongera Baba

  • @KanaufooKweka
    @KanaufooKweka 11 дней назад +3

    Pamoja na hotuba nzuri ya kutukumbusha tulipotoka ila Sasa acha lissu aendeleze hapo ulipoifikisha,

  • @silivestreadolfnjau197
    @silivestreadolfnjau197 11 дней назад

    Mwamba huyooooooooo mbowe

  • @PeterKajana
    @PeterKajana 11 дней назад

    Kwan Iko live

  • @imanimanimaniman-k7c
    @imanimanimaniman-k7c 11 дней назад +1

    Achia ngazi mbowe

  • @SalumMsongera-n7b
    @SalumMsongera-n7b 11 дней назад +2

    Wajumbe Apo Kuna ccm na chadema wanagombea mkimchagua mboo mmechagua ccm mkimchagua lisu na heche ndio mmechagua chadema wajumbe tunawaamin nyie ni chadema msijisahau Kwan dhamana ya chama na watanzania wanyonge mnayo nyie uyo mzee ni msaliti

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 11 дней назад +2

    achia ngazi mbowe tuende na lissu

  • @MichaelMgudula
    @MichaelMgudula 11 дней назад +1

    Baba inatosha mwachie lisuuuuuuuuuuu

  • @DalaliNgasa
    @DalaliNgasa 11 дней назад

    Fanyen Kaz vijana Lisu au mbowe hatawapatia maisha

  • @barryrioba3934
    @barryrioba3934 10 дней назад

    LISSU ☑️ HECHE ☑️
    MBOWE ❌ WENJE ❌

  • @ndaroGamba
    @ndaroGamba 11 дней назад +1

    Mbn ni kama kuna Konyagi kichwani tyr na anamuwaza Abdul sana🐒

  • @SalumMsongera-n7b
    @SalumMsongera-n7b 11 дней назад +1

    At anatoa rushwa il achaguliwe sio destur ya chadema wajumbe tutoleeni huyu mzee ni covid kirus hatar km ni mtaka haki kwa nin atoe rushwa

  • @silivestreadolfnjau197
    @silivestreadolfnjau197 11 дней назад

    Meamba huyoooooooooooo

  • @AgnesMakilika
    @AgnesMakilika 11 дней назад +1

    Mzee panatosha kapumzike mpishe lissu

  • @SalumMsongera-n7b
    @SalumMsongera-n7b 11 дней назад +1

    Wajumbe pesa kulen kura kwa watu wa Haki tunamtaka lisu na heche kwa maslahi ya chama na watanzania wanyonge msiwauze kwa thaman ndogo ya vipande vya fedha

  • @josephmagige874
    @josephmagige874 10 дней назад

    Pumzika

  • @ISABELLASHANDU
    @ISABELLASHANDU 11 дней назад +1

    Baba ataukipita mwachie lisu wewe sauti yako imezoweleka

  • @FlorianMoses-z8g
    @FlorianMoses-z8g 11 дней назад +1

    Bora ccm kuliko wewe