Wajumbe Apo Kuna ccm na chadema wanagombea mkimchagua mboo mmechagua ccm mkimchagua lisu na heche ndio mmechagua chadema wajumbe tunawaamin nyie ni chadema msijisahau Kwan dhamana ya chama na watanzania wanyonge mnayo nyie uyo mzee ni msaliti
Wajumbe pesa kulen kura kwa watu wa Haki tunamtaka lisu na heche kwa maslahi ya chama na watanzania wanyonge msiwauze kwa thaman ndogo ya vipande vya fedha
Umefanya mengi Sana Mh Mbowe,wanaokukandya Wana uchu was madaraka.
Hongera Baba
Pamoja na hotuba nzuri ya kutukumbusha tulipotoka ila Sasa acha lissu aendeleze hapo ulipoifikisha,
Mwamba huyooooooooo mbowe
Kwan Iko live
Achia ngazi mbowe
Wajumbe Apo Kuna ccm na chadema wanagombea mkimchagua mboo mmechagua ccm mkimchagua lisu na heche ndio mmechagua chadema wajumbe tunawaamin nyie ni chadema msijisahau Kwan dhamana ya chama na watanzania wanyonge mnayo nyie uyo mzee ni msaliti
achia ngazi mbowe tuende na lissu
Baba inatosha mwachie lisuuuuuuuuuuu
Fanyen Kaz vijana Lisu au mbowe hatawapatia maisha
LISSU ☑️ HECHE ☑️
MBOWE ❌ WENJE ❌
Mbn ni kama kuna Konyagi kichwani tyr na anamuwaza Abdul sana🐒
At anatoa rushwa il achaguliwe sio destur ya chadema wajumbe tutoleeni huyu mzee ni covid kirus hatar km ni mtaka haki kwa nin atoe rushwa
Meamba huyoooooooooooo
Mzee panatosha kapumzike mpishe lissu
Wajumbe pesa kulen kura kwa watu wa Haki tunamtaka lisu na heche kwa maslahi ya chama na watanzania wanyonge msiwauze kwa thaman ndogo ya vipande vya fedha
Pumzika
Baba ataukipita mwachie lisu wewe sauti yako imezoweleka
Bora ccm kuliko wewe